NABII SUGUYE Aibua Mapya Kushukiwa na Malaika
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Subscribe / uwazi1
Mchungaji wa Kanisa la WRM, Nicholaus Seguye 'Nabii Suguye', Ametoa Ushuhuda kwa kutokewa na malaika na Kuanzisha Kanisa la WRM Kipindi anafanya kazi ya ulinzi na kutaka atumikie wanadamu.
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubl
Thank u all this ministry WRM had helped me believe in God and to be obedient to God word.Hallelujah Hallelujah glory be to God
Toka nimjue mungu wa wrm mungu wa prophet suguye amenitendea mambo makubwa sana na ninaendelea kupokea miujiza dable dbl❤
Naangalia kupitia TV tu ila nimesha jiungamanisha kuwa wrm ni dhehebu langu na chif profect suguye ni baba yangu wa kiroho mungu amemleta tumtumie na nimahali sahihi na mtu sahihi wa mungu nabarikiwa sana sana na uwepo wa baba yangu wa kiroho
Kazi ya Mungu Lazima iwe na vikwazo vya binadamu na ndio maana Yesu alisulubiwa msalabani. Hata kama Yesu Kristo angekuja wakti huu wapo ambao watampinga tuuuu tena. Kama kwa shetani tuu unatoa sadaka kwanini Kwa Mungu usitoe
Wewe jamaa upo,iyunga moja aisee george
Nakupenda sana Baba na toka nimefika kivule namuona Mungu,,Mungu akupe maisha marefu
Sehem gan dada
Baba angu atumii kitu chochote , baba angu ni mzaliwa wa Mungu , Baba angu atumii lolote zaidi ya nguvu za Mungu , WRM church kuna uwepo wa kweli wa kimungu , Nakupenda sana Baba ,
Waambie ❤️❤️
Na nywele za utosi na kucha? Za nini zile?
Hallelujah Our Papa you’re blessed,i love you mucho mucho
waooo nimefurai xna kumuona nabii wang Nicholas suguye mung akubariki xana
you prolly dont care but if you are stoned like me during the covid times then you can stream all of the new movies and series on instaflixxer. Been watching with my gf during the lockdown xD
@Edison Shepherd Definitely, I've been using instaflixxer for years myself =)
@Edison Shepherd Definitely, been watching on instaflixxer for months myself :)
Waoooooooooh!!! My spiritual Dady Love you so much 😘
Asante Yesu kwa maisha ya Nabii Suguye. umpe maisha mareeefu na baraka tele.
Thanks jesus
tunaitaji macho ya Rohoni tunaitaji kuwa na bidii sisi wenyewe kujiombea, kusoma neno kufunga Mungu atakufanikisha na Mungu akupe maelekezo wapi pakusali ili kuijua kweli ya Mungu itapunguza kuhangaika
You are true
izuri sana,ila kumbuka Yesu anatuombea.
Usipotoshe Ukweli,wa Mungu.
Habar ya unzim
Na MUNGU ATUSAIDIE NYAKATI HIZI NI HATARI MNO NI BORA KUMULILIA MUNGU JUU YA DHAMBI ZETU MAANA JEHANAMU IPO KWA SASA watu hatuambiwi habali ya kutubu dhambI Ila magonjwa TU wakati magonjwa MENGI Ni kwa SABABU ya dhambI zetu
Ubarikiwe Mtu wa Mungu saana
Nakupenda sana nabii suguye mungu akubaliki sana
Asante baba
amina baba wetu wakiloo kwa mafanikio yangu nafamiliya yangu tuliteseka sana tulikuwa tukiumwa malakwama tulihangaika sana hapanapale hatukupata mafanikiyo nilipo kanyanga wrm matatizoya yangu yalipotea kweli mimi namushukulu sana baba kwayote aliyo nitedea tuna shukusana panafamiliya tumepata mkombkzi wayonge sitamu acha nitamutumiya maishakwangu
Mimi mwenyewe niliponywa vidonda vya tumbo.vilinisumbua sana.Huyo mtumishi ni zawadi Mungu ametupatia,tumtumie vizuri.
