003 HABIB MAZINGE...KATI YA PAULO NA YESU NI NANI MWANZILISHI WA UKRISTO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 301

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 роки тому +4

    Ukristo bila Uongo,Ushindani hauendi,Shukran Sana Ma Sheikh Wetu Kwa Mafundisho Mazuri Yasiyo na Shaka.

  • @aymanmbarouk6732
    @aymanmbarouk6732 3 роки тому +5

    Ao walokuwa hawajalike wote ni makafiri moto unawaita I am proud to be muslim Alhamdulillah😁

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 2 роки тому +1

    Yani dini yenu haieleweki aisee....mara Yesu ni dini mara ni njia Mara ni Mungu...mara Mtoto wa Mungu...

  • @onyokoreo7999
    @onyokoreo7999 4 роки тому +11

    Allah akupe Afya njema ili uwendelee kutangaza dini Inshallah

  • @jumakikanga6888
    @jumakikanga6888 4 роки тому +2

    Napenda sana daawa ya waadhiri HABIBI MAZINGE , SHEKH KINYOGOLI, DR SULE, wananikosha sana

  • @zainabrashid385
    @zainabrashid385 2 роки тому +1

    Jamani ni hatari Sana wakristu mna dhima mbele ya mungu mcheni mungu wa kweli acheni kubabaisha Moto unawahusu

  • @kibibirashid1414
    @kibibirashid1414 3 роки тому +2

    Mashallah yarabbi atujaalie tuwe n wenye kushinda n uislamu ndio Dini ya kweli Allah ata wapa nguvu muendelee kutangaza DNI y haki 🤲🏽

    • @joekajoba9593
      @joekajoba9593 3 роки тому

      Tubu kwa mungu achana na dini ya wongo islam

  • @hawasomane4222
    @hawasomane4222 4 роки тому +19

    Professor mazinge nakuamini sana. Utafaulu tu kwa uwezo wa Allah .tunawaombea dua kila siku

  • @munakupauline6437
    @munakupauline6437 3 роки тому +1

    Mdahalo ni mzuri unawajenga waumini katika kumjua mungu kwa pande zote za kidini

  • @allykeita704
    @allykeita704 3 роки тому +2

    Asante mwalim wa kiswahili wafundishe kiswahili kwanza

  • @kyakamutwalibu6157
    @kyakamutwalibu6157 7 років тому +17

    Mwenyezi Mungu awalinde Wenye mihazala Waisilamu

    • @swamabubakar8983
      @swamabubakar8983 6 років тому

      wallah wakristo mumepotea

    • @welsonlameckdodere4277
      @welsonlameckdodere4277 4 роки тому

      @@swamabubakar8983 Amepotea yeye anayemfuata ambaye hajui atakavyofanywa na hata hao wanaomfuata hajui watafanywa nini! Ana mashaka na kukata tamaa na njia take!! ( Qur'an46:9)

    • @alraident8068
      @alraident8068 4 роки тому

      @@welsonlameckdodere4277 Quran 46:9 isome uimalize. Usichaguwe kifungu cha aya ukasimamisha hoja yako.

    • @alraident8068
      @alraident8068 4 роки тому

      @@welsonlameckdodere4277 wewe mwenye huijui bibilia utajua Quran

    • @mwalimameir4305
      @mwalimameir4305 4 роки тому

      Mwalimu was kikristo mjanja sana katika kuwapotosha watu na hao wanaomshangilia maskini hawajui kama wanazidi kupotoshwa.

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 6 років тому +17

    After 14yrs is when u can follow someone?ahhhhhh...wakristo hamna lolote!

  • @peacefulabdhulhakeem3032
    @peacefulabdhulhakeem3032 4 роки тому +13

    UISLAMU NI NEEMA TOSHA!!!

  • @peacefulabdhulhakeem3032
    @peacefulabdhulhakeem3032 4 роки тому +12

    SAID UTHMAAN MAZINGE, NI ASADHULLAH!!!

