Link mimi uwa nakubali xna mara nyingi lazima nikufatlie xna inshot bandle langu uwa unalimaliz xna ,uko vzr bro big up xna ,hata watangazaji uwa wanapenda kukufata maana ake wanajua unavitu kichwani ,
Ilaa tatizo ambalo waandishi mnatakiwa kujifunza ni kuaandaa maswali yako mazuri na makini kwaajili ya jamii, neno ambalo kalitamka alikiba anawezakulifafanuaa mwenyewe, yeye cha kusifiwa ni kwamba kaongeza ajiraa kwa jamii.
Naomba usajiliwe Basata mjomba angu hau fanya jitihada zote ili uhakikishe utafanya kazi Basata wasanii bado ni wagonjwa wanyimwa haki kwa hiyo wanahitaji Basata mpya ambae ni wewe mjomba Dudu.
Unafail sana bro, watu awaangalii tuzo ela kakangu ndio inasakwa. Ishu ya volunteering/internship ni muhimu sana uwezi taka mshahara wakati performance ziro. We ujasikiliza radio mpya unaaza lalama tuu wezako wapo ikulu wanakula bakia apoapo. Wenzako wanajiongeza wewe unabaki nyuma bakia apoapo.
Acha kuongea pumba wewe hujui chochote ngoja tukupe ukweli ulivyo wasafi ni ya Diamond sasa wakati anafungua mawazo ta radio akamfata kusaga kwakuwa kusaga ni mhasisi katika mambo ayo akapewa shule na kusaga ndio watu wa kwanza kuwa na frequence nyingi za radio ivyo Mondi akapewa freq na kusaga kupata shea kama sehemu ya wasafi ambaye mwenye shea akawa mkewe ila kwasasa walishatoka wasafi na Mondi ana asilimia zake zote na ndio mmiliki halali
Alafu we dem huna sababu tusikutukane kuma bako kwaiyo wewe ulitaka ali kiba usifunguwe redio naona kila siku content yako redio ya ali kiba kuma wee tafuta content nyengine matako yako wewe redio ndo ishafunguliwa kama umetumwa kuichafua redio ya ali kiba basi mwambie na baba yako afunguwe kama rahisi
Una point nzuri ila hukuwa na sababu ya kumtukana. Mtangazaji kauliza maswali mazuri yenyekuleta ufahamu kwa wengi na konki kayajibi vizuri na kutoa ushauri pia.
We presenter unatangaza vizuri una rafudhi nzuri but shida yako moja kubwa sana na usipo angalia itakukost unapokuwa unafanya mahijiano na mtu haumpi tention kabisa mtu anaongea wee kama unawaza vitu vingineee na sometime unangalia na pembeni kabisa hiyo ni shida bint acha hiyo kitu kabisa
kwa nini kila mkizungumza kitu chochote lazima muweke wasafi ndani huu niujinga na niutuma pia ushamba sana kwani hao peke yake ndio wakona medias stupid). tanzania you have to stop this. everything wasafi everything wasafi ((FAN CULO tuti quanti)) Il.
Media ndo imefunguliwa juzi hio ya crown leo ya 2 halafu unaanza kuikosoa hata haijafika wiki kama watapata wapi mtangazaji wa musoma yaani unataka kupika wali mchele tayari maji yamenda kuchota waje waupike haujapikwa bado domo lishafumbuka linataka kula mchele mbichi wacha hizo subiri uone mwenendo wake halafu ukosoe pimbi wewe
Yaani inabidi wakuweke baraza la sanaa kama mshauri🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Broh dudu upo makin upo
Smart sana maana nilikuwa
Siyajui hayo yote kuwa radio
Na tv inakuaje kwa kupiga
Hatua mzuri kimafanikio
Kaongea point sana dudu baya
Dudubaya unajuwa kuhongea sana bro . Ww ndo mtu pekee ninaye fata interview tanzania mzima
Konki master umetema madini sanaa binafsi nimekuelewa
Dudu is delivering like he's pregnant much respect legend your talk is not cheap
Huyu mwamba anafahamu mambo mengi sana, ni kichwa kweli kweli❤
Bro dudubaya uko sawa
Mwenye sikio na asikie na aelewe,,akili kubwa sanaaaaa
Dudu baya, unafaa kuwa mchambuzi kwenye TV na RADIO. Naomba uchukuliwe na TV kubwa unafaa sana.
