YANI WATOTO WA MASANJA WOTE HAWATAKI SHULE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2021
  • Karibu Kanisani Free church siku za ibada ni
    Jumatano saa9 -12 jioni
    Ijumaa saa 9-12 jioni
    JUMAPILI IBADA INAANZA SA4 MPKA SAA8 MCHANA
    Kwa maombi / maombezi au jinsi ya kufika kanisani tupigie kwa namba
    +255 713 855 855 MUNGU AKUBARIKI

КОМЕНТАРІ • 103

  • @monicamwalle1690
    @monicamwalle1690 2 роки тому +37

    Mi ni mzazi,mtoto kumsuka nywere nyingi kama izo na kumwongezea mauzi kwa kitaalam mishipa ya kichwa cha watoto haiko imara rahisi kuvilia damu ndani na kupoteza maisha,ninauthibitisho kuna watoto wamepoteza maisha kwa kusuka mauzi,hizo nywele hata wenyewe zinatuuma sana hadi tunapaka dawa ya maumivi

  • @agathathobias8690
    @agathathobias8690 2 роки тому +10

    Tuliwamiss baba na mwana kumbe na Kaka ameanza shule

  • @judyjudy2758
    @judyjudy2758 2 роки тому +1

    Baba kaingizwa cha kike na wanae ,pole ndio ulezi huo utamu wakuitwa mzazi👏👏👏👏👏

  • @joycetematema1324
    @joycetematema1324 2 роки тому +1

    Nimeipenda

  • @johnjuma3345
    @johnjuma3345 2 роки тому +1

    Vituko kama vyako kusoma ni kazi

  • @jaberjohn7556
    @jaberjohn7556 2 роки тому +7

    Masanja is there a way you could be nice and tell your son, please put your water down here. Instead of put water here. Also help me to teach Elia to say No thank you instead No. Remember charity begins at home. If she start saying No it will be No No. And if you teach him No thank you she will.grow knowing No thank you and is very positive.

  • @noelambondeka6942
    @noelambondeka6942 2 роки тому +1

    napenda unavyo ishi nawanao saf sana

  • @welisimakidi6556
    @welisimakidi6556 2 роки тому +2

    💗💗💗💗💗💗♥️♥️♥️

  • @veeJesus
    @veeJesus 2 роки тому +1

    Kumbe ana wawil saiv

  • @suleimansamweli7316
    @suleimansamweli7316 2 роки тому +3

    Du watoto wenyewe sio kudeka

  • @GloriousRestorationTV
    @GloriousRestorationTV 2 роки тому +2

    Askofu dunia ilibarikiwa sana kuwa na wewe...

  • @jerryjuma1339
    @jerryjuma1339 2 роки тому +1

    you have to pray for this kids masanja

  • @sheillalukuba4526
    @sheillalukuba4526 2 роки тому +4

    Shanga nyingi sana kichwa cha mtoto analala vipi!

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 2 роки тому +3

    😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 just funny and sweet family time

  • @rhodakisena6428
    @rhodakisena6428 2 роки тому +1

    Watoto wakiwa wadogo Sana kukataa shule kawaida Mimi Nina wanne na katika wote Hilo swala lilinikuta kwa wote ila wakizoea hawakatai kabisa , tatizo umri miaka 2 na 3 Kuna shida hiyo.

  • @halimahalima1984
    @halimahalima1984 2 роки тому +1

    Ni biti maringo kweli 😁😁😁kazi ipoo

  • @murekatetegermaine6559
    @murekatetegermaine6559 Рік тому

    Nirikuwa mwalimu wa watoto kama hao myaka 6 lakini mwalimu ndio wakwanza kuaca wanapenda shule ira watapenda kuna namna mbali mbali inayo aca mtoto anapenda shule.

  • @lizzybahati3739
    @lizzybahati3739 2 роки тому +1

    😀😀😀😀

  • @lispafulgence9983
    @lispafulgence9983 2 роки тому +1

    Noo

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 2 роки тому

    Tena dada umbembeleze vzr maana unajuaga ulimkosea mapema

  • @monicamwalle1690
    @monicamwalle1690 2 роки тому +1

    Tabia za watoto urithi kutoka kwa wazazi,kama siyo mama au baba,na pia inaweza isitoke kwa wazazi bali kwa wazazi wa wazazi hadi kizazi cha nne asili inatembea,

