Shughuli ya kutafuta miili inaendelea Mathare
Вставка
- Опубліковано 25 кві 2024
- Shughuli ya kutafuta miili katika eneo la Mathare jijini Nairobi ziliingia siku ya tatu hii leo, huku familia zaidi zikiripoti kutoweka kwa jamaa zao. Haya ni huku zaidi ya familia 300, zilizoathiriwa na mafuriko katika eneo la Kiamaiko zikisitiriwa katika shule ya msingi ya Valley Bridge
Hakika Mungu anataka tumrudie haya maafa kila kuchao wakenya ya tupasa tutubu zaidi 😢🧎🏽♀️
😢😢😢😢inauzinisha sana poleni sanaa
Poleni,
Landlord anataka pesa ...gani na watu wameathirika huyo landlord ache upuzi
Imajin trying to rinse a matress 😪😭 sad indeed
😢😢😢
Uyo landlord aache bangi
uyu anaitwa pesa si yeye n pesa ama.
😢😢😢