FUNGATE EPISODE NO 47| MWINYI MPEKU, KITATANGE, AMINA, BI SINA JAMBO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 131

  • @nassibabbas9173
    @nassibabbas9173 8 місяців тому +2

    😂😂😂😂😂

    • @nassibabbas9173
      @nassibabbas9173 8 місяців тому

      Mchawi analindwa kwa mkanda 😂😂😂😂😂😂

  • @Ahmarhassan-lk3ms
    @Ahmarhassan-lk3ms 8 місяців тому +1

    Mungu awalipe kila la kher katka mafuzo munayo tuonesha jan llove you fungate

  • @azizamohamed1767
    @azizamohamed1767 8 місяців тому +1

    😂😂😂😂😂mzee mwinyi bhana eti apwesa kama kadondo kanikumbusha kwetu pemba😂😂😂😂😂😂

  • @naachoboy7803
    @naachoboy7803 8 місяців тому +1

    Huyu mke wake duli Hana wazazi?

  • @abdullatif053
    @abdullatif053 8 місяців тому +2

    Sema mm mama mulhat ananikosha sanna akiekti patizake z uchawi hua hakosei tumpeni maua yake🎉🎉🎉❤

  • @HannanOmar-op8iq
    @HannanOmar-op8iq 8 місяців тому +2

    Kitatange leo umenifurahish sana et jitokeze 😂😂😅mzee mwiinyi nae ana mashaka sasa mamake Amina ana kosa gani

    • @shaviercharvinho18
      @shaviercharvinho18 8 місяців тому +1

      Humu kila mtu anamuona m.baya yule anaemjuwa kwa sababu kitatange ndio mtu wa kwqnza alipaswa kujuwa hili chanzo nini ila hanayo asaaaaaaa tokea siku aloachana na yule demu mpaka Leo hajui ata khabari zake😂😂😂😂😂😂😂😂maana kaacha demu njiani kapata demu mpya mpaka kamuowa 😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @SuleimanHamad-rt4ew
    @SuleimanHamad-rt4ew 8 місяців тому +1

    Safi snaaaaaa inapendeza

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor5969 8 місяців тому +1

    Tunawashukuru kwa kweli mchezo mzuri sana mie naufatilia toka ya kwanza na tunawapenda kwa sjili ya Allah mtafika mbali wallahi mchezo unafunza mengi unaridhika ukiwangalia kwakweli kila leo unazidi kunoga mno tunawapenda from uk 🇬🇧

    • @nasramussa2370
      @nasramussa2370 8 місяців тому +2

      Tupo pamoj upo sehem gn kipenxu

    • @MahraMansoor5969
      @MahraMansoor5969 8 місяців тому

      @@nasramussa2370 nipo sehemu gani kufika mchezo hii ya leo moto moto tulio fikia bibie mjamzito

    • @zmuxzanzibar4583
      @zmuxzanzibar4583  8 місяців тому

      Shukran

  • @sadikielymaro9140
    @sadikielymaro9140 8 місяців тому +1

    Hongereni sana kwa kazi nzur

  • @mwanajumakomar3831
    @mwanajumakomar3831 8 місяців тому +3

    Mzee mwinyi jmn et mwanga weeeeee 😂😂😂mke wa duli acha roho mbaya n ww ona hadi King karudi kijijin 😢ila nawapenda ❤🎉🎉🎉😊

  • @Ahmarhassan-lk3ms
    @Ahmarhassan-lk3ms 8 місяців тому +1

    Kaz mzuri san

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 8 місяців тому +1

    Hii sio move bali ni asali mashallah mashallah

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 8 місяців тому +1

    Mzee mwinyi mgomvi😂😂😂

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 8 місяців тому +3

    Wee MWANAMKE ebu tuliza komwe lako kwn mimba waanza weye loh😮roho mbaya to mimba ni kisingizio to uciwe ivo unajitia sifa mbaya😢😢

  • @IbrahimAbdalla-ve1hi
    @IbrahimAbdalla-ve1hi 8 місяців тому +1

    Pwesaaaa tu

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 8 місяців тому +5

    Nimetoka kwetu kojani nikaja nikakuoa wewe kizimkazi huko si kupotea kudogo, mzee mwinyi hakija unafurahisha sasa 😂❤

  • @Hawanalugha255
    @Hawanalugha255 8 місяців тому +1

    Leo namuangalia mama mulhat mpka mwili unasisimka naogopa, nawapata tukiwa america, zmux hamtuangush tunaburudika kwa film za kwetu mkataa kwao mtumwa nawapenda xna Sema uyo mke wa duly Wondemwa anaonekana mkorofi kweli kweli

