"NAMPENDA SANA PAULA, SIJAWAHI KUPENDA KIASI HIKI" - MARIOO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024
  • "NAMPENDA SANA PAULA, SIJAWAHI KUPENDA KIASI HIKI" - MARIOO
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 132

  • @debbylitina3480
    @debbylitina3480 Рік тому +10

    Napenda hiii Couple, Mwenyezi Baba GOD aendelee kuwalinda.....

  • @DeboraKyembela
    @DeboraKyembela Рік тому +17

    Ni vizuri mfunge ndoa ndio muanze kuishi pamoja. Lakini Nawashauri muokoke, mmpokee Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yenu nanyi mtakua salama..
    Yesu anawapenda!!..

  • @shery-bf8xh
    @shery-bf8xh Рік тому +32

    Marioo yuko in love bana nyiee achani makasiriko kila mtu anapitila na pia akuna mwenye hana ex ❤❤❤❤

  • @nahimagingo1289
    @nahimagingo1289 Рік тому +11

    Mungu ayalinde mausiano yenu 🙏🙏🙏🙏♥️

  • @aselaabeli853
    @aselaabeli853 Рік тому +11

    Waoooo couple yenuuu idumuuuu Sana mnapendezanaaaa❤️❤️❤️❤️

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Рік тому +7

    Kawaida sana na ndo maisha ya kibongo wanawake wetu tunawaburuza me namchukua nampa mshikaji wangu we unamchukua na wewe unampa mshikaji wako yani poa alafu bahada ya mda tunawakanyagia

  • @user-gj2mm3ko8m
    @user-gj2mm3ko8m 3 місяці тому +2

    ❤❤❤❤❤❤Paula mashallah .

  • @user-vx7ov2nc3v
    @user-vx7ov2nc3v Рік тому +5

    Waah marioo sawa baba nakuombea mudumu asikumwage na ww cheza part yangu ikiicha mshikaj mwengne ataingia Kwa mechi paula tulia n marioo usiwe kama mpira Kila mtu anapepeta

  • @witnesslaurent4817
    @witnesslaurent4817 Рік тому +4

    Nawapenda sana marioo na paula

  • @Bosco_manizzo
    @Bosco_manizzo Рік тому +1

    Mariooo katekwa ,WE uledipu kbs🎉

  • @bakarikisuda4948
    @bakarikisuda4948 Рік тому +19

    Maisha yakisanii nimaisha ya hovyo sana,,,

  • @StelaDayran-lw1vs
    @StelaDayran-lw1vs 8 місяців тому +1

    Marioo hicho chombo lazma uzdishe upendo ❤

  • @AnneMosandric
    @AnneMosandric 3 місяці тому +1

    Congratulations ❤

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 Рік тому +17

    Nampendaga uyu kaka wallah ❤❤❤❤❤

  • @christinajohn2256
    @christinajohn2256 7 місяців тому +1

    Marioo usishindwe mkazie mtoto huyo akikukimbia utakuwa chizi kinoma mpe vitamu❤❤ paka ajione kwenye yupo peke yake nakukubali mtu wa show

  • @assinaassina1177
    @assinaassina1177 Рік тому +6

    Marioo nawapenda sana Allah awape killa lakheri

  • @fatumasaidi2592
    @fatumasaidi2592 Рік тому +14

    Wasanii wetu wa bongo hawana ishu zaidi ya hayo 😂 yani wanaboa🇨🇵

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 Рік тому +2

      mahusiano Jambo la kawaida hata huko ulaya wapo hivyo

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Рік тому

      Sio wasanii wote wana mambo hayo wako walio makini

  • @lulutweve3516
    @lulutweve3516 Рік тому +1

    Mungu awalinde mweee mufike mbali

  • @marthiasmasasi5819
    @marthiasmasasi5819 Рік тому +1

    Wah that's great you tow lovers

  • @user-db7kr1tt6c
    @user-db7kr1tt6c Рік тому +2

    Nyinyi wabongo acheni kuhadaika na Dunia kumbuken mungu ndyo Kila kitu siyo munapost upumbavu tu juweni Kuna mungu ndyo Kila kitu

