KATIKA NCHI ZA AFRIKA, NI NCHI GANI UISLAM ULIINGIA KABLA YA KUINGIA MADINA?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 111

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 3 роки тому +15

    MashaAllaah yaani mie niko na ombi kwa sheikh Masawe yaani atuongezeye mda wahiichi kipindi Sijuwi mwasema aje wandugu zangu

  • @faizanassor6336
    @faizanassor6336 3 роки тому +8

    Mashallah shukrain sheikh wetu allah akujalie afya njema akuifaidhi

  • @a.856
    @a.856 3 роки тому +6

    Mashaallah jazakallah khayran

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 3 роки тому +6

    Mashaallah sheikh wetu masawe kipindi kizury

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 роки тому +9

    Mtume Muhammad SAW aliwaambia maswahaba wake wakimbilie Habasha/Ethopia kwa Mfalme Najashi(Hijjira ya kwanza).
    Makuraysh (Makafiri wa Makka) walikuwa wakiwapiga vita Waislam (mtume na maswahaba wake.
    Hivyo mtume akawaambia maswahaba wake wakimbile/wahamie Habasha/Etjopia kwa Mfalme Najash kwavile mfalme Najash alikuwa anaongoza kwa uadilifu japo hakuwa Muislam.
    Waislam/Maswahaba walipofika Habasha walipokelewa na Mfalme Najash na wakapewa hifadh lakini makafiri wa Makka wakapata habari kuwa maswahaba wa mtume wamehamia Habasha.
    Makafiri wa Kikuraysh walibata habari kuwa maswahaba wamehamia Habasha hivyo makafiri wanafunga safari kwenda Habasha kuwapiga vita maswahaba. Walipofika Habasha makafiri wakamfuata mfalme Najash na kumlaumu kwanini amewawapokea na kuwahifadhi maswahaba (Waislam)?
    Makafiri wakataka kutia fitna ili Najash awafukuze maswahaba lakini Najash aliwauliza maswahaba kwanini wamefukuzwa Makka? Messages wakamjibu Najash kuwa wamefukuzwa Makka kwavile wanatangaza dini ya Uisla alokuja nao mtume mpya Muhammad S.A.W, dini ya kumpwekesha Mungu mmoja ambae ni Allah S.W.
    Najash aliridhishwa na tabia/maadili ya maswahaba hivyo akawawekea ulinzi maswahaba, akawafukuza Makafiri na hapo ikawa sababu ya Najash nae akasilimu (aksingia ktk Uislam) na Uislam ukaenea Afrika. ***WaAllahu Aalam***

  • @khalifamwasha6648
    @khalifamwasha6648 3 роки тому +7

    MashaAllah. Elimu inahitajika Sana.

  • @godymussa1919
    @godymussa1919 3 роки тому +2

    Kishki mungu akulipe ndugu yangu unajitahid sana kuimalisha imaan allah atakulipa hakika

  • @busta_malik5971
    @busta_malik5971 3 роки тому +9

    Nakipenda sana kipindi hiki allah awajaalie barka ili kiendelee

  • @shafiiathuman4302
    @shafiiathuman4302 3 роки тому +2

    Assalaam alykum. Nawapata toka simiyu. Niombe na vijijini Allah ajalie mfike kuna watu wanasilimu lakini suala la elimu bado sana. Wengine ambao elimu yetu ni ndogo sana. Tunaoneka wasomi wakati elimu hatuna. Tunaomba wenye elimu ya dini wafike na huku. Assalaam alykum

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 3 роки тому +3

    Masha Allah

  • @fatmakassim8604
    @fatmakassim8604 3 роки тому +3

    Waalaykum Salam warahmatullahi wabarakatu

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 3 роки тому +1

    Ma Shaa Allah Tabaraqallah
    Jazakhallahu khairaa

  • @saay4273
    @saay4273 3 роки тому +2

    MashaaAllah

  • @johntay8813
    @johntay8813 3 роки тому

    Mashaallah Allah akuifadhi shekh wetu massawe nakupendeni Tv kishk

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 роки тому +8

    Bora hicho kipindi kiwe hukohuko mitaani waelimishe wengi

  • @omanseeb3642
    @omanseeb3642 3 роки тому +1

    MashaAllah

  • @allykirunginyamka9171
    @allykirunginyamka9171 3 роки тому +1

    Nafurahi sana kuona watu wangu,
    Nifikishie Salaam kwa maamuma wote wa Mtoro na Mosi anihifadhie hio alfu 5.