  • @زهرغنيه
    @زهرغنيه 4 роки тому +11

    Najivunia kuwa mwislam

  • @brightonwashira5420
    @brightonwashira5420 5 років тому +17

    Waslaam dini ya Kweli kabisa

  • @hamidasaid8536
    @hamidasaid8536 3 роки тому +2

    Subhanallah hawa wamejikanyanga wa mwisho kakubali kuwa ukristo ni dini ya mwanaadamu

  • @hanifaali9526
    @hanifaali9526 6 років тому +9

    shida ya wakristo hawajui bibilia yao vizuri, NI kelele tu wanajua.

    • @ritanget9174
      @ritanget9174 4 роки тому

      Nyinyi ndio hamjui hata qurani yenu

    • @joekajoba9593
      @joekajoba9593 3 роки тому

      Am jui Quran ninini mutubu kwa bwana yesuChristo

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 2 роки тому +1

    Niwale wanaosema ss niwakristo sio Mungu alowaita wakristo hapa utapata ukristo wanaudai

  • @benderarulenge8898
    @benderarulenge8898 3 роки тому +1

    Walioazisha dini ni watu weupe, wala sio mwafika. Dini zote tumeletewa ndiyo jibu sahihi.

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese7724 5 років тому +8

    Hivi Wakristo Mnaohudhuria Mijadala Mpo Kwenye Mijadala Na Akili Zenu Au Mpo Hapo Akili Mumeziacha Nyumbani!!!!!!!!???

  • @ashfynahrasheyd6352
    @ashfynahrasheyd6352 5 років тому +10

    Yaa rabbi tufishe haliyakua waislamu tn mu'min ammin all muslim

  • @meekman1805
    @meekman1805 3 роки тому +1

    Maashallah!

  • @thechallangeboystheawadh5195
    @thechallangeboystheawadh5195 6 років тому +4

    Allahu Akbar Alhmdlillah kwa neema ya Uislamu na wewe ndugu mkristo unaweza kuws Muislamu pia ukitaka. Fungua maskio yako na moyo wako weka nia safi na Allah atakujaalia aufungue moyo wako aujaze Uislamu. Haya sio maneno yetu binadam bali ni maneno ya alotuumba mola wa viumbe vyote ALLAH

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 роки тому +1

    Subhallah wakiristo wanatumia sifa na cheo cha yesu ndio dini yao kwa kweli ukiristo ni msiba, munapotezwa na wachgungaji zenu nyinyi hko kwa makanisa

  • @minaminaa1669
    @minaminaa1669 6 років тому +7

    wakristo amuwezi waislamu ata mfanyeje islamu nidini ya nguvu

  • @safimabelle8230
    @safimabelle8230 4 роки тому +2

    Awa wakristo wote wanaabudu mizimu na mashetani na masanamu kanisani na paulo ni mtume wa mashetani na mizimu

    • @joekajoba9593
      @joekajoba9593 3 роки тому

      Wewe tubu mweye Ba islam mutubu

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 3 роки тому

      Tumsifu YESU mtumishi, warumi 2:1... barikiwa Sana mtumishi...waganga,mbona hutumia Quran??mbona marohani,hamwezi wakemea wamtoke mtu,mbona huwa mnawabembeleza??.... Quran 72..jini,linaweza penda nuru??? barikiwa Sana mtumishi.

    • @shabbymakapane1910
      @shabbymakapane1910 3 роки тому

      @@davismwamachi1145 WARUMI ni Maneno ya PAULO Sio ya YESU 😃😃😃

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 3 роки тому

      @@shabbymakapane1910 Tumsifu YESU mtumishi, mbona mwamchukia pàulo?? mathew 10:36..

