@@shaddycollins9760 Acha kufuata wazungu na ufuate mafundisho ya Mungu kw mitume waliposema Mungu ni mmoja tu na tusiwaabudu ila Mungu wa pekee, ingekuwa ukiristo ni dini nchi inayotokea mitume wengi wangekuwa wakiristo kama wewe
Mazinge wewe ulikua mkristo lakini ukatoka Sasa umeamua kupiga ukristo vita nisawa tu, wewe Ni sawa na Yule mwana mpotefu ile siku utatamani kuokoka mda utakua umeisha, Amos 8:11, nakuhurumia Sana Tena Sana,,
@@ahmadakishingo1935 ole wake mazinge maana hajui anacho fanya, mahali alipo anaelekea motoni direct, Kuna siku atatamani kumpokea kristo kumuokoa lakini itakua ngumu, Biblia tu ndo neno la mungu, mungu hawezi Leta Biblia alafu baadae alete Quran iche ipinge Biblia, Biblia tu ndo neno la mungu, maisha yangu yote sitaamini kitabu chochote isipokua Ni Biblia, Qur'an Ni uchawi sio neno la mungu, qoran 74:24 Qur'an 2:102, kulingana na Quran malaika wawili walishukisha uchawi,
@@shaddycollins9760 ww utapotea na utazidiii kupoteza, yesu hajui dinii Inaitwa ukristo wala hajawahi kusikia, hiyo ni dinii ya warumi waliyo laaniwa na Munguu. Wataka kujua zaidii kuhusu ukristo nitafutee nitakufungua machoo. Hapa ndipo pa ukweliii na uzimaa wa milele na kamaa wataka kuongozwa na shetani maamuzii ni yakoo. Soma waefeso 1:13 utapataa ukweliii
Sasa nyinyi mapasta mwatuchanganya. Vipi mtu mmoja anaweza kuwa na sura mbili kama shilingi? Huyu Paulo amezingirwa na fafanuzi mbili zinazogongana kabisa. Basi enyi Watu wa Kitabu, mtafuata aliyofundisha Yesu au Paulo? Basi najisalimisha kwa Mola aliyetakasika na porojo za hao makafiri.
Mambo alofanya paulo Muhammad hakufanya hata jambo moja,paulo aliishi maisha matakatifu hakuwahi kuoa mke wa mtu kama muhammad(Zainab) na wala hakuoa katoto ka miaka6(aisha) alihubiri injili yenye nguvu kwa uweza wa Roho mtakatifu na alifanya miujiza mingi mnona alikufa kwa ajili ya kuitetea imani,,, Je nini kilimuua mohammad? Uroho wa nyama..alitiliwa sumu
chenge M. costantine mkiwa kanisani mnadanganya nahao wachungaji wenu ili wapate kujaza matumbo yenu mazinge anawalesheeni mpate kuelewa ila bado mpo kwenye kiza,nikuulize swali kuna andiko kwenye biblia linalosema kristo ni dini au yesu nimkristo
#chengeMcostantine ....Tatizo wakristo mnaongea kimdomo mdomo maandiko yako mbali nanyi ‘...!..Sheikh Mazinge anatoa MAANDIKO ya biblia...! Paulo a.k.a Saul of Tarsus ni Phylosophy mmoja ‘ mjanjamjanja ambae alikua ni FUNDI MATURUBAI na mtengeneza mahema (TENT MAKER) Ndio alianzisha ukristo yeye na WAPAGANI wa ANTIOKIA miaka 14 baada ya Yesu kupaa mbinguni ‘ Kwa mujibu wa maandiko ya biblia...! Sasa ww zingatia na ukasome maandiko’ usiwe mtu wa kufuata ushabiki..!
Halafu maandiko ya biblia yakipingana weye unafata lipi katika hayo? Utafata ya yesu au ya paulo? Naomba jibu moja tu kwa ufupi yupi unamfata? Halafu anashindwa kumtetea paulo katika biblia anaanza kutafuta qurani! Je kaiamini qurani? Km kaamini asilimu tu maana qurani inasema. " HAKIKA DINI YA HAQI KWA MWENYEZIMUNGU NI UISLAMU" haya silimuni basii
Sinagogi maana yake Ni msikit wa yahuti mbona hawakusema msikit wa waislamu, katika ufunuo Isha sema msikit Kama sio wawayahudi itakua Ni wa shetani, ufunuo 12:9,
@@kijanahodari2080 soma zaburi147:1, mathayo 21:12 yesu akaingia hekaluni, maana ya hekalu Nini Kama sio kanisani,, Mimi Niko na swali Biblia inasomwa msiktini ama kanisani,
@@ahmadakishingo1935 wewe mwenyewe hujielewi umekamatwa na waarabu, Biblia maana yake Ni maandiko matakatifu, ushawaiona kitabu chochote kimeandikwa Biblia ikiwa Haina neno la mungu, Qur'an inawapeleka jehanum wewe, Qur'an 27:82_2:223:
#josephmtemi ....Kweli Kwa sababu msikitini hatufichi maandiko’ Biblia ukiisoma kikanisa Kanisa matokeo yake Ndio Hayo...!...mnaacha maandiko ya biblia mnafuata maneno ya kiushabiki ya wachungaji....! ...Kasome imani yako kanisani hapa ni MAANDIKO tu...!