  • @zaitunsally7215
    @zaitunsally7215 3 роки тому +4

    mashaAllah ila muda mfupi sana

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 3 роки тому +2

    Mashaallah

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 роки тому

    Jazaka Allahu kher Allah awazidishie juhudi za kutuelimisha Aamiin

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 3 роки тому +1

    Ma sha allah
    Allah akulipe sheikh wetu masawe

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 3 роки тому +1

    MASHA ALLAH tabarakaAllah

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 роки тому +2

    Mashallah

  • @fat-hiyaali4723
    @fat-hiyaali4723 3 роки тому +2

    afrika uislam uliingia mwanzo kabla madina allah akbar

  • @zakiaqasim5312
    @zakiaqasim5312 3 роки тому +2

    Maasha Allah tunazidi kuelimika na kishki tv

  • @latifamkulazi8378
    @latifamkulazi8378 3 роки тому +4

    Ethiopia

  • @sakinat2527
    @sakinat2527 3 роки тому +1

    Maa shaa Allah

  • @raziyasaid384
    @raziyasaid384 3 роки тому +1

    Mashallha

  • @shabansumaiya4770
    @shabansumaiya4770 Рік тому

    Mashaallah kiongozi mkuu wawapiga azana Duncan anatoka habesh amblyopia ni Ethiopia kwasasa simwingine ni Bilal bin rabah

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 2 роки тому

    Mashala

  • @zakiaqasim5312
    @zakiaqasim5312 3 роки тому +7

    Na nchi ya afrika ilikuwa ni uhabeshia kwa sasa ni Ethiopia

  • @albahry2280
    @albahry2280 3 роки тому +1

    Zanzibar

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 3 роки тому +2

    Hata Bilal bin Rabaa radhi Allahu anhu ni mu habashi.

  • @AMZASAIDEofficialm6332
    @AMZASAIDEofficialm6332 Рік тому

    She kk Mungu akuripo Nishallha

  • @issamsangi7239
    @issamsangi7239 2 роки тому

    Maa Shaa Allah

  • @sakinat2527
    @sakinat2527 3 роки тому +1

    Wa alaykum salaam warahmatullah wabarakatuh

  • @OmanOman-zc5dt
    @OmanOman-zc5dt 3 роки тому +3

    Tujitahidi tusomedini yetu

  • @Awatee
    @Awatee 3 роки тому

    Waleykum salam warahmatu llah wabarakatuh

  • @fat-hiyaali4723
    @fat-hiyaali4723 3 роки тому +1

    allah akbar waislam maswali madogo yanatushinda mtihan ulioje

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 3 роки тому

    Mashalllah

  • @africanqueen2506
    @africanqueen2506 3 роки тому +1

    Habasha(Ethiopia )

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 роки тому +1

    Jifunze quran kusom kuandik gusa picha yang hapo kama hautjli

  • @halimahalima1984
    @halimahalima1984 3 роки тому

    Masha allah iki kipindi nakipenda sana kinanifunza

  • @basakimnguuchannel3402
    @basakimnguuchannel3402 2 роки тому

    Allah awajalie kwakutupa daawa

  • @hamidahamdun3646
    @hamidahamdun3646 3 роки тому +3

    Nahisi ni Ethiopia dini iliingia kabla ya madina

  • @hawamatuta1905
    @hawamatuta1905 3 роки тому

    Ma shaa Allah nakipenda kipindi coz ata cc tunajifunza alhamdhulillah

  • @eunicemulusa7519
    @eunicemulusa7519 3 роки тому +1

    Mashaallah naelmika na kipindi hiki

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 3 роки тому +2

    Nakipenda Sana kipindi hiki

  • @firdausyalhaji5569
    @firdausyalhaji5569 3 роки тому +1

    Hiki kipindi nmekipenda saaana cjui nlikua wapi tyuu

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 3 роки тому

    Mashallah nimefaidika

  • @seleroy5505
    @seleroy5505 3 роки тому +1

    Nomba kuuliza. Vp Misri au wakati uo haikua Afrika?

