Hili zee sawa na baba angu kila kitu mke wangu baba angu ameowa wake 9 anaowa anaacha lakin hili Bibi moja haliachwi na wala halizai baba limewezwa kila kitu mke wangu
Asanteni sana nyote koo mzima ya ktv tz Online hakika hii ni Fahari yetu musiache kutupa muendelezo sehemu ya 4 ikiwa itakuwepo na nyenginezo Inshaallah
Amen amen. Shida uyo mama. Mama wa kambo ni janga.mimi mpaka sumu nilipewa Mungu akaninusuru. Na uyo mzee awagawie watoto sehemu ya mali . na akumbuke hao ni watoto wake na mke siyo mtoto wake. Amen.
Hivi unajua Sheria wewe? Sio lazima mwenye Mai awape ulithi anaweza akazigawa kwigine kabisa acheni uvivu tafuteni Mali zenu Sasa hivi watoto hamfanyi kazi Nawaza Mali za wazee tu, akiamua hawapi ansuza au anawapa mayatima mtamfanya Nini uzuri mwenye Mali ndo mwenye uamzi,, na wewe pole kupewa Sumu na mamako huyo ndo mwenye roho mbaya wengine hawana roho Hizo mbaya
Shenzii mama wakambo wote hakuna mnzuli mama wakambo ukiona mama wakambo kakulea umekuwa mxhukulu mungu alifanya mbinu nyingi ila mungu kakukinga hakuna mama wakambo mwema wote nimbwa 2 kama mbwa wengine ctaki kukumbuka nyooooooio mbwa mama wakambo
Mashaa Allah babu nime muelewa yupo sahihi wao washurikie waume zao na yy ashurikiwe na mkewe isipo kuwa watembeleane mm nime muelewa babu kumbe sio mzee kiivo kumladhimisha akae pekeyake ooo tunataka kumlea mm babu yangu mzaa baba alikua na mali mashaa Allah nyumba na magali lakini wallah ss wajukuu atukushobokea wala nn tena ata watoto kila mtu alikua ana pambana na hali yake zilikua zinamsaidia yy tena alikua mzee kuliko ata uyo tena alikua na watoto wa 8 naakuna ata walio gombea mali saaa uyo babu sio mzee kiivo kujifanya wataka mlea tena kamakweli wana mpenda na wanataka radhi zake wamuache akae kwake atoe sadaka kwa watu kama anavofanya ndio watapata baraka zake yy kuliko kumkasirisha akachukia kikubwa watoto wajishushe
Kama ttzo mali basi wasimtukane mkewake wakae nae baba kwa hekima atawaelewa ila kinachoonekana wametsngulia choyo et baba wa Taifa maskini na wenyewe kakubali yuko sahihi dini Imani yake ndo inavyosema sadaka hasa kwa umri wake anajua anachokifanya Allah ampe mwisho mwema
Mungu akuzidishie afya njema mzee na akuepusha na Husda za wanao. Hao watoto wako ni tamaa mpaka inatia aibu ktk dini ya kiislamu. Tamaa wameweka mbele Allah awaongoze
Safi sanaa mzee kwa msimamo, Na pia masha Allah kumbe umzima wa afya na pia una akili zako timamu halafu wanakuzushia kua unaumwa, watoto sio wale mzee ukithubutu kukaa nao karibu wanaweza hata kukutilia sumu ili tu ufe haraka.
Hakuna kurogwa wala nini baba mzee anasema ukweli mtupu angekuwa hana mke sawa wangeishi nae wao lakin ana mkewe wamuche apumuwe habar za kumteka wakataka kumpofuwa waache wapambane na hali zao na wao kama mahodari.
Doa&mum sasa hapa umeongea kama wazee wa kijiji kumi yes umeolewa kaa kwako na mumewe tena hio miaka yote akitunzwa na hao wajukuu wengine walikua wapi mtu akiwa kwa shida atakae kukusaidia huo mda ndio utakae mtambua hata awe mtoto wako umezaa na alikutoka wakati wa shida mkubwa ndio ni wako lakini utaishi kusema kama si flani kweli singekua hapa ama hivi thats why we say a friend in need is a friend in deed hope point taken.shukrahn
Huyu mzee afanyiwe dawa,hayupo sawa na huyu bibi analotaka watoto watengane na baba yao ili yy afaidi Mali vizuri,na ndio maana anawakataa watoto ,kwa kurogwa,lipwata halija mtoka uyoo
duh!!! hapa kazi ipo ila Allah awafanyie wepesi. Na pia sio jambo zuri watoto kuingilia mapenzi ya wazee wao kama mali ni zake mwenyewe na wao watafute zao wasitegemee za mzee
Da kiukwel msingalie upande mmoja sir ya apo anaijua mungu na wao weny kila upand inamalengo yakee apo ila ipo siku yatakwish tuu mungu awaongozee hawa waislam wenzetu inshaall
Huyu mzeee anaongea point sana!!mtoto Hana haki. Kwenye kurithi labda itokee wazazi wameamua kuwaandikisha watoto basi! Huyu baba yuko sawa kabisa!!! Watoto muacheni baba yenu na mumuheshimu huyo mama kama mamayenu mzazi mtapata fungu Lenu siku Moja
Jamani nyie watoto muogopeni ALLAH hivi mmemuacha Mzee hakuswali Ijumaa nyinyi hilo mtaenda kujibu. Huyo ni baba yenu na nyinyi ni waislam na kunasherie ya dini Mzee akifa sheria ya dini itagawa mirathi sasa haraka yenu ya nini.