Namba yake jaman kwa sisi wa mbali
Amen kabisa tunamshukuru Mungu kwa kutupa nabiii 🇹🇿
Nabii gan kumuona tu pesa elf 30,..Je ? yesu alilipwa kumuona..??
Haujasoma maandiko? Mathayo 24:24
[24]Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.
Neema Na we ni moja ya wale WA 66. ..SOMA MATENDO 2. mstari 17-19
.
17 Itakuwa siku za mwisho, asema Mungu, nitawamwagia watu wote Roho yangu, na wana wenu na binti zenu watatabiri; na vijana wenu wataona maono; na wazee wenu wataota ndoto.
18 Naam, na siku zile nitawamwagia watumishi wangu wanaume na wanawake Roho yangu, nao watatabiri.
19 Nami nitatoa ajabu katika mbingu juu, na ishara katika nchi chini, damu na moto, na mvuke wa moshi.
Hallelujah thank you our miracle workers in the name of Jesus
Amen hallelujah praise the Lord
nakupendaa mnoooo Nabii wa Mungu Nicolaus Suguye naangalia sana WRM bado sijafanikiwa kufika Kivule naamini ipo siku Mungu atanipa kibali. ila naumia kwa tozo ya 50000 mnayotoza nashindwa kuelewa kwanini jamani tunatoza neno la Mungu. Mungu amesema nimewapa bure toeni bure pamoja na kujieleza Nabii wangu unatoza kwa ajili ya stationary na malipo ya watenda kazi lkn Nabii wangu sadaka si zipoo Mimi kwa uelewa wangu, watu wangesajiliwa bure sio utoze pesa jamanii naumia Sana na hilo naona kama unaiuza karama aliyokupa Mungu. tumia sadaka kulipia hivyo ulivyosema. samahani Nabii kwa hili. Bwana atubariki sote
haaaaa 50000 ndo uombewe😂😂😂tunaitaji macho ya Rohoni
Devota Cassian huyu ni nabii wa uongo kabisa
hello dada devotha. naomba tuwasiliane kama hutojali. kwa e mail: juliuskimey@gmail.com au whats up namba +255 625 589 627
Nilitoka mkoani kufuata uduma ya maombi kwa mtumishi mmoja sistamtaja jina lake nilipomtumia messag nataka kuonana nae niliambiwa nilipie dola 200 ili niudumiwe
Devota Cassian kwanin umuombe msamaha wakati unajua anakosea uwo msamaha wa nin
Umejieleza vizuri mtumishi wa Mungu.
Amina
Mimi nafunguliwa kila siku nisikilizapo na kutazama WRM napokea namwamini Mungu wa kaka nikolauc suguye na nitakuja nishudie tu mambo makuu naamini sana sana Mungu Ambariki sanaaaa
amina
Amen 🙏
Mungu aendelee kukupa More grace...nimesikiliza ushuda wako nmebarikiwa mnoo...
barikiwa sana mungu azidi kukutia nguvu ya kuinua watu
Hongera Dad Mungu ni Mkuu zaidi
Mungu akutunze nabii binafsi nakukubali tangu siku ya kwanza nilipoangalia chaneli yako wewe ni zaidi ya nabii Mungu anakutumia kwa namna ya tofauti wanaokusema vbaya shauri yao Songa mbele baba unatusaidia sana nahao wanaosema unatoza elfu hamsini mbona mimi nimeshiriki mkesha wa siku yako yakuzaliwa bila garama tenant maombezi ya nguvu name nimepokea uponyaji bureeeee acheni maneno yakuambiwa jamani fika mwenyewe ujionee
Chanel gani
Mungu akuzidishie IMANI zaidi, nabii Nicolaus SUGUYE.
Lakini jamani naona watu wanahoji Sana suala la kumtolea Mungu,lakini wakifika hospital hawaulizi,wakifika kwa waganga wanaweka tu bila kuuliza,acheni hizo bhana,maana Kuna Siri kubwa Sana katika utoaji .