  • @husseinyussuf1877
    @husseinyussuf1877 5 років тому +5

    Allah atawaongoza wakristo inshallah

  • @abassimakamechademakubwala5580
    @abassimakamechademakubwala5580 3 роки тому +1

    Eti kristo cheo kristo dini ni mtihani kweli

  • @idriskinye1190
    @idriskinye1190 2 роки тому +1

    Jaman shekhe kinyogori murimuuacha wp wap Ibrahim ana panick sana

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 2 роки тому +1

    Pasta kumbe huna akili wew Kristo imetajwa wapi ni dini 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mr.bokobokofamily6730
    @mr.bokobokofamily6730 7 років тому +3

    Masha'Allah
    Allah akubark mr.Akasha
    danke

  • @rashidhussein7614
    @rashidhussein7614 3 роки тому +1

    Allha akuongezee nguvu na akupe kheri hapa dunian na akhera pia inshllh

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 2 роки тому +1

    Maskini huyo Omar na shaibu wakate roho saiz maskini nawahurumia....watajuta majuto ya Hali ya juu....wallahi hawana bahati....mtachomeka milele motoni nyie chekeni Tu dunia hii fupi Sana....

  • @saidabdousoilihi696
    @saidabdousoilihi696 4 роки тому +2

    Si kwa islam...
    Tunaomba mgu mrudi kwa kwanisani bila makele......karibuni kwa waislam

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 2 роки тому +1

    Wakristo wanalazimisha Kila njia ni dini...

  • @ernestjames1766
    @ernestjames1766 3 роки тому +1

    mazinge nomaaaa

  • @zakiabachu5227
    @zakiabachu5227 4 роки тому +10

    wamezoea kudanganywa kanisani ukweli hawautaki hata kidogo mwisho ndio huu shauri yenu.

  • @mariamasike5312
    @mariamasike5312 3 роки тому +1

    Mashaallah

  • @jumakapera4829
    @jumakapera4829 7 років тому +17

    allah tunusuru wajawako

    • @aishacheto8566
      @aishacheto8566 4 роки тому +2

      Shekh mazinge fanya mdahalo na mapadri wakibwa Kama wakina gwajima

  • @abassimakamechademakubwala5580
    @abassimakamechademakubwala5580 3 роки тому +1

    Hivyo wakristo ndo mnawaelewa walim hao naona kama mambumbumbu flani hivi

  • @faqrudiinmedia8539
    @faqrudiinmedia8539 4 роки тому +3

    Nduzangu wakiristu tafadhalini musome ili muelewe kwa sababu ili ujue dini ya haki ni ipi na dini ya haki ni uislamu

  • @dennisngila7080
    @dennisngila7080 6 років тому +4

    Wo great seek th truth ad u will b free

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 4 роки тому +4

    Kwanza Leo wakristo hawajielewi ‘ wanajikaanga na mafuta yao wenyewe bila kujua kwamba Huwa wanadai Yesu ni MUNGU’ hahaaaa’ msirudie tena kusema Yesu ni MUNGU....!
    Kamwe huwezi kutetea Ukristo ‘ kuutetea ukristo ni sawa na kubeba GUNIA LA MISUMARI...!

  • @muslihmohd9420
    @muslihmohd9420 4 роки тому +2

    Yani swali alilouliza mazinge nlidhani ni dogo tu ila kumbe ni mzigo kwa wakristo

  • @andrekandeke98
    @andrekandeke98 4 роки тому +3

    Hiyo siyo hoja ndungu zangu wa Christu kama mumeshindwa kuteteya dini yenu!! My kubali kushindwa muna roho ngumu, haswa huyo kama Daniel à napiga kelele sana

  • @ramzanqarim4977
    @ramzanqarim4977 4 роки тому +2

    Wacheni kupumbaza watu ..way ni njia dunia nzima inaelewa ...na religion ni diini dunia inajua ...ndio maana huwa unaulizwa what is your religion huulizwi what is your way...watanzania someni kiingereza ma pastor wananwapotezeni kwa maandiko .

  • @alimaalima6016
    @alimaalima6016 7 років тому +4

    Allahubarik

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 2 роки тому +1

    Kubabaisha haimaanishi inamashaka wew inamaanisha ni ngumu kuitafsiri...nyie msitufundishe Quran yetu....bibilia yenu hamuisomi vizuri mwataka kuijua Quran...

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 6 років тому +7

    Maskini wakristo wanashangilia kutojua.Allah awaongoze.

