🤣 UTACHEKA UVUNJE MBAVU | BALAA LA WASHIRIKI WA CHEKA TU WALIOPATIKANA KATIKA MIKOA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 817

  • @Anitajoseph792
    @Anitajoseph792 3 роки тому +9

    Wasafi mnadharaulisha dini yetu.Ww mchungaji gani Msanja unafurahia jina la Yesu kudharirishwa. Mungu atusamehe makosa yetu.

  • @kasmirypaschal2228
    @kasmirypaschal2228 3 роки тому +20

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 daaaaaah m nmeckia eti shoko halisuki 5:44 hapa jamaaaa kajiongezeaa kipaji cha kunichekesha bila yeye mwwnyewee kujuaaaaa

  • @richiuskoba7918
    @richiuskoba7918 3 роки тому +22

    Yaani kwanzia no2 mpk wa mwisho hamn kitu kbxaa..all in all yule wa kwanza ndo kaua

  • @joachimsamwel812
    @joachimsamwel812 3 роки тому +35

    Huwezi taja Jina la YESU kwaajili ya vichekesho vinavyo leta zalau kwa YESU

  • @princessmiki3210
    @princessmiki3210 3 роки тому +1

    No 1 umenivunja mbavu hatar
    Una kipaji kaka hongera

  • @MaryLyimo-z1x
    @MaryLyimo-z1x Рік тому +1

    Leonard mwenyewe ndo yupo vizuri hawo wengine akuna kitu

  • @nestoemanuel2821
    @nestoemanuel2821 3 роки тому +23

    Kitaa kina mishe kibao bro! 🔥🔥

  • @sportsnewss8779
    @sportsnewss8779 3 роки тому +21

    Comedian wa kwanza ametishaa sanaa

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 3 роки тому +3

    Mbona jamani mzee hamjamfagilia wala kucheka mzee pole wamekukataa

  • @neemapeter747
    @neemapeter747 3 роки тому +2

    Ndaro umenichekesha sana yani big up kwako kaza buti

  • @mrgeorgeisdory5277
    @mrgeorgeisdory5277 3 роки тому +33

    Number one is number one
    Leonard your perfect 👏👏👏👏👏

  • @angelmasawe9232
    @angelmasawe9232 3 роки тому +1

    Af uy dogo mwingne katokea startv anajua kujiongeza big up kwake kachangamkia fursa

  • @tomzone6267
    @tomzone6267 3 роки тому +11

    Leonardo 🔥, Eliudi 🔥 ....
    Uyo watatu mtanisaidia
    Lakini Kuna baadhi ya watu wamekuja apo kwa platform as if Amna 10 M ivi au ni Mimi uelewa mdogo

  • @geraldseba
    @geraldseba 3 роки тому +5

    Pawepo na drisha la wazi kuwapigia kura washiriki.
    Gerald Sebastian.
    Arusha,Tanzania

  • @aishahussein4884
    @aishahussein4884 3 роки тому +14

    Saidi nimecheka mpka nimelia😃😃🇰🇪

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 3 роки тому

      Heheheeee ua-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/v-deo.html

    • @shimbirobo9586
      @shimbirobo9586 3 роки тому

      Hata mim nmecheka sana, na nimeparudia rudia sana daaaaaaa!

    • @Saidaaid
      @Saidaaid 3 роки тому

      Thanx

  • @davidmendrad4749
    @davidmendrad4749 3 роки тому +24

    Wasitumie sana dini ( Yesu na MUNGU) wasitanie jina la Mungu

  • @mswanawamswana3129
    @mswanawamswana3129 3 роки тому +5

    Naungana na Baba Levo...jamaa wa Arusha yupo safi sana

  • @deborahmidiburo3541
    @deborahmidiburo3541 Рік тому +1

    My Eliudi Samuel 😂😂😂

  • @simonmlisa4311
    @simonmlisa4311 3 роки тому +11

    Ni kama wanasimuliana stories kabla ya kupanda stejini..washiriki kama watatu wote wamelalia upande wa hadithi za Yesu..
    Ila huyu Leonard yupo vizuri sana

  • @stellah3844
    @stellah3844 3 роки тому +55

    Leonard, MC Eliod na Azaboi mmetisha sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️. Ile nyie mnaotumia jina la Yesu mnakosea sana Yesu hachezewi

