MISTARI YA MWANA FA MBELE YA RAIS SAMIA, ATOA HOTUBA KONKI KAMA ANARAP ''MIMI SIKUWA NA UPANDE''

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

КОМЕНТАРІ • 57

  • @RashidMuhunzi-pr5xj
    @RashidMuhunzi-pr5xj Місяць тому +1

    The hiphop legendarian

  • @user-te8tf7cx3i
    @user-te8tf7cx3i Рік тому +1

    Asante sn my brother uko vzr sn

  • @alisalum6733
    @alisalum6733 Рік тому +1

    Namuona Great Politician wa leo na Kesho. Mzee Uko Sawa. Ni wakati Sahihi kwako na kwa taifa hili. All the best bro @FA

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 Рік тому +1

    Hongera Sana mheshimiwaa Mwana FA kikubwa serikali iweke misingi imara kwenye michezo watu wanaitaji kuburudishwa Kwa vipaji halisi na hasa kuona wazawa ( watoto) wakipewa nafasi hizo na kupewa nafasi ya kutimiza ndoto zao lakini pia kuwa na maisha Bora ili na wao waweze kuweka nguvu katika vizazi vyao na jamii Kwa ujumla.,hongera pia mh rais mama Samia suluhu Hassan Kwa kunyanyua sekta ya michezo.

  • @jackkimwely5275
    @jackkimwely5275 Місяць тому

    Tunakupenda sana Mwana FA

  • @mohamednyange5779
    @mohamednyange5779 Рік тому +3

    Hotuba nzuri sana hotuba ya kisomi hongera sana MWANAFALSAFANI

  • @AbdallaHassan-zn4ku
    @AbdallaHassan-zn4ku Рік тому

    Hongera Mh.Hamisi Mwijuma

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Рік тому +7

    Mheshimiwa, hiyo ni hotuba sio mistari ya bongo Flava,,,,,,,

    • @gadyetheboss8738
      @gadyetheboss8738 Рік тому

      Of course anahitaj kujirekebisha lugha za kiun sio maala pake umenena point sana

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Рік тому

      @@gadyetheboss8738 🤝🤝🤝🤝

    • @atenionesmo_A10
      @atenionesmo_A10 Місяць тому

      ​@@gadyetheboss8738kama zipi zilizotumika😅😅😅

  • @georgemlulu1553
    @georgemlulu1553 Рік тому

    Big up mwana f.a

  • @nakali79
    @nakali79 Рік тому +3

    Hizo ni kodi za watanzania sio pesa za Samia, wasifuni watanzania walipao kodi,

  • @SamwelLameck-rv3fd
    @SamwelLameck-rv3fd Місяць тому

  • @ChristinaChembe
    @ChristinaChembe Рік тому +1

    Young Afriacan hooray

  • @qaccimside5707
    @qaccimside5707 Рік тому

    The golden spear

  • @dicksonmagesa7602
    @dicksonmagesa7602 Рік тому +3

    Uwe hivyo hivyo nakutabilia mbali Sana kijana

  • @JosephJacksonshila
    @JosephJacksonshila 6 днів тому

    Uyu mweshimiwa hanaga kazi mbovu

  • @edmundsospeter5667
    @edmundsospeter5667 Рік тому

    Asante 👍

  • @leonlennon
    @leonlennon Рік тому

    Namkumbani sana mwana fa anajiamini san kiukweli

  • @NicholusMkunya-kj6mh
    @NicholusMkunya-kj6mh Рік тому

    Movie

  • @user-uu3xt6mu2q
    @user-uu3xt6mu2q Рік тому

    Simba jedi mayans 😮 7:23 7:24 2024

  • @peterkissiry6432
    @peterkissiry6432 Рік тому

    ndugu yangu uko poah sana kwa kusoma muutasali

  • @hassanfigo6175
    @hassanfigo6175 Рік тому +6

    Huyu jamaa anaishi maisha ya ndoto yake, kuna nyimbo aliimba na prof J kama sijakosea yaitwa Ni Jukumu Letu.

  • @albertlokoya7937
    @albertlokoya7937 Рік тому

    Sipati Picha kama Young Africans ingekuja na Kombe hili la CAF Confederation...Ingekuwabig celebration. Lakini well done for the effort to play in the final of CAF Confederation. SIMBA should wake up

  • @hellonoloo3850
    @hellonoloo3850 Рік тому

    Bongo safi

  • @abdillahomar4541
    @abdillahomar4541 Рік тому

    Intakiwa atofautishe kati ya mistari na hutuba au risa mana anakimbiza paaa

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa Рік тому +6

    Uyo dada anae zulula zulula humo sjui kama atakuja tena aitwe ikulu mana anahis Yuko kwenye kitchen pat

  • @jeremialyati6092
    @jeremialyati6092 Рік тому +1

    Mbona Simba hawajatajwa na walikuwepo🤣🤣

  • @franciskalinga6560
    @franciskalinga6560 2 місяці тому

    Hawa wanao tukana wasani wenzio kama Mr pimbi mwijaku

  • @abdillahabdillah7850
    @abdillahabdillah7850 Рік тому +3

    Chezeeni kodi zetu tu

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Рік тому

      Kodi zenu! Acha donge, acha nyodo! Unalalamikia Kodi yako? Hivi unajua mabililioni mangapi ya fedha za kigeni Yanga imeingiza nchini kupitia mashindano haya? Waulize wenye taaluma ya uchumi!

    • @okorecharles3992
      @okorecharles3992 Рік тому

      ​@@sylvestercameo6263 Ebu tuambie muhasibu wa taifa.😂😂😂

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Рік тому

      ​@@okorecharles3992 😂😂

    • @kidatokassim7616
      @kidatokassim7616 Рік тому +1

      Kodi Yako shingapi nikurudishie mm bila serikali kuhusika😂

    • @abdillahabdillah7850
      @abdillahabdillah7850 Рік тому

      @@kidatokassim7616 ungejirudishia yakwako kwanza kama we sio mwezi mchanga

  • @victorzimba3316
    @victorzimba3316 Рік тому

    Mama kumbe likuwa unasaidia yanga Mars mwamposa kumbe ulitaka tusahau haya acha tu iyo mama achatu

  • @peterkissiry6432
    @peterkissiry6432 Рік тому

    Dogo uko viema sana mmh

  • @abdillahomar4541
    @abdillahomar4541 Рік тому +2

    Faida yake nikwamba unaokoa muda km uitakiwa utume masaa 2 basi unatumia nusu saa tu 😂

  • @JUMABEGAZONZO
    @JUMABEGAZONZO 28 днів тому

    FALSAFA

  • @saidkanji9882
    @saidkanji9882 Рік тому

    Wewe dada siutulie

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Рік тому

    Tumeona clip zako ukiwa na jike dume moja ukitukejeli baada ya kutolewa nenda huna mpango achana yanga tafuta ugali wako.

  • @philemon-mz2fv
    @philemon-mz2fv Рік тому

    😂

  • @ndizoshukuru6142
    @ndizoshukuru6142 7 місяців тому

    ❤❤❤❤❤❤❤