  • @ShedrackMalatu-yc7dg
    @ShedrackMalatu-yc7dg Рік тому +2

    Mungu awabarki mfunge ndoa

  • @user-el4fr2bn9i
    @user-el4fr2bn9i Рік тому +1

    Dada Yupo Kazini Uyo atafuta Hela ..Ampede tuu ...Mwenye Mkono Mrefu Ndo anokula

  • @fridhausmeju-gi6po
    @fridhausmeju-gi6po Рік тому +8

    Woow .marioo usimuumze paula bac

    • @lulually5209
      @lulually5209 Рік тому +1

      Thubutu yy ndio ataumizwa subiri uone

    • @nihadshighadi4095
      @nihadshighadi4095 Рік тому

      @@lulually5209 alishaumizwa na mimi mars alipoenda kwa daimond,ashazoea

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Рік тому +1

    Mario na paulla ❤

  • @nadyndgfdg1926
    @nadyndgfdg1926 Рік тому +1

    Marioo❤❤❤

  • @SolangeAksanti
    @SolangeAksanti 3 місяці тому

    Apige mistari kali,ataweza paula

  • @irmgardsamia1827
    @irmgardsamia1827 Рік тому +6

    😂😂😂😂 ah Yani Paula huyu huyu wakumpeleka hivi marioo 😂

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 Рік тому +2

    Baaad pau❤❤❤

  • @nagrethcherles9199
    @nagrethcherles9199 Рік тому +2

    Wasafi mnapenda mushenee

  • @nanajoseph2356
    @nanajoseph2356 Рік тому +2

    Napenda couple yenuu 😍

  • @stanleymartin2943
    @stanleymartin2943 Рік тому +22

    Ila muacheni kwasababu hata akiachwa ndio ataandika vizuri kabisa kabisa kwenye nyimbo

  • @rachelaisha5084
    @rachelaisha5084 Рік тому +2

    Vizuri saaan Allah awa lindie penzi letu

  • @user-yb1fz5wt2o
    @user-yb1fz5wt2o Рік тому

    Nawapenda wote💕💞

  • @sarahhassan9997
    @sarahhassan9997 Рік тому +2

    Ayo mahusiano n ya mdaa TU

  • @SandreAlhlwah-bv1cx
    @SandreAlhlwah-bv1cx Рік тому +1

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉❤❤❤

  • @flinchclassic1531
    @flinchclassic1531 Рік тому +1

    Kwaiyo marioo anamuita harmonize babamkwe sio

  • @saidynkunya8656
    @saidynkunya8656 Рік тому +2

    Duuuuh zamu yangu akitoka marioo

  • @RukiaSelemani-ye9xm
    @RukiaSelemani-ye9xm Рік тому

    Uyo marioo mshamba

  • @SimonMdetemi
    @SimonMdetemi Місяць тому

    Nakubali Mimi shabiki yako

  • @user-xx6zf6xy5h
    @user-xx6zf6xy5h Рік тому

    Mungu awalinde

  • @abuuabdillahtv8457
    @abuuabdillahtv8457 Рік тому +4

    Zinaa mnaitangaza live

  • @winifridamutashubirwa6332
    @winifridamutashubirwa6332 3 місяці тому

    Mungu.alinde.penzi.lenu

  • @AfroMedic
    @AfroMedic Рік тому +5

    Wakiachana hii itakuwa vibu kubwaaa 😂😂😂

  • @lulually5209
    @lulually5209 Рік тому +6

    Marioo wewe kwa sababu sio handsome kumpata mtt mzuri km Paula lazima uchachawe kwa sababu hukutegemea

    • @assmamohd2876
      @assmamohd2876 Рік тому +1

      Jmn 🤣🤣🤣pesa inamfanya mtu awe handsome bhna

    • @bahathmuro7145
      @bahathmuro7145 Місяць тому

      Ni handsome Mario sana

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Рік тому +1

    Niitieni Baba Levo December inakaribia😎🙎‍♂️

  • @Mr_moneyu
    @Mr_moneyu Рік тому

    good nice

  • @musaogira8375
    @musaogira8375 Рік тому

    wasanii wa bongo washamba sana

  • @uwimana940
    @uwimana940 Рік тому +4

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @chantalmwavita7402
    @chantalmwavita7402 Рік тому +1