    • @azaboicomedy
      @azaboicomedy 3 роки тому +4

      Shkrn sana, ubarikiwe

    • @ceciliaombela7159
      @ceciliaombela7159 3 роки тому +2

      Tena sana sijui hawajui dhamani yake

    • @rubniyi3551
      @rubniyi3551 3 роки тому +1

      @@ceciliaombela7159 mimi nimekosa lakusema 🤔🤔🤔🤔

    • @sayimagina1334
      @sayimagina1334 3 роки тому +2

      Jina la Yesu linatakiwa kuheshimiwa kila mahali......wangetakiw watumie mifano mingine sio kumkejeli Yesu....Haijafaa ila Mungu awasamehe maana hawajui watendalo

  • @younginspired3899
    @younginspired3899 3 роки тому

    Leonard unatusema aisee.. 😂😂😂 hapo kwenye hujui Mungu kaniepusha na nn

  • @bibliakitabukitamu6015
    @bibliakitabukitamu6015 3 роки тому +32

    Komedi ni kitu kizur Ila naomba nionye kitu TUSIMFANYIE MUNGU MZAHA ATA KIDOGO naomba mfikishe iliii

  • @celinekenedy870
    @celinekenedy870 3 роки тому +5

    Hamna kitu wote kasoro wa kwanza na Eliud,,, kwani YESU aliwafanyia nn mbaya? Kuweni na uoga na heshima pia.

  • @jessemazima9173
    @jessemazima9173 3 роки тому +2

    Baba levo we hii kazi unaweza maana una mahamz sio wengine awaonesh ata comption

  • @yahayakhalifan2843
    @yahayakhalifan2843 3 роки тому +3

    Yule jamaa wa mbeya mzee wa akiri mbna kapiga vzur sana

  • @frans_dede
    @frans_dede 3 роки тому +1

    Mti wenye matund unapgw madongo daima
    Washirik mnaon hamuwez kuchekesh mpak msem habar za Yesu

  • @amanicalvn
    @amanicalvn Рік тому +2

    kwakweli maneno matakatifu sio vyema kabisa kutumika kwenye uchekeshaji wa namna hiyo wapendwa tumuogope mungu

  • @Samwel_tz
    @Samwel_tz 3 роки тому +4

    Mkalimee tuu maisha yamekuwa mgumu kishenz,hapo mnachekesha nn hasara na nyiny 😄😄🤭

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 3 роки тому +2

    Mimi maoni yangu yule wakwanza kaua kuliko woteeee number one is number one,wee wajumbe tulia

  • @panniecndoh1509
    @panniecndoh1509 Рік тому

    Headmaster.... Pointiiiiiiiiiiiiii 😅😅😅😅

  • @michaeldavid4322
    @michaeldavid4322 3 роки тому +6

    Huko kwenye utani na dini au na mungu mnazingua sana halafu ni ujinga kabisa acheni hoyo tabia mara 1

  • @Mikeys-m9w
    @Mikeys-m9w 3 роки тому +59

    LEONARDO 😍🤗 Number one ☝️👏🔥✅

  • @lugikoenterpriseslugiko3050
    @lugikoenterpriseslugiko3050 3 роки тому +2

    Aza boy mnyama sana et tumepigwa tupo Pluto 😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @davidndaha9607
    @davidndaha9607 3 роки тому +8

    Comedy maneno mengi ya Mungu toweni ya kazi zenu

  • @Cath844
    @Cath844 10 місяців тому

    Kama comedy sio kipaji chako, hutakiwi kujilazimisha! 🙆🏾‍♀️

  • @ayoublusekelo
    @ayoublusekelo 3 роки тому +1

    Mupo vizur ila nox m yupo juu zaidi hongera sana mi nakuombea uondoke na hilo donge la mil 10

  • @agustinonwaka2089
    @agustinonwaka2089 3 роки тому +11

    Duu japokuwa sio mlokole ila Mungu achezewi kihivyo

  • @afrimage_decor
    @afrimage_decor 3 роки тому +1

    Hao wanachekesha kwa njia za Dini ni watu waliokuwa wanachekesha enzi za advance kwenye kipind cha dini😂😂😂

  • @HappyApron-fo5vl
    @HappyApron-fo5vl Рік тому +1

    Kila kitu kinasimamiwa Na mungu ila sio kutumia maandiko kuchekesha watu ....mshirika namba tatu jirekebishee

  • @joachimsamwel812
    @joachimsamwel812 3 роки тому +24

    Mnazalaulisha imani yetu kwakuifanyia mizaha na vichekesho ..waandalizi mnapaswa kuweka mipaka sio kila kitu ni chakuchekeshea tuu

    • @bikabucha7905
      @bikabucha7905 3 роки тому +2

      Kweli kabisa

    • @josephhaule9123
      @josephhaule9123 3 роки тому +3

      Hata mm sijafurahishwa kabsa halafu masanja anayejiita pastor anachekelea tu hap

    • @mr.machange1377
      @mr.machange1377 3 роки тому +2

      Roho ya Makufuru inatenda kazi

    • @gidygiam9867
      @gidygiam9867 3 роки тому

      Wanacheze iman

    • @SankaEmanueli-bz8cr
      @SankaEmanueli-bz8cr Рік тому

      Mnazingua sana acheni matani na yesu unajua ww ni Mtu mzima unapumua kwa ajili ya mungu afu unamzungumzia yesu kwenye utani wenu

  • @agesag.m2476
    @agesag.m2476 3 роки тому

    Comedy tuwachieni sisi Wakenya..... Tz Hapana.

