Makushauri uende moja kwa moja kwa mkuu wa Mkoa utapata msaada na baba yako kama ana zaidi ya miaka 60 atahudumiwa buree lakini hata kama hajafikia umri huoa bado atasidiwa tu. Humu kwenye mitandao labda weka namba ya simu atakayekuwa nacho atachangia
mungu mwenye endelea kuitia uzima na ushindi mkuu familia ya mwamba wa africa rip magufuri
Mungu aendelee kuitia nguvu family ya mzee wetu
Chapa kazi mama kazi Yako ni nzuri wanawake oyeeeeee
Happybirthday Mama Yetu Mpendwa Mungu akuongezee miaka mia moja zaidi tunakupenda mama kazi iendelee❤❤
Jeska amekua mashaalah
Mungu muinue jeska kwa viwango vywajuu
Jesca, uwe mzalendo kama alivyokuwa mtumishi wa Mungu, mpendwa wetu JPM.
Aseeh mtoto mrefu na ninavopenda wadada warefu 😂❤
😂😂😂😂
mungu mwenye endelea kuitia uzima na ushindi mkuu familia ya mwamba wa africa rip magufuri
Jesca anafanana na mama yake Janeth Magufuli
Itakua nae yumo kwenye system mbona kaenda kiulaini tu
Magu wetu bwana..machinga tunamkumbuka sana
Mtoto wa jembe kila la kheri na maisha marefu uwe jembe kama baba yako
Mheshimiwa rais tumekuelewa
Nataka nikulipiee fomu ya ulaisi mama yangu
Afya njema jescar
Magufuriiiii ni nomaaaa badoo
Hicho kichwa magu mtupu
Namtaka anaempaka wanja samia ajitokeze 😂😂😂😂
Kwanini🤔😊
asingeweza kumfikia kirahisi hivo kama maji kama sio yeye
sahih kabisa...n kwa sababu t baba yake alikua somebody wa hii nchi
@@ShafiiSoud-b3w 😅😅Ndiooo_🤦🏿♀️
Asnte mama
Habari mama mi naitwa happy nipo dar nakuomba unisaidie mwanao ela ya mtaj baba angu anatakiwa kufanyiwa upasuaji hatuna ela nakuomba ela ya mtaji
Makushauri uende moja kwa moja kwa mkuu wa Mkoa utapata msaada na baba yako kama ana zaidi ya miaka 60 atahudumiwa buree lakini hata kama hajafikia umri huoa bado atasidiwa tu. Humu kwenye mitandao labda weka namba ya simu atakayekuwa nacho atachangia
❤❤
AMINA
😂😂😂😢😢😢😢😢😢😢😢
Waongo ninyi 😅😅😅😅
Uongo huo vp wakati Jesca JPM ndy huyo 😂😂
Haoni hata kusachiwa hajasachiwa
Kafanana na Mama yake.
@@khamismohammed1650 We yaani lazima aangaliwe ndy aruhusiwe kumfikia Rais unafikiri kakurupuka tu kumfata hapo
@@OfficialA83640 hata kama kaangaliwa kisitarabu hata camera hazijamuonesha