TAZAMA VITUKO VYA JOTI KAMA BESTMAN WA DIAMOND /AKIMTAMBULISHA YULE AMPENDAE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ •

  • @msalabanireko1518
    @msalabanireko1518 2 роки тому +4

    Diamond Ni msanii wa kipekee Sana Tanzania mbunifu Sana akuna atakaeweza kupambana na diamond

  • @dicksonnangae2801
    @dicksonnangae2801 2 роки тому +9

    diamondiii kweliii wew nimbunifuuuu aiseeeeeh

  • @ramadhanimwaita2659
    @ramadhanimwaita2659 2 роки тому +18

    daaaaaaa diamond we ni noma

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 2 роки тому +6

    Joti unaupiga mwingi, kutoka tigo Hadi Airtel najua wamepanda dau kukupata 👏

  • @jacksonleonard4275
    @jacksonleonard4275 2 роки тому +24

    Ninachokijua wewe NI shujaa wangu toka mwaka 2009 hivyo hongera kwa dili nono

  • @derevamsomi
    @derevamsomi 2 роки тому +1

    best men sio best man...msiniambie jukwaa zima hamna anaejua kiingereza

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 2 роки тому +1

    Mimi sifuati wasafi tena kwisha

  • @zou7470
    @zou7470 2 роки тому +14

    Subhanallah mond wakati mwengine uwe unamuogoapa Mungu ata kama nikutafuta hela siyo ivo mana ndoa nikitu kilico halalishwa na Allah siyo cakufanya eko kiki bro

    • @djsharp2542
      @djsharp2542 2 роки тому +1

      Nikweli mshikaji

    • @Nufaila442
      @Nufaila442 2 роки тому +3

      Uliwahi kusika mke akitangazwa kwenye vyombo vya habari katika Dini?? Acha mambo yako bana wewe

    • @Duly699
      @Duly699 2 роки тому +3

      @@Nufaila442 Wallahi tena mwambie tena asikile😂Aise dogo alikuwa anataka umbea nn😂😂

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 роки тому

      @zou

  • @nyaturu3340
    @nyaturu3340 2 роки тому +1

    kule wasafi bet Diamond kapewa odd kubwa sana ya kuoa........

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 2 роки тому

    Joti umetisha saaaaaaana👊👊

  • @abinelelias9260
    @abinelelias9260 2 роки тому +13

    Akuna speed hapo sisi huku ukerewe atuna raha na Airtel yenu ni hovyo kabisa

  • @chongepauwa6667
    @chongepauwa6667 2 роки тому +1

    Mmmhhhh mtandao unasmbua,binafsi naupenda,Ila ndo unasmbua

  • @ashrona9884
    @ashrona9884 2 роки тому +2

    Subhanallah mtihan jaman

  • @sumaboymusic
    @sumaboymusic 2 роки тому +16

    Braza jot ume Tisha Sana🙏

  • @ommymgalula7516
    @ommymgalula7516 2 роки тому +6

    Sanaaaaaaa joti nakubali vituko vyako

  • @elisha1624
    @elisha1624 2 роки тому

    Umetish brother

  • @alfaniluhoha9653
    @alfaniluhoha9653 2 роки тому +3

    Airtel inaboa sana sana sanaaaaa mtawanufaisha hao tu wanaopromot mtandao wenu ila network yenu mbovu inakula vifurushi vyetu bure tu.

  • @asinathmuhidini5083
    @asinathmuhidini5083 2 роки тому +2

    Jamani Kuna watu wanajua kuigiza mond wakwanza we unavyoona amemtambulisha Nani Apo Mimi naona ametambulisha ,,eayate foG sijui ww umeona Nini apo

  • @ummuruwaida3440
    @ummuruwaida3440 2 роки тому +1

    airtl nivisiran hv kwa wakaz wa bbt mjini tumeanza kusahau hd kama kuangalia salio inatumia dk

  • @dorothyannan8184
    @dorothyannan8184 2 роки тому +1

    Jotiii mmmmh

  • @Sunshine0222
    @Sunshine0222 2 роки тому +8

    Love you broo SIMBA 🦁

  • @janethngowi1058
    @janethngowi1058 2 роки тому +8

    Limtandao lenyewe linastak hivyooo!