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 4 роки тому +5

    Hahahaaaa’ Nilitaka kushangaa swali la Mazinge ‘DOCTOR OF DIVINE (DD) ulijibu kiurahisi rahisi’ ..!......Ukristo Sio Dini bali ni Jina....!

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 3 роки тому

      Tumsifu YESU mtumishi,quran 29:47.Amina.halafu doctor of divine ni mganga wa kumpinga pepo,,, deuteronomy 18:10..la hauls,kumbe ni doctor???Amina.

    • @arqamibnarqam.7185
      @arqamibnarqam.7185 3 роки тому

      @@davismwamachi1145 hamna kitu hapo

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 2 роки тому +1

    Paulo nimtume maajabu....

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 2 роки тому

    Nyinyi mnakufuru Sana Yesu jamani cio Mungu Yesu ni mtume midahalo ya nn kwani hamtumii hata akili ya kuzaliwa Yesu hawez umba mbingu na ardhi jamani sasa yesu alimuumba Adam...nayeye hata alikua hajulikani....nyie mtatujazia pepo bure...kaeni huko huko Kwa Kristo wenu....

  • @rashidmoche8709
    @rashidmoche8709 4 роки тому +3

    Kwanza hata biblia inayosomwa sasa hivi yesu haifaham kwa sababu wakati yupo duniani haikuwepo.

    • @bencarson1306
      @bencarson1306 3 роки тому

      Yaani waislamu wanapinga vitabu vyao,, Allah anasema wakristo ni wasomi hafu wamekuepo kabla ya dini ya uislamu,, Quran 2:62 Quran 5:82 ila chaajabu wanadai at hata Allah ameiga wapagani kwa kuwataja wakristo

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 2 роки тому

    Paulo ni mtume na malaika wenu kinanani haswa Nataka nimjue Israeli wenu mtoa roho....Nani sabu sio malakul mauti...sasa malakul maut Kwa Imani zenu potofu kamuuwa Mungu wake....sabu mnaamini Yesu kafa...

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 4 роки тому +5

    Mpaka kiama kitafika halototokea andiko Ukristo ni dini makafiri ukiwaomba andiko wanakwambia amezaliwa Mungu amewaletea Waisraeli mwokozi nae ni Kristo sasa ndio dini mbumbumbu hawa

    • @ritanget9174
      @ritanget9174 4 роки тому

      Dini ni nini Dini ni njia na yesu ndie njia ya kweli na uzima nipatieemahali pameandikwa Mohamad ndie Dini Yani njia ya kweli na uzima wa milele

    • @godisgreat1845
      @godisgreat1845 4 роки тому +3

      @@ritanget9174 Muhamad sio dini dini ni Uislamu hata Yesu alikuwa na desturi ya kuabudu wewe unafanya e kumfuata Yesu ili upate uzima wa milele na huyo baba ni nani ambaye utafika kwake kupitia kwa Yesu naomba ikiwa una andiko nipe au unafuata Yesu kwa fikra tu na ufuasi pia nambie

    • @ritanget9174
      @ritanget9174 4 роки тому +1

      @@godisgreat1845unajua mungu nini?kwanza elewa Bible ndio utajua Baba ni Nani?

    • @mwakakhamis9823
      @mwakakhamis9823 4 роки тому +1

      @@ritanget9174 mohammad ni mte na muislam sio dini na alikuja kuitangaza dini ya uislaam
      Allah akuongoe inshaAllah

    • @ritanget9174
      @ritanget9174 4 роки тому

      @@godisgreat1845 sasa mna fwata mtu hawezi kua njia njia ni yesu kama hauko kwa yesu motoni kwa shetani

  • @mussaseifabdullwahid341
    @mussaseifabdullwahid341 4 роки тому +1

    Hao wakiristo aanajuwa haswa km wanadanganywa .Mara Yesu ni Mungu mara maana wa Mungu akiwauliza Mungu anasulubiwa ?hmn jibu

