MGONJWA MNAZI MMOJA ATOROSHWA USIKU USIKU, MKURUGENZI AWEKA MTEGO, AWANASA!
Вставка
- Опубліковано 3 жов 2024
- Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali ya rufaa mnazi mmoja Dkt. Muhiddini Abdi Mahmoud amelaani vikali vitendo vinavyofanywa na baadhi ya watumishi wa hospitali hio kwa kuwaondoa wagonjwa kimagendo hospitalini hapo na kudai kua hakuna vifaa vya matibabu husika na kuwapeleka katika hospitali binafsi kwa lengo la kuwapatia matibabu kwa kuwatoza fedha
Hilo limebainika mara baada ya Mkurugenzi huyo kubaini kutokuwepo kwa mgonjwa wa ajali ambae alikuwepo katika hospitali ya rufaa ya mnazi mmoja katika harakati za kumtafuta mgonjwa huyo alibainika kuwepo katika hospitali ya AASIAHH S HOSPITALI ilipo shehia ya Mkele Mkoa Mjini Magharib
Aidha Dkt. Muhudini amesema kufanya hivyo kwa madaktar hao ni kurudisha nyuma juhudi za za serikali kwa kuwekeza fedha nyingi ili kuhakikisha wanachi wanapatiwa matibabu huku akibainisha kua wahusika wote watachukuliwa hatua za kisheria.
MGONJWA MNAZI MMOJA ATOROSHWA USIKU USIKU, MKURUGENZI AWEKA MTEGO, AWANASA!
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
jamani weeee hapo kuna shida mimi nilikuja na mgonjwa wangu mnazi mmoja hakuatiwa huduma nilidima zaidi ya miezi 2 kwa tatizo la kua manyama kwenye kookaburra.
mwisho nikaamua nimpeleke kmkm akapatiwa huduma nzuri tu.
mnazi mmoja kuna shida madaktari sio waaminifu na hayo yapo hadi kwenye hospital za wilaya na za kata. dawa hakuna vipimo hakuna wahudumu hakuna
daktari mmoja atoa huduma chmb cha daktari maabara yeye kwa wazazi yeye
mashaka tuuuu
Kama huduma ni nzr asingetoroka tatizo lipo
mnazi mmoja wanazingua Sana sio sili wacha ninyamaze lipite
Hamuna mpya etii mgonjwa anakaa haulizwi lolote mtu anaumia hata miye natoroka au kutorosha kila mtu anahitaji kupona
@@neemamkemae2580 asante malaya mwenzangu mana malaya tunajuwana ni kama wachawi tunanembo zetu
@@neemamkemae2580 hichi sio kikuma chako cha maji baridi hichi ni cha maji chunvi umoto ndo asili yake labda hicho chako unachokitawazia maji ya baridi ukitoka nacho sokoni
@@neemamkemae2580 nyoo hiyo kuma yako weye ndo yenye shombo mkeketwa kisimi shipa la mkwe wangu ni dogo kuliko la babaako wewe kama huna mkwe kaa hukoo utiwe ukitolewa mana hakuna mwanaume atakaye acha kazi zake akakuowa weye
@@neemamkemae2580 kuma zilizokeketwa kama ya kwako ndio yenye shombo
@@neemamkemae2580 nyoo mamaangu hatamani shipa lenye gozi na pesa haha inadamu ujuwe haitui tu kila kona hayo mawazo ya kutafuta pesa no ya wanawake wadangaji mimi nimeolewa na namiliki biashara na nasaidia wenzangu nimeajiri watu wanapata riziki kupitia mimi wewe danga tu hapo mpaka kuma ivuje maji pesa huipati muhudi mana sio damu yenu pesa inaonekana unaitamani lakini pesa haina habari na wewe
Mnazi mmoja hamuwajibiki munalipwa pesa tu na zarau nyingi kwa wagonjwa nyote mungetolewa wakaletwa madaktari wengine halafu ukakiona Cha moto huko majumbani kwenu Rais angekwenda kwenyewe kujionea huko hospital
Hamuwajali wenzenu wakishabkumwa nnawaona kama mizigatuu labda tajiri ndio anae hakuwa hata mm kwa kuikosa maisha yng natoka ndioee
Huyo mgojwa kakaa siku zote hizo huko mbazimmoja mbona hajapasuliwa ikisha madaktari wajeri ile mbaya siptali ya mnazi mmoja mpaka ulishie ndio upate huduma.