  • @NgoloMbonde
    @NgoloMbonde 8 місяців тому +1

    Mimi nauliza hii tamthilia tunajifuza Nini au ni kupoteza mb

    • @zmuxzanzibar4583
      @zmuxzanzibar4583  8 місяців тому

      Kuna mengi ya kujifunza kwenye tamthilia hii ikiwa utakua makini

    • @YunucKhalid
      @YunucKhalid 5 місяців тому

      Tunajifunza mengi tu kwanza kumsaidia mwenzako anapopatwa na tatizo

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 8 місяців тому +1

    Pole mama amina stahamili

  • @alichau3831
    @alichau3831 8 місяців тому +1

    Kitatange ananifurahisha anamlinda mwanga na mkanda 😂😂😂😂😂😂

  • @RabiaSimba
    @RabiaSimba 8 місяців тому +1

    Hahahahaha kitatange wee noma unamlinda mchawi kwa mkanda

  • @rojazking2560
    @rojazking2560 8 місяців тому +1

    Mamb ni fire mamb bado ya moto😂

  • @shamsilmunnirislamic5005
    @shamsilmunnirislamic5005 8 місяців тому +2

    😂😂😂😂😂 Mzee Mwinyi hatar

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 8 місяців тому +2

    Fungate 🎉🎉🎉 kitatange mchawi atakapigwa na mkanda😂😂😂😂

  • @kadkadzo7543
    @kadkadzo7543 8 місяців тому +1

    🎉🎉❤❤

  • @Marim-sj7oi
    @Marim-sj7oi 8 місяців тому +1

    Mama mulhat ndipo atisha na huo uchawi hayo meno

  • @SharifaBilali
    @SharifaBilali 8 місяців тому +2

    Shapotea zmn kutokea pemba mpk kizimkaz😂kiukwel nawapenda mno ❤mn mnaifany cku yng iwe nzr kila nikiangalia hii kit😊

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 8 місяців тому +1

    ❤❤❤❤😊😊

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 8 місяців тому +2

    Bi sinajambo kweli umechukua nafasi yako ya utu uzima mashallah ♥️

  • @alichau3831
    @alichau3831 8 місяців тому +1

    Bisinajambo ameona bora akamuombee msamaha mzee mwinyi dah

  • @SarahSarah-jj6us
    @SarahSarah-jj6us 8 місяців тому +2

    We we mke wa duly sasa hiyo si mimba tena unaleta roho mbaya upendeze❤

  • @abudhabiimarat8622
    @abudhabiimarat8622 8 місяців тому +2

    Unalala Sanaa kitatange 😂

  • @alichau3831
    @alichau3831 8 місяців тому +1

    Pole kitatange dah

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 8 місяців тому +1

    Safari hii mmejitqjidi kutufrahisha 🎉🎉🎉🎉

  • @EliabethBarawa
    @EliabethBarawa 8 місяців тому +1

    Jupe moyo dadangu

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 8 місяців тому +2

    Hivi waru munalala UA-cam kweli maana nimeidaka baada tu ya kuingia, nashangaa nakuta comments 17, any way BIG UP kwa washiriki wote, hongera pia kwa zmux ❤🎉

  • @AbuuBakar-mq6sf
    @AbuuBakar-mq6sf 8 місяців тому +1

    Mamb

  • @kadkadzo7543
    @kadkadzo7543 8 місяців тому +2

    Huyu bb ya dula anakera😂😂ingelikuwa watu wa mimba yako hivi dunia ingekuwa moto

  • @muniraahmedawadh2619
    @muniraahmedawadh2619 8 місяців тому +3

    Tunakukubali sana kitatange

  • @sabahbakari5155
    @sabahbakari5155 8 місяців тому +1

    Mume bora mwenyewe upendo wa dhati na mke wake kitatange😊😊

  • @KijanaHashim
    @KijanaHashim 8 місяців тому +2

    Kitatange halewi heeee, jitokeze

  • @aishaseif7852
    @aishaseif7852 8 місяців тому +1

    Asema potelea mbali
    Mwinyi Asema nishapotea kitambo kutoka kojan Kuja kizimkazi kukuoa wewe kupotea kudogo hapo

  • @jafarmohd5217
    @jafarmohd5217 8 місяців тому +1

    Hap kitatange umeupiga mwing eti nakulinda na kuvuta mkanda 😂😂😂😂

  • @AbdallahMajiba
    @AbdallahMajiba 8 місяців тому +1

    Jamani mm ninachokiona huku ndani wanawake wote wamekosa maadili yetu hawataki kujistiri kwnn au kunajoto wajifunike Kang'nga