  • @jamesissaya906
    @jamesissaya906 3 роки тому +1

    Daaa Huyo Mama Nyozo Sijui Mama Nyoso Yaani Kama Jem tai Yule wa Kenya Kwa Sauti

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi1241 3 роки тому +10

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂idea mbadala hahaha

  • @janeschurmanns7364
    @janeschurmanns7364 3 роки тому

    Mbona Masanja kawa mzee jamani au macho yangu🙆😪😪

    • @etonabintu
      @etonabintu 3 роки тому

      Hata na mimi nimeona ivo

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 3 роки тому +3

    Ushauli watu wajukwaa msiruhusu wachekeshaji kutumia mambo yadini nakuwataja mitume au manabii hilinikosa kiimani sikupenda hii

  • @kigogotv2883
    @kigogotv2883 3 роки тому +6

    Leonard ni mtu na nusu hatariiii

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh2400 3 роки тому +24

    Leornad is the best...comedian

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 3 роки тому +1

    Headmaster made my evening na hao wajumbe bendera he was soo on point he is unique ..time wasters wapo wengi
    Josephat you are simply crazy watoto wa Yesu .. wangeomba Mungu Babu😆😆my ribs o!

  • @nboyclassic3648
    @nboyclassic3648 3 роки тому

    Nawombea kwa mungu kazi nyenu nzuri sana

  • @JOYCEGEORGE-rc3sb
    @JOYCEGEORGE-rc3sb Рік тому

    Mungu aogopwe mshirik namba 3 heshimu Imani za watu muogope Mungu

  • @dianabright5835
    @dianabright5835 3 роки тому +3

    Mang'endo wa Jin sampule🤣🤣🤣🤣🤣

  • @yohanamagoye1370
    @yohanamagoye1370 3 роки тому +4

    Hapo kwa Yesu mlikosea Sana wakubwa

  • @HamadMagozi
    @HamadMagozi Рік тому

    Yesu sio mungu nyie acheni ushamba yesu ni nabiii😂 mungu ni mmoja tuh

    • @ChristianEinstein-t2j
      @ChristianEinstein-t2j Рік тому

      Mathayo22:41-43 katika mwili daudi ni mkubwa kuliko ibrahim yesu anakiri hilo ila swali ni kwamba kwanin katika roho daud ana muita yesu BWANA????? Ukiweza kunijibu vema basi hutopataga taabu ya kuelewa uungu wa yesu

  • @shatoxtv
    @shatoxtv 3 роки тому +13

    Salute to yuh Leonard BUTINDI, it's GETSON down here!!

  • @davidchesco1150
    @davidchesco1150 3 роки тому +5

    Kwan kuchekesha hadi atajwe Yesu!!. Sijapenda hapo mmekosa content

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 3 роки тому

      Kwani Yesu katukanwa???? Jina la Yesu mnaliheshimu nyinyi kwa wazungu kuna hadi mashoga wanaitwa Yesu

    • @rajabunjadika455
      @rajabunjadika455 3 роки тому

      Haaaaaaaa

    • @carlixtz4594
      @carlixtz4594 3 роки тому

      @@BigZhumbe ushasema nchi za wazungu lakin sio sisi wao ni wao

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 3 роки тому

      @@carlixtz4594 Na dini si ni yao mbona mnaishobokea 🤣🤣🤣 kwani Yesu ni msukuma

    • @davidchesco1150
      @davidchesco1150 3 роки тому

      @@BigZhumbe Kila mtu na iman yake. pia najua wapo wanoitwa yesu mi sizungumzii ma yesu hao mi nazungumzia YESU wanaemuweka kwny jokes zao. Alaf ni wao sijakuzungumzia ww

  • @TaiWaTzTV
    @TaiWaTzTV 3 роки тому +26

    33:03 Eliud Bro, uko vyema sana

  • @ZenaAthman-q4m
    @ZenaAthman-q4m Рік тому +2

    Ila we leornaldo❤❤❤❤😂😂😂😂👋👋👋👋

  • @chrianahchrison855
    @chrianahchrison855 3 роки тому +18

    Mshiriki namba 3, kutoka dar es salaam, tunaomba uheshimu dini za watuuuuu!🙏🏻

    • @fayzarashidi2203
      @fayzarashidi2203 3 роки тому

      Sijaona mchekeshaji

    • @leylamark3193
      @leylamark3193 3 роки тому +2

      Kabsa yaan ....sijapenda hata tone!!!!😏😏😏....yaan anasema tu yesu ....yesu ...yesu daaah!!! Amekosea sna!!!

