JE TAHAJUD NA QIYAMULLEIL ZINA SURA MAALUM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 27

  • @sihamabdalla541
    @sihamabdalla541 2 роки тому

    Mashallah

  • @kuluthummohamed8706
    @kuluthummohamed8706 5 років тому +4

    Shukurn san Allah akupe afya bora na mwisho mwema

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 4 роки тому

    Masha Allah,,,,somo zur najifunza mengi alhamndulilah shekh izudin

  • @ramadhanmagambo3482
    @ramadhanmagambo3482 2 роки тому

    🙏🏾🙏🏾amin

  • @halishlishhalima1146
    @halishlishhalima1146 6 років тому +1

    Sheikh izudin Jazakallahu kheir

  • @ramamakombo1243
    @ramamakombo1243 4 роки тому

    Shukran sheikh

  • @binkassim545
    @binkassim545 5 років тому

    ماشالله لا حول ولا قوة الا بالله جزاك الله الخير 🙏

  • @hawayusuph2809
    @hawayusuph2809 3 роки тому

    bismillah mashaallah shukran shekh nilikuwa nauliza vp nitashika msahaf nikasoma au cm na huku nikiwa nimefunga swala ama sio lazma kufungamanisha mikono

  • @allymbaruku6930
    @allymbaruku6930 5 років тому +1

    ج جزاك اللهُ‎

  • @Susu-wq1sb
    @Susu-wq1sb 6 років тому

    Nimefaidi kwa haya mawaidha JazakAllah khayr Sheikh Izidun Alwy Din

  • @saidayahaya9709
    @saidayahaya9709 4 роки тому

    Mungu.akujaalie.mwisho.mwema

  • @juvicufjumuuiyayavijanacuf9538
    @juvicufjumuuiyayavijanacuf9538 6 років тому

    Mash Allah

  • @meenahsayeid340
    @meenahsayeid340 5 років тому

    Mashaallah nimejifunza kitu

  • @nassormuha4832
    @nassormuha4832 6 років тому

    unakaa kimya ukimaliza alhamdulillah
    unamskiliza imam

  • @zamiltado9525
    @zamiltado9525 6 років тому

    Sheikh tafadhali tujibu maswali yetu na sisi ambao tupo mbali

  • @hazelbrown4712
    @hazelbrown4712 6 років тому

    Assalaam Alaykum Sheikh.... ipi tofauti ya Qiyaumu Layl na Tahajjud?

    • @mwasitiomtima1896
      @mwasitiomtima1896 6 років тому

      Habibty Nashwa Qiyamulayl inamaanisha kisimamo cha usiku , Tahajud iko ndan ya visimamo vya usiku, usiku kuna swala nyingi waweza kuswali, unaeza swali rakaa mbili za kutaka tawba , witri na vinginevyo ,Tahajud n ile unaamka unaswali rakaa mbili mbili na witri moja

  • @omymwandike7604
    @omymwandike7604 6 років тому +1

    Naje? Kwenye kuswali talawehe baada ya Alhamdulilay maamuma anatakiwa asome surati yyte anayojua au kuna Sura maalum

    • @mwasitiomtima1896
      @mwasitiomtima1896 6 років тому

      omy Mwandike unamaanisha kuwa yuko nyuma ya imam au anaswali yy pekeake? Kama yuko nyuma ya imam aendelee kumsikiliza sura anazosoma imam, nakama yuko pekeake basii asome sura yyte ila n vyema kufata mpangilio yan ,kwanzia baqara Kurd chini au juzuu amma kwenda mbele

    • @mwasitiomtima1896
      @mwasitiomtima1896 6 років тому

      omy Mwandike hakuna sura maalum

  • @chichiabdallah8911
    @chichiabdallah8911 6 років тому

    Raha sana kuswal sala za usiku ila tasbih

    • @abubukeromar3150
      @abubukeromar3150 6 років тому

      Chichi Abdallah : nina swali binafsi kwa mwenye kunisaidia tafadhali

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 4 роки тому

    shukran sheikh

  • @hawayusuph2809
    @hawayusuph2809 3 роки тому

    bismillah mashaallah shukran shekh nilikuwa nauliza vp nitashika msahaf nikasoma au cm na huku nikiwa nimefunga swala ama sio lazma kufungamanisha mikono