    • @nuriyaabuu
      @nuriyaabuu 3 роки тому

      Mwanzo ilikua habash(ethiopia) before misri(egypt)

    • @seleroy5505
      @seleroy5505 3 роки тому

      @@nuriyaabuu swali ni nchi gani ya Afrika uislam uliingia mwanzo kabla ya Madina. Jibu likaja ni Ethiopia. Ndio nikauliza vp misri au wakati huo haikua iko Afrika? Musa alitumwa akamuhubirie Firauni kabla ya Mtume Muhammad hajawatuma Masahaba kwenda huko Habesh

    • @nuriyaabuu
      @nuriyaabuu 3 роки тому

      Uko sawa bro lkn alilomaanisha masawe ilikua wakati wa mtume muhammad (s.a.w) ndo mana akauliza kabla ya kuingia madina

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 3 роки тому +1

    Kaka yangu masawe, mm ni dd yako ni mtu wa hai. Unasema zawadi ajaitolea jasho vp my brother? Kusoma nako kazi my brother.

  • @mahmoodalghefeili5370
    @mahmoodalghefeili5370 3 роки тому

    ALLAH akbaru

  • @zinabal-dubae3551
    @zinabal-dubae3551 2 роки тому

    Waliingia kuomba hifadhi na sahaba wengine wakabadili dini wakabaki huko hawakurudi

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 3 роки тому

    Uhabeshi

  • @turkeyphone9629
    @turkeyphone9629 2 роки тому

    Akisema uislamu kuingia afrika kabla madina ni masri kwa sababu tunaamini kuwa uislamu upo tangu adam a.s hadi musa a.s to Muhammad b.p.u.h .lkn ukisema uislamu kuingia afrika wakati ya muhammad(P.b.u.h) ni ethiopia( habashi) .

  • @deqamoha7001
    @deqamoha7001 2 роки тому

    Somalia kwanini wamekuwa waislamu wote?

  • @binahmedjuma8681
    @binahmedjuma8681 3 роки тому

    Ni nchi ya Ethiopia (Uhabesh) au Habasha.

  • @aisharajimbo6784
    @aisharajimbo6784 3 роки тому

    Na bado hio hio etheiopia iko na Christians

  • @abedkarume9088
    @abedkarume9088 3 роки тому

    Habash eithopia

  • @shikhadnandjuma2385
    @shikhadnandjuma2385 3 роки тому

    Ni inchi ya ETHIOPIA HABASHA

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 3 роки тому

    Lakini ni Ethiopia au ni Eritrea

  • @dinocastico8495
    @dinocastico8495 3 роки тому

    Ikiwa sheria ya dini ya uislam alipewa adam , nuhu ibraahim, ismail, is-haaq, yaqub na walio fuata. Sasa hapa hapa ikiwa nabii yusuf aliishi misri. Je hatuoni uislam ulianza kufika mwanzo misri kabla pengine? Embu nipeni ufafanuzi

  • @chungb1634
    @chungb1634 3 роки тому

    Sheikh mbona kipindi kifupi

  • @abubakarmudir4780
    @abubakarmudir4780 3 роки тому

    Daaa swali jepesi

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 3 роки тому

    Kenya Jimbo la Kwale South Coast Diana Beach utaenda kupata msikiti ulijengwa kabla ya Nabii Issa (A. S) kuzaliwa

    • @nasibudarbi2600
      @nasibudarbi2600 3 роки тому

      Uongo huo

    • @jahadibrahimtv7958
      @jahadibrahimtv7958 3 роки тому

      Sijawahi sikia hilo

    • @yusufmwangichannel6692
      @yusufmwangichannel6692 3 роки тому

      @@nasibudarbi2600 unasema uongo ushawai enda hapo mahali ama unapajua?