  • @christinapatrick798
    @christinapatrick798 2 роки тому +1

    😂😂😂 nawapenda jmn

  • @tresiakaovela9109
    @tresiakaovela9109 2 роки тому +1

    Nimapacha kumbe

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Рік тому

    Hawa watoto nao ni nyayo wachekeshaji

  • @sheillalukuba4526
    @sheillalukuba4526 2 роки тому +2

    Mtoto usimsuke

  • @rehemarashidi7391
    @rehemarashidi7391 2 роки тому +1

    Huyu mtoto anaelemewa na manywele ndio maana hataki shule mpelekeni ufundi

  • @catherinemasiga6666
    @catherinemasiga6666 2 роки тому +4

    Masanja Angelia Sana Makuzi ya watoto wako huyo wa kike anaonesha Kua na kiburi ila wewe unaona Kua masihara na utani.mtoto umleavyo ndivyo akuwavyo

  • @gracehizza8525
    @gracehizza8525 2 роки тому +3

    Mtoto mnamsuka minywele mingi huo nimzigo kwa mtoto

  • @mwastimsingi9373
    @mwastimsingi9373 2 роки тому +1

    Safi sana

  • @ferdinandntembagara2949
    @ferdinandntembagara2949 2 роки тому +8

    Ushauri wangu kwakua hii ni channel ya Tasso (Kaunda) Masanja awe na channel nyingne ambayo atakua anapost personal/Family issues. Let this be for church only

  • @agyjackkalwela6377
    @agyjackkalwela6377 2 роки тому +5

    Mmmmh! Naona kama kuna kibuli kwa mbaliiiiiii sijui deko?

    • @rachelbahahazo6362
      @rachelbahahazo6362 2 роки тому

      Kutoka kwa mama unamuonaje mkewe

    • @samwa9496
      @samwa9496 Рік тому

      inakuwa kwenye damu hiyo hapo hajakuwa kujua alifanyalo huwezi mjudge sasa ivi

  • @victoriabulambo2029
    @victoriabulambo2029 2 роки тому +1

    Malezi ya nyanya nyanya jamaniiiiiiii

  • @elizamsemwa3161
    @elizamsemwa3161 2 роки тому

    Malezi hivyo kabisa

  • @bigboni3660
    @bigboni3660 2 роки тому +2

    Watoto wanaridhi kwababa🙄🙄🤣 viv
    vichwa bangi

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 2 роки тому +1

    Sasa mtoto mdogo kinajua kasirika duu

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 Рік тому

    Jamani mnamsuka nini mtoto mdogo huyu kumjaza kichwa hivyo angalieni mitindo yawatoto yanywele pusscut au kilimanjaro tosha minyuzi tele kichwa

  • @gradnessshitindishitindi4881
    @gradnessshitindishitindi4881 2 роки тому +3

    Ila huyo wakike sjawahi muelewa mambo yake tofauti na wakiume

  • @castobenjamin4074
    @castobenjamin4074 2 роки тому +1

    Masanja bhana as if unaongea na watu wazimaa😂😂😂😂

  • @miriamsimwanza6371
    @miriamsimwanza6371 2 роки тому +4

    Hawa watoto wanapishana miezi mingapi?

    • @sarahkadugu4367
      @sarahkadugu4367 2 роки тому

      Kweli hakika, Watoto kuwasuka manywele sio vizuri wengi wamevutwa mishipa na wamekufa. Wazazi badirikeni, kusuka Watoto wadogo sio malezi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 роки тому

    👁👃🏼👁

  • @jacklinejoshua8014
    @jacklinejoshua8014 2 роки тому +6

    Master mnawaharibu watoto kwa malezi mabovu mtoto anafanya anachokitaka mnafurahia hipo siku yatawatoka puani

    • @priscambwambo1030
      @priscambwambo1030 2 роки тому

      UZUNGU SIKU IZI ILA WANAWAKOMESHA WAZAZI WAO WAULIZENI WAZUNGU WALIWAPA WATOTO MALEZO MABAYA WANAWAKOMESHA HAWANA HAMU

    • @lucynelsonmungure1719
      @lucynelsonmungure1719 2 роки тому

      😂😂

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 Рік тому +1

    🤣🤣🤣

  • @hallin9561
    @hallin9561 2 роки тому +4

    Inaonesha ata baba ulikuwa unaikimbia shule kinoma

  • @shabanseif6914
    @shabanseif6914 Рік тому

    mtt wakiume kafanana na katibu

    • @neemazee1864
      @neemazee1864 Рік тому

      🤣🤣🤣Nilijuwa nimeona peke ang

  • @najmaulaya8819
    @najmaulaya8819 2 роки тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙄🙄🙄🙄🙄🙏

  • @angelngoye4910
    @angelngoye4910 2 роки тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @pendopendo7427
    @pendopendo7427 2 роки тому +2

