Wakristo waleta hoja ya Qur'an 72:1 je majini kitabu chao ni kigani kumechemka .Feb 29/2024

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 121

  • @kennedymanyonge6170
    @kennedymanyonge6170 7 місяців тому +4

    Nilikuwa najiita mkristo lkn bila ubishi na kufuata haki sahi mimi ni muislamu ,, Alhamdulillah 🤲

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому +2

      Masha Allah karibu sana

    • @alfanmwaropia
      @alfanmwaropia 7 місяців тому +3

      Mungu akupe maisha maxuri kaka na akuongoze, akulipe malipo maxuri duniani na akhera

    • @kadijaa7771
      @kadijaa7771 6 місяців тому +2

      Mashallah Allah atuongoze in sha Allah ❤❤

    • @jakayajakab
      @jakayajakab 6 місяців тому +2

      Mashallah Allah akufishe ukiwa mwisilam

  • @Sal.0
    @Sal.0 7 місяців тому +5

    TabarkAllah Team.
    WaIslamu, mwisho wa Mwezi ume fika.
    PLEASE Changeni for this Dawah Team, kila mwexi, hata kama ni 100 Bob.

    • @ambbabu4122
      @ambbabu4122 7 місяців тому +2

      No ya kutuma plz

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому +3

      Allah awalipe nyote number+254 727 431 691 hii kazi ya daawah sometimes ni ngumu juu ya usafiri

    • @inspjuma
      @inspjuma 6 місяців тому +1

      ALLAH awabaeiki kwa kusema ukweli

  • @kanchorujarsomohamed4860
    @kanchorujarsomohamed4860 7 місяців тому +2

    Masha Allah mola awajalie kheri

  • @OMARMZEE-kj2yo
    @OMARMZEE-kj2yo 6 місяців тому +1

    Alhamdulillah kwa neema ya uislam. Dini ni moja tu aliyoileta mwenyezimungu. Mashekhe wetu Allah awajazi kheri mnafanya kazi nzuri .

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 7 місяців тому +9

    Nimekuwa mtu watisa kwa views wakwanza kwa like na comments
    Asallama alaykum warhama tullah wabarakatuh

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому +1

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh masha Allah

  • @abdallahazizi999
    @abdallahazizi999 7 місяців тому +3

    Alhamdulilahi rabilalammina
    Mweyezi Mungu awalipe duniani mpaka siku yamwisho nanaomba Mwenyezi Mungu anijalie nikutane nanyinyi ili niwaunge mkono
    Naitwa Abdurahmani Mustafa Muhammad Nashukuru

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому

      Aamiin amiin amiin sote Allah atupe jannatul firdaus

  • @mohdibnsaleh9949
    @mohdibnsaleh9949 7 місяців тому +2

    Walaykum salam warahmatullah wabarakatuh

  • @menejakabaysa7843
    @menejakabaysa7843 6 місяців тому +1

    Mashallah barakallahu fiikum

  • @KhamisAli-o9r
    @KhamisAli-o9r 7 місяців тому +3

    Assalam alaikum warahmatullah...asanteni mashekhe wetu kwa kurudi tena

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh alhamdulillah tuko

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 7 місяців тому +1

    Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh

  • @abdullahijma2073
    @abdullahijma2073 4 місяці тому +1

    Somwtimws pia msali jamaa sala hapo hapo pia waone... Mashallah kazi nzuri Mwenyezi Mungu awabariki.

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hb 7 місяців тому +3

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu... alhamdulillah bineematul Islam.... Allah awahifadhi nyote na awalalipe jannatul firdaus

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому +1

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin sote

  • @barackyusuph8490
    @barackyusuph8490 7 місяців тому +1

    Nawafuatiliaa sanaaa mashalaaaa

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 7 місяців тому +1

    Asante sana, we have been waiting for new episodes. Alhamduli-llah

  • @mahadhassen8502
    @mahadhassen8502 7 місяців тому +2

    Walaikum assalam warahmatullahi wabarakatuh

  • @skmtotowamama6797
    @skmtotowamama6797 7 місяців тому +2

    leo mashaAllah utamu baada ya kungoja sana,
    waalaikum salamu NshaAllah daawa tamu yani naburudika leo ntalala na furaha

