YANI WATOTO WA MASANJA WOTE HAWATAKI SHULE
Вставка
- Опубліковано 5 вер 2021
- Karibu Kanisani Free church siku za ibada ni
Jumatano saa9 -12 jioni
Ijumaa saa 9-12 jioni
JUMAPILI IBADA INAANZA SA4 MPKA SAA8 MCHANA
Kwa maombi / maombezi au jinsi ya kufika kanisani tupigie kwa namba
+255 713 855 855 MUNGU AKUBARIKI
Mi ni mzazi,mtoto kumsuka nywere nyingi kama izo na kumwongezea mauzi kwa kitaalam mishipa ya kichwa cha watoto haiko imara rahisi kuvilia damu ndani na kupoteza maisha,ninauthibitisho kuna watoto wamepoteza maisha kwa kusuka mauzi,hizo nywele hata wenyewe zinatuuma sana hadi tunapaka dawa ya maumivi
Kabisa harafu znaumaga sana
Very true
Ndiomana hawataki kusoma wanaumwa vichwa
Jamani Monie umeonae! Minywele inavyouma,bora akue asuke mwenyewe.
apo miezi 3 hamfumui mtoto atakua kweli
Tuliwamiss baba na mwana kumbe na Kaka ameanza shule
Baba kaingizwa cha kike na wanae ,pole ndio ulezi huo utamu wakuitwa mzazi👏👏👏👏👏
Nimeipenda
Vituko kama vyako kusoma ni kazi
Masanja is there a way you could be nice and tell your son, please put your water down here. Instead of put water here. Also help me to teach Elia to say No thank you instead No. Remember charity begins at home. If she start saying No it will be No No. And if you teach him No thank you she will.grow knowing No thank you and is very positive.
napenda unavyo ishi nawanao saf sana
💗💗💗💗💗💗♥️♥️♥️
Kumbe ana wawil saiv
Du watoto wenyewe sio kudeka
Askofu dunia ilibarikiwa sana kuwa na wewe...
you have to pray for this kids masanja
Shanga nyingi sana kichwa cha mtoto analala vipi!
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 just funny and sweet family time
Watoto wakiwa wadogo Sana kukataa shule kawaida Mimi Nina wanne na katika wote Hilo swala lilinikuta kwa wote ila wakizoea hawakatai kabisa , tatizo umri miaka 2 na 3 Kuna shida hiyo.
Ni biti maringo kweli 😁😁😁kazi ipoo
Nirikuwa mwalimu wa watoto kama hao myaka 6 lakini mwalimu ndio wakwanza kuaca wanapenda shule ira watapenda kuna namna mbali mbali inayo aca mtoto anapenda shule.
😀😀😀😀
Noo
Tena dada umbembeleze vzr maana unajuaga ulimkosea mapema
Tabia za watoto urithi kutoka kwa wazazi,kama siyo mama au baba,na pia inaweza isitoke kwa wazazi bali kwa wazazi wa wazazi hadi kizazi cha nne asili inatembea,
😂😂😂 nawapenda jmn
Nimapacha kumbe
Hawa watoto nao ni nyayo wachekeshaji
Mtoto usimsuke
Huyu mtoto anaelemewa na manywele ndio maana hataki shule mpelekeni ufundi
Masanja Angelia Sana Makuzi ya watoto wako huyo wa kike anaonesha Kua na kiburi ila wewe unaona Kua masihara na utani.mtoto umleavyo ndivyo akuwavyo
Anaringa kwasb wakike peke yake kudeka kumezidi
@@m.mmarckus6298 NI KWELI
Wa kiume hana tabia mbovu
Hizo nywele walizo msuka zinamuogezea kiburi
🤣🤣🤣🤣
Mtoto mnamsuka minywele mingi huo nimzigo kwa mtoto
Safi sana
Ushauri wangu kwakua hii ni channel ya Tasso (Kaunda) Masanja awe na channel nyingne ambayo atakua anapost personal/Family issues. Let this be for church only
tru
Yes
Sifa viewers tu
Ni star!
Hapana Kubwa.
Mmmmh! Naona kama kuna kibuli kwa mbaliiiiiii sijui deko?
Kutoka kwa mama unamuonaje mkewe
inakuwa kwenye damu hiyo hapo hajakuwa kujua alifanyalo huwezi mjudge sasa ivi
Malezi ya nyanya nyanya jamaniiiiiiii
Malezi hivyo kabisa
Watoto wanaridhi kwababa🙄🙄🤣 viv
vichwa bangi
Sasa mtoto mdogo kinajua kasirika duu
Jamani mnamsuka nini mtoto mdogo huyu kumjaza kichwa hivyo angalieni mitindo yawatoto yanywele pusscut au kilimanjaro tosha minyuzi tele kichwa
Ila huyo wakike sjawahi muelewa mambo yake tofauti na wakiume
Nikajeulisaana😂😂
Masanja bhana as if unaongea na watu wazimaa😂😂😂😂
Hawa watoto wanapishana miezi mingapi?
