Subhannallah! Khery siri ; bora afya na uzima. Sababu ya dhahiri shairi inaumiza hususan kama unaongezewa wapili... In sha Allah Allah atuongoze katika sunnah za Mohammad (SAW) pia za kufunga Jumatatu na Alkhamis In sha Allah! Saum Maqbool kwa wenye Saum!
Mashekhe mnatuchanganya ss akiowa kwa siri huo uadilifu uko wapi na wanaume hutudanganya kuwa wamepata kazi za usiku mtu atakukimbia miezi iliopo halafu siku ukijua itakuwa sw hapo au ndio tutaonekana wanawake ss ndio wakorofi kweli hio nihaki baadhi ya wanaume wamekuwa waogo kuliko sie wanawake
Asalam alaikum sheikh wangu kuna mwanamke wakizungu kanipenda nimuowe yuko tayar kislimu ila na mimi nna mke hapa anasema kwao hairuhusiwi kuwa na wake wengi kwaiyo mpaka ipatikane karatasi inayosema mimi sijaowa, je nifanyaje sheikh ?
Tupendane , Tuoane , tusitiriane wake kwa waume tuzaliane watoto wa halali > Lakini tueni makini Suala lakuoa Mashahidi nikitu muhimu na ihishimiwe ndoa hiyo kwani kunauwezekano wa malumbano
Je hao wa dini nyengine wanachangia na vimada wangapi? Ni kher yetu sisi unamjuwa official unaechangia nae kuliko hizo dini zenu na vimada kama wote. Am proud 2 be a muslim
@@IzudinAlwyDin Mtume S.A.W amesema haiswihi Ndoa isipokua na Walii sio? Sasa kama ndoa ya kwanza alifungishwa lakini hakua na Walii alikua na Mashahidi tu baada ya muda akaachika.. Ndoa ya pili sasa akitaka kuolewa je kwenye Cheti cha Ndoa kitaandikwa ndio ndoa yake ya kwanza kwa vile ile aloolewa mara ya kwanza hakua na Walii na imesemekana haiswihi ama Cheti kitaandikwa ni Ndoa ya pili? Natumai umelifahamu swali langu Ustadh. Naomba majibu yako please tuelimike wengi shukran.
Kwenye clip hii wasema ni ruska kuowa mke wa pili bila ya wakwanza kujua au hata baba yako.... name clip nyingine wasema kuowa mke wailing ni mpk update ruksa yani umwambie was Kwanzaa kuwa wat aka kuowa sasa tush ikebana lipi hapa shk. ..... maaana umeeulizwa na muulizaji kuwa ataka kuowa Ila wakwanza asijue na umesema ni ruksa
Yaseen Kara nafkiri hujafahamu . Mume kuoa silazima ruhsa yamke wakwanza wala wazazi wake mume . Lakini nilazma mke anae muoa apewe idhni na wazazi wake na kuozeshwa na wahusika wamke atakae muoa .
Mashaallah mashaallah Allah kulipe shekh wetu kwa ufanunuzi
🤣🤣🤣Kumbe watu watamani kuoa kwa siri lakini huchaaa.... Hii kali sana
Subhannallah! Khery siri ; bora afya na uzima. Sababu ya dhahiri shairi inaumiza hususan kama unaongezewa wapili... In sha Allah Allah atuongoze katika sunnah za Mohammad (SAW) pia za kufunga Jumatatu na Alkhamis In sha Allah! Saum Maqbool kwa wenye Saum!