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 2 роки тому +1

    Mmi bnafsi simuelewi joti kwa sasa,,kwasababu nikama anamajisifu Sana kuliko kuchekesha ,kama unaona anavojichanganya kwenye maelezo yake utabaini kuwa anataka kushindana badala achekeshe,,hiyo character ni ya mpoki ndo tumezoea hivo akifanya joti ni serious scenes

  • @issabakari1916
    @issabakari1916 2 роки тому +1

    Nakubali Airtel 4G, mana Kuna seemu kijijini ilikua airtel ilikua inaleta kiwaki, ila sasa pieteteeee

  • @ashirawaziri3195
    @ashirawaziri3195 2 роки тому +1

    Haaaa yaani nyie kiboko wasafi noma

  • @njuka3515
    @njuka3515 2 роки тому +4

    Joty umenifanya kama nijisikie Niko Tz jamani nimecheka Hadi sina cha kucheka

  • @enterenter1921
    @enterenter1921 2 роки тому +1

    Kalivyokafupi Sasa joti wew 🤣🤣🤣Wapi mwijaku

  • @issai.ibungu
    @issai.ibungu 2 роки тому +1

    🦁🦁

  • @JumaaNdululu
    @JumaaNdululu 2 роки тому +1

    Safi

  • @irenechris5418
    @irenechris5418 2 роки тому

    Shuzi limepata mjambaji nishaiiii👌🔥

  • @naslee1010
    @naslee1010 2 роки тому +1

    Tukiacha ushabiki uteam Airtel hamna kitu wallah tena hamna hamna na huo ndo ukweli ukibisha una lako jambo

  • @hamismasoud8306
    @hamismasoud8306 2 роки тому +15

    Hamna kitu humo hapa Dar na mtandao unasumbua sijui mnafeli wapi, tumeshapiga kelele mpaka laini tumeweka kabatini.

  • @innocentboykid244
    @innocentboykid244 2 роки тому +1

    Mmelaaaniwa

  • @swalehesaad2692
    @swalehesaad2692 2 роки тому +7

    Wambea tumepatiwa hapa

  • @dismasmayani4740
    @dismasmayani4740 2 роки тому +1

    2yaache umebidi2 et. Ivooo.

  • @hoseachanga106
    @hoseachanga106 2 роки тому +1

    Jot anabaraaaa

  • @draculaoffice8807
    @draculaoffice8807 2 роки тому

    Nakubali 💪💪

  • @assab3167
    @assab3167 2 роки тому +3

    Kweli noma sans

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 2 роки тому +7

    😃😃😃😃mshenz kweli dimond leo umeniwezaaa loh

  • @eksielo4608
    @eksielo4608 2 роки тому +1

    Nyie washenzi kweli🤣🤣 kumbe kitu chenyewe ni airtel tu

  • @tato8979
    @tato8979 2 роки тому +30

    Diamond umetuweza wapenda umbea

    • @angelkavishe5240
      @angelkavishe5240 2 роки тому +2

      ME HAPO KWANZA NCHEKEEEEEEEEEEEEEE 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ismailmajala2802
    @ismailmajala2802 2 роки тому +12

    😂 Eti shuzi limepata mjambaji

  • @hadijamlandary576
    @hadijamlandary576 2 роки тому +1

    Aoe asioe haituusu kwani yeye Nani

  • @silyadamian5708
    @silyadamian5708 2 роки тому +2

    Unaunga internet unapewa MB/GB ila mtandao utautafuta mwenywe😎😎

  • @lailawaso2421
    @lailawaso2421 2 роки тому +1

    Hivi kwa nn mnatufanyia hivi?