  • @ostazhussein8591
    @ostazhussein8591 4 роки тому +1

    Ama kweli dini ya uislam ndo dini ya haki

  • @idriskinye1190
    @idriskinye1190 2 роки тому +1

    Hpo kwenye maswari Ibrahim kawap sifa

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 4 роки тому +5

    Hakuna aya inasema wakristo ni wacha Mungu bali ina sema miongoni mwao wapo wamchao Mungu na hao ni wale walioijua haki wakifuata sio nyie

    • @welsonlameckdodere4277
      @welsonlameckdodere4277 4 роки тому

      Hilo unaloongea, ni sawa na MTU aliyeacha kula nyama akanywa mchuzi wake,halafu akajinadi kuwa hajala nyama!! Kama wapo Wakristo miongoni mwa Wakriso wanao mcha Mwenyezi Mungu ,hao bado ni Wakristo tu!

    • @hilalhilal8400
      @hilalhilal8400 4 роки тому

      @@welsonlameckdodere4277 hujafahamu bado. Yaani hapo alipokuja Mitume. Saw. Walikua wapo wakiristo wanajua ukweli hawamfati paulo na wakisikia uislamu husilimu ndio wamchao Mungu sio wamchao yesu. Sasa weye humo unamcha yesu wala sio Mungu. Tena hao wamchao Mungu wanayajua kua atakuja Mtume Muhammad. Saw. Kwaio wakimsikia wanamfuata. Ndio ikiwadhihirikia kweli iliokuja huifuata

  • @petermuriithi493
    @petermuriithi493 4 роки тому +2

    mabishano ya nini kama kweli ndini yako ya kweli ifuate mwache mwenzio afuate yake Mungu apo na atatuokoa.....hubiria wanaokuskiza wengine sio kazi yako hatuwezi kua waislam sisi wote ama wakristo....

    • @mwakakhamis9823
      @mwakakhamis9823 4 роки тому

      Sisi tunajukumu la kuitangaza dini yetu Uislamu. Pia tukiona mtu yeyote hufuati haki ss ni lazima tukulinganie ili ufuate haki na ndio maana tunapingana na Ukiristo na kutafuta hoja zinazo onesha ukiristo sio dini
      Allah atie taufiki ndani ya moyo wako uongoke insahaAllah

    • @muslihmohd9420
      @muslihmohd9420 4 роки тому

      Sasa ukisema ivo utakuwa unamkosoa mungu kuwa katuma manabii kuwaonya watu kuhusu kumuabudu mungu mmoja,kama kila unachoabudu ni sawa mungu asingetuma mitume na manabii hemu wacha ushabiki ndugu yangu utaenda kuchomwa bure

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 3 роки тому

      @@mwakakhamis9823 Tumsifu YESU mtumishi,dini hazina uzima,, uzima umo ndani ya Yesu pekee coz mitume wote walikuwa wananena kuhusu Yesu,hata Musa...(.. john 5:26)..Amina Barikiwa Sana mtumishi.

  • @JamesBond-un6il
    @JamesBond-un6il 7 років тому +5

    Asante sana Akasha
    salam kutoka Holland

  • @idriskinye1190
    @idriskinye1190 2 роки тому

    Ibrahim awe2 anapeleka mada asiwe anajib maswari jaman mpka Mimi muislamu nashindwa kumuelewa

  • @achanifumos1093
    @achanifumos1093 2 роки тому +1

    Wacristo munapotea kwa sababu hamujui maandiko

  • @jeremiahmwalukosya6080
    @jeremiahmwalukosya6080 4 роки тому +2

    Ndugu zetu ufahamu mdogo sana juu dini

  • @abdelnasseraq7133
    @abdelnasseraq7133 3 роки тому +1

    Clapping for the patches amazing

  • @sifaali1744
    @sifaali1744 7 років тому +5

    makafri wanapewa hoja zirizo wazi lakin hawa siki wala hawafikir kuwa wapo katika upotevu

  • @fatmamohammedali4306
    @fatmamohammedali4306 4 роки тому +1

    Mazinge hawakuwezi wewe kwa sababu wewe uko kwenye haki

  • @ridhwansaad5017
    @ridhwansaad5017 4 роки тому +1

    Wkristo kweli vzw wanacha mada wanadandia watu ilikukwepa mada.

