KWA TANZANIA NIMEKUWA ASKOFU MKUU WA KWANZA KUHAMISHWA | HII ILINIUMIZA SANA | MUNGU ANAJUA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 тра 2024
  • Askofu Mkuu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi OFMCap akielezea safari ya Miaka 25 katika Utume wa Uaskofu ndani ya Kanisa Katoliki | Picha hizi zinatengenezwa na TUMAINI MEDIA. Matumizi yoyote ya picha hizi ni marufuku bila idhini kutoka TUMAINI MEDIA
    Hakimiliki © Tumaini Television - Haki zote zimehifadhiwa.Tafadhali Endelea Ku- Subscribe akaunti hii na bonyeza alama ya Kengele ili kupata taarifa zetu kwa wakati sahihi.

КОМЕНТАРІ • 39

  • @FredrickKabura-gd7hg
    @FredrickKabura-gd7hg Місяць тому

    Mwenyezi MUNGU akujaalie afya njema baba askofu, aponye maradhi yako akunyooshee mapito yako, mapaji ya roho mtakatifu daima yawe pamoja nawe amina.

  • @fredynyandoro4266
    @fredynyandoro4266 Місяць тому

    Amin Baba Adkofu. Tunakuombea afya njema na mafanikio mema katika Utume.

  • @user-zq7gw4ik7g
    @user-zq7gw4ik7g 2 місяці тому +2

    Mungu akutune Askofu wetu .wewe ni mtu wa maendeleo sana.

  • @TheresiaAndrea-hv9dg
    @TheresiaAndrea-hv9dg 2 місяці тому +5

    Nakubaliana na maneno yako kuwa baba we myamwezi. Mungu azidi kukulinda na kulilinda Kanisa, na zaidi Yeye aongezeke kwa nyakati zote Amina

  • @eudesjonasbukhay9437
    @eudesjonasbukhay9437 Місяць тому

    Kweli Mungu ana jua...Tulikupenda sana Mbulu...binafsi nilikupenda sanaa Mwl wangu wa mwaka wa malezi(Chief formator wangu)Nakuombea afya njema na utume mwema wakutukukuka daima...nayakumbuka maneno yako"Bidii kama mwanzo" na "Mungu yupo tumtumainie"

  • @FredrickKabura-gd7hg
    @FredrickKabura-gd7hg Місяць тому

    Karibu unyamwezini Baba askofu.

  • @rogathesarwatt
    @rogathesarwatt 2 місяці тому +1

    Nakukumbuka Sana Tulifanya kazi nikiwa karibu na wee

  • @user-cf4cs9qp1k
    @user-cf4cs9qp1k 2 місяці тому

    Amina baba

  • @maxmilliannoel2605
    @maxmilliannoel2605 2 місяці тому +1

    Amina .

  • @rahelmsuya7271
    @rahelmsuya7271 2 місяці тому

    Authentic speech

  • @JohnLewanga
    @JohnLewanga 2 місяці тому

    Ruwa'ichi. Baba Mhashamu Askofu jina hili ndiyo njia kwako na kwetu Waumini! Mungu awapokee wazaizi mikonono, ama vipi awape Kila tunalo takiwa kama wako hai. Ila awape vyote. Amina!!!

  • @irenelyimo4443
    @irenelyimo4443 2 місяці тому

    Mungu aendelee kukupigania kukulinda na kukuheshimisha.Alichokiweka Mungu ndani yk uyatekeleze anakusidi nawe.Hongera sn Mh. Bb Askofu mMkuu❤

  • @FrankAloyce-ic6rq
    @FrankAloyce-ic6rq 2 місяці тому

    Safi Baba askofu

  • @simonmaziku4235
    @simonmaziku4235 Місяць тому +1

    Alitaka saana ukadinali ila ndo hivyo @

  • @YohanaMbano
    @YohanaMbano 2 місяці тому

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-so9fo5tv3j
    @user-so9fo5tv3j 2 місяці тому

    Stay blessed Askofu Mkuu Ruwaichi

  • @user-uk4bd4eq7z
    @user-uk4bd4eq7z Місяць тому

    🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @rogathesarwatt
    @rogathesarwatt 2 місяці тому +1

