Hospitali ya Mama Lucy Kibaki yajipata mashakani

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 кві 2023
  • Serikali ya kaunti ya Nairobi imefanya mabadiliko kwenye bodi ya usimamizi ya hopsitali ya Mama Lucy, saa chacha baada ya video ya mwanamke mja mzito kuonekana akitapatapa kwenye hospitali hiyo. Mageuzi haya yakijiri huku hisia mseto zikiendelea kuhusiana na tukio hilo ambapo mama huyo baadaye alimpoteza mwanawe kabla ya kujifungua.
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 55

  • @paulinemomanyi3763
    @paulinemomanyi3763 Рік тому +7

    Okward incidences normally happen Kwa hii hospitali, Kwani how careless are the medics over here??? this so inhuman

  • @catherinesifa1333
    @catherinesifa1333 Рік тому +5

    Hii hospitali inafaa kuwa ishaa fungwa kitambo,it's heartbreaking 💔

  • @peterokalo9632
    @peterokalo9632 Рік тому +7

    This hospital have many problems in kenya

  • @jaelnafula812
    @jaelnafula812 Рік тому +5

    So sad 😢😢 may God intervene to that family

  • @msa3957
    @msa3957 Рік тому +6

    Were the nurses and doctors on strike? Were they paid? Whatever the case, that's very inhuman. Just close the hospital and let the poor Kenyans seek services elsewhere. Nkt

  • @khalidabdiaziz2481
    @khalidabdiaziz2481 Рік тому +4

    I support citizen tv

  • @travelmaniac3131
    @travelmaniac3131 Рік тому +10

    Shut this useless hospital. What a shame wajinga wao

  • @transforminggraceministries
    @transforminggraceministries Рік тому +1

    Mimi naendanga private. Afadhali nilipe zaidi kuliko kumpoteza mpendwa wangu

  • @msuzann6005
    @msuzann6005 Рік тому +3

    Why is this hospital not closed

  • @jumak.ismail2504
    @jumak.ismail2504 Рік тому +3

    I don't blame hospital management I blame government

    • @fridahmoffat7796
      @fridahmoffat7796 Рік тому +3

      Don't blame the government on everything..Government will never bring humanity in someone.....if you have a good hrt of hlp, do you think you will wait for the right person to hlp yet you capable of hlping?

  • @dominicdommy9194
    @dominicdommy9194 Рік тому +3

    Hii hospital Si ifungwe

  • @constancecon1209
    @constancecon1209 9 місяців тому

    Hii hosi hapana juu nilipeleka mgonjwa juzi nikiwa na mtoi Kwa mgongo but niliingia saa moja usiku but nilikaa hapo mpaka hasubuhi kaa hajashuglikiwa mgonjwa ,,,Cheney niliona hiyo hosi sitawai peleka mgonjwa tena 💔💔💔💔😭😭😭😭

  • @sarahkararinyakinyua3618
    @sarahkararinyakinyua3618 Рік тому +1

    Eti padlock imekwama what's that,shame on you hosi inafaa kuwa open soldier akae kwa mlango sio kulock

  • @violetnyutho9337
    @violetnyutho9337 Рік тому +1

    Governer sakaja close the hospital for good

  • @juniorkilonzo8578
    @juniorkilonzo8578 Рік тому +2

    Fungeni Ii hospitali bana ,what is this

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 Рік тому +3

    Oh God Almighty, Haki mungu huruma zilienda wapi jameni Kenya yetu

  • @elijahgikundi1902
    @elijahgikundi1902 Рік тому

    Oh may God 😭😭😭

  • @janethmakori7942
    @janethmakori7942 Рік тому +2

    Close that Hospital we have heard enough of it

  • @bafaello6622
    @bafaello6622 Рік тому +1

    😢😢😢😢😢

  • @kimberlytv7895
    @kimberlytv7895 Рік тому

    Hii kitu inafaa kua ishaafugwa kitambo sana,the management is very poor,they don't care

  • @dianamungai6413
    @dianamungai6413 Рік тому +1

    I almost died at this hospital during 2020...never again

  • @carolcarolyn8928
    @carolcarolyn8928 Рік тому

    This place shd be just closed down. Anyone I know that goes there doesn't come out.