Hahahahaha wao wajue za zaume zao na Mimi na mke wangu basiiii... Baba umenena hao watoto wanalana na watapata Lana na Mzee acha usia wamali kabisa watakuuwa wanao uache watu wauwane..... Baba Wa taifa hongera sana kwa busara
At pengine wao wamebadilisha dini. Tatizo hili liwe funzo kwa wale wote wanaoacha kujituma eti kisa baba ana mali na wale wajukuu wanaotamani mirath za babu na bibi zao iliha babu, bib, mama na mama au baba zao wapo hai. Tumia rasilimali za wazizi kutafuta cha kwako tengea bado mdogo ili ukiwa mkubwa unusurike na kumpangia matumiz mzazi wako.
Mnaosema HAWA watoto wabaya angalieni hill jambo kwa undani, he na ndugu zake wa KUZALIWA naye woote asiwepo walau moja anayezunguza la hero upande wa mke wa MZEE Mcha. Sisi kwenye familia yetu yalitukuta kwa kaka yetu. Mpaka wazazi wakati wa uhai wao waliingilia kati na mpaka wore wanafariki hapakuwa na jawabu. Usiombe kujua mke wa kaka alivyoruchrukia baada ya kuona wazazi wetu hawako tena. Ndo na mambo ya uchawi kaweka waziwazi. Sie kila MTU alikuwa na Mali zake na familia take. Hata mashemeji ndugu za mke walimuhurumia kaka yetu alivyokuwa akitendwa na mkewe, yaani Hugo Dada yao. Tena bila kujali kuwa NI Dada yao walidiriki kushirikiana nasi ili kunusuru kaka yetu mikononi mwa mke wake bila mafanikio maana siku zote kaka yetu alitushinda kwa kuwa kile mke anaamua yeye hakuweza kupinga. Uzuri hata watoro wao waliona jinsi baba yao na ndoa ya mateso kutoka kwa mama. Watoto wao hawakuweza, walipoanaza kukua walijaribu kumpiga mama yao baba aliwakataza kwa maneno makali tena akiwatishia kutokuwa na radhi nao. Kaka yetu kafariki wiki 2 zilizopita. Mke kamzika Jmosi LAKINO siku ya JNNE kamtia mtoto rumande aliyeonekana kutetea baba wakati wa uhai wake. Ninapoandika hapa huyo mtoto huko ndani.mambo duniani yako makubwa SAA nyingine yanazidi hata ya kuzimu inategemea wanaosimamia utekelezaji ujasiri wa kuzimu KIASI gani. Sisi WiFi yetu hana habari na wazazi wake wore wawili na wakijaribu kumkanya matendo anawatamkia wazazi wake kuwa NI wachawi. Mke wa kaka yetu mchungaji alimfukuza kanisani na alimpiga marufuku asionekane kukanyaga eneo hilo.kaka naye akaamua kuondoka na mke wake. Mambo NI makubwa siwezi hapa kuwaelezea, bado tuna uchungu, kakakweli kafa sio kwa muda wake, LAKINO Mara moja mateso yamehamia kwa watoto. Tunajisikia vibaya. Serikali haiamini uchawi, ndo maana huko kuzimu wanabuni mbinu za kutekeleza kazi za shetani duniani KIASI kwamba KIASI kwamba suala litalapowasilishwa kwenye Sheria bado watendaji wa shetani wataonekana kuwa washindi.
Asalam alikum warahmatullah wabarakatu 254 Nimesikiza bando zote mpili kwa watt na baba lkn kwa baba yy asema wanawe wakae kwa waume zao na ukiangalia watt wa mke wake ako nao na wana watt kama wanae mbona hawaambi waende kwa waume zao na lakushanga mpaka wajuku wa mke wake wako hapo hapo wanaoshi kwa jicho la tatu kuna kitu tena cha wazii kabisa
Wewe mwelekeo wako kulingana na maneno yako hutaki kujua kuhusu wanao umempa mkeo kipao mbele zaidi huwashirikishi wanao na msaada unaopendeza zaidi kwa Mungu niwakizazi chako sio miskitini wala watu wa nje mwanzo wasaidie wanao uwashughulishe katika mambo yako uwe karibu nao yote haya yatakwisha
Mungu pekee ndie anajua ukweli wa hili jambo, tusihukumu kwa kauli ya huyu baba.Hata mama anaweza kuchezesha vichwa vya hiyo familia.kutekwa baba anaweza panga hata huyo mama ili mzee achukie watoto.Pia watoto wamuombe mungu aoneshe ukweli uongo ujitenge.Wampende mama yao kama vile mzazi.