  • @HalimaNasser-l9g
    @HalimaNasser-l9g 8 місяців тому +1

    Sas kwanin mama mulihati anamroga amina wakati hanakosa apo wanawake ndipo tunapo koseya alikuwa afnyiye kitatage tu kuna muda amtaje mulihati na yey ateseke tu

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 8 місяців тому +1

    Burudani halisi. Hongera kitatange mapenzi ya dhati. From Dubai

  • @tegeschannel2131
    @tegeschannel2131 8 місяців тому +2

    Nampenda bi sinajambo jmaan ,maneno yake tu hunikosha 😂

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 8 місяців тому +1

    Mke wa duli we kiboko mimba iyo ya tembo 😏😏😏😏😏

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 8 місяців тому +2

    Huyu mke wa dulli kawa anachefu na mdomo wke anavyo uvuta akiongea na mumewe😢😢

  • @jiimahaba7274
    @jiimahaba7274 8 місяців тому +2

    hili mwanamke mama kijacho linauharibu mchezo yaan nalichukia limekua korofi

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 8 місяців тому +2

    Mzee mwinyi huna busara wala hekima 😊

  • @SaniyaSaidi-v7b
    @SaniyaSaidi-v7b 8 місяців тому +3

    Bi sina jambo umeyataka wew ayo kitatange alikwambiya usimwambiye baba ake

  • @yunuskhams7216
    @yunuskhams7216 8 місяців тому +2

    Kwaio kitatange kwa mlizi

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 8 місяців тому +1

    Mzee mwinyi umekoseya kwenda kumtukana mkweo

  • @SamiriWahab-ue1wy
    @SamiriWahab-ue1wy 8 місяців тому +4

    Tatizo Zmux ndio wanaorusha hii sizon wala sio wanao cheza sizon

    • @zmuxzanzibar4583
      @zmuxzanzibar4583  8 місяців тому

      Ndio

    • @SamiriWahab-ue1wy
      @SamiriWahab-ue1wy 8 місяців тому

      @@zmuxzanzibar4583 nawapa hongera saivi kutokana nakazi za mikono yenu tunawakubali na tunawashukuru maana tulikuwa tuna walaumu munacherewesha lakini kumbe nikutokana na mitambo yakurusha sizoni ndio ilikuwa shida tuna wapenda na pambaneni ili watazamaji wafurahi kila mukitowa sizon, vichekeshona habari za ulimwengu duniani❤❤❤❤

  • @salumstamil
    @salumstamil 8 місяців тому

    Movie nzuri sana

  • @SaniyaSaidi-v7b
    @SaniyaSaidi-v7b 8 місяців тому +3

    Uyo mke wa dulli angekuwa mzuri sijui ingekuwaje

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 8 місяців тому +2

    Kitatange na huo mkanda ndio wa kumpiga mchawi😂😂

  • @MuhammedMgwali-ks4xs
    @MuhammedMgwali-ks4xs 8 місяців тому +4

    Wadau w fungate kit kip hewaniiii

  • @Abasi_said
    @Abasi_said 8 місяців тому +1

    Kitatange man of the season,.....🙌🙌

  • @HusnaSuleiman-y5i
    @HusnaSuleiman-y5i 8 місяців тому +5

    mm cmpendi mkewe duli saiv

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 8 місяців тому

    Mzee kheri hataki ata kusikiliza 😂😂😂😂😂😂

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 8 місяців тому +1

    🇰🇪❤️ MI jamani nampenda duli na mkewe

  • @Farida-uz3vr
    @Farida-uz3vr 8 місяців тому +5

    Huyu anayejidayi anamimba isokuwa simpendi anarohombaya achamumewo amtibu amina

  • @shamsilmunnirislamic5005
    @shamsilmunnirislamic5005 8 місяців тому +1

    😂😂Kitatange bahna

  • @OmarBaraka-b4q
    @OmarBaraka-b4q 8 місяців тому +2

    Tunausubiriiiii😊

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 8 місяців тому +2

    Amina uharusi ushaanza kukutoka sasa maana rangi yako imeanza kufifia😢

  • @RichiBoy-uq8cu
    @RichiBoy-uq8cu 8 місяців тому +1

    Oyaa duli apewe mauwa yake kwenye hiy muvu

  • @alichau3831
    @alichau3831 8 місяців тому +1

    Shingo kama kichupa cha wino dah

  • @KijanaHashim
    @KijanaHashim 8 місяців тому +1

    Kitatange halewi heeee, jitokeze 17:59

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 8 місяців тому +1

    Maskini kitatange na amina poleni

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji 8 місяців тому +1

    Kitatange upo vizuri😂

  • @Firdausmaalim
    @Firdausmaalim 8 місяців тому +1

    Mambo ni bambam

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 8 місяців тому +1

    Mama mulhat umejua kuuvaa ihusika maana utadhania mchawi kweli unatushaaaa 😅

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 8 місяців тому +6

    Kwa wale ambao hamukuifatilia fungate kuanzia siku ya Kwanza kupostiwa live ndio mmnao ajabu Mara hii episode zimefuatana ...huu ndio ulikuwa mtindo wa kupost ilipoingia Ramadhan ndio ratiba zilianza kubadilika