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @mariamosaideabdo9953
    @mariamosaideabdo9953 Рік тому +1

    Tó assistindo o programa direito de 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @ThomasMgeni
    @ThomasMgeni Рік тому +1

    Marioo

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Рік тому +5

    Aya na mkiachana usiache kuja fanya interview hpa😅😅😅😅

    • @FatmaMwinyi-jt2rr
      @FatmaMwinyi-jt2rr Рік тому

      😅😅😅

    • @FatmaMwinyi-jt2rr
      @FatmaMwinyi-jt2rr Рік тому +1

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😊😊😊😊😊😊😊😊umenichekesha sana yaan

  • @habbyhalawa5266
    @habbyhalawa5266 Рік тому +4

    Mmbwa ww Siku ukiachwa n izo nyimbo zako z mapenz utaimb mwaka mzima bila kupumzika

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt Рік тому

    ❤❤❤❤❤❤

  • @husseinomary-dg1wx
    @husseinomary-dg1wx Рік тому +2

    Hahahaha hao madem zao wakupokezana hahahah

  • @wakhanucentrine3439
    @wakhanucentrine3439 3 місяці тому

    The BADDIES ❤❤

  • @NeemaMaseke-wc9qi
    @NeemaMaseke-wc9qi Рік тому

    ❤️❤️❤️❤️

  • @PhilomenaSteven-tq2tx
    @PhilomenaSteven-tq2tx Рік тому

    Mmm yetu 😮😮😮😮

  • @user-dj1iw4qx6v
    @user-dj1iw4qx6v Рік тому +1

    Mmependazan jaman

  • @user-kh2du4ww2p
    @user-kh2du4ww2p 11 місяців тому

    Sisi tuliopitia mahusiano mengi tunaijua ihii ya mariooo

  • @naazizimuniss989
    @naazizimuniss989 Рік тому +1

    Abby girl acha utoto sasa unataka uone nini kwenye cm ya mario huamin basi mnatupotezea mb zetu

  • @sarhafrancis8824
    @sarhafrancis8824 Рік тому +1

    💖💖💖💖👄

  • @gichimujef8806
    @gichimujef8806 Рік тому +5

    Wasanii wa bongo mafala sana

  • @PurityUchi
    @PurityUchi 4 місяці тому

    Na ashatimiza

  • @mwezzireen17
    @mwezzireen17 Рік тому +2

    Kiki tu🤣🤣🤣🤣🤣

  • @gloryemmanuel165
    @gloryemmanuel165 Рік тому

    For life 😂😂😂 isn't which 😂😂😅

  • @hadjrahkhalfan3584
    @hadjrahkhalfan3584 Рік тому +3

    Mmhhh pumbafu zako ww marioo bado una mapenzi na mim mars ila baada ya kukataliwa kule na ulivyo mbaya kuweka vipini puani kma mwanamke sas umempata paula apo kajikuta mwamba saaana mbwa wewee😅😅 nasubir siku utaachwa na hio team mother and daughter njo utatuimbia wimbo mzuri saaana tena kwa hisia za kweli hapana kuigiza

  • @juniormfikilwa
    @juniormfikilwa Рік тому

    me nachekaga tu😂

  • @Younger_00
    @Younger_00 Рік тому

    😮

  • @muanashaswaleh5110
    @muanashaswaleh5110 Рік тому +1

    Ikekua wewe watongoza Paula unge ficha Paula mzuri jamani

  • @RukiaSelemani-ye9xm
    @RukiaSelemani-ye9xm Рік тому

    Mama mtu ajielew mtt nae ajielew apo apo uyo marioo ankj ebu jitambue

  • @user-dw5pr8sh8k
    @user-dw5pr8sh8k Місяць тому +1

    Paula usimfanye mtoto wa watu kuwa chizi mapenzi

  • @lm6373
    @lm6373 Рік тому +1

    Mario jichunge na waizi kuwa kama Achraff hakimi

  • @RamadhaniMapema-bm7cp
    @RamadhaniMapema-bm7cp 2 місяці тому

    Acha apende jamni

  • @allykisoma6512
    @allykisoma6512 Рік тому

    Nkpnd sanapaula

  • @lm6373
    @lm6373 Рік тому +1

    Mario jichunge kwa paola na mama yake hao ni hatari kuwa kama Achraff hakiki

  • @hidayaabdallah4291
    @hidayaabdallah4291 Рік тому +2

    SI aliolewa au ilikua kiki sijaelewa

  • @thewiseoptions6208
    @thewiseoptions6208 Рік тому

    Bro ukiishiwa hela utaniambia.