Allahumma Aamiin Yaa Rabbil Aalamiin
ALLAH barik shekh wangu
Allah akupe umri mrefu uzidi kutujuza
Shukran shkh.....jazakaallahu kheir
Hahaha msemaa kweli n mpenz wa Allah kweli
Nice teaching
Tafadhali Usisahau kuisabscribe
Channel hii "UPENDO KWA WOTE"
1.Aina za UTAPELI wa waganga
👇
ua-cam.com/video/bN3XdCAYqlw/v-deo.html
2.Uchawi ni kutapeli kisaikolojia
👇👇
ua-cam.com/video/DQ89QIFflJY/v-deo.html
3. MtaaLamu wa Afya Muhimbili anazugumzia Uchawi
👇👇👇
ua-cam.com/video/qYi03KFplwQ/v-deo.html
4.Aliyekuwa mganga wa kienyeji Aupinga Uchawi
👇👇👇👇
ua-cam.com/video/hn3qbopSTJA/v-deo.html
5.Allah anawasaidia waislamu wakweli wasilogwe
👇👇👇👇👇
ua-cam.com/video/apmj-63Gm0o/v-deo.html
6.Ujinga Katika Uchawi
👇👇👇
ua-cam.com/video/soDAWj3UF_I/v-deo.html
7. Utapeli wa wachawi na nguvu zingine
👇👇👇
ua-cam.com/video/uYsGx2f_UgE/v-deo.html
8.Waganga wadanganifu wanafuatiliwa
ua-cam.com/video/NAypDZLqKec/v-deo.html
Duuh Allah atuongoze mana wivu nao
Duuh hatar ndio ya siri inamashaka
mashalah. nimejifunza
Ukosawa shekh
Sheikh kweli kufanya mambo wa siri raha sanaa
THE BIGGEST BOSS NASRI
Basiii ndiomtume alimuzesha mim sio mtume mpaka niozeshwe opo
Ndowa bila walihii sio ndowa
Siku utazigawa vipi mtu akioa kwa Siri,je uadilifu utapatikana hapo
Jazakallahkhery
Hehehehehe yafaa dooooh mtihani kwa wengine huo Sheick
Ni raha lakini mtu Akiwa akifa Yule mume pale ndio hutokea balaa sasa wale wanawake kila mtu ataka mali hapo
Ilikeit
Ahsanta sheik izzudin Alwy mambo kama hayo😁
Nina swali sheikh je kuolewa na mume lakini mshahidi wawe c watu wa mume hio ndoa iko sahihi au hmna ndoa
Jengine umeoa kwa siri imetokea umauti kwa mume jee familia kubwa watakuja kuamini kua marehemu alikua na.mke mwengine?
ماشاءاللہ
Ata Mimi sasa naenda kufanya ndoa ya siri
Sheik na jifunza menga jaza kalahu qer
😂😂😂 Shukran sheikh
Mudhirr Azaab mashaall
Mashekhe mnatuchanganya ss akiowa kwa siri huo uadilifu uko wapi na wanaume hutudanganya kuwa wamepata kazi za usiku mtu atakukimbia miezi iliopo halafu siku ukijua itakuwa sw hapo au ndio tutaonekana wanawake ss ndio wakorofi kweli hio nihaki baadhi ya wanaume wamekuwa waogo kuliko sie wanawake
Mashaalh
je yafaa kumkataa mwanamke wakati umeshaenda kwao , na km inafaa huyu mwanamke akikuapiza maapizo yale yanaeza kukupata
MASHALLAH ALEIK
hahaha ustadh pia ww wathamani
naam
Shekh mm nimepata mchumba na maandalizi yote yamekamilika ila wazee wamenikatalia kwasababu ni mtu wa Tanganyika naumia sna
Wazanzibar hii dhambi ya Utanganyika na Uzanzibar inatawatafuna sana. Mnachukullia kana kwamba watanganyika ni makafiri
Usifos ndugu me nilifos kuoa uko chamoto nimepikata mungu hawanusuru
Hakuna lolote wazanzibar wana ujinga wa kuwabagua wa bara kwa mambo meng2
Richard Vintan ulikutana na changamoto gani kaka?..
Shukurn
Nice
😂😂😂
😁mashaallah
swadakta
Mash ALLAH
MIMI SIO SHEIKH IKIWA HANA WALII KIVIPI LIWEKE WAZI SUAKA LAKO
Hapo SASA
Asalam alaikum sheikh wangu kuna mwanamke wakizungu kanipenda nimuowe yuko tayar kislimu ila na mimi nna mke hapa anasema kwao hairuhusiwi kuwa na wake wengi kwaiyo mpaka ipatikane karatasi inayosema mimi sijaowa, je nifanyaje sheikh ?
hapana mtume ameowa kwa siri ambao haitwi siri manake anasema akiulizwa isitoshe watu wote wajua
ni kero ndoa ya siri
Sasa wampinga shekhe tatizoekwako sio hio siri wewe hta hio thahiri hutaki
@@abdallahmuttaq7306 😂😂😂🙆♀️
Assalam alaikum
Mashaaallah shee hiyo ndoa safi sanaa
Tupendane , Tuoane , tusitiriane wake kwa waume tuzaliane watoto wa halali > Lakini tueni makini Suala lakuoa Mashahidi nikitu muhimu na ihishimiwe ndoa hiyo kwani kunauwezekano wa malumbano
Maashallaa
Sasa sheikh ukioa kwa siri itakua mkeo.mpya humkalii.zamu?
