UOZO WAWAIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 277

  • @rizikinasetsi4155
    @rizikinasetsi4155 24 дні тому +2

    Mimi.ninachoona ni tofauti baba Mtumishi.....Kuna walioacha pombe na na kuokoka kwa nyimbo hizo na neno la Mungu halina mipaka .......Watu wanapokea popote......Hizo ni sifa za Mungu ....Aliyekosea arekebishwe .......Mungu alisaidie kanisa.....

  • @HumphreyNgunda
    @HumphreyNgunda Місяць тому +7

    Mungu akubariki sn Mtumishi wa Mungu hii ndy inijli ya Yesu Kristo Bwana

  • @sundaygambo3313
    @sundaygambo3313 Місяць тому +3

    Mtumishi unasimama na kweli, Mungu azidi kukutia nguvu kuhubiri neno lake bila kulichuja kama wengine..ninakufananisha na yule mchungaji wa kule nigeria..Kesiena Esiri. Hakika Mungu anataka tubadili njia zetu..turudi katika kweli yake

  • @happinessmchome9101
    @happinessmchome9101 Місяць тому +24

    Sijawai kusikia wimbo wowote wa marehem Fanuel Sedekia unapigwa bar au disco

    • @AghataMamba
      @AghataMamba Місяць тому +3

      Kweli kabisa

    • @InjiliyaUfalmetv
      @InjiliyaUfalmetv Місяць тому +2

      Nilipata Neema yakufunuliwa nyimbo zake zinautukufu kweli

    • @SebaProcess
      @SebaProcess Місяць тому +2

      Ila nyimbo kupigwa club sio kosa

    • @kelvinbinda8767
      @kelvinbinda8767 Місяць тому

      Vzr sana ndugu kumbe umeelewa neno kama mm

    • @kelvinbinda8767
      @kelvinbinda8767 Місяць тому

      Jiulize kwann hujapewa like hata1?

  • @georgekauma6432
    @georgekauma6432 Місяць тому +11

    Yes yes yes.
    Hii ndiyo injili ya kweli. Mtumishi sikufahamu Ila hii ndiyo habari njema iletayo wokovu.
    Aaminiye ataokoka na asiyeamini amekwisha hukumiwa.

    • @Nenolamaarifa
      @Nenolamaarifa Місяць тому +1

      Amen amen

    • @mcrichiewapekee
      @mcrichiewapekee Місяць тому

      Hakuna kanisa lililooza, ila nachokiona ni fahamu za wale tulioamini kuwa ni viongozi wetu wameharibika ufahamu na kufikiri waliitwa kuwaongoza malaika. Kama tunataka kuongoza malaika wasio na dhambi basi tuhamishe kituo tukawaongoza malaika mbinguni. Nasikitika kwamba injili ya Yesu watumishi wa namna hii mlishaiacha na kudhani kwamba ninyi mnaweza kuwabadilisha watu kuwa mnavyotaka, kama Yesu mwenyewe aliwafia hawa wenye shida hizi zinazosemwa na anawajua kuliko ninyi. Kazi ya Mchungaji ni kuifundisha kweli na kaxi ya kweli ni kuwaweka watu huru. Hukumu hizi za kwenye mitandao ni kuendelea kuichafua image ya kanisa na watumishi wengine. Hakuna kufika na hukumu zilizowahi kuwarejesha watu wabaya kuwa wazuri ila neema ya Kristo. Tito 2:11-12...Tuifundiahe neema na hiyo neema ikiingia kwa watu, ubaya utaondoka.....
      Kama tunawatakia wengine mema basi tusitumia anguko lao kujiweka kwenye nafasi ya utakatifu...kila mtu kuna mahali anahitaji.msaada wa Mungu....Injili si sheria ila neema ambayo yenyewe inatifundika kama lisemavyo andiko.....
      ..........................
      TUHIBIRI INJILI
      Yoh 12:32

  • @egidiusedgar5626
    @egidiusedgar5626 Місяць тому +6

    Amina mtumishi wa Mungu kiukweli unaongea yaliyo sahihi Ebu endelea kutulumbusha sisi wadhambi. Ni heri kumtukuza MUNGU ktk Roho na kweli...sema ili Tupone mtumishi wa Mungu. Naitwa Egidius kutoka kilungule mbagala

  • @GraceJohnson-f8y
    @GraceJohnson-f8y 9 днів тому

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu .Mungu akubariki sana

  • @marcelinoliheta8507
    @marcelinoliheta8507 Місяць тому +4

    Amina Sana Mtumishi. Waimbaji wa muziki wa Injili kwa nyakati hizi hawafuati maandiko wala mafindisho. Wanaimba mipasho zaidi na kujipodoa na kujichua.