  • @shijathedon5453
    @shijathedon5453 2 роки тому +1

    Kama mimi sifai basi nyie mtafaaa 😂😂😂😂😂😂😂 hii joti hiii jinga sana hiii daa 🤣🤣🤣🤣😂😂🤣

  • @zenaycechanzinho6702
    @zenaycechanzinho6702 2 роки тому +1

    Inamana joti mkataba tigo umeisha

  • @barakajulius5938
    @barakajulius5938 2 роки тому

    Sitaki kuwasikia airtel na mtandao wao

  • @AllyMaingo
    @AllyMaingo Рік тому

    Ni kweli hakuna kusuasua

  • @juniorsonofgod5675
    @juniorsonofgod5675 2 роки тому +1

    Ivi huu simwezi mtukufu lkn au🙊

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 2 роки тому +6

    Huyu jamaa ni msenge kilo 10
    Joti ashakuwa msenge. Hawa washafunga ndoa ivo joti kaolewa na naseeb domo

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 2 роки тому +3

    Ukimpigia mtu unaambiwa namba haipo

  • @selemanahant5389
    @selemanahant5389 2 роки тому +1

    Mwezi mtukufu inakusanya watu baa Zambi kubwa sana

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 2 роки тому +3

    Mnatumia Vymbo Vyenu Kwa Lengo La Kutengeneza KIKI, ipo Siku Watawachoka

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 роки тому +2

    Airtel ndio demu kumbe hahah

  • @uwimanauwimana7692
    @uwimanauwimana7692 2 роки тому +3

    Joti ndie kawa mkee wa daimond dunia imesha

  • @josephjose3630
    @josephjose3630 2 роки тому +1

    Huku chanika mtandao sifur eitel

  • @esrommakono9213
    @esrommakono9213 2 роки тому

    Kwasababu ya Joti pekee na mm nitahamia Airtel

  • @lucynelsonmungure1719
    @lucynelsonmungure1719 2 роки тому +1

    Umbea umeniponza pamoja na kutumia pesa ya mboga kuunga bando hichi ndo nilichoambulia🙄🙄🙄

  • @mwajumafuraha5819
    @mwajumafuraha5819 2 роки тому +7

    Washamba kweli kweli

  • @mwigakatumpula6852
    @mwigakatumpula6852 2 роки тому +14

    Ubunifu ziro brain 😥🙌🤣

    • @azizapeter5209
      @azizapeter5209 2 роки тому

      Lakini mb zako wamekulaa

    • @obenitejailos7007
      @obenitejailos7007 2 роки тому

      Ni Zero mzee, halafu Mb zako zimeliwa

    • @mwigakatumpula6852
      @mwigakatumpula6852 2 роки тому

      @@obenitejailos7007 ndio matumizi ya MB hayo umeona kwenye simu Yako kuna like na unlike 😀😀

  • @leonardemmanuel9249
    @leonardemmanuel9249 2 роки тому

    Tigo umehama Nishai??

  • @zeinamutua1328
    @zeinamutua1328 2 роки тому +1

    🤣🤣🤣ama kweli wambea mutapata tabu sana

  • @jumannerajabu9985
    @jumannerajabu9985 2 роки тому +5

    mond nimsaaanii mkubwa Sana tz afrca na dunian pya sema ujinga wake hajiamini Kira siku anamuogomba konde nawakati nimwanae ya kinyago uchonge mwenyew arafu kikutishe muache jesh nae atambe bn

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 2 роки тому

      Sio kweli uwiiiiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @jumannerajabu9985
      @jumannerajabu9985 2 роки тому

      kweri ww huoni arivo urizwa akiwa kipindi chawasafi kuhusu babu tare arivosema kma ningekua nauwezo hawa Chaw ningewaondoa yeye kasema mama Vero kajipatia2 jina baya rauchawa rakini anachozumza sio kibaya wanachangamsha gem

    • @shangwefisima3993
      @shangwefisima3993 2 роки тому

      Hamuogopi bn weee mbona liongo hivo....aache kuwaogopa akina JayZ aogope harmo

  • @bonnysure8706
    @bonnysure8706 2 роки тому +1

    mOndi haoi nawaaambia

  • @ashminaabdulla8946
    @ashminaabdulla8946 2 роки тому +5

    Mnajua kufanya biashara

  • @pbugzake
    @pbugzake 2 роки тому +1

    All airtel users are married to diamond platnumz😆😆

  • @benjamininyambaso5041
    @benjamininyambaso5041 2 роки тому +1

    Ila watu wamemaindi😀😀😀😀

  • @shauboe_tz5713
    @shauboe_tz5713 2 роки тому +1

    Daaah

  • @hellongelyshom7962
    @hellongelyshom7962 2 роки тому +5

    Achen Mambo ya kisenge

    • @jacksonleonard4275
      @jacksonleonard4275 2 роки тому

      Wewe na yeye anaeingiza mapene na wewe uliyeweka bando kuangalia wanachofanya na bado huingizi chochote Nani msenge