Yan haya ni maandiko😂😂😂yapo kwa bibilia🤣ila mnayakataa😂😂😂yani inasomwaje sasa bibilia mnasomaga mkiwa mmekunywa mvinyu😂😂😂nyie makafir haya maandiko yanatoka kwa bibilia sio Qur'an.. Qur'an haina michangaiko Quran ni haki na ni nuru na nimuongozo kutoka kwa Allah
Mimi pia nilikuwa mmoja wao nilipoteza mda kuingia Sunday school kudanganywa na nikawa sugu ila nilipo fanya uchunguzi for 2 yrs nikagundua hakuna nabii aliye leta ibada za kanisa kumuabudu Yesu,kusujudia sanamu na kuvaa misalaba
Huyu mazinge anafanya kaz kubwa na nzr..allah amlipe malipo makubwa....
Tafadhali tumia herufi kubwa kutumia jina la Allah
Shukran kazi zenu nzuri sana mungu awazidishie elmu ❤️❤️❤️🇺🇸
ManshaAllah masheikh wa kislamu n mungu anawaona kwmba mnaeneza diini tukufu la kiislamu n mnawafungua mandugu ztu kikiristo macho lkn hawaoni kitu
Shukran mazinge waelimishe hao wakiristo kwa kua Paulo sio mtume wala mpango huo haupo
Chapeni kazi ya Allah bila kuchoka nasisi tuko nyuma yenu kuhakikisha dini ya Allah inafika kwa kila mtu
mashaallah Allah bariik my brothers
Mazinge mashallah Allah hakupe pepo inshallah kaka yangu
Amin
Mashallah Allah azidi kuwapa afya njema namuendelee nakazi hii kuwafungu hawa nduguzetu walio potea 🇶🇦🇶🇦
Ni pepo tu juu yako kwa Allah hamna lengne.sheikh Suleiman
Mansha Allah bro sulayman Mazinge he explained everything in detail and easy to understand May Allah reward him abundance
Mashallah Shk. Mazinge na wenzako Allah awalipe kheri Inshallah
MASHAALLAH 🙏 🤲 TABARAKALLAH ♥️❤️
MaShaaAllah 🙏
Watanyooka tu mazige baba lao
@Samantha Ali Mazige Baba lao 👏👏👏
Mashallah
Mazinge 🙏💪
Iko sawa
Siku ya hukumu hakuna mkiristo atakataa kuwa hakuambiwa kuwa njia wanayo fuata ni ya shetani, Uislamu ndio dini ya haki kw Mwenyezi Mungu
Uache kujidanganya ndugu soma Quran soma vitabu zote za waislamu utapata ukweli,
@@shaddycollins9760 Acha kufuata wazungu na ufuate mafundisho ya Mungu kw mitume waliposema Mungu ni mmoja tu na tusiwaabudu ila Mungu wa pekee, ingekuwa ukiristo ni dini nchi inayotokea mitume wengi wangekuwa wakiristo kama wewe
mungu hawezi kutahiriwa na binadamu aliemuumba.
Wasipoelew leo bas ten Allah awaongoze ktk hak nawaifuate
#tumewapiga aise mm siwez kuacha Islam ata iweje
Wataelewa tu, Mazinge kiboko yao.
Mungu hawexo kunyaaaaa
Assalam alaikum Sheikh Yahya
Muhadhara mzuri sana but it just stopped in the middle of it. Haufiki hadi mwisho.
mbona haikuendelea basi hi mikafir itanyoka2 kwauwezo wa allah masheikhi wetu allah awape nguvu mudumishe jambo hili la kheir
Tegea muendelezo
Inshaallah.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Safi
Kijana nafurahi kweli kuona kila mjadala ume view na umeweka comment.
Mashallah, Allah akuzidishie elimu
Mshallah
Hawa wakristo kwni walifungwa macho ama vipi mpaka hawaelewi Bible yao enyewe
Wanaelewa ila wapuuza tu
Allahu Akbar ❤❤❤
The truth is there I don’t know why Christians can’t see it
Akuna dalili ya ukiristo ni dinii wafuata matamanio yao tu
There is a seal in their hearts and in their ears, they shall not see or hear. Pengine mungu awahurumie.