  • @PatrickGeraldi-wd1er
    @PatrickGeraldi-wd1er Місяць тому +5

    Injili ya kweli.keep it up.

  • @RehemaElias-el3jg
    @RehemaElias-el3jg Місяць тому +4

    Ubarikiwe mch, waimbaji wabadilike wamtafute Yesu kristo

  • @ChristinaPhilip-r5h
    @ChristinaPhilip-r5h Місяць тому +4

    Hallelujah hallelujah 🙏 Sema tupone🙌

  • @MabelKaaya-hl2je
    @MabelKaaya-hl2je Місяць тому +1

    Nakuelewa Mchungaji, nasikia kuumia sana Kwa Hali hii mtumishi wa Mungu. BWANA YESU KRISTO AKUTIE NGUVU.

  • @RedentaMahessa
    @RedentaMahessa Місяць тому +7

    Mungu akubariki mchungaji . Sema kweli tupone. Hii ni injili yakweli .

    • @Nenolamaarifa
      @Nenolamaarifa Місяць тому +2

      Amenn

    • @magdalenarutta
      @magdalenarutta Місяць тому +1

      Asante mtumishi tuna kiu na Yesu kristo lakini tunavunjika moyo hubiri tupone yesu yu karibu

  • @victorymvlog875
    @victorymvlog875 15 днів тому

    Mungu akuweke utusaidie zaidi tuliopotea.Napokea hii injili.😢From 🇰🇪

  • @Gindi-v7g
    @Gindi-v7g Місяць тому +29

    Wakristo wakijua kile Yesu Kristo alipitia kutukomboa,alipigwa Yesu Hadi akaharibika sura, jameni tuache mzaha Kwa wokovu.

    • @NeemaPatrick-l3o
      @NeemaPatrick-l3o Місяць тому +4

      Kwakweli naumia sana MUNGU atuhulumie tu😭😭

    • @JeraldDasho
      @JeraldDasho Місяць тому

      😭😭😭😭

    • @magdalenapeter6106
      @magdalenapeter6106 Місяць тому +1

      Hakika ni kwel kabisa YESU aloingia gharama kubwa mno

    • @RAIVONMWAKALANJE
      @RAIVONMWAKALANJE Місяць тому +1

      Ubalikwe sana kwa ujumbe mzuli sana

    • @MmMm-tt1wi
      @MmMm-tt1wi Місяць тому

      Mungu akubariki sana😭😭😭😭

  • @BiraronderwaAlbatros
    @BiraronderwaAlbatros Місяць тому +5

    Amen ubarikiwe mutumishi nikija Tanzania nitaritafuta hilo kanisa,

  • @NaomiMgala
    @NaomiMgala Місяць тому

    Yesu atuhurumie sana...ni nyakati za mwisho...Mteule uwe macho....

  • @JosueNathan-h3e
    @JosueNathan-h3e Місяць тому +1

    Mungu akubariki mtu Misha kwa kuachilia injili ya kweli ameeeen

  • @annamnyampala750
    @annamnyampala750 Місяць тому +4

    Chombo cha sifa cha kumfaa Bwana. Mungu akulinde na kukutunza kwa ajili ya utukufu wake.

  • @IbrahimMabonelo
    @IbrahimMabonelo Місяць тому +4

    mungu akupe maisha malefu uendelee kuitangaza injili ya kweli

  • @christinaalexander1213
    @christinaalexander1213 Місяць тому +2

    Tumtazame yesu tu.Ukitazama pembeni umekwisha.Mungu atusaidie sana ,waimbaji hawa wote walianza vizuri sana lakini wanakoelekea Mungu atusaidie.