  • @hydo8027
    @hydo8027 2 роки тому +1

    Jot kaisalit tigo🤣🤣🤣😂😂

  • @selemanahant5389
    @selemanahant5389 2 роки тому +1

    Diamond muhuni anachezea watoto wawatu mbakaji huyu kwanini udanganye watu

  • @lucusshamte9161
    @lucusshamte9161 2 роки тому +1

    Menyoko wengese nyie mnatumalizia bando kwenye ufala

  • @abednegosimoni7716
    @abednegosimoni7716 2 роки тому

    Tunaomba laini yetu ya TIGO

  • @japhetlust5050
    @japhetlust5050 2 роки тому +15

    Nimekubari kutuchezea 🤣

  • @selemanahant5389
    @selemanahant5389 2 роки тому +2

    Mtoto wakislamu unafanya uji nga ramadhani utalaaniwa

  • @officialg7tz
    @officialg7tz 2 роки тому +4

    Mjomba joti hatari 😁😁😁😁😁

  • @salumulongwa9461
    @salumulongwa9461 2 роки тому +1

    👏👏

  • @perischerop2449
    @perischerop2449 2 роки тому +4

    Kama Mtaona sifai basi nafaa😂😂

  • @hussseinmasangya7130
    @hussseinmasangya7130 2 роки тому +1

    🔥🔥🔥

  • @ramadhanikashindi9766
    @ramadhanikashindi9766 2 роки тому +1

    Tunataka tumwone mjumba

  • @missangela6720
    @missangela6720 2 роки тому +1

    Kaoa nani tena??? 😂😂😂

  • @abdallahrajabu9176
    @abdallahrajabu9176 2 роки тому +2

    Diamond Msenge 😂😂😂

  • @davidkadenge1902
    @davidkadenge1902 2 роки тому +4

    Uyu jamaa fala sana

  • @oscarpelesi18
    @oscarpelesi18 2 роки тому +1

    Lidubwana

  • @mhaaboykigoma7211
    @mhaaboykigoma7211 2 роки тому +1

    Simba kafie huko mbali tapeli mkubwa we

  • @derevamsomi
    @derevamsomi 2 роки тому +1

    kaka simba pekeyake ndo anajua

  • @jimoraruben9674
    @jimoraruben9674 2 роки тому +1

    Atakua adunje

  • @gloriajunior1060
    @gloriajunior1060 2 роки тому

    Kwa hiyoo xx ambao hatuna 4G ndyo inasumbua hivii'

  • @silvestersanga3583
    @silvestersanga3583 2 роки тому +1

    Kal ya mwaka 2022 bonge lakik kwel diamond akil zako nifup ila zna zid ulefu wa mtu

  • @Hawa-ed2hg
    @Hawa-ed2hg 2 роки тому +1

    Simba umetupiga na kitu kizito

  • @sulemankhalidislam2088
    @sulemankhalidislam2088 2 роки тому +1

    🥰🥰

  • @cheafroby_tz
    @cheafroby_tz 2 роки тому +1

    Simbaa..

  • @wizchiachacha508
    @wizchiachacha508 2 роки тому +4

    Mond tutakuloga umefanya sijaenda tarawhe

  • @selemanahant5389
    @selemanahant5389 2 роки тому +1

    Ndoa gani unafichua uhuni tuu

  • @hossenmuhaji9471
    @hossenmuhaji9471 2 роки тому +1

    OVYO tu

  • @brytondaniel4900
    @brytondaniel4900 2 роки тому +3

    Wapuuz sana

  • @gladyswanjiri9292
    @gladyswanjiri9292 2 роки тому +2

    Hizi kiki zenu msizoeeh tu zitaisha fashion hivi karibuni

  • @jovinmodelin3486
    @jovinmodelin3486 2 роки тому

    Joti kaogopa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 роки тому +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