Subhanallah mond wakati mwengine uwe unamuogoapa Mungu ata kama nikutafuta hela siyo ivo mana ndoa nikitu kilico halalishwa na Allah siyo cakufanya eko kiki bro
Mmi bnafsi simuelewi joti kwa sasa,,kwasababu nikama anamajisifu Sana kuliko kuchekesha ,kama unaona anavojichanganya kwenye maelezo yake utabaini kuwa anataka kushindana badala achekeshe,,hiyo character ni ya mpoki ndo tumezoea hivo akifanya joti ni serious scenes
mond nimsaaanii mkubwa Sana tz afrca na dunian pya sema ujinga wake hajiamini Kira siku anamuogomba konde nawakati nimwanae ya kinyago uchonge mwenyew arafu kikutishe muache jesh nae atambe bn
kweri ww huoni arivo urizwa akiwa kipindi chawasafi kuhusu babu tare arivosema kma ningekua nauwezo hawa Chaw ningewaondoa yeye kasema mama Vero kajipatia2 jina baya rauchawa rakini anachozumza sio kibaya wanachangamsha gem
Diamond Ni msanii wa kipekee Sana Tanzania mbunifu Sana akuna atakaeweza kupambana na diamond
diamondiii kweliii wew nimbunifuuuu aiseeeeeh
daaaaaaa diamond we ni noma
Joti unaupiga mwingi, kutoka tigo Hadi Airtel najua wamepanda dau kukupata 👏
Ninachokijua wewe NI shujaa wangu toka mwaka 2009 hivyo hongera kwa dili nono
best men sio best man...msiniambie jukwaa zima hamna anaejua kiingereza
Mimi sifuati wasafi tena kwisha
Subhanallah mond wakati mwengine uwe unamuogoapa Mungu ata kama nikutafuta hela siyo ivo mana ndoa nikitu kilico halalishwa na Allah siyo cakufanya eko kiki bro
Nikweli mshikaji
Uliwahi kusika mke akitangazwa kwenye vyombo vya habari katika Dini?? Acha mambo yako bana wewe
@@Nufaila442 Wallahi tena mwambie tena asikile😂Aise dogo alikuwa anataka umbea nn😂😂
@zou
kule wasafi bet Diamond kapewa odd kubwa sana ya kuoa........
Joti umetisha saaaaaaana👊👊
Akuna speed hapo sisi huku ukerewe atuna raha na Airtel yenu ni hovyo kabisa
Mmmhhhh mtandao unasmbua,binafsi naupenda,Ila ndo unasmbua
Subhanallah mtihan jaman
Braza jot ume Tisha Sana🙏
ua-cam.com/video/QR7tOb75KPI/v-deo.html
Sanaaaaaaa joti nakubali vituko vyako
1
Umetish brother
Airtel inaboa sana sana sanaaaaa mtawanufaisha hao tu wanaopromot mtandao wenu ila network yenu mbovu inakula vifurushi vyetu bure tu.
Jamani Kuna watu wanajua kuigiza mond wakwanza we unavyoona amemtambulisha Nani Apo Mimi naona ametambulisha ,,eayate foG sijui ww umeona Nini apo
airtl nivisiran hv kwa wakaz wa bbt mjini tumeanza kusahau hd kama kuangalia salio inatumia dk
Jotiii mmmmh
Love you broo SIMBA 🦁
Limtandao lenyewe linastak hivyooo!
Mmi bnafsi simuelewi joti kwa sasa,,kwasababu nikama anamajisifu Sana kuliko kuchekesha ,kama unaona anavojichanganya kwenye maelezo yake utabaini kuwa anataka kushindana badala achekeshe,,hiyo character ni ya mpoki ndo tumezoea hivo akifanya joti ni serious scenes
Nakubali Airtel 4G, mana Kuna seemu kijijini ilikua airtel ilikua inaleta kiwaki, ila sasa pieteteeee
Haaaa yaani nyie kiboko wasafi noma
Joty umenifanya kama nijisikie Niko Tz jamani nimecheka Hadi sina cha kucheka
Kalivyokafupi Sasa joti wew 🤣🤣🤣Wapi mwijaku
🦁🦁
Safi
Shuzi limepata mjambaji nishaiiii👌🔥
Tukiacha ushabiki uteam Airtel hamna kitu wallah tena hamna hamna na huo ndo ukweli ukibisha una lako jambo
Hamna kitu humo hapa Dar na mtandao unasumbua sijui mnafeli wapi, tumeshapiga kelele mpaka laini tumeweka kabatini.
Naunga mkono hoja
Mmelaaaniwa
Wambea tumepatiwa hapa
2yaache umebidi2 et. Ivooo.