Meona eeeh 🤣🤣🤣🤣
Mathayo 24:24
[24]Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.
the way anavyosimulia napata mashaka na huduma yake!!!!!!!!!
@@Tutindaga nenda kanisani uubliwe mwenzake alikua the same 🤣🤣
Kibaha huko ndo hatari kwa nguvu zA giza .lakini tukumbuke neno la mungu linasema siku za mwisho watu watajitenga na imani ya kweli na kuwafuata manabii wa Uongo
Exactly you’re right Papa
Sema kabisa Ni makanisa Mapya kwa kweli.hasa hayo ya Akina suguye ni ya nyakati za mwisho
It’s true Papa
Hongera kwa sababu unataja motoo Damu ya yesu kristu
AMEN.
malaika ni ishu ya kawaida sana kwa MTU aliyeokoka,ninyi mnalindwa na majini,mnapandisha n so on,sis malaika ni marafiki,point amekuja kusema nn ndio inaleta uxito ,haya yalikuwa for Israel,wakatema,sasa ni mataifa,Mungu huzungumza na yupo hai,yule yule aliyezungumza na kusanyiko la Israel ndio anasema nasi today tunaona,hata Mimi alintokea YESU, akaniponya ,nimeokoka n he promicd to bles me
nimempenda sana mtangazaj ameuliza maswal mazur na ya mcng bila woga. hivyo ndvyo wanahabar mnavyopaswa kuwa ucjal unayemhoj n nan
amina baba
Mlipewa bure toeni bure wokovu aununuriwi mpendwa
Mungu wa wrm nakupenda🙏🙏
Kama hauna la kusema afadhali unyamaze kuliko kukufuru nabiii wa mungu. Mungu awasamehe
amina baba
Nawasalimiya katika jina la Yesu kristo mimi kwamajina ni Lisa ndikuriyo natokeya Burundi Bujumbura
Nimepata nehema yakusikiya ushuhuda tofahuti mbali mbali na mimi nikaona naweza kusaidiwa namutumishi wake nabi Suguye naitaji maombi tena Nina imani ntambalikiwa
kila mtu nabii siku hizi,watu wa Mungu wekeni IMANI kwa Mungu sio manabii.
tafuta kuishinda dunia na kuipata mbingu
asante mtumishi wamungu
amen
Baba Nakupenda mno , wewe ni Baba angu no one like you my father , daaaah!! Nakupenda sana Ila nahitaji kukufanyia kitu baba angu
Hakika u nabii was Mungu Alie juu🙏🙏🙏🙏amen
wasiosoma maandiko wataburuzwa saaaaaana?but Mungu yupo
ndio hayo mazuzu likienda kanisani wakisema pokeaaa linapokea tu bila kuchunguza
Believing is possessing indeed! Lord I believe help my unbelief in Jesus Christ name- Ameen
Ameen
Kunawezekano mtu akikombolewa lazima afanikiwe na hiyo hunduma no ya Yesu kabisha na Mungu aimbaliki
Watu wanahoji kwamba kama wewe n mtumishi kweli nebda kafufue watu hospitali,mbna viziwi wapo,mbna hiki hakiko xawa,kweli dhahabu safi usafishwa kwa moto,binadamu hata ufanye nn bora ndio kwanza watakubebesha mzigo zaidi,hata Yesu mwenyewe walimuambia ivoivo kwamba anatoa mapepo kwa nguv ya baalzebuli,na Yeye mwenyewe alisema,mtumwa gawezi kumzid bwana wake,hatuwashangai jaman wanadamu hata leo Yesu angefika leo inawezekana tungemfanyia vibaya zaidi kuliko wale wa kale,Neema ya Mungu itujilie vinginevo adui yetu ametufunga vutambaa vyeusi atuoni
Hata yesu alijaribiwa kwa kuambiwa kama kweli ww mwana wa Mungu geuza jiwe kua mkate kwaiyo iyo unayoiona ni sauti ya shetani kupitia mwanadamu
Mungu ampe viwango vya juu sana