  • @Hi_20206
    @Hi_20206 7 місяців тому +14

    Ile kungoja nimengoja.. weee..Alhamdulillah

    • @sheemaryam
      @sheemaryam 7 місяців тому +1

      Asalam aleikum warahma turullahi wabarakatuh daaa

    • @Noorein-ws8wk
      @Noorein-ws8wk 7 місяців тому +3

      Kumbe tuko wengi wakungojea 😂😂

    • @Nora-v1m3p
      @Nora-v1m3p 7 місяців тому +1

      Ma sha Allah tabaraka llah

    • @Hi_20206
      @Hi_20206 7 місяців тому +2

      @@Noorein-ws8wk tuko wengi sana🤣🤣🤣

    • @Hi_20206
      @Hi_20206 7 місяців тому +1

      @@Nora-v1m3p shukran🫶🫶

  • @sheemaryam
    @sheemaryam 7 місяців тому +2

    Alhamdulillah leo nitalala vzuri nmewamiss sana

  • @Ismaelnoton2543
    @Ismaelnoton2543 7 місяців тому +1

    Alhamdulilah

  • @SaidSubira
    @SaidSubira 7 місяців тому +2

    Wow Mashallah

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia3682 7 місяців тому +1

    Mashallah

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 7 місяців тому +1

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh allahumma awalipeni kheri nyingi❤❤❤

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 7 місяців тому +1

      Hawa wakristu hiyo kitu inaitwa divai iliwaharibu akili sasa ata kwa akili ya kawaida mbona wasifikirie tu kati ya Kuku na Yai kilianza kitu gani!??ndo ashindwe kmleta yesu bila baba uwiii yaan adi vinakera iyo usumbfu yote😢😢😢poleni walim wetu

  • @isahbarasa
    @isahbarasa 7 місяців тому +2

    Alhamdulai nilkuwa nimengoja daawa ❤️🤍 mashalla

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому +1

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh karibu

    • @isahbarasa
      @isahbarasa 7 місяців тому +1

      @@salimdaawah123 mashaalla

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 7 місяців тому +2

    Asalam alaikum mashekh wetu tuliwa miss sana masha Allah dawa kama kawaida

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @AdamNassor-vt9sg
    @AdamNassor-vt9sg 7 місяців тому +1

    Walykum salam

  • @suleymanali431
    @suleymanali431 7 місяців тому +2

    Mashaalah Asalam aleykum

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @antonykhamati6387
    @antonykhamati6387 7 місяців тому +2

    Eti yesu alivaa trouser!!!!

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому +1

      Ndio wakristo wanasema

    • @Hi_20206
      @Hi_20206 7 місяців тому +2

      Huyo akili yake iko mbaliii😂😂😂😂😂

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому

      @@Hi_20206 😂🤣🤣🤣🔥

  • @IbrahimSheqey
    @IbrahimSheqey 7 місяців тому +1

    السلام عليكم ورجمة الله وبركاته استاذ سالم mimi ni malim ibrahim niko bura tana hio daawa mtaani muna fanya tu kule hata sisi tuna hitaji sana bura tana river kwahivyo mutajuwa hio mungu awa lipe kheri nyingi insha allah hizi kilips nazifatilia kila siku❤

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah tutapanga

  • @josemu870
    @josemu870 7 місяців тому +1

    Masha Alla

  • @adrisshagi1255
    @adrisshagi1255 3 місяці тому +2

    Asalamu aleykum sheikh salim. One point. Wakati Una soma bombe most Una chukuwa sana. Nuh .(CS) wakiwa wana Sema ane kunya nige. Penda hapo usene according the bible. Sis. Hatu amini hayo but u say that and also not good. Jizakalaah kheyr

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  3 місяці тому +1

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah

  • @zetechraj4992
    @zetechraj4992 7 місяців тому +3

    Mmekua wapi😮😮

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому

      Tulikuwa area tu but alhamdulillah tumerudi kwa viwanja vya daawah

  • @mohdibnsaleh9949
    @mohdibnsaleh9949 7 місяців тому +1

    Mara hii tumengoja sana ..ila hatuwalaumu sababu tunajua hali yenu katika maisha

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому

      Yeah huwa sometimes hali inakuwa ngumu sana sana kwa usafiri lakini alhamdulillah tunashukuru tumerudi

    • @mohdibnsaleh9949
      @mohdibnsaleh9949 7 місяців тому +1

      Poleni sana.. wengine hatuna msaada wa kuwapa zaidi ya kuombea dua kwa Allah akufanyie wepesi katika hizo harakat zenu

  • @KhamisAli-jw3zv
    @KhamisAli-jw3zv 7 місяців тому +1

    Tushukuru sote tulio zaliwa kua waislaam

  • @Jingajinga64
    @Jingajinga64 7 місяців тому +1

    Sheikh Aliiii 😂😂 1:09 mwana alitoka kwa masikio😅😅!!!