Yale Yale ya mume kumuona siku Moja Kwa wiki Tena uck pekee baada ya kudanganya mkew kua anaenda night shift
Walii mtu yoyote ama Ni mtu maalum
Ni baba Wa binti kama amefariki kaka Wa binti
@@mselemseifkisuke8815 walii ni baba,halafu babu mzaa baba,halafu kaka, halafu baba mkubwa,halafu baba mdogo, fuata utaratibu huo
Hahaaaaaaa wanawake waislam mnakazi mnachangia uchi wa mwanaume hahaaaaaaa kwa heri waislam na makanzu yenu
Km hauna cha kucomment bora unyamaze2 cc wote n waja wa M/mungu upoo
Je hao wa dini nyengine wanachangia na vimada wangapi? Ni kher yetu sisi unamjuwa official unaechangia nae kuliko hizo dini zenu na vimada kama wote. Am proud 2 be a muslim
Nyie mtaa mzima unatembea nao hiyo sawa?
Mtume alioa wake wangap???
11
Dany Msinga hahaaaaaaa hakuoa alikuwa anawabaka tuuuuu
@@petromachanga29 🤣🤣🤣🤣🤣
@@petromachanga29 Inaonekana dini ya kiislamu inakukera sana broo!take care ila mola atakuongoza inshaallah
na je mtu akioa kwa siri bila ustadh wala kadhi na certificate mtu ataipataje ustadh
Certificate haihusiani na ndowa
Assalamu alaikum jamani naombeni namba za wasap za uyu sh
254772611120
Ata me nilikua nazitaka
@@husseinjumaa9335 ndio hizo hapo number zake ☝
@@ukhtysakinaa7664 Shukran jazzakkah Allahu khery.
@@hubaamuj5129 Afwan wa anta kadhalika
Kwahiyo Mtume swallallahu Aleysalaam kwahiyo hakutoa mahali, pia kuongea na wazazi??
Ally Mapinda mtume pekee aliruhusiwa kuoa pasi na mahar
Nihiyvo
Alitoa mahari kwa nini asitoe?
Km unataka nitafute 0714332027 nikueleweshe vzr
Huyu sheikh yuko msikiti gani jamani???
Mskiti shibu
kuoa kwa Siri kuna raha yake na madhara yake. Iwapo mume nimgonjwa nahujulikani? na mauti yakimfika? hapo Sasa ndio itakuaje?
kama n maut n qadar
Mcoast Coast hahaaaaaaaaaaaa wameumbuka
Assalaam Alaykum Ustadh Izudin... Mwanamke kama hana Walii nani atakua Walii wake? Shukran.
Kadhi aw shekhe kama sehemu anao ishi hakuna kadhi
@@IzudinAlwyDin Mtume S.A.W amesema haiswihi Ndoa isipokua na Walii sio? Sasa kama ndoa ya kwanza alifungishwa lakini hakua na Walii alikua na Mashahidi tu baada ya muda akaachika.. Ndoa ya pili sasa akitaka kuolewa je kwenye Cheti cha Ndoa kitaandikwa ndio ndoa yake ya kwanza kwa vile ile aloolewa mara ya kwanza hakua na Walii na imesemekana haiswihi ama Cheti kitaandikwa ni Ndoa ya pili? Natumai umelifahamu swali langu Ustadh. Naomba majibu yako please tuelimike wengi shukran.
Ali Mapinda mahali ndo nini?
Kwenye clip hii wasema ni ruska kuowa mke wa pili bila ya wakwanza kujua au hata baba yako.... name clip nyingine wasema kuowa mke wailing ni mpk update ruksa yani umwambie was Kwanzaa kuwa wat aka kuowa sasa tush ikebana lipi hapa shk. ..... maaana umeeulizwa na muulizaji kuwa ataka kuowa Ila wakwanza asijue na umesema ni ruksa
Yaseen Kara kama mkeo wakwanza uliwahi muuliza mara ya kwanza kakataa na wwe wataka kuowa waweza owa kwa siri mengine allah ya alam
Whatsap Muulize sheikh Izuddin +254 701 662152
Yaseen Kara nafkiri hujafahamu .
Mume kuoa silazima ruhsa yamke wakwanza wala wazazi wake mume .
Lakini nilazma mke anae muoa apewe idhni na wazazi wake na kuozeshwa na wahusika wamke atakae muoa .
Masha Allah, hata mimi ilkuwa sijaelewa mwanzo
Shkran sana
@shabiryomy