Nyayo za Mwai Kibaki

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лип 2024
  • Na katika kile kinachoonekana kama histori kujirudia, tunalinganisha hatua ya kufutilia mbali baraza la mawaziri aliyochukua Rais William Ruto hii leo na mkondo aliochukua hayati Rais Mwai Kibaki ambaye pia aliwafuta mawaziri na mawaziri wasaidizi mwaka wa 2005. Sawia na mtangulizi wake ambaye kushindwa kwake kwenye kura ya maamuzi kuhusu katiba mwaka 2005 kulionekana kama kura ya kutokuwa na imani na serikali yake, Rais Ruto amekuwa akipata shinikizo kubwa kuhusu utendakazi wa serikali yake huku wananchi wakionyesha kutoridhishwa kwao na serikali

КОМЕНТАРІ • 67

  • @djkool5991
    @djkool5991 Місяць тому +21

    To be honest if he continues with the same consistency he may atleast reach 2027 as president.

  • @rihkaa6289
    @rihkaa6289 Місяць тому +8

    We may not forget what you have done to us 😭but ruto you are still our president,, so do your best to deliver the best but first release those protestors you are holding in the cells and without charges.

  • @DamarisWangui-xq5wd
    @DamarisWangui-xq5wd Місяць тому +5

    I wish ni mpigs wamenda hope aky anyway our president you have to do more mbn mudavadi amebaki

  • @YunisVanisa
    @YunisVanisa Місяць тому +11

    rais amefanya vizuli sana kuafutilia mbali hao watu

  • @charlessiguna859
    @charlessiguna859 Місяць тому +8

    Nyayo gani za kibaki, labda kisigino tu😂
    We want new cabinet condensed to 14 and comprising of professional expertise not sycophant politicians who don't comprehend their mandate. Sasa Nakhumincha surely,

  • @dubabaxakatv2993
    @dubabaxakatv2993 Місяць тому +7

    Amejaribu sana...sasa police,boss dci boss resign aje mandungu zetu wanapotezwa kila kukicha????halafu bado vunja bunge sasa

  • @The_sultans
    @The_sultans Місяць тому +10

    😂😂😂😂Alhamdulillah🎉

  • @mohamedmustafa2656
    @mohamedmustafa2656 Місяць тому +2

    Kweli kabisa raisi amejaribu sana

  • @davidkamau8317
    @davidkamau8317 Місяць тому +3

    😮 lakini hakuafuta wasaidizi kama kibaki

  • @mutiojunior
    @mutiojunior Місяць тому +1

    Kidiki hiyo sauti yako sasa pelekea bibi yako💪💪

  • @daviessimiyu7259
    @daviessimiyu7259 25 днів тому

    Ruto mast go go go

  • @josphatmogaka8668
    @josphatmogaka8668 Місяць тому +1

    Mwai Kibaki did it from his heart, Ruto was forced.

  • @peardselrvssian6292
    @peardselrvssian6292 Місяць тому +2

    You see kibaki didn't read his speech at first unlike these other ones

  • @paulwambugu-pk2eu
    @paulwambugu-pk2eu Місяць тому +1

    mudavadi pia must go

  • @pattiz4876
    @pattiz4876 Місяць тому

    Ruto must go

    • @eunicesang1704
      @eunicesang1704 Місяць тому

      Nonsense unapenda kuongea matope ata ujui kitu unacommet

  • @elishatotolela3843
    @elishatotolela3843 Місяць тому +2

    Now I support you my president for listening to your people. The remaining part give directions to constitutional bodies to investigate and prosecute people who have stolen public money

  • @NancyNjoki-w4o
    @NancyNjoki-w4o Місяць тому +6

    Inaoekana zakayo ameanza kuwa musa😂😂😂😂

    • @winstonokoth965
      @winstonokoth965 Місяць тому +1

      Na bado

    • @winstonokoth965
      @winstonokoth965 Місяць тому +1

      Wamekuwa wakigawa Kenya kwa makabila,makabila wamejua adui yake Sasa nahawatatugawa tena

    • @jjclara668
      @jjclara668 Місяць тому +1

      Wakenya waongee swahili in public functions slowly tribalism go end

    • @NancyNjoki-w4o
      @NancyNjoki-w4o Місяць тому

      @@winstonokoth965 wamejua kikulacho kinguoni mwao 😂 😂

    • @NancyNjoki-w4o
      @NancyNjoki-w4o Місяць тому

      @@jjclara668 ndio kieleweke ama pia yy aanguke nayo 😂

  • @shukrishuu9672
    @shukrishuu9672 Місяць тому +1

    Nilikua deep state ya obako niwasaidie aje in shaa Allah??

  • @abdullahiomar1687
    @abdullahiomar1687 Місяць тому

    Obako was legend,he didn't from papers 😂😂😂

  • @dominickrono4937
    @dominickrono4937 Місяць тому

    Remember what he said when he was at Nyeri funeral"My government is like for the late Rais Mwai Kibaki" now that it's confirmed

  • @user-ju5jz3rj9y
    @user-ju5jz3rj9y Місяць тому

    See more about Joseph,

  • @user-ju5jz3rj9y
    @user-ju5jz3rj9y Місяць тому

    Hon Joseph itaaba, more inforce profile y,

  • @user-ju5jz3rj9y
    @user-ju5jz3rj9y Місяць тому

    Joseph see more about,😮😮😮😮😮😮😮

  • @SEMSE-FELIX
    @SEMSE-FELIX Місяць тому +1

    He is on denial that nothing is working

  • @user-ju5jz3rj9y
    @user-ju5jz3rj9y Місяць тому

    Joseph itaaba more inforce profile picture update,😢😮😢😢😢😢😢

  • @alphyzqrw7222
    @alphyzqrw7222 Місяць тому

    Ata pia hii Machungwa afutwe kazi

  • @ceciliacodawa
    @ceciliacodawa Місяць тому +1

    Neema

  • @MoraaRichard
    @MoraaRichard Місяць тому

    🙏🙏🙏🙏

  • @EdwinKiprotich805
    @EdwinKiprotich805 Місяць тому +10

    No, no NOOO ruto must go ...

  • @JacksonMwirigifanta-ow5gu
    @JacksonMwirigifanta-ow5gu Місяць тому

    Usikubali kuanguka peke yako 😮😮angukuka na watu kama Ruto

  • @DentalCity-bf7ke
    @DentalCity-bf7ke Місяць тому

    I hope he put no politicians there

  • @user-mb8jj1qq9c
    @user-mb8jj1qq9c Місяць тому +1

    Too late iyo sio suluisyo

  • @jairuscr7310
    @jairuscr7310 Місяць тому +3

    Ruto usifikirie unabaki hapi pia wewe unaenda ,verysoon ,

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj Місяць тому

    Hahaha nyao gani hizi 😂

  • @susanjepkoch3359
    @susanjepkoch3359 Місяць тому

    😂😂😂😂

  • @Cuel_01
    @Cuel_01 Місяць тому

    ruto is annoying and unprofessional

  • @joshuawambua378
    @joshuawambua378 Місяць тому +6

    Ruto must go

  • @user-ju5jz3rj9y
    @user-ju5jz3rj9y Місяць тому

    Hon Joseph itaaba, more inforce profile y,

  • @ceciliacodawa
    @ceciliacodawa Місяць тому +1

    Neema