    • @yusufmwangichannel6692
      @yusufmwangichannel6692 3 роки тому

      @@jahadibrahimtv7958 tembelea saa hii ukaone na utaona baadhi ya makaburi ya waarabu walio jenga huo msikiti na pia kulikua na jiwe zamani likizunguka kando ya ufuo wa bahari wazee wetu wa zamani walikua wakifika hapo na kufanya ibada na maombi yao yalikua yanakubalika wakati huo wazee wetu wengi walikua awajui uislam ni nn. Lakini jiwe ilo lilipotea baada ya watu kufanya anasa kwenye bahari

    • @nasibudarbi2600
      @nasibudarbi2600 3 роки тому

      @@yusufmwangichannel6692 hakuna msikiti ndani ya Africa ambayo ina umbri ndefu Kuliko msikiti wa zaylac

  • @onlinetv2269
    @onlinetv2269 3 роки тому

    Misri

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 3 роки тому +1

      Mmh weweeeeeee ni Ethiopia

    • @onlinetv2269
      @onlinetv2269 3 роки тому +1

      @@sakinat2527 sakina swali limekosewa kuulizwa kwani manabii walikua dini gani? Apo ndipo utanielewa ila ange uliza ivi baada ya mtume kukabiziwa utume ni nchi gani ya mwanzo kufikiwa mafundisho ya kiislam apo ndipo ingekua Ethiopia lakini kwa swali alilo.uliza ni nchi gani ilio fikiwa na uisilamu mwanzo barani Africa kabla ya madina itakua ni misri nako alihudumu musa na yusufu

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 3 роки тому

      Online tv nimekuelewa

    • @onlinetv2269
      @onlinetv2269 3 роки тому

      @@sakinat2527 asante kwa kunielewa na tumia njia ii pia kuwaelimisha wengine unajua ii kitu kama iki ndio kinatupa tabu kuwalingania manaswara wakiitikati uisilam kaja nao mtume Muhammed s a w wakati alio kuja nao fasi ni nabillahi Adam na mwenyezi mungu ametuumbia katika umbo la kiisilam tokea awali

  • @mwajomaessa7513
    @mwajomaessa7513 2 роки тому

    Masha Allah

  • @bililemohamed2874
    @bililemohamed2874 3 роки тому

    MashaAllah

  • @hajeralqaidi2115
    @hajeralqaidi2115 3 роки тому

    Mashaallah

  • @halimasaid4487
    @halimasaid4487 3 роки тому +4

    Ethiopia

  • @saidhamad533
    @saidhamad533 2 роки тому

    Mashallah

  • @zytuniemaulidy1508
    @zytuniemaulidy1508 3 роки тому

    Maa shaa Allah

  • @khadijasaid2155
    @khadijasaid2155 3 роки тому

    Zanzibar

  • @nuruu4269
    @nuruu4269 3 роки тому +1

    Masha Allah

  • @hajeralqaidi2115
    @hajeralqaidi2115 3 роки тому

    Mashaallah

  • @zaitunisinamenye1799
    @zaitunisinamenye1799 3 роки тому +3

    Ethiopia

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 роки тому

    Mashaallah

  • @salimamugeni3568
    @salimamugeni3568 3 роки тому

    Masha'Allah

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 роки тому

    Masha Allah

  • @hawahawa6915
    @hawahawa6915 3 роки тому

    Mashaa Allah

  • @ashunebebi9518
    @ashunebebi9518 3 роки тому +1

    Ethiopia

  • @zinabal-dubae3551
    @zinabal-dubae3551 2 роки тому

    Ethiopia

  • @asminamzamilu2550
    @asminamzamilu2550 2 роки тому

    Ethiopia

  • @mwannerichard1419
    @mwannerichard1419 3 роки тому

    Zanzibar