Amen
Na ni kweli hakuna baraka za bure, sadaka ni muhimu sana, huwezi kupokea bila kutoa. Hata watu wa duniani mfano waganga wa kienyeji hata mizimu haiwezi kufanya jambo bila sadaka, sasa kwa Mungu mtu anaona ukakasi gani kutoa sadaka? Mimi kwenye suala la kutoa sadaka sintoacha kutoa and siwezi kujudge kuhusu utoaji, kama Baba yetu Abraham aliweza kufikia hatua ya kutaka kumtoa Isaka kama sadaka mimi ni nani nisitoe sadaka hata iwe ni shilingi ngapi kama Mungu kanijalia pumzi na pumzi hiyo inanisaidia kutafuta riziki kwanini nisitoe sadaka? Jaribu kufikiri ingelikuwa binadamu anaenda kituoni cha mafuta kama ilivyo gari kujaza uhai leo hii usingeliitafuta pesa ili uendelee kuwa hai ? Tunaamini Mungu yupo na ndiye atupaye zawadi ya uhai kwanini usitoe sadaka ? Na sadaka hiyo unaweza kuitoa kwa namna mbalimbali ambayo Mungu atakugusa !! Hivyo kama una pumzi jifunze kumtolea Mungu na unapotoa usianze kuuliza nilichokitoa kimeenda wapi au kwa nani, Wewe toa na umshukuru Mungu !!!
Nabarikiwa sana ninapoitaza WRM
mtumishi wa Mungu tutembelee Arusha
utoaji na michango ni kila kanisa
Wachungaj kwanza matapeli ila iposiku mtakufa tu namali zenu mtaziacha yan mtu unashindwa kwenda kanisani kisa michango kamann looooo
Baraka zipo katika kutoa kuliko kupokea.Kwa nini watu wanapenda kujua zaidi habari za Freemason na waganga wa kienyeji na wanaziamini kuliko kazi as Mungu aliye hai?
Siku Mungu akifuta sadaka basi dhehebu litabak moja tu duniani
Hakika mungu yupo
Amen Mungu akuzidishie Upako
mimi akaa America naomba unitumie number yako na mimi ya kwangu 443 500 7447 hiyo hapo
Kumtegemea mungu kunafaida anamtumikia mungu Wakweli hata akinunua ndege 20 huyo suguye nimbalikiwa mungu akutunze property wetu
Nimebahatika kujioneya matendo makuu mungu anamutumikisha mutumishi wake apporte suguye Naomi nikatamani Siku moja Ani ombeye
gisina ona mungu akimutumikisha kwawengine Nami mungu atamutumikisha kwama isha yangu nayafamiliya yangu
Kiongozi wa kiroho inakupasa kuwa mzalendo.
Musa aliambiwa na MUNGU achague watu safi 70 ili MUNGU aweke ndani hao roho ya uongozi iliyokuwa juu ya Musa ili wawe viongozi kumsaidia Musa kazi.
Hesabu 11:16-17 " Kisha BWANA akamwambia Musa, Nikusanyie watu sabini, miongoni mwa wazee wa israeli, ambao wewe wawajua kuwa ndio wazee wa watu hawa, na maakida juu yao; ukawalete hata hema ya kukutania, wasimame huko pamoja nawe. Nami nitashuka niseme nawe huko, nami nitatwaa sehemu ya roho iliyo juu yako na kuiweka juu yao; nao watachukua mzigo wa watu hawa pamoja nawe, ili usiuchukue wewe peke yako."
Inawezekana hata kwako Maaskofu au Wachungaji au Kanisa wamekuchagua au kukuteua ili uwe kiongozi safi wa kiroho.
Swali langu je unatumika vyema na kwa utakatifu tena kwa kusudi la MUNGU?
Je hujabadilika na kujiinua baada ya kupewa uongozi?
Je nafasi uliyopewa haijakutumia vibaya?
Ushauri wangu katika ujumbe huu nakuomba uwe kiongozi wa kiroho aliye mzalendo.
