soko lipo niwewe tu kujitangaza na kuzalisha samaki bora. labda hapo kwenye gharama ndo itakuwa ishu ila ukitumia wataalamu pengine gharama zitapungua na utazalisha kwa ubora mkubwa hivyo utauza kwa bei nzuri sokoni
Nmeangalia video nzima nikisubiri hayo maswali na mengne ya maana ambayo angeweza kuuliza, kama muda wa samaki kufikia uzito flani changamoto upatikanaj wa pum na vitu vingine na gharama sijaona, sijui lengo la hii video ni nini haswa...
Iko vzr
Teknolojia hii naipata wapi
Ongera sana naitaji namba ya sim ambaye nifundi wao nohuo mpya
Mwandishi hayuko sawa ungemwacha aelezee mpka gharama
Maonesho mara nyingi hayalengi faida. ukiiga utajuta. hapa ndio tunasikia pesa ya serikali inatumika tu na wala hakuna faida.
Nikihitaji elimu kwenu , nitaanzaje......na je ina malipo
Naomba namba za simu za huyo afisa uvuvi tafadhali,
Asante sana
vepe kuhusu faida na soko
Naomba namba ya simu, kwa sababu napenda kufuga samaki niko Mbeya Mjini .
Uhalisia ukoje kuhusu soko na gharama za uzalishaji kuwen wakwel
soko lipo niwewe tu kujitangaza na kuzalisha samaki bora. labda hapo kwenye gharama ndo itakuwa ishu ila ukitumia wataalamu pengine gharama zitapungua na utazalisha kwa ubora mkubwa hivyo utauza kwa bei nzuri sokoni
mtangazaji ovyo kabisa. Swala muhimu kuliko yote la garama za sytem a uendeshaji hakuona umuhimu wa kuuliza. Wanahabari wa Tanzania kaazi kwelikweli.
Nmeangalia video nzima nikisubiri hayo maswali na mengne ya maana ambayo angeweza kuuliza, kama muda wa samaki kufikia uzito flani changamoto upatikanaj wa pum na vitu vingine na gharama sijaona, sijui lengo la hii video ni nini haswa...
Gharama za kuanzia zikoje?
nahitaji pomp
kaka nahitaji tank
moja nianze kufuga samak
Ngowi tv
namba za simu za wahusika
ù
Ashanti nayitaji namba yako