Yaliobaharini yasubiriwe ufukweni, Mitihani mengine ni hatari Ila Allah atunusuru na Imani za kishirikina Allah alete ufumbuzi juu ya ukweli wa Mzee huyu na watt wake na jamaa zake Ammin
🙄🙄🙄🤔🤔mtihani Subhannallah ☹️ mmh Bora ya Mimi Baba yangu amenikataa nashuhudia Tu Mali zake mitandaoni😭☹️na hata kama ningelelewa na Baba......sidhani kama ningekodolea macho mambo ya kijinga kama hayoo😏Kwa sababu hata mama yangu walizaliwa wawili Tu Ila mjomba kashatangulia sasaa miaka 7 na mama ana nyumba aliicha Bibi na babu ya maana Tu Ila pia sina Mda nao Kwa maana ninajielewa natafuta vya kwangu Kwa Ajili ya mwanangu now yupo mmoja miaka 10 na wengine nikijaaliwa Kwa sasa NI singo Maza😢 na Sisi tupo wawili Tu Mimi na Kaka japo tulizaliwa 7 wenzetu wametangulia .Kwa sasa nipo zangu Oman Nina miaka 4 nimeanza kujenga Kwa jasho langu Kaka nae ana kwake na ana Mali zake mashallah, hatuna tatizo na mama yetu kumkaba koho hela hela wala nini tunamuacha ale jasho la Baba Ake Sisi halituhusu.Sasaa ninyi nawaona wa ajabu Sana aisee 😬
Mzee anaongea sawa ila pia anakosea, hapa dunia mke muhimu watoto muhimu zaidi maana ndio dumu yako, huu ni mtihani Mzee anao ila hajaangalia kwa makini zaidi,jiulize kwann watoto wa mke wake wanafahamiana na hakuna baya wala matatizo ila kwa watoto wake Mzee kuna matatizo na ni wabaya na ugomvi kila siku ukiangalia huu mtihani ulivyo unajua tu kuwa ipo naona, watoto wa wakija nyumba inakosa amani ila wale wanaoishi pale hawana kosa fikiri sana ndipo ukoment mzee apate washauri wazuri juu ya familia yake na ajue wale ni watt wake wana haki kwake kwa kila kitu na mke pia ana haki kwake, inaumiza sana unapoona mzee wako anahudumiwa na watu Wengine wakati ww upo inaonekana watoto wa mke huduma za kawaida zote za mzee wanafanya wao maana mke kwa muonekano tu huwezi, ila mzee ana mtihani sana,nyinyi watoto wa mzee kaeni chini muyaongee kuhusu mzee wenu na mtafute njia sahihi, Allah atawsadia inshaallah
Wewe mzee mke na watoto ni vitu viwili tofauti,, mke utamuacha na ataolewa na mtu mwengine,, usiwadharau watoto wako,, hata kama wanamtukana mama yao wa kambo usiangalie upande wa mke wako tu na wanao wape sehem ya maisha yako
Mzee yupo na akili zake na uzima wake hawa watoto hawana akili wanafanya imani za kishirikina tu Hamna lolote Mama wa jambo ni mama na mjukuu wa mama wa jambo ni mjukuu wa baba pia
Inapendeza mbaya maana nawafaham vzr sana hawa watoto enz hizo walipokuwa wakiish pale michenzani Block number 4 But sijui ata kuna jinamizi qan kati yao. Yarrab tuepushe na mifarakano ya namna hii
Loh uyu baba karogwa kweli Mimi baba angu anamke na sisi katuozesha lkn wanawe anatujali kuliko mkewe hahaha apo eshima akuna kwa mana huyo mama anapewa kichwa na uyo baba
Naugana na mzee hapa sinza kuna mzee anamiaka 95 watoto wake wa kuwazaa walimfukuza kwenye nyumba yake baba yao. Lakini Mungu ni kamsaidia kusimamia kesi mahakamani na mzee yule ameshinda kesi na nyumba amekabithiwa
subhana llah nilisema vidio yapili kuwa hawa watoto wanaonesha waongo wanamchukia mama yao looo wanatafuta kujitwika chupi kichwani baadae waseme mamayao wakambo kawaroga kumbe wamejiroga wenyewe kwa razi ya mzazi wao
Mzee uko sahihi kbsa...na wanawe walisema eti ana matatizo ya akili lkn mzee anaonekana yuko sawa kbsa na haoneshi akiwa na matatizo jamani watoto acheni thana mbaya kwa alio eleza huyu baba yani yuko sahihi wabaki na waume zao na yy abaki na mkewe...mie nawaombea Allah awajalie maskilizano mema inshaallah
Hili zee sawa na baba angu kila kitu mke wangu baba angu ameowa wake 9 anaowa anaacha lakin hili Bibi moja haliachwi na wala halizai baba limewezwa kila kitu mke wangu
Asanteni sana nyote koo mzima ya ktv tz Online hakika hii ni Fahari yetu musiache kutupa muendelezo sehemu ya 4 ikiwa itakuwepo na nyenginezo Inshaallah
Hongera bb salut nakupongez ww jembe umenena bb yang
Hongira mzee wangu kwa ma amuzia yako mshikia mkeyo ndiyo atakushika watoto hawanadinia nihatare
Pole baba mungu akusaidie
Amen amen. Shida uyo mama. Mama wa kambo ni janga.mimi mpaka sumu nilipewa Mungu akaninusuru. Na uyo mzee awagawie watoto sehemu ya mali . na akumbuke hao ni watoto wake na mke siyo mtoto wake. Amen.