  • @galaxyqwer7438
    @galaxyqwer7438 Рік тому

    Ataifungwe juu haisaidi aki 😭

  • @zaveriamwai763
    @zaveriamwai763 Рік тому

    Transferring problem 2 pumwani💔

  • @agnesgachuru9947
    @agnesgachuru9947 Рік тому +1

    So sad 😭😭 I think all doctor there should be removed from that hospital every time more problems 😏😏😏😏

  • @ummuadam2423
    @ummuadam2423 Рік тому

    Hii hosi mbona isifungwe someone from out side alikuja na kufanya investigation ya kuuzwa watoto and still huduma mbya bt bdo iko open, kubadilisha Hao nothing change

  • @werewaciori4254
    @werewaciori4254 Рік тому +1

    Haraka Gani!!!!!

  • @Nana-do5po
    @Nana-do5po Рік тому

    Why don't you change the entire management.Mnatuchokesha sasa.The hospital is good but the workers are hell.

  • @doreenchepkirui2199
    @doreenchepkirui2199 Рік тому

    Hawa WA pumwani wako Sawa kweli wangetoa out side Nairobi.

  • @elizabethnganga
    @elizabethnganga Рік тому

    The shuffling may not work. An overhaul of training in customer service, value for all human life, and good work ethics is needed.

  • @polin2789
    @polin2789 Рік тому

    Tena wanapelekwa pumwani woi

  • @elvisonwonga8056
    @elvisonwonga8056 Рік тому +1

    Makubwa haya

  • @JanetMuraya-wq3zn
    @JanetMuraya-wq3zn 6 місяців тому

    Hii hosi ifungwe to mtoi wangu alikufia huko

  • @denl1234
    @denl1234 Рік тому +2

    This is no new this hospital is a disaster in all time and is a disgrace and so so dangerous their many have died the are inhuman even PR is not in this hospital this is just one but here many lost their lives everyday due to negligence and arrogant and insults

  • @setrickhamasi9533
    @setrickhamasi9533 Рік тому

    Kenya siasa dio imewkwa kibao mbele akna huduma zinadlea vizuri

  • @bethwangui3317
    @bethwangui3317 Рік тому

    It should be permanently closed

  • @stephenemugo8793
    @stephenemugo8793 Рік тому +1

    Wakale tu

  • @joanngara5375
    @joanngara5375 Рік тому

    Hos sio shinda shinda ni hao madaktari majority hawana esperience yaani hawana utu

  • @gracenzomo9386
    @gracenzomo9386 Рік тому

    Why transfer her to pumwani?she should be sacked.

  • @hellennduta9767
    @hellennduta9767 Рік тому

    This hospital helps no one

  • @phoebeadikinyi3441
    @phoebeadikinyi3441 Рік тому

    Doctors and nurses,please do better work not bora kazi ,na huko pumwani ndiko hatapeleka madharau jameni,hawa watu wawe sued ndio wapate adabu aki,be human

  • @danielmulamba5648
    @danielmulamba5648 Рік тому

    Kila mtu afutwe kwa hyo hospital

  • @transforminggraceministries

    Amehamishiwa Pumwani?😒😒😒 utayasikia tena

  • @peninahihaji
    @peninahihaji Рік тому +1

    Illuminati ni real

  • @fredmankaingu446
    @fredmankaingu446 Рік тому

    Mtajua hamjui,,,,, bottom up

  • @margaretnamubi4565
    @margaretnamubi4565 Рік тому

    Dead baby cant stay for 2hrs in a mother's womb without causing the death of the mother also

  • @nelsongachoka3891
    @nelsongachoka3891 Рік тому

    my wife got twins there but I struggled to get those watchman doors, thanks God my twins doing goods back here at home, cia mama lucy ngaria ndimukuru muno , Ibut I can't recomd to go there again
    father typing

  • @denl1234
    @denl1234 Рік тому

    This is no new this hospital is a disaster in all time and is a disgrace and so so dangerous their many have died the are inhuman even PR is not in this hospital this is just one but here many lost their lives everyday due to negligence and arrogant and insults