Huyu dada ameamua kutubu na kurudi kwa Mola wake, sasa wote wanaoendeleza maneno mabaya kwa huyu dada watambue kuwa wanazidi kumpunguzia mzigo wa madhambi na kuyabeba wao yaani wamegeuka pweza maana pweza ukimueka kwenye moto ndio anausogeza na kuukumbatia kwaiyo mnaomsema vibaya ndio mnampa nafuu kwa ALLAH
Ameen🙏🤝
اللهم آمين
Masha allah mungu akuongozea Ameen ya rabii
Kweli kbs shekhe
Allahuma amiyna yaarabbi
Allah amwongoze na amsimamie katika maamuz yake aloyafanya
Kweli
Naimani Allah ata pokea na pia atamsamehe kwani hakuna kosa lisilo.sameheka mbile Allah toba ndio kila kitu. Amina kwaduwa zako shehe😊
❤❤❤❤
Johar.ajielew.kwanza hata muv zenyew simu hiz anogi.
Inshalalh ukhty.snura mungu.atamuongoza
Huyu dada ameamua kutubu na kurudi kwa Mola wake, sasa wote wanaoendeleza maneno mabaya kwa huyu dada watambue kuwa wanazidi kumpunguzia mzigo wa madhambi na kuyabeba wao yaani wamegeuka pweza maana pweza ukimueka kwenye moto ndio anausogeza na kuukumbatia kwaiyo mnaomsema vibaya ndio mnampa nafuu kwa ALLAH
Utarejea na bidaaah