Hivi unajua Sheria wewe? Sio lazima mwenye Mai awape ulithi anaweza akazigawa kwigine kabisa acheni uvivu tafuteni Mali zenu Sasa hivi watoto hamfanyi kazi Nawaza Mali za wazee tu, akiamua hawapi ansuza au anawapa mayatima mtamfanya Nini uzuri mwenye Mali ndo mwenye uamzi,, na wewe pole kupewa Sumu na mamako huyo ndo mwenye roho mbaya wengine hawana roho Hizo mbaya
Shenzii mama wakambo wote hakuna mnzuli mama wakambo ukiona mama wakambo kakulea umekuwa mxhukulu mungu alifanya mbinu nyingi ila mungu kakukinga hakuna mama wakambo mwema wote nimbwa 2 kama mbwa wengine ctaki kukumbuka nyooooooio mbwa mama wakambo
Mashaa Allah babu nime muelewa yupo sahihi wao washurikie waume zao na yy ashurikiwe na mkewe isipo kuwa watembeleane mm nime muelewa babu kumbe sio mzee kiivo kumladhimisha akae pekeyake ooo tunataka kumlea mm babu yangu mzaa baba alikua na mali mashaa Allah nyumba na magali lakini wallah ss wajukuu atukushobokea wala nn tena ata watoto kila mtu alikua ana pambana na hali yake zilikua zinamsaidia yy tena alikua mzee kuliko ata uyo tena alikua na watoto wa 8 naakuna ata walio gombea mali saaa uyo babu sio mzee kiivo kujifanya wataka mlea tena kamakweli wana mpenda na wanataka radhi zake wamuache akae kwake atoe sadaka kwa watu kama anavofanya ndio watapata baraka zake yy kuliko kumkasirisha akachukia kikubwa watoto wajishushe
mimi naona kama kawatekeleza watoto wanane na huyu mke kazaa naye kweli pesa watoto fitina
Kama ttzo mali basi wasimtukane mkewake wakae nae baba kwa hekima atawaelewa ila kinachoonekana wametsngulia choyo et baba wa Taifa maskini na wenyewe kakubali yuko sahihi dini Imani yake ndo inavyosema sadaka hasa kwa umri wake anajua anachokifanya Allah ampe mwisho mwema
Big Up Baba.. You said it Right. 👍 These Children are hypocrites...!
Mungu akuzidishie afya njema mzee na akuepusha na Husda za wanao. Hao watoto wako ni tamaa mpaka inatia aibu ktk dini ya kiislamu. Tamaa wameweka mbele Allah awaongoze
Bablly Dullah aminaaa
Bablly Dullah
Masha Allah mzee upo makini sana watoto fitna hao
Hongera mzee n ndio sahihi wameolewa wabaki kwenye ndoa zao
bila ya shaka
Sawa kabisa, baba yuko sahihi 100%
Reemii Omar kubaki kwa mume kweli lakini watoto wanahaki duniani na Akhera
Hongra nini ,huyu mzee karogwa kweli
Watoto wana haki kwa wazazi wao!
wallah afadhal utamkeeee mwenyewee ....mashaAllah
Subhana llah lailaha illa Allah ALLAH AKBAR
Nimekupenda mzee wanguuu
Mzeee Ma sha Allah.Ndio ivoooo...umeongeaa
Mzee hoyeeeee, Mzee juuuuuuu, Mzee poaaaaaa , Mzee Mungu Akujalie afya Bora. Umezeeka na hekima yote.
Sawa sawa father
Safi sanaa mzee kwa msimamo, Na pia masha Allah kumbe umzima wa afya na pia una akili zako timamu halafu wanakuzushia kua unaumwa, watoto sio wale mzee ukithubutu kukaa nao karibu wanaweza hata kukutilia sumu ili tu ufe haraka.