  • @canabahmed2451
    @canabahmed2451 7 років тому +5

    Masha allah barakallah fid

  • @fatumakirowa4507
    @fatumakirowa4507 3 роки тому +1

    Nawawache ujinga yesu simkristo

  • @thebibleandthebibleonly8602
    @thebibleandthebibleonly8602 3 роки тому

    Yaani raha ndani ya kristo yesu Kweli njia na Kweli lakini msiba Mohamed ajui atakavyoo vyanywa Quran 5:35

    • @nurualishaban7383
      @nurualishaban7383 2 роки тому

      Hata huyo Yesu ,hata ww hapo kafiri ulivyo,hujijui wala hujui atakachokuhukumia Mungu wako! Tumia akili japo ya kuzaliwa Tu. Kama yesu alijua atakavyofanywa na wanadamu kama mnavyodai aliuawa,unadhani mngempata mkamshika? Hakujua na wala pia Hadi Sasa hajui atakachohukumiwa nacho kesho Kwa Mungu na hivyo ni Kwa wanadamu wote.

  • @masharubundevu3765
    @masharubundevu3765 4 роки тому +3

    Nyie wakiristo hmn kz mnasherehekea moto subirini nyinyi ndo kuni wenyewe na wake zenu

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 3 роки тому

      Tumsifu YESU mtumishi,, warumi2:1...mathayo 7:1 . Aminà mtumishi barikiwa Sana .

  • @murtazarchiukalism4
    @murtazarchiukalism4 4 роки тому +1

    Inshallah

  • @protusmuliro2796
    @protusmuliro2796 7 місяців тому

    Yani asiye juwa dini ya haki mbele ya mwenyezi ni uisilam amepoteya

  • @hilalhilal8400
    @hilalhilal8400 4 роки тому +1

    Hemu waskilizenu hao wakiristo hata hoja hawana wanapotoa watu tu maskini.

  • @bernardambuka8489
    @bernardambuka8489 4 роки тому +2

    Waislamu wanafikiria bibilia ni novel kama kurani mungu awafungue macho wawache ubishi

    • @alraident8068
      @alraident8068 4 роки тому +1

      Novel ni bibilia ambayo yenyewe inajipinga

    • @mwakakhamis9823
      @mwakakhamis9823 4 роки тому +1

      Qur-ani ni maneno ya Allah
      Kitabu ambacho hakin shak ndani yake

    • @alraident8068
      @alraident8068 4 роки тому +2

      Thibitisha Bibilia ni maneno ya mungu

    • @ramadhanwilbard4685
      @ramadhanwilbard4685 4 роки тому +1

      Biburia zenu ndizo notes make kila sehebu lenu lina biburia yake,Quruan haikuandikwa na mtu yeyote iliteremushwa kutoka mbinguni kwa mwenyezi mungu na ni maneno yake sio maneno ya mtu hiyo ndiyo tofauti na vitabu vyenu vya kubuni!

    • @ramadhanwilbard4685
      @ramadhanwilbard4685 4 роки тому +1

      Sisi waislamu taratibu zote za salaam na ibada ni zile zile lakini kwenu ni tofauti mara miziki mara sadaka kubwa mara magari badilikeni bana

  • @jimmyhabarugira4232
    @jimmyhabarugira4232 7 років тому +7

    Bible kibao zinatowa tafsir tofauti alafu mnasema ni kitabu cha mungu

    • @joekajoba9593
      @joekajoba9593 3 роки тому

      Quaran na Bibilia cha wapi kitabu cha mungu

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 3 роки тому

      Tumsifu YESU mtumishi, warumi2:1..Amina mtumishi barikiwa Sana.