Izo hospital zifungeni bc.
Funga iyo hospital. Na uyo Dr awajibishwe
Mungu wangu.
Mimi mnazimmoja sitoisahau siku nilokwenda kujifungua madocta wa kike wanakiburi hatari. Kunadocta mmoja alimpiga msichana kibao wakati anaumwa uchungu .kisa alikuwa anapiga kelele baada ya kujifungua kilichompata docta huyo hahahahahaha nikikumbuka hucheka pekeangu
Muongo
@@halimamajid4042 uongo gani hapo ?
kilimpata Nini au na yeye alirejeshewa vibao? 😀😀
@@laylatali3604 yani alipomaliza kuvaa dera tu wakati yule doctor ameinama sijui alikuwa anafanya nini yule msichana alimpiga ngumi ya mgongo maana sauti ya ngumi sote tulishituka wengine tukabakia kucheka tu. Alipomaliza msichana yule hakugeuka nyuma akaendelea na safari yake .
sio mnazi mmoja tu hospital zote za serekali ni uzuka tu
UGUMU WA MAISHA HUFANYA HAYA YOTE
Mhhh hilo dustibin hapana aisee hadi mende 🤭
Kwakweli hio hospitali huduma hakuna mi nahisi angalau mungeweza kurekebisha mapungufu ya hio hospitali ya mnazi mmoja Ili wagonjwa waweze kua na Imani na spitali hio
Acheni unafkmgonjwa Toka tareh21 Hadi Leo tarehe 12 hajafanyiwa chchote kile had kanza kutoka vidonda mtu kavunjika mikono yote miwil mguu umevunjika mara mbili kichwa pia then hata kimoja hamjamfanyia chchote Zaid ya kufunganga km mungekuwa making na Kaz zenu watu wasingefikia huko matibabu yen ni yakuongea tu sio kuwajobka acheni upuuz
Safi sana peleka jela hao wauwaji
Ivyo vifaa mbona hatujawahi kuviona au vinafichw maan me mjomba wangu Mpka kafariki hajapat matibabu kakaa almost 1 wk naa me nahc kabla kusema kwanz angalieni ayo munayo yatangaza kweli vifaa vipo
Ila mm nashuru allh nnazimoj nilifanyiwa ubasuwi nimeshuhulikiw uzur na sada,nime pata alhamdullh nashkr San nimekwa sik telee
Mgonjwa anaeziwa hata kwake asigeeziwa hivi wenzetu wamejipanga kwenye suala la afya naelimu
Hata mm nimeamua kwenda kufanya upasuaji dar,Salam kutokana na huduma zetu nimekaa na ugonjwa miaka 15 nimeamua kisafiri kufika 2 nimepata matibabu mpaka Sasa naendelea vizuri nashauri kwani MH Rais wetu akawa anapita mwenyewe kuangalia wananchi wanavyo teseka
Muhim watu wanapona tu, ata km mtu anatibiwa shimoni, madhal anapona hamna shida
Watu wana roh mbaya sana jamani kwanini jamani mmmmm ongera kaka ila
Mngekuwa mnafanya supervision kukagua mazingira ya hospitali,vituo vya afya,na zahanati kujua ubora wakw
Ss km mtu haipati huduma kwnn asitoroke a kapate huduma
Boresheni huduma msilete midomo mirefu
Hamnaga weee nendeni uko
🙄😢
mlitakiwa mumfate na tumjue you dkt
Hospital ya Mnazi Mmoja hapana huduma acheni kutudanganya , Watu wanapyeza Maisha kwa kukosa huduma nzuri, Raisi wetu tunaomba utumbue mjp kwenye iyo Hsptl.
Njooni oman muone huduma zinavotolewa
🙄🙄Oman ipi
@@tiffaommy846 kwani we unaijuwa oman ipi
@@tiffaommy846 mjinga we mmoja we ndio nyie mnaokujifanya hamuyaoni yanayotendeka halafu usinishobokee kwenda kule macho kama jini lakuitwa
@@tiffaommy846 mbwa wemmoja we
@@tiffaommy846 tena koma