HIDAYA MUSSA
.
Kuna mushkel kidogo kwa mzee!!!!
@@faahhue7542 Nitafute kipenzi
pole sana,
Nachokiona hapo ulisi muzee Andike mapema ulisi sahizi mabo moto je badae nimauji hakuna kingine mhh❤❤❤❤❤❤ pole san muzee
Huyu Mzee Mwenyezi Mungu azidi kumlinda ,Yuko vizuri.
tamaa mbaya jamani muachieni atumie malizake kwaraha katafuta kwashida atumie kwaraha
Hakuna kurogwa wala nini baba mzee anasema ukweli mtupu angekuwa hana mke sawa wangeishi nae wao lakin ana mkewe wamuche apumuwe habar za kumteka wakataka kumpofuwa waache wapambane na hali zao na wao kama mahodari.
Doa&mum sasa hapa umeongea kama wazee wa kijiji kumi yes umeolewa kaa kwako na mumewe tena hio miaka yote akitunzwa na hao wajukuu wengine walikua wapi mtu akiwa kwa shida atakae kukusaidia huo mda ndio utakae mtambua hata awe mtoto wako umezaa na alikutoka wakati wa shida mkubwa ndio ni wako lakini utaishi kusema kama si flani kweli singekua hapa ama hivi thats why we say a friend in need is a friend in deed hope point taken.shukrahn
Inalillah wainaillah rajiuni. Mtamuua Mzee kabla yasiku. Muacheni Mzee
Mmmh mzee kasha nasa hajielewi 😂😂😂
Mmmh Subhallah mtihani huu.Mzee uko sawa kabisa
Kawashushuwa
+Sada Hamad yani hadi aibu
Huyu mzee hayupo sawa karogwa sio yy mwwnyeww kabisa
Huyu mzee afanyiwe dawa,hayupo sawa na huyu bibi analotaka watoto watengane na baba yao ili yy afaidi Mali vizuri,na ndio maana anawakataa watoto ,kwa kurogwa,lipwata halija mtoka uyoo
Baba uko sawa kabisa wao watafute maisha yao kweli baba hao watahusika na mli yako mpaka ufe. Sahihi unavyosema baba hawana radhi wote hao.
Mzee anamahaba niuwe kwa mama watoto tulizeni visepe wenyewe bado wanapenda japo kua wazeee 👍
Asnte mtangazaji uko sawa nakukubali kazi
ee mungu tunusuru dunia yaisha pole mzeee hao watoto wanallaana
Mmh 😩😩😩 yajayo yanafurahisha
Safi mzeee
Hayaaaaaaa mambo ndo hayo pia mm nataka kuishi na mumewangu sitaki tabu watoto hukooooo mbali 😀😀😀😀
😂😂😂😂😂😂😂
Nimecheka kama mazuri jamani dah...huyu baba kiboko Wallah
Huyu mzee anachotaka ni urith tu upote hana lingine huyu mwanamke kampika vixuri huyu mzee
Kazi ipo kaeni nawaume zenu nikae na mke wangu,uko sawa mzee
Mzee usharogwa lakini Allah akuondoshee mtihani huo.
Wewe ndie uliemroga
pole mzee
Pole sana baba yatakwisha waelewe wanachotaka ubaki na mkeo kwa amani nafsi zao Zina tizama mali sio furaha wala Amani yako
Huyu mzee Yuko vizuri sana ,natamani ningeoa Kwa huyu mzee tusaidiane kuwanyoosha hao wanae
Huyu mzee sio yeye kisha fanywa msukule, hayo yametokea kwenye familia yetu hawa wake wadogo shida sana
😂😂😂chacha
Nashukuru mungu napambana nahali yangu
Ndungu mutangazaji hongela umejitahidi sana
Libwataaa jmn
Inamaana hata ww baba ymo amewekewa limbwata na mama yko ? Mbna mpka leo wapo wte wanaish🤔⁉️
Hao watoto wana kiu na mali tu,hawana lolote ni njaa tu ndio inawasumbua,tafuteni vyakwenu,mali ya baba watoto inawahusu nini,tafuteni vya kwenu
Watoto wana haki zaid ww duniani na akhera
Mzee ni wajibu kuwa rithisha mali watoto wake wahalali
duh!!! hapa kazi ipo ila Allah awafanyie wepesi. Na pia sio jambo zuri watoto kuingilia mapenzi ya wazee wao kama mali ni zake mwenyewe na wao watafute zao wasitegemee za mzee
Haswaa mzee uko poa
Da kiukwel msingalie upande mmoja sir ya apo anaijua mungu na wao weny kila upand inamalengo yakee apo ila ipo siku yatakwish tuu mungu awaongozee hawa waislam wenzetu inshaall
baba hongera sana watoto wasikuhizi mbwelambwela weweulishawasomosha basi watoto wasikuhizi nishida tatizo tamaaaaazinawasumbua
Mmh,huyu mzee nae dish
Baba ume sema vizuri sana
Safi sana baba
ni kweli baba lkn watembelee wajiskie vibaya watoto ni mzee wao pia wakiwa na matatizo ktk ndoa zao uwape ushauri mzuri baba
Huyu mzeee anaongea point sana!!mtoto Hana haki. Kwenye kurithi labda itokee wazazi wameamua kuwaandikisha watoto basi! Huyu baba yuko sawa kabisa!!! Watoto muacheni baba yenu na mumuheshimu huyo mama kama mamayenu mzazi mtapata fungu Lenu siku Moja
Exactly
😂😂😁😂😃😃😄😅😅😅😆😆😆😅😄😃😆😆😆😆safi sana mzee hy mawanawake hayana akili na wenyewe watafute mali zao jmn
Hao watoto ni wajeuri sanaaa tena sana tena sanaaaa maaana ukiwaona tuuu utawajua kua ni wajeuri.
