Hongera Sana mheshimiwaa Mwana FA kikubwa serikali iweke misingi imara kwenye michezo watu wanaitaji kuburudishwa Kwa vipaji halisi na hasa kuona wazawa ( watoto) wakipewa nafasi hizo na kupewa nafasi ya kutimiza ndoto zao lakini pia kuwa na maisha Bora ili na wao waweze kuweka nguvu katika vizazi vyao na jamii Kwa ujumla.,hongera pia mh rais mama Samia suluhu Hassan Kwa kunyanyua sekta ya michezo.
Sipati Picha kama Young Africans ingekuja na Kombe hili la CAF Confederation...Ingekuwabig celebration. Lakini well done for the effort to play in the final of CAF Confederation. SIMBA should wake up
Kodi zenu! Acha donge, acha nyodo! Unalalamikia Kodi yako? Hivi unajua mabililioni mangapi ya fedha za kigeni Yanga imeingiza nchini kupitia mashindano haya? Waulize wenye taaluma ya uchumi!
The hiphop legendarian
Asante sn my brother uko vzr sn
Namuona Great Politician wa leo na Kesho. Mzee Uko Sawa. Ni wakati Sahihi kwako na kwa taifa hili. All the best bro @FA
Hongera Sana mheshimiwaa Mwana FA kikubwa serikali iweke misingi imara kwenye michezo watu wanaitaji kuburudishwa Kwa vipaji halisi na hasa kuona wazawa ( watoto) wakipewa nafasi hizo na kupewa nafasi ya kutimiza ndoto zao lakini pia kuwa na maisha Bora ili na wao waweze kuweka nguvu katika vizazi vyao na jamii Kwa ujumla.,hongera pia mh rais mama Samia suluhu Hassan Kwa kunyanyua sekta ya michezo.
Tunakupenda sana Mwana FA
Hotuba nzuri sana hotuba ya kisomi hongera sana MWANAFALSAFANI
Hongera Mh.Hamisi Mwijuma
Mheshimiwa, hiyo ni hotuba sio mistari ya bongo Flava,,,,,,,
Of course anahitaj kujirekebisha lugha za kiun sio maala pake umenena point sana
@@gadyetheboss8738 🤝🤝🤝🤝
@@gadyetheboss8738kama zipi zilizotumika😅😅😅
Big up mwana f.a
Hizo ni kodi za watanzania sio pesa za Samia, wasifuni watanzania walipao kodi,
❤
Young Afriacan hooray
The golden spear
Uwe hivyo hivyo nakutabilia mbali Sana kijana
P zd
Uyu mweshimiwa hanaga kazi mbovu
Asante 👍
Namkumbani sana mwana fa anajiamini san kiukweli
Movie
Simba jedi mayans 😮 7:23 7:24 2024
ndugu yangu uko poah sana kwa kusoma muutasali
Huyu jamaa anaishi maisha ya ndoto yake, kuna nyimbo aliimba na prof J kama sijakosea yaitwa Ni Jukumu Letu.
Sipati Picha kama Young Africans ingekuja na Kombe hili la CAF Confederation...Ingekuwabig celebration. Lakini well done for the effort to play in the final of CAF Confederation. SIMBA should wake up
Bongo safi
M.n.f nakumbali
KENYA wote tunawapenda
S
MAMA PRESS INDEED
Intakiwa atofautishe kati ya mistari na hutuba au risa mana anakimbiza paaa
Uyo dada anae zulula zulula humo sjui kama atakuja tena aitwe ikulu mana anahis Yuko kwenye kitchen pat
😂
Hahaha 😅😅😅
Mbona Simba hawajatajwa na walikuwepo🤣🤣
Hawa wanao tukana wasani wenzio kama Mr pimbi mwijaku
Chezeeni kodi zetu tu
Kodi zenu! Acha donge, acha nyodo! Unalalamikia Kodi yako? Hivi unajua mabililioni mangapi ya fedha za kigeni Yanga imeingiza nchini kupitia mashindano haya? Waulize wenye taaluma ya uchumi!
@@sylvestercameo6263 Ebu tuambie muhasibu wa taifa.😂😂😂
@@okorecharles3992 😂😂
Kodi Yako shingapi nikurudishie mm bila serikali kuhusika😂
@@kidatokassim7616 ungejirudishia yakwako kwanza kama we sio mwezi mchanga
Mama kumbe likuwa unasaidia yanga Mars mwamposa kumbe ulitaka tusahau haya acha tu iyo mama achatu
Dogo uko viema sana mmh
Faida yake nikwamba unaokoa muda km uitakiwa utume masaa 2 basi unatumia nusu saa tu 😂
FALSAFA
Wewe dada siutulie
Tumeona clip zako ukiwa na jike dume moja ukitukejeli baada ya kutolewa nenda huna mpango achana yanga tafuta ugali wako.
Iko wapi clip hiyo
😂
❤❤❤❤❤❤❤