Hizi tawala zetu zimetudumuza kweli yaani huyu dada anasemea shida ya maji mpaka kaona noma kasema siku hizi yanatoka lkn ukiuliza yanatoka ktk bomba nje sio majumbani mwa watu. Kama maendeleo ni kuongopea wananchi basi hapa zanzibar kwetu hakuna anaetupata.
Makaburi msafa maana yake makaburi anaezikwa kila mtu asiekuwa na shamba yao ya makaburi yaani wageni na wasiokua na kwao pa kuzikia ndio pale wahenga walisema ukatae makaburi msafa Baba ako ana shamba??
Hiki ndicho kipindi tulichokitaka km enzi zile za uswazi umetisha sanaaa👏
Zembwela upo juu kabisa nakukubali vipindi vyako home sweet home Zanzibar
Big up brother Salum yaan huyo jamaa maashallah kichwa sana yuko vizuri bab salum
Mashaallah wazanzibar wastaarabu hawataki wali na mchuzi juu wana desturi na adabu mashaallah 😘😘😘
Hata miye sipendi
Hamjui kulaaaa😂
Xaf xan my brother zebwela mungu akubaliki xan tu my brother ahsante
Big up mswahili zembera 🇹🇿.
Mtangazaji Zembwera juu juu zaidi❤❤❤👍👍👍
Zembela babu unamopita huko Zanzibar tafta watu wa zamani wa maeneo husika ndo utapata maana halisi ya maeneo husika
Mwenyeji yuko vizuri sana 🙏🙏
Gonga like hapa tuone team WCB
Dahhh!!!! Ni mdaa sana yaani tangu ata soko bado halijajengwa
Wazanzibari wnyw nd tuncklz hapa
Hizi tawala zetu zimetudumuza kweli yaani huyu dada anasemea shida ya maji mpaka kaona noma kasema siku hizi yanatoka lkn ukiuliza yanatoka ktk bomba nje sio majumbani mwa watu. Kama maendeleo ni kuongopea wananchi basi hapa zanzibar kwetu hakuna anaetupata.
Shoo Kali baba
Makaburi msafa maana yake makaburi anaezikwa kila mtu asiekuwa na shamba yao ya makaburi yaani wageni na wasiokua na kwao pa kuzikia ndio pale wahenga walisema ukatae makaburi msafa Baba ako ana shamba??
Asante.sanaa
Mitaa ya kwetu iyo asanteni Wasafi Tv
even their accent is like that of mombasa kenya 100%
Uyo mzee anaongea lahaja ya kusini na sio Zanzibar Mjini
Hahaaa bega moja nimelipenda neno 🤣🤣😆😆😆
Jamani napenda hichi kipindi, nahisi kama nshafika Zanzibari
😁😁
Mzee anafanana na mwinyi
Pamoja Wasafi tv kwa kuja kutembelea kitaa chetu cha Kibanda Maiti(Muungano) ndan ya Unguja Zanzibar
Sijapoteza data leo hata kidogo,mutu akizikwa na ikafika miaka 40 sehemu inaweza kutumiwa kwa kazi nyingine.
Yaani nimefurahi kweli leo nyumbani kabisa alipokuwa akiwahoji hao akina mama na dadaangu pia yupo hapo
jirani yangu
Rahma kumbe majirani eeh, Naomba unitafute Facebook kwa Jina la Omary Mnuru, hapa Siwezi kuweka mawasiliano yangu
Dah kitaani kwetu kabisa hapa
Good zembwela
Ananikumbusha enzi ya chalinze watu wanaweka pumba kwenye maji unakuta pumba zinaelea wanaitanushwa unaambiwa maji hakuna mitungi imejaa ushwa.
Babuuu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙏🏻
Huyo mama mwenye nguo nyeusi kabeba nini nyuma?
Tako ndani ya jalbabu chezea wewe
😂mitaa yangu iyo
Kwaio watu wamejenga juu ya makaburi
Nomaa
Nakubali
Big up chuma cha pua
Habari
🔥 🔥 🔥
Kipindi kizur Sana njoo na Pemba
Kabisa aje na pemba
Wale tunaosikiliza tukiwa omani tujuane
Pana zikwa w2 au maiti duh!!
Pindi li kijanja uswaz ndiyo kwetu
Nyumbani raha sana uende na mkele na shaurimoyo
Bado magomeni
Njoo kununi zembwela
Nimefaidkika san n hiki kipindi
Salum ushaowa
Napenda iki kipindi
Daha
🔥🔥🔥🔥
Kazi nzuri sana
Maisha yetu ya uswazi
Nyumbani zanzibar
nice kipindi
Kibanda maiti palikua na kibanda waakoshwa maiti
wali na mchuzi wa chaza hapo dah!ni hatarii
Bongo wanaita matarumbeta
Zembwela hapendi asili yake hapo bara kila mtu anatoka Dsm sijui kwnn hawapendi kutaja makwao
Sasa kama ndio kazaliwa Dar mpaka uzee wake unataka asili yake iwe wapi?
Kibanda maiti picha ni mitaa y jang'ombe
Cyo kweli labda hupajui hapo kibandamaiti
Zebweeeeeeeeeeeeeeee
Zembwela.njoo.kwetu.tulisoma.dole.skul.njoo.dole
HII NI YETU SOTE
Zembela mtu mbay
Wazenji hawapendi kumwagiwa juu😂😂😂😂
🤣😂🤣😂🤣😂
Maliza sentesi isilete zako
😂😂😂
Elimu ya bure kabisa tunapata
I’m just trying out a couple things and I’m just wondering how to
The first thing that happens I was in my class today so I’ll just go ahead I have the time I need it haha I don’t want my life back so bad that you
The
I’m
The
Zanzibar brutality islands of Africa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