  • @IssaMrisho-rd3tf
    @IssaMrisho-rd3tf Рік тому

    Mfunge ndoa sasa

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 9 місяців тому

    Unahaki manaake nae kakukubali bila kufanananae

  • @kassimahmed7937
    @kassimahmed7937 Рік тому

    Keshazoea vizee mara hii machel ajiachie

  • @marysaituni4584
    @marysaituni4584 Рік тому

    Hakuna mapenzi wala kupendana hapa stop fooling people.. anaependa wala hatangazi.. kwani mapenzi yamekuwa mziba?? 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @invisibleguy-ct6mg
    @invisibleguy-ct6mg Рік тому

    Unafiki tu😂😂😂

  • @georgekadaga
    @georgekadaga Рік тому +2

    Uupuzi tu

  • @mrrajjy
    @mrrajjy Рік тому

    Gisi ameanza kuja huko hakiamungu atabaki nawatu waukotu anaisha kupata upepo mkibiaha mniite lucifer nipo nawasubiria hanzeni kueaabia leo

  • @ashminaabdulla8946
    @ashminaabdulla8946 Рік тому

    Mmmh bongo noma duh

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 Рік тому

    Ngoja wwkufilisi hao na mama yake na hapo mamaake nae utampenda

  • @salmayusuph227
    @salmayusuph227 Рік тому

    Umepelea Dogo kabisa

  • @nihadshighadi4095
    @nihadshighadi4095 Рік тому +2

    ❤❤❤❤🔥

  • @aminamar2575
    @aminamar2575 Рік тому

    Kiki iyo

  • @spencermwavita
    @spencermwavita Рік тому

    Hakui kupenda MTU ety Na wakati ulee alikua akiimba nyimbo za kulia vile akiachwa atalia Zaidi hahaha mariooo

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Рік тому +1

    TAFUTA HELA UTAMBE,,,HATA HUYO HAKUWA HIVO

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 Рік тому +1

    Toto jinga sana hili, unaenda date kicheche, vipi wewe dogo!!

  • @mathiasmanonga3939
    @mathiasmanonga3939 Рік тому +1

    Uongo huo hakunaga mapenzi ya gafra hivyo yakadumu ngoja nyege ziishe na mihemko ya hisia ikate uone kama hayo anayoyasema kama yataoneka kabla hujmla demu unakuwa na maneno mengi matamu ili aingie king tu

  • @victormbugobola802
    @victormbugobola802 Рік тому +3

    Wasamiii wa bongo wanakiki za kijinga Tena wakisha sifiwa kuwa wamekuwa wakubwa nyooooo

  • @josephinelwamlema7331
    @josephinelwamlema7331 Рік тому

    Muongo anampena mimi mars huyo..ni kisasi tuu

  • @ashurajuma2024
    @ashurajuma2024 Рік тому

    Bongo sihami wee sio Kwa mapichapicha haya

  • @odenlwila8390
    @odenlwila8390 Рік тому

    Asa we marioo si under dog tu wewe ndio maana imepagawa na paula rayvanny ana pendwa na hao wayu warembo usipime huyo paula kwani maye mrembo c kaibuliwa na vanny boy

  • @azizaabeid2055
    @azizaabeid2055 Рік тому +2

    Mhhh kiki hizi huyu ninavyoona Mimi huyu Paula SI mwanamme wake isipokuwa ni kiki Paula kashachuwa chake mapema anawaachia wadadisi wa mitandao wamuongezee views hongera Paula kwa ubunifu wako mjini

    • @MapenziLawama-km6nq
      @MapenziLawama-km6nq Рік тому

      Kwan jaman huyo anaehoji ni zuchu au ni nan? Kwaiy na yy anahoji?

  • @DCUTEMAHELLAHMAHELLAH-iw8wx

    Aaaaaaaaaaaaah