IMEFIKA WAKATI SASA DUDU BAYA APEWE NAFASI YAKE, MIMI NAMUONA ANAWEZA KUWA BALOZI MKUBWA KATIKA MAKAMPUNI MENGINE KAMA WANAVYOPEWA MACHAWA.
muwe mnaweka hta feni kwa mbele bas mkiwa mnahoji watu, mtu anajifuta jasho mudaaa wtee mpka kero ,utazani mnahojiana kwny shimo
Kweli kabisa
Mtangazaji yuko vizuri
Kama namuelewa flan ivi dudu 🤔
This dude is droping wisdom
Huyu dada huwa nampenda mimi jamani, hiyo sauti😢😢😢
Huyuu jamaa hanaga unafikii ndio mana hua namsikiliza hafungamani upandee wowotee sio kama akina baba levo✌️✌️✌️✌️
Dudu inabidi uwe Mzee wa baraza
umeona eee
Feni feni feni mnamtesa legend pls msitafute habari at his expence pls
apo kweli like basi kwa dudu baya
Dudu baya is very wise
Kwani media ni ya music tu
Konki master ana akili pevu
Interview nzuri sana
This bro, ana exposure kubwa . Tasinia anaijua sana
Link mimi uwa nakubali xna mara nyingi lazima nikufatlie xna inshot bandle langu uwa unalimaliz xna ,uko vzr bro big up xna ,hata watangazaji uwa wanapenda kukufata maana ake wanajua unavitu kichwani ,
Dudu ana watambua majizi wote
😂😂😂😂
Kaka yet dudu baya tunakupenda mno ukiojiwa
Kiukweli yupo vizuri anafaa sana
Alikiba mchukue dudubaya mpe kipindi kwako
Mtangazaji bure kweli huyu ila konki ni noma
Well said brother
Sana dudu
Huyu Jamaa yupo sawa...
nakapenda haka kabinti sijui nitakapata vipi♥️♥️🤔
Wewe mdada kwanini unakaa na kutunga maneno ya kijinga Eti RADIO IMEKUJA KUSHUSHA BRANT YA RADIO ZINGINE , Huna cha kusema au?
Jamaa akili kubwa sana🙌
Diamond alipo pigiwa simu aliulizwa ungependa tupige wimbo upi wako akasema ipigwe nyimbo ya zuchu kusaga akamwambia nyimbo wako wew diamond akachagua yope
na yope yenywe ni ile remix ya inosby ft diamond na bado ile ilikuaga inapigwa tu kwsabb ni ya inosby ft mond
Konki konki konki master
jo ndo mwenye wasafi media hii nimeelewa sasa
Yn mnavyo ipambanisha wasafai na iyo yankibakuli cjui kwann yn yote i ili kuifanya ijulikane iyo y nn kibakuli
Dudu unajua kuelezea poit
Pia muulizeni aliferi wapi
Dudu kasema
Dudu baya ashaanza kuwa binadamu cku hz😂😂😂
Radio ya alikiba ni ya kikwete hiyo
Hata wasafi sio ya mondi 😂😂😂😂 Wabongo bwana mtu hakitoka Mara Freemason hata itv sio ya mengi peke yake alikuwa na share na waingereza
Oya uyu mwamba uwa namkubali sanaaaaaaaaaaaaaa,hapepes linatemaga cheche tuuuuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ilaa tatizo ambalo waandishi mnatakiwa kujifunza ni kuaandaa maswali yako mazuri na makini kwaajili ya jamii, neno ambalo kalitamka alikiba anawezakulifafanuaa mwenyewe, yeye cha kusifiwa ni kwamba kaongeza ajiraa kwa jamii.
Kachooka sana
Ukiweka chumvi .zembwela Mzulu..na wale wawili waliobaki.kitakuwa kipindi Bomba na pendwa sana
Bongo wanajua mambo ya wengine Kuliko ya kwao😂😂🏃🏃🏃🏃
Yani bora walale njaa lakini wasikose habari zawatu 😂😂 kazii ipo TZ
@@Jibambeshow254k Wapuuzi sanaa
@@blockchain1203 😂😂
Konki master
Baraza lina hangaika nawatu wasio kua na maneno yenye busala na watu wapo mahili kama hawa hawaprwi nafasi
Huyu dada mtangazaji ndie kanifanya hadi nika subscribe mbengo ❤
Yaani nampenda huyu dada asee sijui anaitwa nani nimfollow hata kwenye akaunti zake😢
@@josephk90 wallah mm pia nampenda na roho yangu yote, mtto mzuri mstaarabu na anaelewa kazi yake
Huyu mwamba ndo angekua waziri wa Sanaa majizi yangekoma
Kwakweli nimeelewa uzalendo ni vitendo siyo maneno
Kiba kafungua kimsukumo nakushawishiwa siamin kama ilikua ndoto yake
Ni msukumo kutoka upande wa pili
Soma story pale mange Kimambi
Sio yake matajir wamemfata wakamshwawishi kuumia jina lake..ndo maana ata jina sio kings radio
Wanadamu bana Yani mnajua watu kuliko wanavyojijua waa
Mange kasemaje kwan kaak@@nahyialetomia9284
Crown media is there to promote King Kiba's Music and record label. That's the business plan.
Ni sawa na kuwekeza hela kwa biashara yako. Maana kiba kamwaga mpunga mrefu sana.
Nikwambie kitu dogo?
Wewe binti ulikuwa wapi???
