But he is in government? But he is number 2 in command nani aliwaroga nyinyi ? Mulitwambia tano tena, kumira kumira ,but you are the one who elected this government bure kabisa
@@dzoofaki8170 Soo must anipee food...Mimi nishawahi buy mborea kwa Bei ya 2500 but saa hii inauzwa 6000 handshake imeharibu uchumi wa Kenya wewe Kama inakaa hapo ukingoja kupewa utangoja sana
Uhuru hajui hio anaona tumbo yake tu but God will make the way possible
Nakujaribu kuchunga Mari yake ya wizi then wanaita ruto mwizi
Uhuru haelewi shida
So painful 💔
Wakenya mbona hamwandamani, lakini kwa siasa.mmakimbiakimbia mkifwata hao washenzi ambao hata mbungeni ni.kulala
Alafu ustukie mtu anasema tibim ,tialala 😭😭😭😭
Alafu unasikia MTU anasema husler na yuko na elkopter 6
Haki mafara Ndio tu wamebaki huko
Tialalaaaa
🙆🙆aki watu wengine wako na macho na hawaoni imagine
The only solution we can solve this,is to vote the right leaders who can understand our problems....William ruto is the only solution
He will Put US in Hell, He was in govament and He DD do nothing, nyinyi ndio Wale wanaletashida kenya
Suluisho ni Ruto
But he is in government? But he is number 2 in command nani aliwaroga nyinyi ? Mulitwambia tano tena, kumira kumira ,but you are the one who elected this government bure kabisa
Si mtalia
@@mutethiam7677 afadhali itakuwa ni kilio kipya
uhuru huyo
Ndio maana nachukia handshake 🤝 Sasa Kama wenye tuko job ni shida na watu wa vibarua za door to door?🙆🙆
Handshake Inajiuhusu hapa hivi vipi Raila hapati salary kwa gova but ruto dd,mchagueni ruto tena ndio mliye vizuri
sasa si uende kwa ruto akakupe chakula
@@dzoofaki8170 Soo must anipee food...Mimi nishawahi buy mborea kwa Bei ya 2500 but saa hii inauzwa 6000 handshake imeharibu uchumi wa Kenya wewe Kama inakaa hapo ukingoja kupewa utangoja sana
@@sylviaecke1772 handshake imetuharibia uchumi..watu wawiri wakijaribu kurinda Mali ya wakenya wario tuimbia...
On ground with tie,,hustler wakikukwapa matai?
Haki tungekuwa na akili sawa tungeungana woote hustlers tulete serikali inayo elewa mwananchi wa kawaida
ruto ni hustler???
@@lucylucy58 offcorse he was and thts why we want him coz knows what is hustle, nauache kuwa Fara unaniboo nkt
Tano tena, thuraku thuraku ,wembe ni ule ule shida ni nyinyi mumeleta
Sawa but hatutarudia aki🙆
Haki maisha kenya ni mateso tupu hii serikali imeshosha mwananchi wa kawaida
Sio wote we still have some fool's wanaona tukiongea eti ni siasa
You always elect fools, run after thieves and you have no power to remove them
tutahama tuwaachine familia za maroyal dynast, afu prezo atwambia tupigie azimio, handshak zao, twatamani waresign hata leo, huenda walala hoi tukapata nafuu. badala rais kutafuta suluhisho, yy busy apigia debe azimio la ufukara, ndio aendelee kusalia serikalini
Sure Sisi wenye tuko chini ndio tuko na shida unajua hao ata wapandishe Mara kumi bei ya chakula bado wanakula vizuri lakini Sisi tunaumia sana🤣🤣🤣🤣🤣
Aki wish uhunye atoke saa hii