KAZI NZURI kwa Vijana wa JKT Maonyesho ya Kutawanya Maandamano Yasiyo Halali

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 24

  • @msafirially7849
    @msafirially7849 Місяць тому

    Kazi mzuri vijana jkt Mungu awazidishie

  • @stn4873
    @stn4873 3 роки тому +3

    Nzuri hiyoooo Aksariiiiiiiii!!!

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 2 роки тому +2

    Hivi jeshi la jkt linatuhusiwa kuingilia kazi za police kwa mfano kutawanya mandamano

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 роки тому

      Utaweza watu wasijitambua na hawajui haki zao manyumbu ni wengi ndio maana uonevu hauishi.Fikiria akili zetu ujue wamekosa cha kuigiza mpaka waigize kutisha wanaowalipa kodi ati wakisogea watawapiga risasi. Kwenye nchi zilizoendelea huwezi kuona wakifanya maigizo ya kutisha na kuonea raia

  • @AnthonyPiusi
    @AnthonyPiusi 4 місяці тому

    Kwa hiyo nyinyi mnaandaliwa kuwapiga ndugu zenu sio kupambana na makoloni mambo leo

  • @johanesbina1302
    @johanesbina1302 3 роки тому +2

    Kuna mdada kavaa suruali hapoo au nimemuona mm Tu😂😂

  • @elizabethgeorge5837
    @elizabethgeorge5837 2 роки тому

    Hongereni sana

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 2 роки тому +1

    Waandamanaji hawana bunduki lkn jeshi linataka kuwatawanya na bundiki Je ni sawa

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 роки тому

      Hili igizo na kauli na risasi ni Slave mental aibu kubwa kwa nchi
      Kwani wameshindwa kuigiza vingine? Na kama mafunzo ni haya basi kumbe wanafundishwa kuwa adui wa raia yaani ndio maana wanaua raia aibu tupu kwa nchi inayojigamba ya amani ati

  • @kassimhaji7056
    @kassimhaji7056 2 роки тому

    Muko vzr jkt mungu awabariki

  • @AnthonyPiusi
    @AnthonyPiusi 4 місяці тому

    Kwa maonyesho hayo mnaonyeshwa kilichopo sio majeshi yenu bali ni majeshi ya watawala

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 2 роки тому

    Manshaallah Kaz nzur

  • @nhalekasmir478
    @nhalekasmir478 Рік тому

    Kiukweli hii demonstration haiko Sahihi..katika matumiz ya nguvu yaaliyoainishwa kwa mujibu wa sheria...the use of fire arms and use offorce continuum
    Unaanzaje kutumia siraha ya Moto kwa mtu ambae Hana siraha...na kwanini utumie siraha, wakati kuna leval of force hadi kufikia leval yakutumia silaha ya Moto
    Kwata ipo Vizur nguvu ipo Safi

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 2 роки тому

    Nzuri sana wadogo zangu!

  • @polisikatamuhange6087
    @polisikatamuhange6087 2 роки тому

    Kwata nzuri ila hua hairuhusiwi kuua waandamanaji ambao hawana silaha

  • @stevejimmy1485
    @stevejimmy1485 3 роки тому

    Safi sana

  • @stn4873
    @stn4873 3 роки тому

    Nzuriiiiii P

  • @aminimgaya3644
    @aminimgaya3644 3 роки тому

    Aaa wapi huwezi kutuliza ghasia kizembezembe hivi mtakula mawe ya kichwa mpaka mfe na kuwa maiti wa serikali

    • @talibmuhsin5221
      @talibmuhsin5221 2 роки тому

      Iyo ni show tu ww na kuonesh aina ya difenc inakuaj

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 роки тому

      @@talibmuhsin5221 Mbaya sana ni utumwa wa mweusi kwa mweusi

  • @maulidabdalla4043
    @maulidabdalla4043 2 роки тому

    Mi8

  • @nelsonpaul2829
    @nelsonpaul2829 3 роки тому

    Elimu ya juu mmewasahau kbsaa

  • @maulidabdalla4043
    @maulidabdalla4043 2 роки тому

    8

  • @hasanikhamiis8580
    @hasanikhamiis8580 2 роки тому

    Safi sana