DAKIKA 30 NZITO ZA MKURUGENZI WA MATI SUPER BRANDS LTD NA FM MANYARA.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 48

  • @dailantz4073
    @dailantz4073 2 місяці тому +1

    Mungu hana mubariki sana mulokozi na mati kwa sababu moyo safi kuwafikilia wengine sana na kuwasaidia wengi na juudi zaidi

  • @jacksonkabaata6011
    @jacksonkabaata6011 11 місяців тому +5

    Mungu akufanye kuwa tajiri zaid ya hapo MULOKOZI much respect brother 🙏

  • @irineadisa7289
    @irineadisa7289 11 місяців тому

    Have Learned alot from him at the age of 45 l'll do better from now,thank you soo much Mulokozi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @NakembetwaKitundu-tn7xx
    @NakembetwaKitundu-tn7xx 6 місяців тому

    Mb hazijaenda bure aaiissee,Big up sana Mr Mulokozi

  • @StellaNoel-b9s
    @StellaNoel-b9s 11 місяців тому

    Mlokozi mm mama kutoka Mtwara,nafuatia sana mazungumzo yako nakuelewa sana mm Mungu yuko mikononii mwako,akupe maisha marefu,

    • @StellaNoel-b9s
      @StellaNoel-b9s 11 місяців тому

      Kinywaji mpaka huku mtwara kilo?

  • @KudisalaShija
    @KudisalaShija 11 місяців тому

    Tunashukuru kwa Elimu nzuri ya ujasiriamali

  • @EsterMwiru
    @EsterMwiru 11 місяців тому +2

    Mungu azidi kukubariki sana mkurugezi wetu

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 11 місяців тому

    Nafurahi sana nikiona mtu anatumia mkono wa shoto.. Mulokozi ni Mashoto mwenzangu.

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz 11 місяців тому +5

    Nipenda sana hii kushirikiana watu mawazo ili wote mfaidike nitwatafuta kinywaji kunywa nvhi ni kizuri kiweza kupatikana hapo tanzania mnaweza kuwa no one nikija nitakuja hicho kinywaji aunaeeza kutuma mjaribu ii muweza kufikiria nina imani msaada watu kufanya pamoja ndio maana mafanikio makubwa wengine wachoyo kutumia watu good det mind Mungu hawabariki sana sana tiumuhunge mkono watanzania wote

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz 11 місяців тому +1

    Hongera sana Ubarikiwe sana

  • @charlesmarwa6513
    @charlesmarwa6513 11 місяців тому

    Mbarikiwe Sana niokota pointi kadhaa

  • @stellapaul4844
    @stellapaul4844 11 місяців тому

    Hongera kaka kwa kutuelimisha kibiashara

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Місяць тому

    Uyu sawaa

  • @jamesmassamakeri2418
    @jamesmassamakeri2418 11 місяців тому +2

    Asante boss

  • @Shabbaentertainmet9382
    @Shabbaentertainmet9382 Рік тому +2

    Pigania uko vizuri MTU Wangu

  • @victorsamaytu3487
    @victorsamaytu3487 11 місяців тому

    David uko vzr, wish ufungue hospitali uwatibu watu afya zao kama ulivyowatibu kwenye vinywaji, Mungu akulinde ktk biashara yako

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 8 місяців тому

      Daah ila ww jamaa umejaa majungu balaa 😂😂😂😂

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 11 місяців тому +2

    Mulokozi ni genius

  • @JosephJohanson
    @JosephJohanson 11 місяців тому

    Hongera sana brother

  • @PaulHondi-hl8sz
    @PaulHondi-hl8sz 11 місяців тому

    Nimependa hiyo 🎉

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 11 місяців тому +2

    Dada ana utulivuuu wakuulizwaa maswalii atafika mbaliii

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 11 місяців тому +2

    Namuelewa sana uyu mwamba

  • @lissavalence169
    @lissavalence169 2 роки тому +2

    Naam safi

  • @evancekimath7405
    @evancekimath7405 11 місяців тому

    Zi is the best

  • @othmanali7408
    @othmanali7408 11 місяців тому +1

    Watanzania wengi tunaogopa kufanya kitu kwa kuogopa kuanguka na ndio maana watu wengi wakitaka kufanya biashara wanaangalia mtu alofanikiwa kufanya biashara fulani kisha na yeye ndio ataanza kufanya hiyo .
    Mtu anaogopa kutumia kichwa chake kwa kuwanza kuanzisha kitu fulani anajiuliza huenda nikaanguka yani icho kitu kinatulemaza sana .

    • @aminakassim831
      @aminakassim831 11 місяців тому

      Tatizo kila mtu anakimbilia kwenye kufungua maduka ya nguo sijui viatu nawakati kuna fursa za ufugaji,kilimo mambo kibao

  • @BlessedEnough-o4l
    @BlessedEnough-o4l 11 місяців тому +4

    Huyu mtangazaji ni kichwa sana, ametulia na anauliza maswali yenye tija sana.

    • @rasvegas8991
      @rasvegas8991 11 місяців тому

      Kabisaaa mtangzajiii yupo vzurii mawswaliii

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 8 місяців тому

      Hapo ndo ataonekana zaidi, kesho au keshokutwa atakuwa sehemu nzuri zaidi.

  • @Shabbaentertainmet9382
    @Shabbaentertainmet9382 Рік тому +2

    Kweli Mati ni pana

  • @erickshayo1363
    @erickshayo1363 2 роки тому +3

    💪💪💪

  • @MosesZakaria-q8v
    @MosesZakaria-q8v 11 місяців тому

    Nimejifunza vingi kutoka kwa huyo braza

  • @mzidalifazaid4389
    @mzidalifazaid4389 2 роки тому +2

    Mambo Ni moto

  • @jumachambega
    @jumachambega 9 місяців тому

    nakubari san

  • @stellapaul4844
    @stellapaul4844 11 місяців тому +1

    Hakika ni kweli

  • @sofiachamwigu7458
    @sofiachamwigu7458 4 місяці тому

    Niko na milon 50 sijui nifanye biashara gani

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 11 місяців тому +1

    Asante

  • @doristusepile6792
    @doristusepile6792 11 місяців тому +1

  • @Shabbaentertainmet9382
    @Shabbaentertainmet9382 Рік тому +2

    Nikweli mkurugenzi

  • @JOHARISIZYA-sh6fp
    @JOHARISIZYA-sh6fp 11 місяців тому +1

    Mkurugenzi anatumia jiana gani kwenye mitandao ya kijamii

  • @MartinRupia
    @MartinRupia 11 місяців тому

    Mimi Nina mipango lkn cna mtaji nimejiajiri nahitaji msaada wako

  • @shenazissa7490
    @shenazissa7490 11 місяців тому

    🙏🙏👍👍

  • @edwardlubega5428
    @edwardlubega5428 11 місяців тому +1

    Madini ya kutosha

  • @bintsuletv4095
    @bintsuletv4095 2 роки тому +2

    Mati ni Pana

  • @Udindigwa
    @Udindigwa 11 місяців тому +2

    Point tupu