Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Kumbe shabiki Ihefu
Mtumishi nmekumbuka usemi wako wa kuchanganya imani na matendo, sasa matokeo tumeyaona.
Nimefurahi my brother familia yenyeupendo natamani siku moja niwenafamili kubwa yafuraha kama yako yenye upendo
Furaha yakutosha , nawapenda bure
hahaphahaha masanja tabia yakutuvunja mbavu hivo ebu kuwa serius kidogo hahaha!
🤣🤣🤣nimecheka kwa sauti kubwa wakati wakuombea chakula
Mnamzingua tu
😂😂😂😂😂😂 hayo maombi mpaka mwanamke yuko hoi na kicheko
Ni mazuri...Ni ya kifamilia.... Yatafutie channel tofauti kuyarusha.... Itapendeza. Kwa utukufu wa Mwenyezi Mungu... Kuweka tofauti Mambo matakatifu na yetu ya siku zote...Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Hapana yupo sahihi kwani kuna ubaya gani wa kuweka Mambo mema Kama haya ili watu wajifunze?
@@apostlejoshuasimbawamoto1095 kutofautisha vitakatifu na vya kawaida Ni Muhimu kwa wamchao Mwenyezi Mungu.
Nakuunga mkono afunguwe nyingine yanyumbani sio kwamba na aya nimabaya ilakuwe tofauti yamaisha yambani na kanisani .
Mm binafsi sioni tatizo mbona, mambo mazuri tu haya,hakuna alovaa uchi,kula sio aibu pia,tunaishi kwa kula
@@johnmalembo6464 una wivu acha Kila kitu kujifanya unamjua sana Mungu. Wewe fanya yako ufiche huko Mungu anaheshimu utaratibu wa Mtu .
mzee wa Ihefu fc
Masanja utaniua na hayo maombi ya chakula😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
Jamani mtumish so kwa maombi hayo
BABA KAMA NYAMA UMETUBURUZA SANA
Nimecheka hayo maombi, Masanja Masanja
Naona wifi yetu kama kitumbo ndii
hongara baba yetu
Mapande ya keki n balaa
HAHAHAAAA HAYO MAOMBI
Mtoto mwingine yuko wapi? Nawaona wawili
Kwani huyu mke wa pili amezaa nae watoto wangapi? Juu kabla amuowe alikua na 2 boys wa mke mwengine
Waaaah watoto wengine tena
We Masanja mbona hatuoni wale watoto wa ujanani huwapost
Siwapo hapo kwani huwaon
Kwan masanja anawatoto wangap kwa huyu mwanamke?
03
Kwani kuna mahali ana wengine
Kumbe shabiki Ihefu
Mtumishi nmekumbuka usemi wako wa kuchanganya imani na matendo, sasa matokeo tumeyaona.
Nimefurahi my brother familia yenyeupendo natamani siku moja niwenafamili kubwa yafuraha kama yako yenye upendo
Furaha yakutosha , nawapenda bure
hahaphahaha masanja tabia yakutuvunja mbavu hivo ebu kuwa serius kidogo hahaha!
🤣🤣🤣nimecheka kwa sauti kubwa wakati wakuombea chakula
Mnamzingua tu
😂😂😂😂😂😂 hayo maombi mpaka mwanamke yuko hoi na kicheko
Ni mazuri...Ni ya kifamilia.... Yatafutie channel tofauti kuyarusha.... Itapendeza. Kwa utukufu wa Mwenyezi Mungu... Kuweka tofauti Mambo matakatifu na yetu ya siku zote...Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Hapana yupo sahihi kwani kuna ubaya gani wa kuweka Mambo mema Kama haya ili watu wajifunze?
@@apostlejoshuasimbawamoto1095 kutofautisha vitakatifu na vya kawaida Ni Muhimu kwa wamchao Mwenyezi Mungu.
Nakuunga mkono afunguwe nyingine yanyumbani sio kwamba na aya nimabaya ilakuwe tofauti yamaisha yambani na kanisani .
Mm binafsi sioni tatizo mbona, mambo mazuri tu haya,hakuna alovaa uchi,kula sio aibu pia,tunaishi kwa kula
@@johnmalembo6464 una wivu acha Kila kitu kujifanya unamjua sana Mungu. Wewe fanya yako ufiche huko Mungu anaheshimu utaratibu wa Mtu .
mzee wa Ihefu fc
Masanja utaniua na hayo maombi ya chakula😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
Jamani mtumish so kwa maombi hayo
BABA KAMA NYAMA UMETUBURUZA SANA
Nimecheka hayo maombi, Masanja Masanja
Naona wifi yetu kama kitumbo ndii
hongara baba yetu
Mapande ya keki n balaa
HAHAHAAAA HAYO MAOMBI
Mtoto mwingine yuko wapi? Nawaona wawili
Kwani huyu mke wa pili amezaa nae watoto wangapi? Juu kabla amuowe alikua na 2 boys wa mke mwengine
Waaaah watoto wengine tena
We Masanja mbona hatuoni wale watoto wa ujanani huwapost
Siwapo hapo kwani huwaon
Kwan masanja anawatoto wangap kwa huyu mwanamke?
03
Kwani kuna mahali ana wengine