  • @IsmailSalum-le3wu
    @IsmailSalum-le3wu 8 місяців тому +1

    Good

  • @MuhammadOmar-dv3rp
    @MuhammadOmar-dv3rp 8 місяців тому +2

    Sizon nimeikubal kwel tuwekeen Namba ya kuchangia kutoa pongez

  • @SaniyaSaidi-v7b
    @SaniyaSaidi-v7b 8 місяців тому +2

    Mama mulhat bhn shungi ilo unaliadhirisha

  • @muharramsalum-o2u
    @muharramsalum-o2u 8 місяців тому +2

    Naona duli kimewaka sasa na mkewe

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 8 місяців тому

    Ss kitatange uo mkanda ndo unatak kumpig mchawi😂😂

  • @y.p.nassor4858
    @y.p.nassor4858 8 місяців тому +2

    🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @Farida-uz3vr
    @Farida-uz3vr 8 місяців тому +1

    Huyu mchawi kweli maana kafananakabisa

  • @yunuskhams7216
    @yunuskhams7216 8 місяців тому +1

    Saiv afadhal na ndio inavotakiwa

  • @mohamedmkojanimashaallah7712
    @mohamedmkojanimashaallah7712 8 місяців тому +4

    Apo sawa naana jana na leo

  • @mohamedmkojanimashaallah7712
    @mohamedmkojanimashaallah7712 8 місяців тому +4

    Wajeur tu

  • @KijanaHashim
    @KijanaHashim 8 місяців тому +1

    Vp kitatange heeeeeee

  • @salumstamil
    @salumstamil 8 місяців тому

    Tuko pamoja kitatange mpka mwisho

  • @naasoromadai6210
    @naasoromadai6210 8 місяців тому +5

    Wamesikia wamesikia Kusema Nako Dawa

  • @IshaqJuma-w2v
    @IshaqJuma-w2v 8 місяців тому

  • @Raziki-bs2dg
    @Raziki-bs2dg 8 місяців тому +3

    Timu omani mupo tunawakilsha

  • @Business_opportunites
    @Business_opportunites 8 місяців тому

    Mama mulhat unatisha,,,wala hupendezi 😢

  • @yunuskhams7216
    @yunuskhams7216 8 місяців тому +1

    Shida ya movie watu hawawez kuongea wakiwa wanatembea had wasimame waongee wakimaliza ndio waendelee na safar yao

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 8 місяців тому +2

    Safi nausubiria hakuna kulala

  • @masoudrashidmohammed4124
    @masoudrashidmohammed4124 8 місяців тому +17

    Tusiwe wakosefu wa fadhila na kuwalaani kila siku hawa ndg zetu ktk kuteletea hii lesson hua wanatumia gharama nyingi kwa kweli sasa mchezo ukicherewa tunachukia tusiwe hivyo jamani haya chuma icho apo kimeachiwa mapemaaaaa bado cha moto kikubwa subra. Hii kazi ni nzito ktk kuikamilisha jamani

  • @sinarohasina9175
    @sinarohasina9175 8 місяців тому +1

    Sasa Kitatange ulalame upo kwenye Mizani ya imani ... Yatapita tu mitihani yetu sie bina'adam

  • @SaniyaSaidi-v7b
    @SaniyaSaidi-v7b 8 місяців тому +2

    Hee mupo vizuri jaman yaan mchezo umeachiwa sasa hivi bas comment kama zote

  • @MalikiChachuma
    @MalikiChachuma 8 місяців тому +2

    Shukuran ziwafikiye wazamini

  • @shumayra575
    @shumayra575 8 місяців тому

    Mchezo mzima wameuharibu hapa party ya mama ake mulhat mbona hakumtibia mwanae kitatange amuoe.?

  • @FirdausAli-i7v
    @FirdausAli-i7v 8 місяців тому +5

    Mapema sana kit kipo tyr

  • @muharramsalum-o2u
    @muharramsalum-o2u 8 місяців тому +2

    Kitatange azidi kuchanganyikiwa jamani bora ateseke yeye kuliko mkewe mbona mchawi hajajitokeza