MANSOUR HIMID AVUNJA UKIMYA ATOA KAULI NZITO KUIMALIZA CCM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 19

  • @AbdulMajidi-i9m
    @AbdulMajidi-i9m 27 днів тому

    ccm wana laana kw uwezo wa mungu mwk huu mwisho wao😊

  • @KhalidiBakar
    @KhalidiBakar Місяць тому

    Freedom zanzibar 2025❤

  • @SalumRwambo
    @SalumRwambo Місяць тому +2

    Msijihangaishe zungumzeni lakini Mwinyi mitano tena

  • @abufeiy
    @abufeiy Місяць тому

    Ok,kwahivyo umeangalia Nenda basi na wewe kama rahisi

  • @mohdsalim7866
    @mohdsalim7866 Місяць тому +1

    Itafika mahala umkimya utavunjwa nafikiri 2035.

  • @adaNahimana-y7b
    @adaNahimana-y7b Місяць тому

    Msisahau Hâta Wapalestina Wanakubali kufa ni Kwaajili Ya Kupigania Nchiyao

  • @ShauriAli-o5y
    @ShauriAli-o5y Місяць тому

    Haw madalali wa zanzibar ccm marahii vyovyote waondoke

  • @abufeiy
    @abufeiy Місяць тому

    Broo,mimi sipendi kuona watu na akili zenu na mnadananywa kama Madubu na haohao wanowaona Madubu ndio waliokuwa wizi wa mali za Serekali na Raia pia kwahilo siwezi kukaa kimya,Halafu Kama unanihisi mimi nna njaa hebu angalia profile yangu halafu ujiangalie wewe kabla hujasema sawa?

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Місяць тому +1

    ww ulipiga sana pesa zetu wakati ule ss inatosha

  • @abufeiy
    @abufeiy Місяць тому +1

    Mnafiki mkubwa mbona hukusema wakati ulipokuwa unaiba wewe na shemegi yako???

    • @MohdJuma-w6l
      @MohdJuma-w6l Місяць тому

      Jmn ww si ulisema hutaki kusikiliza mambo ya hovyo kilichokuleta huku nn tena? Ukasema unapambana na maisha kumbe mshamba mmoja2 njaa tupu

    • @KhalidiBakar
      @KhalidiBakar Місяць тому

      Halafu anadai eti tazama profile yangu wangapi wanapiga picha navitu vya watu unaweza kusema ni vyakwao siasa za zanzibar ni kama maji usipo yanywa utayakoga au yakitiririka lazima uyasikilize hizo ndizo siasa za zanzibar 😂😂😂😂😂

    • @abufeiy
      @abufeiy Місяць тому

      Broo tizama hizo picha zimepigwa wapi sio simepigwa na vitu gani

    • @KhalidiBakar
      @KhalidiBakar Місяць тому

      @@abufeiy ah kumbe bado hadileo unaishi maisha yakishamba picha ndio nini Mimi mwenyewe nimeowa mzungu Nina watoto wawili na kwasasa nipo lose Angela California kama wewe unaona eti nafahari watu washatoka uko ayo kawaida tu haijalishi upo wapi bro 😂😂😂😂

    • @KhalidiBakar
      @KhalidiBakar Місяць тому

      Hata south Africa wazungu wapo😁😁😁😁