KWA TANZANIA NIMEKUWA ASKOFU MKUU WA KWANZA KUHAMISHWA | HII ILINIUMIZA SANA | MUNGU ANAJUA
Вставка
- Опубліковано 13 тра 2024
- Askofu Mkuu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi OFMCap akielezea safari ya Miaka 25 katika Utume wa Uaskofu ndani ya Kanisa Katoliki | Picha hizi zinatengenezwa na TUMAINI MEDIA. Matumizi yoyote ya picha hizi ni marufuku bila idhini kutoka TUMAINI MEDIA
Hakimiliki © Tumaini Television - Haki zote zimehifadhiwa.Tafadhali Endelea Ku- Subscribe akaunti hii na bonyeza alama ya Kengele ili kupata taarifa zetu kwa wakati sahihi.
Mwenyezi MUNGU akujaalie afya njema baba askofu, aponye maradhi yako akunyooshee mapito yako, mapaji ya roho mtakatifu daima yawe pamoja nawe amina.
Amin Baba Adkofu. Tunakuombea afya njema na mafanikio mema katika Utume.
Mungu akutune Askofu wetu .wewe ni mtu wa maendeleo sana.
Nakubaliana na maneno yako kuwa baba we myamwezi. Mungu azidi kukulinda na kulilinda Kanisa, na zaidi Yeye aongezeke kwa nyakati zote Amina
Kweli Mungu ana jua...Tulikupenda sana Mbulu...binafsi nilikupenda sanaa Mwl wangu wa mwaka wa malezi(Chief formator wangu)Nakuombea afya njema na utume mwema wakutukukuka daima...nayakumbuka maneno yako"Bidii kama mwanzo" na "Mungu yupo tumtumainie"
Karibu unyamwezini Baba askofu.
Nakukumbuka Sana Tulifanya kazi nikiwa karibu na wee
Amina baba
Amina .
Authentic speech
Ruwa'ichi. Baba Mhashamu Askofu jina hili ndiyo njia kwako na kwetu Waumini! Mungu awapokee wazaizi mikonono, ama vipi awape Kila tunalo takiwa kama wako hai. Ila awape vyote. Amina!!!
Mungu aendelee kukupigania kukulinda na kukuheshimisha.Alichokiweka Mungu ndani yk uyatekeleze anakusidi nawe.Hongera sn Mh. Bb Askofu mMkuu❤
Safi Baba askofu
Alitaka saana ukadinali ila ndo hivyo @
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Stay blessed Askofu Mkuu Ruwaichi
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Hii imetokana na Mama Kwenda kwa papa
Mhashamu askofu usijali
UKWELI wa kuishi dunia. Amina
Baba Askofu Mkuu Thadeus ni baba wa mikakati. Mbulu uliacha ujenzi wa Kanisa kuu, Jimbo kuu la Mwanza umetuachia ujenzi wa Kanisa Kuu (cathedral), Jimbo kuu la Dsm mmeanza harakati za ujenzi wa Cathedral mpya badala ya St. Joseph. Ni dhahiri kila ulipokanyaga umeacha alama ya unyayo wa Bwana wetu Yesu Kristu! Hakika Ruwa`chi MUNGU ANAJUA !
Yes exactly may Almighty God bless Ruwaichi abundantly in Jesus name
Kanisa kuu la kupalizwa Bikira Maria Mbulu, lilijengwa na Askofu Nikodemus Hhando wa Mbulu na sio Thadeus.
@@olivasafari1059 Ubarikiwe kwa ufafanuzi huo,, ahsante sana
Ana akili mingi sana .anakaa kimya muda mrefu akiongea tu neno moja kamaliza
Inaonekana dodoma ulipata changamoto kubwa....but hongera sana Baba🎉
TYK
Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp
1=Maombi ya kuvunja madhababu za kichawi
2=Maombi ya kuzima mashambulizi ya kuzimu
3=Maombi ya vita vya kiroho
Bonyeza picha kushoto mwa comment hii
Hivi tukumbushane! Askofu mkuu Rugambwa hakuhamishiwa DSM toka Bukoba? Kama alihamishwa kwa kuwa alipata ukadinari mbona Rugambwa wa sasa bado yuko Tabora?
Lakini Cardinali Rugambwa alipata ulardinali 1960 na alihamia Dar es Salaam 1968 (miaka 8 baadae). Inaonekana kabisa kilichompeleka Dar siyo ukardinali. Ingekuwa ukardinali isingechukua miaka 8. Pili, hakuwahi kutamgazwa kuwa Askofu mkuu- niliwahisikia hii.
Sio lazima kuhamia Dar maana kila jimbo lina mamlaka yake.
Kanisa Biashara siku hizi
wakubwa walikuona pale ulipomtendea vibaya yule wa haki na aliekua mtu wa upande wako mimi binafsi sitakuekewa kabisa
Kondoa ulitupenda sana, pamoja na uchache wetu kumbe ulikuwa na mchakato wa Kondoa kuwa JIMBO KATOLIKI na ikawa hivyo na hatutakuangusha kamwe kusudi lako jema na takatifu..
runda meku
Kwani hutaki kuhamishwa umejenga au
Vijana tunasema wewe n jembe
Aaaahahahaaa unajuwa ukiwa kiongozi haitakiwi kujipangiya mahali popote wewe nikutumikiyatu
We SI mkatoliki huwezi elewa.
Nakubaliana na maneno yako kuwa baba we myamwezi. Mungu azidi kukulinda na kulilinda Kanisa, na zaidi Yeye aongezeke kwa nyakati zote Amina