    • @rubniyi3551
      @rubniyi3551 3 роки тому

      @@leylamark3193 nimehuzunika mimi😫😫😫😫

  • @chalresnkende3299
    @chalresnkende3299 3 роки тому

    Leonard katisha mm tu hy hela na kiwanja jamaa anaweza

  • @MagdalenaAbou-ls7ws
    @MagdalenaAbou-ls7ws Рік тому

    Guy's jaman YESU achezewi nyiemungu awasaidie sana na awarehemu😮😮😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @hawasaid5286
    @hawasaid5286 10 місяців тому

    huwezi kusoma neno bila roho wa Mungu. kuelewa kwako sio maana ya maandiko....acha kupotosha umma... kesi unayo tayari Mangendo... kama umelipwa kufanya hayo jua yatakutokea puani .....

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 3 роки тому +6

    Naona njili tu akuna kitu maandiko mnatumia kwa kuchekesha upuuzi tu

  • @ambroambrocen1821
    @ambroambrocen1821 3 роки тому +16

    wa kwanza katisha aiseeE...

  • @helinasubila987
    @helinasubila987 Рік тому

    Mimi hapa nimepeda leornad hawa wegine daa

  • @deborahmidiburo3541
    @deborahmidiburo3541 Рік тому

    My Leonard 😂😂

  • @ElizabethMichael-wd5xj
    @ElizabethMichael-wd5xj 3 місяці тому

    Mnakera Kwan hamuwez kuchekesha vitu vingine had mlete utani na YESU mkera ten mnakera Kam hamuwezi nendeni mkalime uongeleen serikali mnaiogopa la Mungu mnamchukulia pw mnazingua badilikene

  • @hawasaid5286
    @hawasaid5286 10 місяців тому

    Azma my dear sis ungesahau tu na kupotezea ..... maana sio poa.....jichunge sana ....

  • @titholutitu3016
    @titholutitu3016 3 роки тому +5

    Mr point amenikoshaaaaaaaaa

  • @bikabucha7905
    @bikabucha7905 3 роки тому +1

    Cjapenda kufanya mzaha na Yesu...mheshimu mungu tafadhali haijalishi ni comedy wala nini....hilo hilo jina walichezea kuna mwingine analitegemea kuishi

  • @slamasta1542
    @slamasta1542 3 роки тому +6

    Leonardo mwamba sana...anatisha kishenzi

  • @NowelaAline
    @NowelaAline 10 місяців тому

    🤴 Prince boy Simba 🦁 nafurahi sana

  • @geraldseba
    @geraldseba 3 роки тому +8

    Leonard is the best comedian 🔥🔥
    Anajua mbaka basi. 🔥🔥

    • @subiraaddo864
      @subiraaddo864 Рік тому

      Hivi hili neno mbaka limetoka kwenye kiswahili gani? Siku hizo nalisikia Sana. neno sahihi kutumika ni mpaka✅ sio mbaka ❎

  • @ramlatmahrez
    @ramlatmahrez 3 роки тому +13

    Leornad na Said🔥🔥🔥🔥🔥🙌🏼

  • @dianabright5835
    @dianabright5835 3 роки тому +2

    Ahahahahahahah et masking🤣🤣🤣🤣

  • @reisedyy4910
    @reisedyy4910 3 роки тому

    Uyo Nox hakuna kurudi tena, chini ya kiwango kabisaaa.

  • @AndrewWoiso
    @AndrewWoiso Рік тому +1

    Mm sijapenda kbs awo vijana wa daslam walivyotumia maandiko kimzaha na jina la yesu kwenye mzaha wanakosea sana japo sina mamlaka yakuhumu ila hii aijakaa sawa sijaegemea upande wwte wa udini la kwangu mm wte awafai na awajui kuigizaa ama Mwasemaje wadau??? Thanks,, naleft😢

  • @sbreezedaclassictz9666
    @sbreezedaclassictz9666 3 роки тому +4

    Hapa wote hawachekeshi bado sana n moyo tu ndo tunawapa wapambane sana

  • @jescamayombi6351
    @jescamayombi6351 3 роки тому

    Jmn hata kama unachekesha ila sio kumfananisha Yesu Kristo na ujinga huo aiseeee mna kwaza

