Hadhi alopewa hapo inaonesha kuwa, yeye yupo juu kuliko kamati ya bunge ilomwita. Kamati imekaa inasubiri yeye mwenye kuhojiwa, na wala si yeye awepo hapo asubiri watakao mhoji. Itifaki ime zingatiwa.
hawajatoa habari ya makonda wametoa habari ya kilichotokea kwenye kamati ya bunge ,lakin makonda akifanya jambo lake kama kutekeleza majukumu yake kama mkuu wa Mkoa hawatariporti kama ikatokea jambo fulan ambalo linamhusu mkuu huyu lenye taswira ya kumkosoa basi litaripotiwa .
Relax RC wakimaliza kukuhoji na wakatoa ripoti, rudi kachape kazi kwa Kishindo mpaka, yule pastor uliye mkalia koo avimbe, wanahabari, na wanao kuchukia WAPASUKE
hivi kweli bungee Lita muadabisha au ataendela kulindwa
raha sana ukiwa na Mb.
Ally faraji sana baba
Ally faraji sana baba
Ndugu unaanza kutamba tena au ndo nyie mia tano mnaiita jero..
Wapo kweli baadhi wa wabunge wanalala kweli
Hadhi alopewa hapo inaonesha kuwa, yeye yupo juu kuliko kamati ya bunge ilomwita.
Kamati imekaa inasubiri yeye mwenye kuhojiwa, na wala si yeye awepo hapo asubiri watakao mhoji. Itifaki ime zingatiwa.
Angefungwa Kwanza, Alafu ajitetee badae, yeye ndivyo alivyo wafanyia wenzake.
saved jackson hapo umenena ndugu
ndezi hao kwani awalali kweli bungeni.tena makonda anisahau kuwaambia wanapiga mipasho tu. makonda kachape kazi kweli kweli
Habari za huyo mlikubaliana msitangaze vipi tena unafki au
Joram Manyika wametangaza kwa niaba ya kamati ya bunge sio makonda
Rajab Omary maudhui ya kikao hicho NI Nini ama NI Nani ? akili ziamke
Watanzania wote tunajua kuwa baadhi ya wabunge wanalala bungeni kwasababu kasema adui yao MAKONDA ndo imeonekana kosa #UKWELI UNAUMA 😏
episode ya ngapi hii tena..
Bruce Chonjo ya name baba
hii ni behind the scene
hawajatoa habari ya makonda wametoa habari ya kilichotokea kwenye kamati ya bunge ,lakin makonda akifanya jambo lake kama kutekeleza majukumu yake kama mkuu wa Mkoa hawatariporti kama ikatokea jambo fulan ambalo linamhusu mkuu huyu lenye taswira ya kumkosoa basi litaripotiwa .
mmmh hawana jipya na tarfa zke tuta pta tuu wamebug
ukweli unauma tu.ila kweli baadhi ya wabunge kazi kusinzia tu wakiwa bungeni
na kupija mabenchi afadhali makonda na ww umeliona ilo
Kazi zake tu ndio hazitangazwi, Hiyo ni habari ya mashtaka na ndio tulio ingoja mda mrefu.
Kuna watu nao ni mandezi humu,nawaona tu
me nasubiri nijue wanasiasa walivyo
😂😂 mgomo mchezo mtakula wapi? Leo kila kona Makonda , RC Makonda maji usipoyaiga utafanya,
Makonda ni mchapa kazi bwana....waTanzania tunayo akili
Wabunge wa cmm wananalala kweli tunawaona nasikulala kwausingizi wabunge wasiolala niwabunge wachama chaupinzani hao uwa hawalalagi kabisa nawao ndo watoa oja bungeni wabunge waccm wakiamka tu utasikia taahari wanakrupukaga usingizini hawaelewi kinachoongeleka wao wako tharf zakupinga hoja za wapinzani nakupgia makofi taharf za zawanaccm wenzAo namuunga makonda mkono kwaili yupo sahh
lakini mbona mulisema hamtoi habali yake
tulia ww
joel joel tuliza
Relax RC wakimaliza kukuhoji na wakatoa ripoti, rudi kachape kazi kwa Kishindo mpaka, yule pastor uliye mkalia koo avimbe, wanahabari, na wanao kuchukia WAPASUKE
Sonjohn W. Joram nani amuachie a relax? KAZI ATAFANYA NA UPUMBAVU ATAACHA.
Makonda kama maji 2 ucpooga utakunywa walikulupuka kuzungumza walichozungumza.
Seleman Kindamba yaap yap
nyie pia mnaosema hawajatoa habari za makonda mnaupungufu was fikra sana
kwan uongo hawasinzii? mbona tunawaona kwa macho yetu? kusinzia kupo kwa aina nyingi na sisi huwa tunaona.
HAWA WANDISH VP XWALSEMA HAWATATOA HBAR ZNAZO MUHSU MKONDA
huoni ni kuhusu bunge kwani ni habari binafsi ya makonda
muwage waelewa muda mwingine msiwe vichwa maji hiyo ni habari inayohusu kamati ya bunge
ata kama inahusu bunge, ila habari likiisha tajwa jina la Mkuu huyo wa mkoa basi habari inamuhusu maana yy ndo muhusika