Kweli hakika, Watoto kuwasuka manywele sio vizuri wengi wamevutwa mishipa na wamekufa. Wazazi badirikeni, kusuka Watoto wadogo sio malezi
👁👃🏼👁
Master mnawaharibu watoto kwa malezi mabovu mtoto anafanya anachokitaka mnafurahia hipo siku yatawatoka puani
UZUNGU SIKU IZI ILA WANAWAKOMESHA WAZAZI WAO WAULIZENI WAZUNGU WALIWAPA WATOTO MALEZO MABAYA WANAWAKOMESHA HAWANA HAMU
😂😂
🤣🤣🤣
Inaonesha ata baba ulikuwa unaikimbia shule kinoma
mtt wakiume kafanana na katibu
🤣🤣🤣Nilijuwa nimeona peke ang
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙄🙄🙄🙄🙄🙏
😂😂😂😂😂😂😂
Afu watot bado wadog kam uyo wa kiume agefikisha miak4 ndo umpeleke shule jman maan anakos usingiz jamni😮😮 ata ndo kusom atasom tu
Acha uzezeta wewe huo ndio umri sahishi wa mtoto kwenda shule we wawapi wewe
@@agriparose3942 zezeta ni wew a mbwa wew kwani lazim usom comment yangu nyau ulokosa mkia wew eti zezet koma na kome ten nyangau weeee
@@pendopendo7427 we mkundu wazi ungekua unajitambua usingeandia utapolo kama huo nyie ndio watu wa memkwa au QT usietambua umri sahishi wa mtoto kwenda shule miaka 4 wakwetu wapo darasa la kwanza wako subiri mtoto mkono ufike mwisho wa sikio...mswahili kina we tobo mbele nyuma,ungetaka isisomeke comment yako ungeandikia ndani ya huyo shoga anko unaembana na chupi kila Leo pwagu ubwabwa we
@@pendopendo7427 ukome we taahira tuliekuacha nyuma kwenye analog die digital watoto miaka 2 wanaandika jina lako la babako na bwanako
@@agriparose3942 taira ni ww mbon unapata muhaho na comment yang pit hiv konokono ww kwan lazim Replng comment yangu nyooo unasira za maumbile wew c bure😃😃😃😃😃😃😃 maan maneno yanakutoka kam shoga nyauba wew kaakwakutuli mshenzi wewe makasiriko yako peleka uko kwa mashoga wenzio
Kakike kajeuri
Sasa video hizo za Kashifa za mitandaoni watoto watapata aibu kwa maisha Yao yote kitendo Cha mama kilichotokea mtu kujiua na video za mchezo mchafu 😭😭
Sasa hako kabukta umevaa kaanin nje mtumishi wa Mungu?
🤣🤣🤣🤣utoto raha
Hahahaaaaaa! Why are you still nyonyaing....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahah nimegundua kwan hawatak kwenda shule wanaona upendo wanaoupata nyumban jaman rahasana m nawapongeza Kwa kazin kubwa tatiz lawazazi weng wanaona kuishi na watot namna hiyo ni ujinga na kumdekeza hawajui kuwa mtt anajifunza vingi kupitia wazazi wao
Hahahaha
Ni umri tu kaka, ila pia kuna factors nyingi kwenye hilo baadhi tu ni mazingira ya shule je! yanamotivate watoto kupenda shule?
Interaction kati ya mwalimu na mtoto ipo? Mwalimu anainteract vip na watoto? Anawapenda au ni mkali?
Pia motivation kwa watoto kutoka darasani ipo? Games zipo za kuwavutia watoto? Hizo ni baadhi tu maana watoto wa umri huu wanahitaji vitu vingi km upendo, michezo, ukaribu, urafiki.......
Askofu watoto wako wako Sawa nawaona bado wadogo Sana bado wanataka kufurahia Maisha ya utotoni wacheze wachezo ya utoto walale Hadi saa 3
Ni kweli kabisa
Masanja,Yani huyo mrembo anaona kama unamzingua Tu..🤣🤣🤣🤣🤣🤣,Jamani malezi ya watoto kazi kwelikweli.Ila Tua he yooote!Watoto ni zawadi toka kwa mwenye enzi,kazana Kaka watakuelewa Tu.
668ppĺ
Plt
21st =999999999¥(+
Du watoto wenyewe sio kudeka