    Hii imetokana na Mama Kwenda kwa papa

  • @nzioka.n1675
    @nzioka.n1675 2 місяці тому

    Mhashamu askofu usijali

  • @JohnLewanga
    @JohnLewanga 2 місяці тому

    UKWELI wa kuishi dunia. Amina

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 2 місяці тому +4

    Baba Askofu Mkuu Thadeus ni baba wa mikakati. Mbulu uliacha ujenzi wa Kanisa kuu, Jimbo kuu la Mwanza umetuachia ujenzi wa Kanisa Kuu (cathedral), Jimbo kuu la Dsm mmeanza harakati za ujenzi wa Cathedral mpya badala ya St. Joseph. Ni dhahiri kila ulipokanyaga umeacha alama ya unyayo wa Bwana wetu Yesu Kristu! Hakika Ruwa`chi MUNGU ANAJUA !

    • @gishigrace97
      @gishigrace97 2 місяці тому

      Yes exactly may Almighty God bless Ruwaichi abundantly in Jesus name

    • @olivasafari1059
      @olivasafari1059 Місяць тому

      Kanisa kuu la kupalizwa Bikira Maria Mbulu, lilijengwa na Askofu Nikodemus Hhando wa Mbulu na sio Thadeus.

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Місяць тому

      @@olivasafari1059 Ubarikiwe kwa ufafanuzi huo,, ahsante sana

  • @frankngajilo7137
    @frankngajilo7137 2 місяці тому +1

    Ana akili mingi sana .anakaa kimya muda mrefu akiongea tu neno moja kamaliza

  • @josephatevarist1822
    @josephatevarist1822 2 місяці тому

    Inaonekana dodoma ulipata changamoto kubwa....but hongera sana Baba🎉

  • @CANAANTZ_TV
    @CANAANTZ_TV 2 місяці тому

    TYK
    Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp
    1=Maombi ya kuvunja madhababu za kichawi
    2=Maombi ya kuzima mashambulizi ya kuzimu
    3=Maombi ya vita vya kiroho
    Bonyeza picha kushoto mwa comment hii

  • @erastuskajuna812
    @erastuskajuna812 2 місяці тому +2

    Hivi tukumbushane! Askofu mkuu Rugambwa hakuhamishiwa DSM toka Bukoba? Kama alihamishwa kwa kuwa alipata ukadinari mbona Rugambwa wa sasa bado yuko Tabora?

    • @user-jd8nr1ub7o
      @user-jd8nr1ub7o 2 місяці тому +1

      Lakini Cardinali Rugambwa alipata ulardinali 1960 na alihamia Dar es Salaam 1968 (miaka 8 baadae). Inaonekana kabisa kilichompeleka Dar siyo ukardinali. Ingekuwa ukardinali isingechukua miaka 8. Pili, hakuwahi kutamgazwa kuwa Askofu mkuu- niliwahisikia hii.

    • @richardboniphace1305
      @richardboniphace1305 Місяць тому

      Sio lazima kuhamia Dar maana kila jimbo lina mamlaka yake.

  • @pacetimer6441
    @pacetimer6441 Місяць тому

    Kanisa Biashara siku hizi

  • @georgekilwa2051
    @georgekilwa2051 Місяць тому

    wakubwa walikuona pale ulipomtendea vibaya yule wa haki na aliekua mtu wa upande wako mimi binafsi sitakuekewa kabisa

  • @godfreymokoki1027
    @godfreymokoki1027 2 місяці тому +1

    Kondoa ulitupenda sana, pamoja na uchache wetu kumbe ulikuwa na mchakato wa Kondoa kuwa JIMBO KATOLIKI na ikawa hivyo na hatutakuangusha kamwe kusudi lako jema na takatifu..

  • @ebenezerlawuo6667
    @ebenezerlawuo6667 2 місяці тому +1

    runda meku

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 2 місяці тому +1

    Kwani hutaki kuhamishwa umejenga au

  • @francisngalimoto7552
    @francisngalimoto7552 Місяць тому

    Vijana tunasema wewe n jembe

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l 2 місяці тому

    Aaaahahahaaa unajuwa ukiwa kiongozi haitakiwi kujipangiya mahali popote wewe nikutumikiyatu

  • @TheresiaAndrea-hv9dg
    @TheresiaAndrea-hv9dg 2 місяці тому

    Nakubaliana na maneno yako kuwa baba we myamwezi. Mungu azidi kukulinda na kulilinda Kanisa, na zaidi Yeye aongezeke kwa nyakati zote Amina