Jot anabaraaaa
Nakubali 💪💪
Kweli noma sans
😃😃😃😃mshenz kweli dimond leo umeniwezaaa loh
Hahahaha
😂😆😆😆
Nyie washenzi kweli🤣🤣 kumbe kitu chenyewe ni airtel tu
Diamond umetuweza wapenda umbea
ME HAPO KWANZA NCHEKEEEEEEEEEEEEEE 🤣🤣🤣🤣🤣
😂 Eti shuzi limepata mjambaji
Aoe asioe haituusu kwani yeye Nani
Unaunga internet unapewa MB/GB ila mtandao utautafuta mwenywe😎😎
Pata 4G isiyosua sua Achana na 3G
Hivi kwa nn mnatufanyia hivi?
Kama mimi sifai basi nyie mtafaaa 😂😂😂😂😂😂😂 hii joti hiii jinga sana hiii daa 🤣🤣🤣🤣😂😂🤣
Inamana joti mkataba tigo umeisha
Sitaki kuwasikia airtel na mtandao wao
Ni kweli hakuna kusuasua
Ivi huu simwezi mtukufu lkn au🙊
Huyu jamaa ni msenge kilo 10
Joti ashakuwa msenge. Hawa washafunga ndoa ivo joti kaolewa na naseeb domo
😀😀😀😀😀
Unat....Ww
😂😂😂😂😂😂
Ukimpigia mtu unaambiwa namba haipo
Mwezi mtukufu inakusanya watu baa Zambi kubwa sana
Mnatumia Vymbo Vyenu Kwa Lengo La Kutengeneza KIKI, ipo Siku Watawachoka
Kiki mwenzio anasaini billions
Airtel ndio demu kumbe hahah
Joti ndie kawa mkee wa daimond dunia imesha
Mbavu zangu
Mbavu zangu
JOTI si yupo TIGO au Mkataba wake umekwisha
Umesikiya wivu
Huku chanika mtandao sifur eitel
Kwasababu ya Joti pekee na mm nitahamia Airtel
Umbea umeniponza pamoja na kutumia pesa ya mboga kuunga bando hichi ndo nilichoambulia🙄🙄🙄
😂😂
Kwaio jana mmekula ugali bila mboga
@@partnersah8802 😂😂😂 nilikula ubwabwa mkavu
Washamba kweli kweli
Mshamba wewe uliekodoa macho
Ubunifu ziro brain 😥🙌🤣
Lakini mb zako wamekulaa
Ni Zero mzee, halafu Mb zako zimeliwa
@@obenitejailos7007 ndio matumizi ya MB hayo umeona kwenye simu Yako kuna like na unlike 😀😀
Tigo umehama Nishai??
🤣🤣🤣ama kweli wambea mutapata tabu sana
mond nimsaaanii mkubwa Sana tz afrca na dunian pya sema ujinga wake hajiamini Kira siku anamuogomba konde nawakati nimwanae ya kinyago uchonge mwenyew arafu kikutishe muache jesh nae atambe bn
Sio kweli uwiiiiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
kweri ww huoni arivo urizwa akiwa kipindi chawasafi kuhusu babu tare arivosema kma ningekua nauwezo hawa Chaw ningewaondoa yeye kasema mama Vero kajipatia2 jina baya rauchawa rakini anachozumza sio kibaya wanachangamsha gem
Hamuogopi bn weee mbona liongo hivo....aache kuwaogopa akina JayZ aogope harmo
mOndi haoi nawaaambia
Mnajua kufanya biashara
All airtel users are married to diamond platnumz😆😆
Ila watu wamemaindi😀😀😀😀
Daaah
Achen Mambo ya kisenge
Wewe na yeye anaeingiza mapene na wewe uliyeweka bando kuangalia wanachofanya na bado huingizi chochote Nani msenge
Jot kaisalit tigo🤣🤣🤣😂😂
Diamond muhuni anachezea watoto wawatu mbakaji huyu kwanini udanganye watu
Menyoko wengese nyie mnatumalizia bando kwenye ufala
Tunaomba laini yetu ya TIGO
Nimekubari kutuchezea 🤣
Mtoto wakislamu unafanya uji nga ramadhani utalaaniwa
Mjomba joti hatari 😁😁😁😁😁
👏👏
Kama Mtaona sifai basi nafaa😂😂
🔥🔥🔥
Tunataka tumwone mjumba
Kaoa nani tena??? 😂😂😂
Diamond Msenge 😂😂😂
Uyu jamaa fala sana
Lidubwana
Simba kafie huko mbali tapeli mkubwa we
kaka simba pekeyake ndo anajua
Atakua adunje
Kwa hiyoo xx ambao hatuna 4G ndyo inasumbua hivii'
Kal ya mwaka 2022 bonge lakik kwel diamond akil zako nifup ila zna zid ulefu wa mtu
Simba umetupiga na kitu kizito
🥰🥰
Simbaa..
Mond tutakuloga umefanya sijaenda tarawhe
Pore sana 😂😂😂
😃😃mjaa laana wewe
Ndoa gani unafichua uhuni tuu
OVYO tu
Wapuuz sana
Hizi kiki zenu msizoeeh tu zitaisha fashion hivi karibuni
Joti kaogopa
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