  • @VincentKyalo-z8r
    @VincentKyalo-z8r Місяць тому +5

    Sema tena mchungaji anaenda Jim kutengeneza misuli Mungu tusaidie

  • @EstherPius-p7y
    @EstherPius-p7y Місяць тому +1

    Amen mtumishi wa MUNGU barikiwa sana

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Місяць тому +5

    😅😅😅😅😅 ni kweli tumehalibika sana twavaa vibaya tupo na.mishetani tu nyimbo za ajabu

  • @MichaelMsigwa-b5c
    @MichaelMsigwa-b5c 11 днів тому

    Ubalikiwe mtumishi wa mungu kwa ujumbe huu

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Місяць тому +3

    Ameni tunamtaka yesu ubalikiwe mtumishi wa kweli inayotuweka hulu

  • @julianawanjala6495
    @julianawanjala6495 Місяць тому +3

    Amina ubarikiwe sanaa mchungaji

  • @VincentKyalo-z8r
    @VincentKyalo-z8r Місяць тому +1

    Amina umesema ukweli...Barikiwa sana mtumishi wa mungu

  • @raelatemi8717
    @raelatemi8717 Місяць тому

    Asante BWANA YESU kwa haya mafudisho nazidi kufununguliwa,BWANA YESU zaidi kukufunulia zaidi na kukulinda

  • @silvanusmathias7690
    @silvanusmathias7690 Місяць тому +2

    Kunahitajika kuunda kambi za maombi za mnyororo, ambao kila saa itakuwa na mtu au watu ambao wako magotini, kupokezana kwa Muda wa miaka hata ishirini ili kuukaribisha ufalme wa Mungu upya duniani, laasivyo giza linazidi kuifunika dunia na watu wanaona ni sawa na kawaida.

    • @MagrethHosea
      @MagrethHosea Місяць тому

      Msikilize mtumishi wa Mungu Moses Magembe kuna kambi la maombi litaanza soon.

  • @YESUNIBWANA84
    @YESUNIBWANA84 Місяць тому

    Amena Amena sema baba yetu tupone wengi tulikua tumepotea kwa kukosa maarifa ashukuriwe BWANA MUNGU wako kwa kuleta haya shalom

  • @fadhilimrope5134
    @fadhilimrope5134 Місяць тому +1

    Aminaaa mtumishi wa Mungu, Mungu akubariki sana

  • @Magufuli.
    @Magufuli. Місяць тому +7

    Duh! Aiseee!🏃🏃mimi namkimbilia MUNGU hizi ni nyakati za hatari sana, si kitu cha mchezo, mtumishi Naomba usibadilike kama wengine😭

  • @Essie-91
    @Essie-91 Місяць тому +2

    So true.Gospel ya kitambo ilikua us nourishment!Now it is purely entertainment.
    I love Christina Shusho na Rose Muhando sana sana but nowadays their songs sio kama za zamani.
    Kuna wakati instead ya kusikiliza wimbo wa Christina nilijipata I am admiring her beautiful outfit.

  • @barakaelias1116
    @barakaelias1116 Місяць тому +2

    Amina mtumishi nakufatilia niko zanzibar

  • @Augustinosungura-u1w
    @Augustinosungura-u1w Місяць тому

    MSG nzuri,Mungu akubariki mtumishi

  • @maddamshance9697
    @maddamshance9697 Місяць тому

    Kweli kabisa mm pia sijawai skia nyimbo ya Marehemu Angela chibalonza zikipigwa bar,her songs was very powerfulu 🙏🙏🙏

  • @ZeridaCosmas
    @ZeridaCosmas Місяць тому

    Unahubili kweli mtumishi wamungu,mungu akutie nguvu,

  • @jeanmiruho4770
    @jeanmiruho4770 Місяць тому +3

    Acha zako umezalilisha wenzako!watafute uwashauri kuliko kusema vibaya wenzio bila hekima!!ivi kweli kabisa uko mutakatifu bila kutenda zambi? Apa chini yajua?MAOMBOLEZO 3:31,32

  • @DanielFilemon-ww1uj
    @DanielFilemon-ww1uj Місяць тому +3

    Sema Baba

  • @rhodamwakatundu5226
    @rhodamwakatundu5226 Місяць тому +2

    Nilikuelewa,nakuelewa na nitaendelea kukuelewa ningali niko duniani Mtumishi wa Mungu

  • @sillansinye
    @sillansinye Місяць тому

    Ubarkiwe kwa neno zur. Mwenye masikio na asikie

  • @lilianmajana5032
    @lilianmajana5032 Місяць тому +3

    Ukweri kbs ubarikiwe sana

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 23 дні тому

    Tanzania inahitaji.watumishi vichaa wa injili Mungu awainue wengi.wengi.wajae kila mtaa.Tanzania ipone

  • @NelsonBrydon
    @NelsonBrydon Місяць тому +1

    Nikweli mtumishi sikuzi mambo yamebadilika niwachache anaotowa ujumbe kama huhu ubarikiwe mtumishi sema kweli uwaelimishe watu Wana angamiya kwaku lose Mali fa mtumishi umendingusa moyo to wangu amina