  • @sheemaryam
    @sheemaryam 7 місяців тому +2

    Mariam anafaa ashtaki hawa watu juu wanampokonya mtoto na kumpka mungu

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому

      Kabisa Allah awafungue macho waione haki na waifuate

  • @aishasalim9546
    @aishasalim9546 7 місяців тому +1

    HIVI WAKRISTO MUMESHINDWA NAMAJINI WAMEIYAMINI QURAANI .MASHEHE WETU WANAWAPENDELEYA KUWAONYESHA NJIYA ILIYO NAUHAKI .NAPIYA MUKIAMBIWA MUTOWE ANDIKO HAMUNA .MASHEHE WANATOWA MAANDIKO

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o 7 місяців тому

      Kwa hiyo waislam na majini kitu kimoja?😂😂

    • @ibruzah001
      @ibruzah001 7 місяців тому

      ​@@NathanielNathan-m4otangu lini wanadamu na majini wakawa kitu kimoja? Elewa kuwa majini pia ni viumbe wa mwenyezi mungu. Allah aliwaumba watu na akawaumba majini ili wote wamuabudu yeye pekee.

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o 7 місяців тому

      @@ibruzah001 majini ni waislam.shetani alislimishwa na mohamed.Soma ulimwengu wa majine ukurasa wa 20

    • @ibruzah001
      @ibruzah001 7 місяців тому

      @@NathanielNathan-m4o toa andiko kwa Qur'an kuwa shetani ni mwisilamu kama wewe ni mkweli. Wacha uwongo wa vitabu vingine ambavyo vimeandikwa na watu. Qur'an ndio msema kweli maneno ya Allah.

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o 7 місяців тому

      @@ibruzah001 Soma asilia ya majini ukurasa wa 20.Acha kuogopa vitabu zeni.

  • @abdullahijma2073
    @abdullahijma2073 4 місяці тому +1

    Always have 2 microphone s, wakristo wakianza kubishana unawaachia mic wawili😂

  • @mwanaidiissa10
    @mwanaidiissa10 7 місяців тому +1

    Yani Hawa sijui wanaendaga kufanya nn khuko makanisani

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 7 місяців тому +1

    maswali mengine ni ya ushabiki tu,ivi huko Congo wanapigana na Rwanda uko na asilimia kubwa ni Wakristo kila mtu saa ii kanyamaza hakuna anaeitwa Terrorist lakini Waislam tumenyamaza hatusemi Wakristo wanapigana...yani ata mi nashangaa sana

  • @isaa_ogutu
    @isaa_ogutu 7 місяців тому +2

    Wakristo wako na shida tu ya kuelewa mambo....na ukijaribu kuwafundisha wanajifanya wajuaji....wakristo kuweni tu humble kwa mafundisho na muufungukeni akili jameni

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o 7 місяців тому

      Njoo Kwa Ndacha usikize mafundisho ya kweli ya kiislamu

    • @isaa_ogutu
      @isaa_ogutu 7 місяців тому

      @@NathanielNathan-m4o akuna kitu ndacha anajua kwa uislamu...na quran akuna day inaeza kuwa wrong ata siku moja....unlike bible which has alot of internal contradiction....so bible is just fake and am sorry if this will touch you

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o 7 місяців тому

      @@isaa_ogutu My brother it looks like you believe what sheikhs says that there is no contradiction in your Qur'an.Soma Sanaa manuscript ndio utajua Kuna shida.Quran mnayosoma ni 1924 Cairo edition ndio maana unasema Iko sawa na bado hiyo nayo Iko na so many contradictions.Sorry too bro

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 7 місяців тому

      ​@@NathanielNathan-m4oQur'an ipo moja tu duniani kote

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 7 місяців тому +1

    Hawa makafiri wakikaa makanisani Mazi Yao nikuwadanganya watu ndio wakawapata wengi kuingua kule kanisani kutunga mambo yalokuwa hayapo.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому

      Allah awaongoze waione haki na waifuate

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia3682 7 місяців тому +1

    kwanza ni kundi moja ya majini waliamini baada ya kusikiza Qurani na sio wote. kwa hivyo, wale waliokataa kuamini Qurani wamesema ni wajinga na wanamini Mungu ana mtoto, Wanaoamini Mungu ana mtoto ni wakristo.Na pia Marko 3:11 inasema "Na pepo wachafu, kila walipomwona, walianguka mbele yake, wakalia wakisema, Wewe ndiwe Mwana wa Mungu".

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o 7 місяців тому

      Asilia ya majini ukurasa wa 20
      Mohamed ndiye alislimisha shetani.Kwa saa hii shetani ni muislam.😢

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому +1

      Hahaaaaaaa na bibilia 1 Timothy 1:20 inasema shetani ni mwalimu wa wakristo

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 7 місяців тому

      ​@@NathanielNathan-m4otupe ilo andiko

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o 7 місяців тому

      ​​​​@@salimdaawah123Sura 72:3 majini wanasema Allah hana mwana Wala mke kama tu wanavyosema waislam.Kwa hiyo majini,shetani na waislam ni kitu kimoja.Mohamed alimpigisha shetani shahada 😂

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому +2

      @@NathanielNathan-m4o hahaaaaaaa kwa bibilia Marko 3:11 mapepo wachafu wanasema Yesu ni mwana wa Mungu na wakristo wanasema hivyo hivyo si imani yenu ni Moja