MZEE anajielewa nayukosahihi nawalahajawakataa watoto mtt akishaolewa bbhanamajukumu tenakwamtt wakealieolewa wtt wamuachemzee namkewe nawao wakae nawaumezao ibaki kutembeleanatuu hebutusomeni kuruan inatuongoza vipkwabb namtt aliekwisha olewa nawengine musitoe maoniyakishabikitu angalieni diniinaeleza nn musiwape sapotwatt ilihali wanapotea wasije wakapata laanabure watt wakaewamsikilize bbyaoanatakann nanawasihwatt wamuomberazi bbyaoinshalla mwenyezi Munguatupe taufiki
Baba ametulizwa hapo huba zashinda uchawi afu baba mwenyewe bado adai😁
Wao wataka kumueka kama kizere baba bado hajachemsha huyu yuko proper
Jamani nyie watoto muogopeni ALLAH hivi mmemuacha Mzee hakuswali Ijumaa nyinyi hilo mtaenda kujibu. Huyo ni baba yenu na nyinyi ni waislam na kunasherie ya dini Mzee akifa sheria ya dini itagawa mirathi sasa haraka yenu ya nini.
Kuhusu urathi mzee ni lazima awape watoto wake ikiwa niwa halali, asiseme haiwahusu. Wana haki kwa hilo. Shukran
Awape urathi kwani amekufa
Ni.Zanzibar halisi.mzewagu.salam.kutoka.marekani.usiwatu.pewanao.
Wana rahana awo watoto
Hahahahaha wao wajue za zaume zao na Mimi na mke wangu basiiii... Baba umenena hao watoto wanalana na watapata Lana na Mzee acha usia wamali kabisa watakuuwa wanao uache watu wauwane..... Baba Wa taifa hongera sana kwa busara
mzee wao ana mali nyingi lkn inavyoonekana hawapi taarifa wanawe juu ya mali hizo sasa wanahofia endapo mzee akifariki watazulumiwa urithi wao.
rashid suleiman ...ndio wana tamaa...mungu kasema mali na watoto ni fitna..na fitna zenyewe ndio hizoo...akifa urithi watapata kwa sheria ya dini
Watafute zao wasimuombee mzee afe Mali si kitu mzee wao ndio wamwombeee aishi maisha marefu
At pengine wao wamebadilisha dini. Tatizo hili liwe funzo kwa wale wote wanaoacha kujituma eti kisa baba ana mali na wale wajukuu wanaotamani mirath za babu na bibi zao iliha babu, bib, mama na mama au baba zao wapo hai. Tumia rasilimali za wazizi kutafuta cha kwako tengea bado mdogo ili ukiwa mkubwa unusurike na kumpangia matumiz mzazi wako.