    Afu watot bado wadog kam uyo wa kiume agefikisha miak4 ndo umpeleke shule jman maan anakos usingiz jamni😮😮 ata ndo kusom atasom tu

    • @agriparose3942
      @agriparose3942 2 роки тому +1

      Acha uzezeta wewe huo ndio umri sahishi wa mtoto kwenda shule we wawapi wewe

    • @pendopendo7427
      @pendopendo7427 2 роки тому +1

      @@agriparose3942 zezeta ni wew a mbwa wew kwani lazim usom comment yangu nyau ulokosa mkia wew eti zezet koma na kome ten nyangau weeee

    • @agriparose3942
      @agriparose3942 2 роки тому +1

      @@pendopendo7427 we mkundu wazi ungekua unajitambua usingeandia utapolo kama huo nyie ndio watu wa memkwa au QT usietambua umri sahishi wa mtoto kwenda shule miaka 4 wakwetu wapo darasa la kwanza wako subiri mtoto mkono ufike mwisho wa sikio...mswahili kina we tobo mbele nyuma,ungetaka isisomeke comment yako ungeandikia ndani ya huyo shoga anko unaembana na chupi kila Leo pwagu ubwabwa we

    • @agriparose3942
      @agriparose3942 2 роки тому +1

      @@pendopendo7427 ukome we taahira tuliekuacha nyuma kwenye analog die digital watoto miaka 2 wanaandika jina lako la babako na bwanako

    • @pendopendo7427
      @pendopendo7427 2 роки тому

      @@agriparose3942 taira ni ww mbon unapata muhaho na comment yang pit hiv konokono ww kwan lazim Replng comment yangu nyooo unasira za maumbile wew c bure😃😃😃😃😃😃😃 maan maneno yanakutoka kam shoga nyauba wew kaakwakutuli mshenzi wewe makasiriko yako peleka uko kwa mashoga wenzio

  • @tuliamakombe1623
    @tuliamakombe1623 2 роки тому +1

    Kakike kajeuri

  • @boniphacebenson3424
    @boniphacebenson3424 Рік тому

    Sasa video hizo za Kashifa za mitandaoni watoto watapata aibu kwa maisha Yao yote kitendo Cha mama kilichotokea mtu kujiua na video za mchezo mchafu 😭😭

  • @gradnessshitindishitindi4881
    @gradnessshitindishitindi4881 2 роки тому +2

    Sasa hako kabukta umevaa kaanin nje mtumishi wa Mungu?

  • @Checkers_Tz
    @Checkers_Tz 2 роки тому

    🤣🤣🤣🤣utoto raha

  • @GloriousRestorationTV
    @GloriousRestorationTV 2 роки тому +1

    Hahahaaaaaa! Why are you still nyonyaing....

  • @serafredrick5384
    @serafredrick5384 Рік тому

    Hahahah nimegundua kwan hawatak kwenda shule wanaona upendo wanaoupata nyumban jaman rahasana m nawapongeza Kwa kazin kubwa tatiz lawazazi weng wanaona kuishi na watot namna hiyo ni ujinga na kumdekeza hawajui kuwa mtt anajifunza vingi kupitia wazazi wao

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 2 роки тому

    Hahahaha

  • @angelmwamsaga8758
    @angelmwamsaga8758 2 роки тому +2

    Ni umri tu kaka, ila pia kuna factors nyingi kwenye hilo baadhi tu ni mazingira ya shule je! yanamotivate watoto kupenda shule?
    Interaction kati ya mwalimu na mtoto ipo? Mwalimu anainteract vip na watoto? Anawapenda au ni mkali?
    Pia motivation kwa watoto kutoka darasani ipo? Games zipo za kuwavutia watoto? Hizo ni baadhi tu maana watoto wa umri huu wanahitaji vitu vingi km upendo, michezo, ukaribu, urafiki.......

  • @kamongo7340
    @kamongo7340 2 роки тому +1

    Askofu watoto wako wako Sawa nawaona bado wadogo Sana bado wanataka kufurahia Maisha ya utotoni wacheze wachezo ya utoto walale Hadi saa 3

  • @ellybrown5989
    @ellybrown5989 2 роки тому +1

    Masanja,Yani huyo mrembo anaona kama unamzingua Tu..🤣🤣🤣🤣🤣🤣,Jamani malezi ya watoto kazi kwelikweli.Ila Tua he yooote!Watoto ni zawadi toka kwa mwenye enzi,kazana Kaka watakuelewa Tu.

  • @jumaselemani591
    @jumaselemani591 2 роки тому

    668ppĺ

  • @suleimansamweli7316
    @suleimansamweli7316 2 роки тому +1

    Du watoto wenyewe sio kudeka