Kiongozi wa kiroho mzalendo ni yupi?
Kiongozi wa kiroho mzalendo ni Mtumishi wa MUNGU ambaye anaipenda kazi yake na anatimiza majukumu yake vyema kwa kusudi la MUNGU.
Mzalendo wa kweli hawezi kuonea watu, hawezi kutoa wala kupokea rushwa tena mzalendo hawezi kufanya kazi ya MUNGU kwa ulegevu.
Ndugu uliyeitwa kumtumikia Bwana YESU hakikisha unakuwa mzalendo kwenye kazi yako ya kiroho uliyopewa na MUNGU.
Ngoja nikutajie Kibiblia baadhi ya kazi za viongozi wa kiroho.
1. Kulitunza na kulilinda kundi la MUNGU.
Matendo 20:28.
Yaani kuhakikisha mafundisho ya mashetani ama hayawafikii Kanisa la MUNGU au kuhakikisha hayo mafundisho ya mashetani hayawageuzi Kanisa hata wakamuacha YESU Mwokozi.
Unalindaje kundi la MUNGU?
✔Kwa wewe kuwafundisha Kanisa kweli ya MUNGU ya Wokovu wa KRISTO YESU.
✔Kwa kuwaonya Kanisa ili wasitekwe na mafundisho yaliyo kinyume na Wokovu wa Bwana YESU KRISTO.
Hakikisha pia unajua kufundisha Neno la MUNGU kwa usahihi wake(1 Timotheo 3:2)
Kama hujui jifunze na soma sana Biblia.
2. Kulilisha Kanisa na kulichunga.
1. Petro 5:1-4
Unalilisha Kanisa kwa kulifundisha Neno sahihi la MUNGU.
Unalichunga Kanisa kwa kuhakikisha hakuna kondoo anatekwa na mawakala wa shetani.
3. Kutawala vyema.
1 Timotheo 5:17-18
Kutawala vyema ni jukumu lako kama kiongozi wa kiroho.
Viongozi wengi wa Kiroho husema kwamba lawama huwa hazikosekani lakini Mimi nakumbia kwamba isiwemo lawana hata moja uliyoisababisha wewe.
Pia katika kutawala kumba na epuka kutumikiwa wewe.
Bwana YESU mwenyewe alisema kwamba alikuja kutumika na sio kutumika, yaani kipindi Bwana YESU yuko duniani katika mwili kama wa kwetu alikuwa anatumika na sio kutumikiwa, hata sisi katika mwili tutumike na sio kutumikiwa.
Kwa sasa tunatakiwa tumtumikie sana Bwana YESU maana yuko sasa katika utukufu wake, hivyo sisi wote yaani viongozi na wasio viongozi tumtumikie Bwana YESU na sio sisi viongozi tuwe watu wa kutumikiwa.
Ndugu tawala huku ukiwa Mtumishi na sio mtumikiwa.
4. Kulishika Neno la MUNGU na kulifanyia kazi.
Tito 1:9
Kiongozi wa kiroho lazima uwe na mfano katika kulitii Neno la MUNGU na kulifanyia kazi kwa kusudi la MUNGU.
Hakikisha unakuwa kielekezo chema kwa mema.
Sio wewe unaagiza kwa ukali kwamba Kanisa waingie katika maombi ya kufunga huku wewe wala huna mpango wa kufunga, sio unaagiza watu kutoa fungu la kumi huku wewe huwa hutoi.
Ndugu, hakikisha unakuwa kielelezo chema katika mema yote.
5. Kuwatembelea watu na kuwaombea.
Yakobo 5:14-15.
Kuwatembeleawatu sio mpaka ufike kwao ila hata kujua hali zao inapobidi kisha unawaombea ni jambo jema.
Ikiwepo nafasi ya kuwatembelea basi fanya hivyo na kuwaombea.
Ni jukumu la Kanisa kulijenga Kanisa la MUNGU.
MUNGU akubariki Sana.
By Peter Mabula.