rashidmohamed omar uyo mzee kamuoa uyo mkew hana kitu mpk saiv kawa na mali wana chuki binafs
Mnaosema HAWA watoto wabaya angalieni hill jambo kwa undani, he na ndugu zake wa KUZALIWA naye woote asiwepo walau moja anayezunguza la hero upande wa mke wa MZEE Mcha. Sisi kwenye familia yetu yalitukuta kwa kaka yetu. Mpaka wazazi wakati wa uhai wao waliingilia kati na mpaka wore wanafariki hapakuwa na jawabu. Usiombe kujua mke wa kaka alivyoruchrukia baada ya kuona wazazi wetu hawako tena. Ndo na mambo ya uchawi kaweka waziwazi. Sie kila MTU alikuwa na Mali zake na familia take. Hata mashemeji ndugu za mke walimuhurumia kaka yetu alivyokuwa akitendwa na mkewe, yaani Hugo Dada yao. Tena bila kujali kuwa NI Dada yao walidiriki kushirikiana nasi ili kunusuru kaka yetu mikononi mwa mke wake bila mafanikio maana siku zote kaka yetu alitushinda kwa kuwa kile mke anaamua yeye hakuweza kupinga. Uzuri hata watoro wao waliona jinsi baba yao na ndoa ya mateso kutoka kwa mama. Watoto wao hawakuweza, walipoanaza kukua walijaribu kumpiga mama yao baba aliwakataza kwa maneno makali tena akiwatishia kutokuwa na radhi nao. Kaka yetu kafariki wiki 2 zilizopita. Mke kamzika Jmosi LAKINO siku ya JNNE kamtia mtoto rumande aliyeonekana kutetea baba wakati wa uhai wake. Ninapoandika hapa huyo mtoto huko ndani.mambo duniani yako makubwa SAA nyingine yanazidi hata ya kuzimu inategemea wanaosimamia utekelezaji ujasiri wa kuzimu KIASI gani. Sisi WiFi yetu hana habari na wazazi wake wore wawili na wakijaribu kumkanya matendo anawatamkia wazazi wake kuwa NI wachawi. Mke wa kaka yetu mchungaji alimfukuza kanisani na alimpiga marufuku asionekane kukanyaga eneo hilo.kaka naye akaamua kuondoka na mke wake. Mambo NI makubwa siwezi hapa kuwaelezea, bado tuna uchungu, kakakweli kafa sio kwa muda wake, LAKINO Mara moja mateso yamehamia kwa watoto. Tunajisikia vibaya. Serikali haiamini uchawi, ndo maana huko kuzimu wanabuni mbinu za kutekeleza kazi za shetani duniani KIASI kwamba KIASI kwamba suala litalapowasilishwa kwenye Sheria bado watendaji wa shetani wataonekana kuwa washindi.
Asalam alikum warahmatullah wabarakatu
254
Nimesikiza bando zote mpili kwa watt na baba lkn kwa baba yy asema wanawe wakae kwa waume zao na ukiangalia watt wa mke wake ako nao na wana watt kama wanae mbona hawaambi waende kwa waume zao na lakushanga mpaka wajuku wa mke wake wako hapo hapo wanaoshi kwa jicho la tatu kuna kitu tena cha wazii kabisa
Kabla ya kucoment ni vzuru tuangali part 1 and 2 maana mm nahisi amerogwa mzee haku chingine
Jaman huyu baba mtihan wamuache tu😂😂
Wewe mwelekeo wako kulingana na maneno yako hutaki kujua kuhusu wanao umempa mkeo kipao mbele zaidi huwashirikishi wanao na msaada unaopendeza zaidi kwa Mungu niwakizazi chako sio miskitini wala watu wa nje mwanzo wasaidie wanao uwashughulishe katika mambo yako uwe karibu nao yote haya yatakwisha
Baba nmekupenda bure kwa majibu yako umewakomesha sheeeenzi zao
😂😂😂 baba tajili ami mi ningemteka 😁😁😁😁
Mzee uko sawa kabisa! Watafute za kwao! Ukitonga hapana. Waache u zezeta
Mzee karudi kwa wanawe
Sasa kheeeri kuko shwari
KVTZ mnalo hiloooo
Mashaa allah
Mungu pekee ndie anajua ukweli wa hili jambo, tusihukumu kwa kauli ya huyu baba.Hata mama anaweza kuchezesha vichwa vya hiyo familia.kutekwa baba anaweza panga hata huyo mama ili mzee achukie watoto.Pia watoto wamuombe mungu aoneshe ukweli uongo ujitenge.Wampende mama yao kama vile mzazi.