  • @tubunshadrack7206
    @tubunshadrack7206 3 роки тому

    Kwani kati ya Allah na Muhammad
    Nani mwanzilishi wa uislamu

  • @jimmyhabarugira4232
    @jimmyhabarugira4232 7 років тому +4

    Wakristo huwa wananishangaza toweni maneno yako mkitabu chenu siyo yakichwani

  • @jumakinana1198
    @jumakinana1198 3 роки тому

    Najivunia kua Islamic my religion

  • @masharubundevu3765
    @masharubundevu3765 4 роки тому +2

    Kazi yenu kutia viraka tu hmn majibu sahihi

  • @hanifaharet3739
    @hanifaharet3739 7 років тому +11

    acheni ushabiki wachristo,sikizeni maandiko vizuri kwani mu wavivu wakusoma hiyo Bible

  • @abdelnasseraq7133
    @abdelnasseraq7133 3 роки тому +1

    Very funny people what has A Muslim i.e Jesus ,Eissa Alaihi salaat wa salaam got to do with the so christians

  • @emmanuelpeter5507
    @emmanuelpeter5507 4 роки тому +1

    Mazinge ni nabii wa uongo

    • @msafirilibagaja3792
      @msafirilibagaja3792 3 роки тому

      Mazinge sio nabiiii mzeee baba

    • @fatumakirowa4507
      @fatumakirowa4507 3 роки тому +3

      Cjui waelewa kuhusu neno nabii kama uelewi nimitume waliochanguliwa na Allah acheni kujiita manabii mazinge cnabii kwa tarifa yako

    • @AshuraSalum
      @AshuraSalum 3 роки тому +1

      Mazinge si nabii,na wala yeye hajawahi kujiita nabibii,be care ful

    • @jumaalhamid5242
      @jumaalhamid5242 3 роки тому

      Ndio maana dini yenu bila uwongo mnazib viraka nyie mnaodanganyw subirini Moto kesho kw upotofu

    • @fatumasabuti5623
      @fatumasabuti5623 3 роки тому

      Mazinge xo na bii Ila nimuumini wa Allah na anaamini kuwa wiisilamu Ni dini ya haki☝️

  • @willymaulidi3991
    @willymaulidi3991 4 роки тому

    Hiyi mada nzuri, lakini waislamu huwa ni wagumu kuelewa, ndiyo shida, waliisha amuwa kuwa washetani waislamu, Tumsifu YESU KRISTU, pamoja na kwamba UKRISTU unatumiwa vibaya

    • @safimabelle8230
      @safimabelle8230 4 роки тому +3

      Washetani wakristo wote wana muabudu mungu mtu yesu

    • @allykeita704
      @allykeita704 3 роки тому

      Mbona huna hoja ebu toa ushahid

    • @shabbymakapane1910
      @shabbymakapane1910 3 роки тому

      Hata hujui wewe ndiohujitambui unamfuata SHETANI 😃😃😃

  • @abdelnasseraq7133
    @abdelnasseraq7133 3 роки тому

    What Paul did do to show he follows fellow Muslim Eissa asw the so called Jesus? Appointed by Jesus? Naked lies appointed as what fro. a messenger of Allah

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 3 роки тому +1

    Eti refarii mazinge!

  • @fatmakhamis2231
    @fatmakhamis2231 6 років тому +1

    ok

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 2 роки тому +1

    Nyie wacheni upumbavu Sio Mungu wetu Mungu wetu sote....Nyie wajinga kweli ...

  • @seifmatata2246
    @seifmatata2246 2 роки тому

    M1

  • @zuhurahaji3605
    @zuhurahaji3605 7 років тому +3

    jamani nyinyi wakiristo hamna hoja kwa waislamu in wabishi tu

  • @humphreyrobert1631
    @humphreyrobert1631 4 роки тому +1

    Dini gani inahubiriwa kwa taarabu hivyo

  • @bernardsamizi7289
    @bernardsamizi7289 3 роки тому

    Jamani ndugu zetu watoto wa mama mdogo mjakazi hajir mbona mnafuata giza hali nuru mnaiona? Na ujanja wote huo hamna macho ya kuona? Ukitamka kwa jina la Yesu aliye hai hata mapeoo yanatii na kutetemeka. Yesu leo tu hai mitume wengine wako kuzimu wanasubiri hukumu. Uko tayari kufuata mizimu???