Jamaa ni kisima Cha busara
Huwa wanamlipa?😅
Dada mtangazaji pls nisaidie namba yako ya cm nimekupenda kwakweli❤❤
Dudu baya una madini sana hebu media zisikuache wakupe kitengo unaweza una akiri sana
Simplicity , yaani unakataa kitu lkn unakifanya .
Nikweri
Dudu akili kubwa kuliko wanavyofikir watu
Naomba usajiliwe Basata mjomba angu hau fanya jitihada zote ili uhakikishe utafanya kazi Basata wasanii bado ni wagonjwa wanyimwa haki kwa hiyo wanahitaji Basata mpya ambae ni wewe mjomba Dudu.
Haya yote tutayapitiya😂😂
Tatizo mnaandikaga habari ya uongo sikuzoye
Tatizo unachanganua biashara yenye haikuhusu
Wasafi ni kusaga
Unafail sana bro, watu awaangalii tuzo ela kakangu ndio inasakwa. Ishu ya volunteering/internship ni muhimu sana uwezi taka mshahara wakati performance ziro. We ujasikiliza radio mpya unaaza lalama tuu wezako wapo ikulu wanakula bakia apoapo. Wenzako wanajiongeza wewe unabaki nyuma bakia apoapo.
Wasanii wabongo mapicha picha tu kupenda kutumika kwenye vitu vyawatu alafu wanakufa masikini. Hanauwezo wakifungua redia wametumia tujinalake. Ata diamonde wasafi sioyake nia kusaga atalikiba nihayohayo
Tupe ushahidi
Acha kuongea pumba wewe hujui chochote ngoja tukupe ukweli ulivyo wasafi ni ya Diamond sasa wakati anafungua mawazo ta radio akamfata kusaga kwakuwa kusaga ni mhasisi katika mambo ayo akapewa shule na kusaga ndio watu wa kwanza kuwa na frequence nyingi za radio ivyo Mondi akapewa freq na kusaga kupata shea kama sehemu ya wasafi ambaye mwenye shea akawa mkewe ila kwasasa walishatoka wasafi na Mondi ana asilimia zake zote na ndio mmiliki halali
Kabsa maana weny makomwe wanaxmbua xana
Wew yako ni ipii .....km unayajuwa hayo ungelala njaa kweli😂😂
Tuliza mkundus shoga ww
Alafu we dem huna sababu tusikutukane kuma bako kwaiyo wewe ulitaka ali kiba usifunguwe redio naona kila siku content yako redio ya ali kiba kuma wee tafuta content nyengine matako yako wewe redio ndo ishafunguliwa kama umetumwa kuichafua redio ya ali kiba basi mwambie na baba yako afunguwe kama rahisi
Una point nzuri ila hukuwa na sababu ya kumtukana. Mtangazaji kauliza maswali mazuri yenyekuleta ufahamu kwa wengi na konki kayajibi vizuri na kutoa ushauri pia.
unamtusi mschana hivo ALafu naona jina lako ni issa ,,mwezi mtukufu wa Ramadhan unatoa matusi hivi kwa sababu katajwa ali kiba😢
Duh mbona matusi hivyo...
Dudu baya unabaya
We presenter unatangaza vizuri una rafudhi nzuri but shida yako moja kubwa sana na usipo angalia itakukost unapokuwa unafanya mahijiano na mtu haumpi tention kabisa mtu anaongea wee kama unawaza vitu vingineee na sometime unangalia na pembeni kabisa hiyo ni shida bint acha hiyo kitu kabisa
Siyo kweli
kwa nini kila mkizungumza kitu chochote lazima muweke wasafi ndani huu niujinga na niutuma pia ushamba sana kwani hao peke yake ndio wakona medias stupid). tanzania you have to stop this. everything wasafi everything wasafi ((FAN CULO tuti quanti)) Il.
Kwani wasafi ni ya baba yako isitajwe
Futa jasho na shingo😆😆
Acha usenge wewe😂😂😂
Njoo Lindi ulime upupu utapata pesa siokuponda ponda wevip tunakuona kama chizi ujue
Lindi mtwara siyo!
Acha kumchalazia dudu baya anaongea ukweli tena point tupu
Tuliza mkundu shoga ww
Sikiliza vizuri kabla uja comment
Media ndo imefunguliwa juzi hio ya crown leo ya 2 halafu unaanza kuikosoa hata haijafika wiki kama watapata wapi mtangazaji wa musoma yaani unataka kupika wali mchele tayari maji yamenda kuchota waje waupike haujapikwa bado domo lishafumbuka linataka kula mchele mbichi wacha hizo subiri uone mwenendo wake halafu ukosoe pimbi wewe
Huyu jamaa hajakosoa media anatoa ushauri tu tena baada ya kuulizwa
We dudu mavi umeishiwa Sasa unaingilia maendeleo ya watu kwanza ndevu chafu
Huyu kaishiwa C mwanamuziki huyu
Mbona ajaongeya vibaya dudu
Kaka Dudu ahana contact number? nahiitaji