Point
Yaliobaharini yasubiriwe ufukweni,
Mitihani mengine ni hatari Ila Allah atunusuru na Imani za kishirikina
Allah alete ufumbuzi juu ya ukweli wa Mzee huyu na watt wake na jamaa zake Ammin
Awa ndio wazee wa Zanzibar 😂😂😂
safi sana
Duh wababa jaman tuhurumien watt wenu jaman
🙄🙄🙄🤔🤔mtihani Subhannallah ☹️ mmh Bora ya Mimi Baba yangu amenikataa nashuhudia Tu Mali zake mitandaoni😭☹️na hata kama ningelelewa na Baba......sidhani kama ningekodolea macho mambo ya kijinga kama hayoo😏Kwa sababu hata mama yangu walizaliwa wawili Tu Ila mjomba kashatangulia sasaa miaka 7 na mama ana nyumba aliicha Bibi na babu ya maana Tu Ila pia sina Mda nao Kwa maana ninajielewa natafuta vya kwangu Kwa Ajili ya mwanangu now yupo mmoja miaka 10 na wengine nikijaaliwa Kwa sasa NI singo Maza😢 na Sisi tupo wawili Tu Mimi na Kaka japo tulizaliwa 7 wenzetu wametangulia .Kwa sasa nipo zangu Oman Nina miaka 4 nimeanza kujenga Kwa jasho langu Kaka nae ana kwake na ana Mali zake mashallah, hatuna tatizo na mama yetu kumkaba koho hela hela wala nini tunamuacha ale jasho la Baba Ake Sisi halituhusu.Sasaa ninyi nawaona wa ajabu Sana aisee 😬
Mzee anaongea sawa ila pia anakosea, hapa dunia mke muhimu watoto muhimu zaidi maana ndio dumu yako, huu ni mtihani Mzee anao ila hajaangalia kwa makini zaidi,jiulize kwann watoto wa mke wake wanafahamiana na hakuna baya wala matatizo ila kwa watoto wake Mzee kuna matatizo na ni wabaya na ugomvi kila siku ukiangalia huu mtihani ulivyo unajua tu kuwa ipo naona, watoto wa wakija nyumba inakosa amani ila wale wanaoishi pale hawana kosa fikiri sana ndipo ukoment mzee apate washauri wazuri juu ya familia yake na ajue wale ni watt wake wana haki kwake kwa kila kitu na mke pia ana haki kwake, inaumiza sana unapoona mzee wako anahudumiwa na watu Wengine wakati ww upo inaonekana watoto wa mke huduma za kawaida zote za mzee wanafanya wao maana mke kwa muonekano tu huwezi, ila mzee ana mtihani sana,nyinyi watoto wa mzee kaeni chini muyaongee kuhusu mzee wenu na mtafute njia sahihi, Allah atawsadia inshaallah
Wewe mzee mke na watoto ni vitu viwili tofauti,, mke utamuacha na ataolewa na mtu mwengine,, usiwadharau watoto wako,, hata kama wanamtukana mama yao wa kambo usiangalie upande wa mke wako tu na wanao wape sehem ya maisha yako
Hemm na wamuwache n mkew
Mzee yupo na akili zake na uzima wake hawa watoto hawana akili wanafanya imani za kishirikina tu Hamna lolote
Mama wa jambo ni mama na mjukuu wa mama wa jambo ni mjukuu wa baba pia
Huyu mzee ana akili zako jamani anazungunza kosept tupu
Kweli mzee uko sawa. Lkn ujue hao ni wanao nawana haki kukurithi.
Hao watt wote ndo wawe wabaya jaman hebu tumien akiliiiiii..
hata akiwakana duniani ila kesho akhera watalipa
Inapendeza mbaya maana nawafaham vzr sana hawa watoto enz hizo walipokuwa wakiish pale michenzani Block number 4
But sijui ata kuna jinamizi qan kati yao.
Yarrab tuepushe na mifarakano ya namna hii
Loh uyu baba karogwa kweli Mimi baba angu anamke na sisi katuozesha lkn wanawe anatujali kuliko mkewe hahaha apo eshima akuna kwa mana huyo mama anapewa kichwa na uyo baba
Mmh..hivi kweli unaelewa unacho andika?
walikuteka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
SubhaAllah
Dini yetu yakiislamu inatwambia Mali na Watoto ni fitna.
Mali
Watoto
Na mke
,,,,,na wake\ mke pia fitna!!!!
Naugana na mzee hapa sinza kuna mzee anamiaka 95 watoto wake wa kuwazaa walimfukuza kwenye nyumba yake baba yao. Lakini Mungu ni kamsaidia kusimamia kesi mahakamani na mzee yule ameshinda kesi na nyumba amekabithiwa
Uko Sawa mzee
Si dhambi mzee kuwaarifu watoto wako katika mipango yako!!!
Watu wameeka mbele tamaa tu, wana nguvu wana waume pia ila still wanaakili mbovu
Mzee yupo sahihi kbsa anatka akae n wife
Mtekeni tena huyu mzee😂😂😂
Hakika ya malizenu wake zenu na watoto wenu ni mtihani kwenu.
Baba uko sahih
Amina 1999 Khamls1111 Yuko sahihi kabisa.
subhana llah nilisema vidio yapili kuwa hawa watoto wanaonesha waongo wanamchukia mama yao looo wanatafuta kujitwika chupi kichwani baadae waseme mamayao wakambo kawaroga kumbe wamejiroga wenyewe kwa razi ya mzazi wao
Uyu mzee ameshafanywa msukule nahuyu bibi hasikii haoni hhhhh
Mzee uko sahihi kbsa...na wanawe walisema eti ana matatizo ya akili lkn mzee anaonekana yuko sawa kbsa na haoneshi akiwa na matatizo jamani watoto acheni thana mbaya kwa alio eleza huyu baba yani yuko sahihi wabaki na waume zao na yy abaki na mkewe...mie nawaombea Allah awajalie maskilizano mema inshaallah
mzee kasha pewa limbwata
Wamuwache baba yao karidhika na mkewe