  • @helenmdee4004
    @helenmdee4004 Місяць тому +2

    Huzuni Sana .Bwana lisaidie Manisa lako

  • @Carolinenkatha-ev5rw
    @Carolinenkatha-ev5rw Місяць тому +1

    Ukweli usemwe keep it up mtu wa Mungu

  • @Benjaminkakamasha662
    @Benjaminkakamasha662 Місяць тому +2

    Umemweza Rose live kabisa

  • @nuruanafisoo4220
    @nuruanafisoo4220 Місяць тому

    Sikufahamu but injili hii nimeipenda jamn Mungu atusaidie

  • @NkangaMwinamila-m9p
    @NkangaMwinamila-m9p Місяць тому

    Wowoo you well enough sir.obed🎉

  • @RAIVONMWAKALANJE
    @RAIVONMWAKALANJE Місяць тому

    Mungu atusaidie sana tufike mbinguni mahana kwa mwenendo huhu sizani kama kunakwenda mbinguni Mungu atusaidie sana sana kilammoja kwa upungufu weke Mungu amtiye nguvu sana

  • @NeemaPatrick-l3o
    @NeemaPatrick-l3o Місяць тому +4

    MUNGU atuhulumie ndugu zangu tupo katika nyakati mbaya sana niwakati wakutengeneza wapendwa😭😭😭😭

  • @nazamsangi9939
    @nazamsangi9939 Місяць тому

    ❤❤❤❤sema pastor

  • @VIOLETKABASHA
    @VIOLETKABASHA Місяць тому +2

    Ninacho mshukuru Mungu ni mwena wapo watumishi ninyi mnaohubiri injili ya kweli na ya wokovu na kanisa za mfano ni vielelezo kwa wakristo. Makanisa ya wokovu ya kipentekoste ya zamani yamekengeuka kabisa hakuna maadili kabisa yapo kidunia na wanaookoka Sasa hivi wanaamini kuwa huu ndiyo wokovu kumbe wanapotoshwa.

  • @RoseEster-z6j
    @RoseEster-z6j Місяць тому +2

    Amina mtumishi sema tupone baba

  • @EnockMageleja
    @EnockMageleja Місяць тому +1

    Kweli kabisa mtumishi wa MUNGU

  • @kelvinsinkamba5835
    @kelvinsinkamba5835 Місяць тому

    Ubalikiwe sana mwana wa Mungu

  • @raymondbahati7626
    @raymondbahati7626 Місяць тому +1

    Sipendi unavo ongeleya watu wengine,ni vile tu unafatiliya watu wengine.
    Shikiliya pindo la yesu ni injili kamili,tufundishe injili yako acha ongeleya wengine

    • @austorb.nyondo2708
      @austorb.nyondo2708 Місяць тому +1

      Mungu atusaidie wote tumuelewe mtumishi wake maana injili yake inachoma mno na iko very clear

    • @raymondbahati7626
      @raymondbahati7626 Місяць тому

      @@austorb.nyondo2708 akufunze kwanza wewe kuto kushabikiya usengenyaji

    • @gordonomondi7161
      @gordonomondi7161 26 днів тому

      Ujui husemalo. Tafuta Roho mtakatifu. Anahubiri ukweli.

  • @karanikarani3058
    @karanikarani3058 Місяць тому

    Inabidi waonywe sana sana sana Kwa sababu hata wakati wa Lazaro na yule tajiri,Ibrahimu aliambia yule tajiri kwamba huko chini wako na manabii na waalimu wasipo wasikiliza hao watakuja mahali ulipo. Mchungaji Asante sana utuonye tena bila kujali. Sababu hawa waimbaji ni pesa ndio imewalemeza wakijiita ustaa.

    • @stellamugara983
      @stellamugara983 Місяць тому

      Umesema kweli tupu ,atakayeelewa atapona.Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Sema tupone.

  • @RaymondNakangaMechack
    @RaymondNakangaMechack 19 днів тому

    Amen chungaji ihubiri ukweli siku Zina kuja za hatari sana

  • @alexsinkala
    @alexsinkala Місяць тому +2

    Amen I received

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha Місяць тому +1

    Wachungaji wanavaa vizuri ila wanatenda mabaya mojawapo ikiwa ni kuwaibia maskini. Huyu, kabla ya kuwalaumu wabangaizaji wenzake, anapaswa ajichunguze. Kwani Biblia haijaonya kuwa hawa wanaojipachika uchungji ni wachunaji. Yesu hajafa kwa ajili ya yeyote. Kwani Mungu hakuwa na njia ya 'kuwakomboa wanae' hadi ajitolee mwanae? Ili iweje? Hapa ni kama ng'ombe anamchamba ngamia kwa kuwa na nundu.