  • @braitonmwandata404
    @braitonmwandata404 3 роки тому +1

    Vipo vitu vya kuwekea utani siyo utani wa kumuingizaBwana Yesu hii haijanibariki.mjilekebishe

  • @rachelmuhehe2593
    @rachelmuhehe2593 3 роки тому +4

    Mungu awahurumie na kuwarehemu bure kwa mtaja Yesu kijingajinga

  • @JosaphatUwitahuye
    @JosaphatUwitahuye Рік тому

    Josephat pamoja na arie tanguria na eriud hongeleni kabisa

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 Рік тому

    Hii sio poa MUNGU sio kutajataja tuu popote unapojisikia😢😢

  • @KaululeChantete
    @KaululeChantete Рік тому

    Jaman mpo good aomba nije niwasajilie lain Airtel imekaajehii

  • @RenatusSadayo
    @RenatusSadayo Рік тому

    Nawakubali sana nyote asee

  • @mkanyafamily
    @mkanyafamily 3 роки тому +1

    Kumbe b levo ba fundi majumba alitabili kuwa Leonardo ndo mshindi

  • @MaasaiPesa
    @MaasaiPesa 2 роки тому

    Nyote mnachekesha kutumia jina la yesu ... Yesu asifiwe...

  • @dommyomolo9678
    @dommyomolo9678 3 роки тому

    Huyo mzee mezani mbona hacheki

  • @joshuabukombi8863
    @joshuabukombi8863 3 роки тому

    Eliud noma zaidi noma

  • @noelmideke4143
    @noelmideke4143 3 роки тому

    Mpeni ushindi Leonardo anatisha sana yuko good sana👏👏

  • @Izikiel55
    @Izikiel55 3 роки тому +1

    Mungu awasamehe tu kwamaana hamjui nn mlitendalo.

  • @nassirmasoud2545
    @nassirmasoud2545 3 роки тому +97

    Ombi langu kwa wananchi:ningependa tuigizeni kila kitu lkn maneno matakatifu ya kitabu cha dini yyte yasiruhusiwe.mnacheka kwa dharau kwa maneno ya Mungu jamani?mbona ckupenda hilo?

  • @ruthkomba3382
    @ruthkomba3382 3 роки тому +1

    Sijapenda kutumia jina la Yesu kwenye utoko wenu fyuuu

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 3 роки тому +17

    Me naitwa mo town sanya aka nembo ya mtaaa watu oyooooooooooooooo

  • @kalikumtimamaganya4448
    @kalikumtimamaganya4448 3 роки тому +5

    Mnashangaza sana why ktk majiji tyuu ,vip kuhusu mikoa mingine

  • @beatriceyustomwakabanje5789
    @beatriceyustomwakabanje5789 3 роки тому +1

    Eliud wa Mbeya katisha Sanaa🔥🔥🔥

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 3 роки тому +9

    Waaaaasaaaafiiiiiiiiii mmetiiiiiishaaaa

  • @helinasubila987
    @helinasubila987 Рік тому

    Huyu hana kitu nijasie nasie mwenye kiti

  • @bingwa4039
    @bingwa4039 3 роки тому +4

    Yan mumetumia adi majina ya mitume kuchekesha lkn wote ni pumba tu amjuh chochote ila mwaisaa hela hiz zitatuua tutafute hel mwaisa hat kwa kuforce

  • @Zaburi-
    @Zaburi- 3 роки тому +40

    Acheni dhihaka na imani za watu, it's total stupidity

    • @simbafuns785kviews
      @simbafuns785kviews 3 роки тому

      Heheeee ua-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/v-deo.html

    • @markleonardo8634
      @markleonardo8634 3 роки тому +3

      Total stupid, sijawahi kuona wakitumia kitabu cha waarabu kile

    • @AsiaMkusa
      @AsiaMkusa 3 роки тому

      Mmmmmmmh

    • @othmantv2654
      @othmantv2654 3 роки тому +3

      @@markleonardo8634 kuwa na heshima broo yale ni maneno ya Allah sio kitab cha waarabu

    • @nasramohamedi8190
      @nasramohamedi8190 3 роки тому +1

      @@markleonardo8634 pumbavu wee umeona wapi maneno ya haki yakachezewa ndio muone sasa hiyo mnayoiita dini inavyozalilishwa

  • @NaomiSumaih
    @NaomiSumaih 8 місяців тому

    Jamani sio kwamba hatupendi vichekesho vyenu ila kuzungumzia suala la kutaja yesu kwa vichekekesho sio vizuri