Mtenda kazi katika shamba la Mwokozi YESU KRISTO.
Mbona hatu-compromise tunapopewa masharti na waganga wa kienyeji?
Sio kweli uongo
Waambie Nabii hawajui nguvu iliyopo kwenye sadaka nikubwa sana
Kabisa Papa
Mmmmmm neno linasema siku za mwisho watatokeaaa manabiii wa uongoooo
global Tv nahitaji mahojiano nanyinyi nipeni utaratibu
Nina ujumbe toka kwa Mungu juu ya hao watumishi
hello dada leah. naomba kama hutojali tuwasiliane
juliuskimey@gmail.com
Leah Mwankundile hahaa Leah...
Mungu akubariki mtumishi WA Bwana
Acha kubesa watumishi wa mungu
Kama alikuja kiwiliwili tu huyo alikuwa abilisi mzimamzima. Ujue wengi hawajui kuwa ibilisi anaweza kujifanya malaika ata akaja kwa sura yoyote.
Nyani njirani zetu Tanzania mungu yu pamoja nanyi yani ukifa unafufuliwa haaaaa manabi mungu ana waona sasa mwataka ulizi wa nini na Mungu alikupa uwezo wa kufufua Yesu ataki security ukuwa nae una security Mungu ana kuona ata setani anjua mahadiko
tuonyeshe yupi wa Mungu, huyo mganga aliyekusaidia siyo,sura za kifarisayo unafik tu,mtukuze Mungu hata kwa matendo yak bas we mnafiki
Daud alikuwa akilindwa,na Israel walikuwa na jesh wakat wa Mussa,si wangelala tu Mungu mbna alikuwa palepale
Yaaan nishida sana
Ahsante kwakutuhudumia jamii
Usyeamini utabaki hivyo uluvyo. Neri waaminio
Namkubali sana nabii mungu amjalie maisha marefu
Wewe unaempinga usiwe una angalia alafu uja wahi kupata shida
Alikua amezimia.kama nikweli nenda mochwari kafufue walio lala.
Mungu akusamehe kwa kuto kuamini kwako ila jua kuwa hata Yesu hawakumwamini pia
ole wao wawasemao vibaya manabii wa MUNGU,, bara ukae kimya rafiki yasije yakakutokea ya wale vijana 42 waliomdhihaki Elisha nabii
Joseph Kisembe Joseph usemayo yote hayajakukuta ila mungu akusamenhe na kauli yako ulotoa si akili yako
mkuu kuna watu waongo duniani huyo jamaa namba 1 wanatokewa na majini wanakuja kutudanganya
feyzal Yusuph hii ni hatari sana tuwe makini na hawa manabii bandia
Nabii naomba kuuliza ww unaombea watu wanapona vilema church kwako wanatembea ukimwi kansa wanapona sasa unafeli wapi kuwaokoa watu hospital jmn kama ww kwel ni nabii wa ukwel watu wanakufa wafufue BA's tukuamin
Jibu Rahisi, Je Kuna kazi Isiyo Na ofisi? Hosipitali Ni Ofisi Ya Madaktari, Manabii Wanaofisi zao. Wanaomtaka Mungu Wamfuate Ofisini kwake.