  • @khamisjohn7639
    @khamisjohn7639 Місяць тому

    Amina Amina Mtumishi wa kweli.....hali ni mbaya wachungaji kama hawafiki hata 5 nchi nzima

  • @MugeniClaudine-t1b
    @MugeniClaudine-t1b Місяць тому +1

    Baba mungu akubariki sana

  • @JeremiaMwakilima
    @JeremiaMwakilima Місяць тому

    Amina mtumishi wa MUNGU. Ubarikiwe.

  • @DeboraNeno-s5o
    @DeboraNeno-s5o Місяць тому +1

    UBARIKIWE Sana Mtumwa

  • @allanjuma675
    @allanjuma675 Місяць тому

    This is very serious,,, it essentially rebukes sin in the church,,, the truth has to be told from Kenya

  • @MugeniClaudine-t1b
    @MugeniClaudine-t1b Місяць тому +1

    Amen amen amen unanifariji baba

  • @TommyMarcely
    @TommyMarcely 26 днів тому

    Jamani hili kanisa la Bwana lipo wapi nataka kuwa mshirika hii ndio injili 🎉🎉🎉🎉

  • @rachelcharles9219
    @rachelcharles9219 Місяць тому +4

    Wachungaji ndo mmepotea mara mia moja plus sio waimbaji tu

    • @victormkello9575
      @victormkello9575 Місяць тому

      Kabisa. Yaani mchungaji anaongea majungu madhabahuni.

    • @raymondbahati7626
      @raymondbahati7626 Місяць тому

      Wao wanajiona wakamilika hawajuwi wao ndiyo wameoza,maneno haya anayo yasema inastahili kwa mukristo kweli ?
      Ndugu yako akikoseya murejeshe kwa upendo sio hivi anavyo fanya

    • @emmanuelhamisi3050
      @emmanuelhamisi3050 Місяць тому

      ​@@raymondbahati7626wewe huwezi muelewa but kama uko na uzoefu wa kusoma bibilia na kujua kuitafsiri utamuelewa

  • @PaschalJohn-e4l
    @PaschalJohn-e4l Місяць тому +1

    Mahubili mengine ni hukumu tu ila hata nyie wahubili mngechunguzwa mngekuta ni hatali sana

  • @Jesus-Christ3965
    @Jesus-Christ3965 Місяць тому +1

    Truth huruma sana 😢😢😢Hukumu inakuja soon inaanzia huku makanisani 1petro 4:17

  • @bettykinyami5096
    @bettykinyami5096 Місяць тому +1

    Kaza mwendo mtumishi

  • @samchris1914
    @samchris1914 Місяць тому +1

    Sasa kwenye Bar wanapeleka waimbaji au ma Dj,,wanaolewa ndio wanahitaji kukombolewa,,km mmeokoka si mwende mbinguni fasta,,mnasubiria nn

  • @Mch.NoelSirboatSowani
    @Mch.NoelSirboatSowani Місяць тому

    Hongera Kusema kweli.

  • @NelsonBrydon
    @NelsonBrydon Місяць тому +1

    Amen

  • @brotheradolf9709
    @brotheradolf9709 Місяць тому

    Mtumishi wa Mungu ubarikiwe🎉

  • @JeanNimbona
    @JeanNimbona Місяць тому +1

    Yesu atusaidie

  • @innocentmosha8049
    @innocentmosha8049 Місяць тому

    Mungu atusaidie ubarikiwe Mtumishi

  • @oscarjeremiah7377
    @oscarjeremiah7377 Місяць тому +1

    Kweli kabisa Yani sasaiv Kanisa limekua maigizo yn watu tumeligeuza Kanisa kua nyumba za uzinzi mabinti wengi wanabeba mimba wakiwa ndani ya Kanisa na wanao wabebesha mimba ni vijana wakiume walio apo apo kanisani,

  • @MugeniClaudine-t1b
    @MugeniClaudine-t1b Місяць тому +1

    Mungu tusamehe kabisa

  • @oscarjeremiah7377
    @oscarjeremiah7377 Місяць тому +1

    Ee mwenyezi mungu naomba uturehem bwana kwani ss tusio na imani tulio hama dini zetu za wazazi tukaona tuingie kanisani tu mtafute yesu ila sasa unajiuliza hv kweli nilipokuja ni sahii kweli mbona kama nimepotea kutokana na matendo ya waumini unao waona emungu nitetee bwana