    • @fatumakirowa4507
      @fatumakirowa4507 3 роки тому +1

      Yesu atakapo rudi atakuja kuwakana na kuwambia yeye cmungu ni mtume wa mwenyezmungu kama nitume wengine

    • @fatumakirowa4507
      @fatumakirowa4507 3 роки тому +2

      Yesu atakapo rudi atakuja kuwakana na kuwambia yeye cmungu ni mtume wa mwenyezmungu kama nitume wengine

    • @AshuraSalum
      @AshuraSalum 3 роки тому +2

      @@fatumakirowa4507 Fetty mwambie uyo

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 3 роки тому

      @@AshuraSalum Tumsifu YESU mtumishi, Isaya 9:6//Mathew 25:31///warumi9:5//Wafilipi 2:5-11//John 14:8-9//john10:30... yuda1:4))1john5:20//hatusemi kuwa Yesu ni Mungu kwa kubahatisha.. Yesu Kristo,hakika,Yesu ni Mungu mwenye nguvu.. Aminà mtumishi barikiwa Sana.

    • @shabbymakapane1910
      @shabbymakapane1910 3 роки тому

      @@davismwamachi1145 Mh Pole sana

  • @ramzanqarim4977
    @ramzanqarim4977 3 роки тому

    Wachungaji mtaumbuka maana kama way ndio religion mme fail

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 3 роки тому

      Tumsifu YESU mtumishi, warumi 2:1..Amina mtumishi barikiwa Sana.

  • @josephmaombi4479
    @josephmaombi4479 4 роки тому +2

    Mazinge kwanini unamoyo mungumu mukubali Yesu kwanini unamugombeza Yesu

    • @mwakakhamis9823
      @mwakakhamis9823 4 роки тому +1

      Mbishi ww ambe unauona kweli lakini haufuati
      Allah akuongoe inshaAllah

    • @ramadhanwilbard4685
      @ramadhanwilbard4685 4 роки тому +1

      Waslamu sisi hatumkatai Yesu,tofauti yake iko pale wakristo wanapomuhita Yesu Kiristo na sisi Waislamu tunamuhita Nabii Issa,tunaamini alikuwa mwislamu, hakufa musarabani na Yesu sio mungu basi hii ndiyo tofauti

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 3 роки тому

      @@ramadhanwilbard4685 Tumsifu YESU mtumishi,kwangu Mimi,ukisema Yesu Kristo hakufa,hakusulubiwa, hakufufuka,na pia si Mungu,hapo100%,umemkataa Yesu na hapo,unakuwa mpinga Kristo hodari.. Amina mtumishi barikiwa Sana

    • @shabbymakapane1910
      @shabbymakapane1910 3 роки тому

      @@davismwamachi1145 Chizi wewe

  • @SaidSaid-pm8jb
    @SaidSaid-pm8jb 4 роки тому +1

    Bparsawa

  • @myself4128
    @myself4128 4 роки тому +1

    Luka alikuwa mwanafunzi wa Paulo😳😳😳😳😳😳????? Aisee huyu muhadhiri wa kiislamu amepagawa na mapepo

    • @AKASHA.P
      @AKASHA.P  4 роки тому +4

      Soma Luka 1:1 alafu ndio utajua kati yako na huyo MHADHIR Nani kapagawa

    • @alraident8068
      @alraident8068 4 роки тому +1

      Wewe ndio uko na mapepe usiofiata maandiko

    • @shabbymakapane1910
      @shabbymakapane1910 3 роки тому

      Hivi mwenye pepo unamjua?

  • @frankjohn8570
    @frankjohn8570 4 роки тому +1

    HAPO KUNA TAA ZENYE MAFUTA NA ZISIZO NA MAFUTA

  • @mwechizumbabaraka5165
    @mwechizumbabaraka5165 5 років тому +1

    Kwel wakristo amnazo jaman,