@@hanifaali9526 nyie mungu akufunulie uchue ukweli ucje ukaingia jehanum,
Wachugaji mbona munakaa mazezeta swali lipo wazi tu ametumwa Nanani wacheni miujza towa Aya mungu asema nimtume
@@ayushiabubakar1930 wamezoea uongo sasa kujibu pengine waongeze siasa ndani yake.
Mashallah shekh
Mazinge wewe ulikua mkristo lakini ukatoka Sasa umeamua kupiga ukristo vita nisawa tu, wewe Ni sawa na Yule mwana mpotefu ile siku utatamani kuokoka mda utakua umeisha, Amos 8:11, nakuhurumia Sana Tena Sana,,
maashlah mualim mzingejasakalahu khyr
Mazinge Mungu amempa macho na masikio nayo ameyatumia kuona na kuiskia haki
@@ahmadakishingo1935 ole wake mazinge maana hajui anacho fanya, mahali alipo anaelekea motoni direct, Kuna siku atatamani kumpokea kristo kumuokoa lakini itakua ngumu, Biblia tu ndo neno la mungu, mungu hawezi Leta Biblia alafu baadae alete Quran iche ipinge Biblia, Biblia tu ndo neno la mungu, maisha yangu yote sitaamini kitabu chochote isipokua Ni Biblia, Qur'an Ni uchawi sio neno la mungu, qoran 74:24 Qur'an 2:102, kulingana na Quran malaika wawili walishukisha uchawi,
@@shaddycollins9760 ww utapotea na utazidiii kupoteza, yesu hajui dinii Inaitwa ukristo wala hajawahi kusikia, hiyo ni dinii ya warumi waliyo laaniwa na Munguu. Wataka kujua zaidii kuhusu ukristo nitafutee nitakufungua machoo. Hapa ndipo pa ukweliii na uzimaa wa milele na kamaa wataka kuongozwa na shetani maamuzii ni yakoo. Soma waefeso 1:13 utapataa ukweliii
Kasina is totally only a comedian
Paulo alioteshwa namajini ambayo wengi wacungaji ndio ndugu zenu
A question, who among the disciples
of Issa their so called Jesus prayed as Jesus God or Son of God or anybody among Jews who did?
Sasa nyinyi mapasta mwatuchanganya. Vipi mtu mmoja anaweza kuwa na sura mbili kama shilingi? Huyu Paulo amezingirwa na fafanuzi mbili zinazogongana kabisa. Basi enyi Watu wa Kitabu, mtafuata aliyofundisha Yesu au Paulo? Basi najisalimisha kwa Mola aliyetakasika na porojo za hao makafiri.
Kweli wakrsto hwajijui Ataritupu
Patches ,after patches from the pastors
All prophets were middle eastern contrary to Paul is westerner (lahaula)
Mambo alofanya paulo Muhammad hakufanya hata jambo moja,paulo aliishi maisha matakatifu hakuwahi kuoa mke wa mtu kama muhammad(Zainab) na wala hakuoa katoto ka miaka6(aisha) alihubiri injili yenye nguvu kwa uweza wa Roho mtakatifu na alifanya miujiza mingi mnona alikufa kwa ajili ya kuitetea imani,,,
Je nini kilimuua mohammad? Uroho wa nyama..alitiliwa sumu
Utakufa kafiri wewe usie jielewa motoni wala hakuna wakukutetea hata huyo paulo wako hatokujwa kafiri mkubwa wewe
Hii mada huiwez omba msaad mchungaj mchanga😁😬😂
Mashaallah
Paul hakuw mtume Wala mwanafunz wa yesu
Paulo alitumwa na nimtume wa mungu hata Mohamad hafiki kwa utume wa paul nyinyi nikupotosha maandiko ya Paulo.
Ww hujuwi kitu bendera tu unafuata upepo kz kubiruwa maandishi tu kalamu ya mwandishi inakupotosheni
Pole sana ndugu,umeshindwa kuelewa yote hayp?
Umesoma kitabu chochote wewe, ama unajiropokea tu?
Kweli wakristo ni Mbumbumbu .Yani Somo lote hilo bado hakuna kitu ameshika ama kuelewa? Bonzo
@@chiefmkalikibz1503 mbumbu ni waislamu maana hakuna siku mutaambiana ukweli hata quran yenu ina jua Paul ni mtume wa mungu mutaenda motoni
Ujumbe umekatishwa
Maswali na majibu hakuna
Paul said was given his mission by Jesus so where is the allegation given by God , where was the instance and when?