  • @KlaudiMfilinge-z6q
    @KlaudiMfilinge-z6q Місяць тому +1

    Jaman hili kanisa lenu lipo wap, hii ndo injili moyo wangu unataka

  • @john_mwalwembe
    @john_mwalwembe Місяць тому +1

    Kumbuka mchungaji mazoezi siyo Dhambi Acha injili ya zamani Acha ushamba wa Kiroho wa Shirika wako wa takukimbiya kwa injili yako iyo

  • @SarahElisha-s5e
    @SarahElisha-s5e Місяць тому

    Nyimbo za fanueli sedekia kweli sijawahi kuzisikia siku hizi watu tubadilike tumweshimu mungu

  • @mwamuzi
    @mwamuzi Місяць тому +1

    Injili adim sana

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 Місяць тому +1

    Kwa kweli Mungu atuponye ni aibu sana

  • @gracemuthoni1658
    @gracemuthoni1658 Місяць тому

    Amen barikiwa sana

  • @NelsonBrydon
    @NelsonBrydon Місяць тому +1

    Is true pastor

  • @RoseMgetta
    @RoseMgetta Місяць тому

    Mungu akubariki sana

  • @barakamwamtenga2448
    @barakamwamtenga2448 Місяць тому +1

    Mungu anisaidie mimi kubadilika kabisa

  • @OfficialPastorDeborah
    @OfficialPastorDeborah Місяць тому

    Ubafikiwe sana baba

  • @EDISATARIYE
    @EDISATARIYE Місяць тому

    Eee MUNGU tuhurumie sana Baba , watu wanaikimbia kweli yako na dunia imechanganyikiwa tupe utayari wakuisafisha roho zetu kipitia damu yako ya thamani

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Місяць тому +1

    ❤❤❤❤umeongea ukweli mtupu alafu magembe sijui kwanini wamemtoa kanisani nawakati anahubiri injili iliyo hai

    • @pastorhermantv5420
      @pastorhermantv5420 Місяць тому +1

      Hawajamtoa kaongozwa na Mungu kutoka ili akatimize kusudi la Yesu

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 Місяць тому

    Tunawaona waimbaji tu lakini ni kweli pia madhabahu zetu miaka hii zimezingirwa na mambo ya kutisha kuanzia viongozi wake na sisi waumini wenu. Ni udhaifu kulaumu waimbaji wetu au viongozi wetu kwa tabia zao mbaya kwa sababu hao ndio binadamu na shetani anafanya kazi ndani yao na kinachotakiwa ni kuwaikwepa na kuxitupilia mbali tabia hizo mbaya kwa matendo na sio kwa maneno na kila mmoja wetu awe ni mfano bora kwa wenzako ktk. maisha ya imani zetu. Viongozi wa dini wameacha kuhubiri NENO la Bwana na nguvu na muda mwingi vinatumika kuhubiri na kutafuta vipato kwa michango, zaka na sadaka na wengi wamekuwa ni matajiri wa kutisha kupitia sadaka, zaka na malipo mbalimbali yanayotoka na tozo za ibada mbalimbali za uponyaji na hata ibada binafsi zinazoombwa na waumini kwa ajili ya changamoto zinazo wakabili. Kifupi ni kuwa siku hizi Ibada zinauzwa.

  • @JeraldDasho
    @JeraldDasho Місяць тому

    Kama hatutasikia hatusikii tena kama hatukomi hatukomi tena.
    Mungu tusaidie

  • @YESUNIBWANA84
    @YESUNIBWANA84 Місяць тому

    Amen Amen huruma sana

  • @RichardNzowa-l4g
    @RichardNzowa-l4g Місяць тому +1

    Kwer kabsa baba yani umesema kwerii kabsa na mbadilike waimbaji8 MUNGU sio wa mizaa zaaaa tumuitaji MUNGU wa kwer mnapofanya huduma mazabauni badilikeni ninyi kwanza mbn mnamzaaa na MUNGU waimbaji

  • @EvelineMrema-j9p
    @EvelineMrema-j9p Місяць тому

    Kabisa mtumish sema tubadilike

  • @sophiakafuno1863
    @sophiakafuno1863 Місяць тому +1

    Aminaaa baba