Mch Yohana Magembe - SIKU ZA MWISHO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • Ibada ya Jumatano Jioni katika kanisa la Gospel Campaign Centre TAG Majumbasita Ukonga - Dar es salaam chini ya Mch Moses Magembe.
    Ujumbe: SIKU ZA MWISHO
    Andiko: 2 TIMOTHEO 3:1
    Mnenaji: MCH YOHANA MAGEMBE
    Tarehe: 23.08.2023

КОМЕНТАРІ • 39

  • @user-mp4mq3lv5m
    @user-mp4mq3lv5m 3 місяці тому

    Amen ubalikiwe kwasomo nzuri

  • @akothchristine4752
    @akothchristine4752 10 місяців тому

    Amen

  • @idilisaAzuluni
    @idilisaAzuluni 10 місяців тому

    Barikiwa baba

  • @abelchristopher7337
    @abelchristopher7337 10 місяців тому

    Ameni

  • @user-rb8cp8eh5u
    @user-rb8cp8eh5u Рік тому

    Mungu wa Mbinguni akubariki sana Mtumishi

  • @user-ou9zs3tl3z
    @user-ou9zs3tl3z 9 місяців тому

    Bwana ahendelee kuwa funuliya ili sisi kizazi chaleo tupate kupona.

  • @nikusekelakajumba7697
    @nikusekelakajumba7697 Рік тому

    Mungu akubariki Sana huwa nainuliwa Sana na masomo yako, Asante Sana

  • @taitusjohn1197
    @taitusjohn1197 Рік тому

    Ubarikiwe mtumishi hakika nabarikiwa na injili hii,naomba mwendelezo wa Somo hili Kwa mambo manne yaliyobakia

  • @methodiakyelanga2545
    @methodiakyelanga2545 Рік тому

    MUNGU AKUBARI SANA MTUMISHI kwa ujumbe mahususi!

  • @nuhukihwele3023
    @nuhukihwele3023 Рік тому

    Ubarkiwe sanaaa mtumishi, Yesu akupake mafta zaidi na zaidi

  • @FideliChubwa-jw4cr
    @FideliChubwa-jw4cr Рік тому

    Hongera sana pastor kwa somo zuri Mungu akubariki.

  • @davidmembedalamethepsalmis2885

    Ameen mtumishi wa MUNGU barikiwa Sana

  • @cornelgwarda3849
    @cornelgwarda3849 Рік тому

    Amina mtumishi mbona Kama vile umenyoa kidunia maana wengi husema mungu ansangalia moyo sihukumu Ila Kuna andiko msifuatishe namna ya dunia hii au

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 Рік тому

      Umemwangalia vibaya, mbona amenyoa vizuri tu

    • @esterpeter8556
      @esterpeter8556 10 місяців тому

      Na iyo Pete kubwa tunaogopeshana

  • @robinermsigalla9341
    @robinermsigalla9341 Рік тому

    Nimebarikiwa sana na somo zuri, mchungaji Yohana, naomba tumia au tafsiri kwa kiswahili ili tubarikiwe zaidi, amen 🙏🙏🙏

  • @evelinaamani4389
    @evelinaamani4389 Рік тому

    Ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu

  • @DancanEsena
    @DancanEsena Рік тому

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @alex_vincent
    @alex_vincent Рік тому

    HALLELUYAH

  • @ShukuruHangi-re3gs
    @ShukuruHangi-re3gs Рік тому

    Amen amen 🇦🇺

  • @user-sh8xp5dn3w
    @user-sh8xp5dn3w Рік тому

    Tnabarikiwa sana

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 Рік тому

    A brilliant man of God. Son of pastor Magembe (majembe).

  • @erastobayyo6938
    @erastobayyo6938 11 місяців тому

    😂😅🎉❤😂😮😅

  • @sautikuu212
    @sautikuu212 Рік тому

    Kwa hiiyo kanisa TAG GCC ndio limekuwa kanisa linaloongozwa na familia tupu. Baba mchungaji, mama na mtoto ni wachungaji wasaidizi.

    • @erickmutungi8792
      @erickmutungi8792 Рік тому

      Ndugu hayo ni mawazo yako tu,wala hakuna kitu kama hicho na suala la uchungaji sio la kifamilia,kama angelikuwa hajaitwa tusingeona tunayoyaona MUNGU akiyatenda maana MUNGU hajidhihirishi kwa watu ambao hajawaita na pili sio watoto wote ila ni mmoja tu kati ya wengine ambao ni kweli kabisa MUNGU amemwita,pia ingelikuwa wamechaguana bado tusingemwona MUNGU akijidhihirisha,tatu kwa kukusaidia tu tambua kabisa siku hizi kuna usaliti mkubwa sana hata makanisani, unakuta unaanzisha kazi kwa machungu makubwa na mateso mengi halafu from no where wanatokea watu kuiharibu kirahisi....sasa na MUNGU kwa kuliona hilo huwa anaandaa mtu mapema wa kusimama na kazi hiyo,sasa haijalishi atatokea wapi, halafu kwani ikitokea mtoto wa Mtumishi yeyote wa MUNGU,akarithishwa kazi ya mzazi wake na MUNGU kwani kuna shida gani?,ikiwa MUNGU kapenda hivyo?, shida ni mtazamo tu, halafu wakati mwingine ni vizuri ukatafuta mtu anayehusika na kumwuliza kuliko kuyaongea bila kuwa na uhakika wa kinachoongelewa na pia usipojua sababu ni kheri ukanyamaza mpendwa usije ukamkosea MUNGU.

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 Рік тому

      @@erickmutungi8792 umetoa maelezo marefu sana lakini nilichokisema kiko sawa kabisa. Kwanini asiende kufungua kazi mpya? Pia kuna wito wa aina mbalimbali wengine wanaitwa na wazazi wao ili kulinda maslahi yao

    • @AnithaMgeni
      @AnithaMgeni Рік тому

      Kipi kizuri arithi kazi njema au wabaki kusema watoto wa wachungaji wameharibika? Angeimba bongo fleva mngesema vibaya .sasa anafanya jteba bado ni baya jamani? Tumwogope Mungu na tuzidi kumwombea afanye vizuri zaidi.

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 Рік тому +1

      @visionofeagle1329 kwa hiyo wewe ndio una funguo za wokovu?

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee Рік тому

      Mimi ningependa hata kama watoto wake wote warithi kazi ya baba yao. Uchungaji ni wito siyo ajira. Pia mchungaji Magembe kafungua makanisa mengi sehemu mbalimbali na kaweka wachungaji Sasa sijui kama nako kaweka watoto wake.

  • @sarabura8933
    @sarabura8933 Рік тому

    Vua iyo pete pia usiweke mkono mfukoni itoshe kusema ubarikiwe kwa kumtumikia MUNGU

  • @robertsilington-cu4dz
    @robertsilington-cu4dz 11 місяців тому

    Amen

  • @kiruhurajeremie5211
    @kiruhurajeremie5211 Рік тому

    Amen

  • @DancanEsena
    @DancanEsena Рік тому

    Amen