And the so called pastors*
Si mtume wawazungu
And these called Pastors are conspiring to make patches and cover up of the truth
Shuklan
The blue shirted Kasina is attacking the shaikhs instead giving points and evidences
Mimi na naposikiza hoja nasikiza za waislam but wakristo Sisizi juu nikijalibu kuasikiza ua wanasema vitu vyauongo
Ww mkiristo ht hjw unaaema nn?kwanza hmn vitabu hivo citabu vimeandikwa na wayahudi
Hawa wachungaji ni wajinga sana😂😂😂
Masheikh wahuni sana nyie mnaowasema alafu mnatumia maandiko yao..tafuteni maandiko yenu ya kweli.😂😂😂😂...akili yake haichunguziki MUNGUBABA mnaweza mkajiona mpo sawa kumbe hamna kitu.
chenge M. costantine mkiwa kanisani mnadanganya nahao wachungaji wenu ili wapate kujaza matumbo yenu mazinge anawalesheeni mpate kuelewa ila bado mpo kwenye kiza,nikuulize swali kuna andiko kwenye biblia linalosema kristo ni dini au yesu nimkristo
@@hajimohamed9711 na wewe nikuulize andiko gani linasema mimi MUNGU wenu ni muislamu au mimi ni mkristo???ukilipata niletee
#chengeMcostantine ....Tatizo wakristo mnaongea kimdomo mdomo maandiko yako mbali nanyi ‘...!..Sheikh Mazinge anatoa MAANDIKO ya biblia...!
Paulo a.k.a Saul of Tarsus ni Phylosophy mmoja ‘ mjanjamjanja ambae alikua ni FUNDI MATURUBAI na mtengeneza mahema (TENT MAKER) Ndio alianzisha ukristo yeye na WAPAGANI wa ANTIOKIA miaka 14 baada ya Yesu kupaa mbinguni ‘ Kwa mujibu wa maandiko ya biblia...!
Sasa ww zingatia na ukasome maandiko’ usiwe mtu wa kufuata ushabiki..!
Niliandika unakuwa unajiamin🤣🤣🤣hawezi kukupa andiko Qur'an sababu huiyamin angesoma Qur'an ungesema uamin...anakufunza bibilia sababu we mwenyewe hujui bibilia yako
Halafu maandiko ya biblia yakipingana weye unafata lipi katika hayo? Utafata ya yesu au ya paulo? Naomba jibu moja tu kwa ufupi yupi unamfata? Halafu anashindwa kumtetea paulo katika biblia anaanza kutafuta qurani! Je kaiamini qurani? Km kaamini asilimu tu maana qurani inasema. " HAKIKA DINI YA HAQI KWA MWENYEZIMUNGU NI UISLAMU" haya silimuni basii
Sinagogi maana yake Ni msikit wa yahuti mbona hawakusema msikit wa waislamu, katika ufunuo Isha sema msikit Kama sio wawayahudi itakua Ni wa shetani, ufunuo 12:9,
Mbona hujatoa Yesu kaingia kanisani kuhubiri na kucheza ngoma?
@@kijanahodari2080 soma zaburi147:1, mathayo 21:12 yesu akaingia hekaluni, maana ya hekalu Nini Kama sio kanisani,,
Mimi Niko na swali Biblia inasomwa msiktini ama kanisani,
Je kitabu alichokuja nacho yesu ni biblia au injili ww kichwa maji
Mskiti huwa mskiti na kanisa huwa kanisa hata ukiwa mskiti wa wanyamwezi bado utakuwa mskiti
@@ahmadakishingo1935 wewe mwenyewe hujielewi umekamatwa na waarabu, Biblia maana yake Ni maandiko matakatifu, ushawaiona kitabu chochote kimeandikwa Biblia ikiwa Haina neno la mungu, Qur'an inawapeleka jehanum wewe, Qur'an 27:82_2:223:
You are talking to people who are Summum,bukmmum,u3myun as described in the Holy Quran what you expect?
Biblia haisomwi kimsikiti msiti😁😁😁😁👅👅👅
#josephmtemi ....Kweli Kwa sababu msikitini hatufichi maandiko’ Biblia ukiisoma kikanisa Kanisa matokeo yake Ndio Hayo...!...mnaacha maandiko ya biblia mnafuata maneno ya kiushabiki ya wachungaji....!
...Kasome imani yako kanisani hapa ni MAANDIKO tu...!
Yan haya ni maandiko😂😂😂yapo kwa bibilia🤣ila mnayakataa😂😂😂yani inasomwaje sasa bibilia mnasomaga mkiwa mmekunywa mvinyu😂😂😂nyie makafir haya maandiko yanatoka kwa bibilia sio Qur'an.. Qur'an haina michangaiko Quran ni haki na ni nuru na nimuongozo kutoka kwa Allah
Msiba wakristu amkeni
Mimi pia nilikuwa mmoja wao nilipoteza mda kuingia Sunday school kudanganywa na nikawa sugu ila nilipo fanya uchunguzi for 2 yrs nikagundua hakuna nabii aliye leta ibada za kanisa kumuabudu Yesu,kusujudia sanamu na kuvaa misalaba
Mashallah