Mm acha maswali hayo bhana nabii wa kweli anatambulika kwa maisha yake na matendo yake prophète suguye m'aisha yake tu na mungu anavyomtumia inatosha kujua kuwa nabii wa l'élu, Nathan umeelewa
Nauache kutumia maandiko ya kwenye bibilia kukashifu karama na vipawa mungu alivyo wala watu wake wengine mnakashifu wakati mnamatatizo mengi adi umeyakatia tamaaa I think we should try hard to thing perfect rather than to think less concerning the men of god because I am not so sure if your life is perfect
Bwana yes asifiwe mtumishi nahitaji huduma ya maji na mafuta napataje naitwa marry samweli kutoka moshi
Ghaghabu ya Mungu inakuja juu ya hao Mungu anahasira sana
You are true
Mungu akutunze
Mungu akutunze baba
Anatoza pesa uyo ukienda ofcn kumwona,,,loooh utumish gan huo
Lucas Ezekiel unauhakika Mpendwa? Maana hata Nabii mkuu anaomba pesa za kigeni kabisa
Mungu anakuona
kukamuliwa tu pesa
Mm uwa najiuliza sana hivi hao malaika huwa nikwaajili yenu tu au wawote maana kila nabii alitokewa na malaika
Jina la Yesu linajitosheza halihitaji kusaidiwa na chochote hizo ni biashara tu
Yesu Kristo alißema majii ya uzima nitawapa bure. Leo Hawa manabii wanauza huduma wanaosema Wana uweza wa kuzitenda. Manabii Hawa ni waongo waliojipatia nguvu kutoka kwA shetani. Badala ya kuhubiro wokovu wa Kristo Yesu wanaohubiri utajiri. Seguye waziwazi through body language ansonekana wazi ni mwongo.
Mungu akupe maono zaidi.
Asante sn baba Mungu akupe nguvu zaidi
Huyo malaika Alikupa agizo lipi?ufanye nini?musa alitumwa kutoa watu utumwan,eliya mtishbi kujenga madhabahu ya BWANA,yesu alitumwa kuokoa watu na dhambi zao,Eliya adam wapili alitumwa amjengee MUNGU kanisa wewe unaagizo lipi?usanii mtupu
chris massawe mwmbie imekuw kubw
chris massawe haujui mung hapatan na machoz
chris massawe ndio nan adamu wa pili
chris massawe good
Daniel Patrick Robert .huyu Nabii nimeenda kwake hanijui simjui toka nasoma navaa miwani aliniambia miwani leo mwisho nimefika nyumbani naanza kutuma SMS bila miwani mpk leo sivai miwani
Tafuteni Interviewers wazuri...
Mtangazaj kwakweli maswali unayouliza sidhan km unajielewa kujenga kanisa kubwa linahusiana na nn
Nakuamini bila maswali baba yangu no 1
tumshukulu mungu kwa kila jambo
tunaomba ututembelee shinyanga kwani wengine hatuna uwezo wakufika huko ila tunamatatizo makubwa sana
Nehemia Boniphace muombe Mungu aondoe matatizo yako utamtegemea mwanadamu mpaka lini
hahaha wacha nicheke kwanza maana watu wameaoma ila elimu zao ni bure bible wanaisoma kma gazeti wacha waibiwe tu maana hakuna namna
Amina nabii nichorous suguye
Umeonae feyzal wakat biblia inasema wokovu hauuzwi
we ndo unaisma ka gazet,kasome come n comment
acha Mungu atukuzwe acha unafiki
YESU hakutumia upanga kuhubir
Ngoja nikupe Dili la Ella ndefu ....NENDA KAMFUFUE AKWELINA AKWELINI ...yani inapiga ela mpaka utaacha
hata hilo hutaamini pia
halafu acha kuabudu hela,mtukuze Mungu kwa mambo makuu
Goldman Sun yan umenena sanaa
Heri nyie mnaocheka sasa maana iko siku mtalia
Uwe hai baba nikuona ubalikiwe
Nabii wa uongo ....tunawajua kwa matendo yao
Wa ukweli ni yupi unaemjua
Mathayo 24: 24, kasome kwa muda wako, uyo sio nabii wa Jehova, kuombewa unalipia , pia kumuona unalipia,
liongo kweli mungu hajawahi sema na mtu anaongea kupitia manabii
Uwe Hai.
Buberwa Mujuni yesu yu hai
Yesu yu hai
eti yesu kanitokea ngoja nishuke hili gari nililopanda sio
feyzal Yusuph mtu wa mwilin ni vigumu sana kumtambua mtu rohoni sio kosa lako
+ashura Alex muulize huyo jamaa yesu yupoje?,,hata anavyoongea unaona kabisa ni muongo tumia akili kufikiri vitu vingine sio mpaka malaika akushukie
+ashura Alex maji ya ubavuni mwa yesu jaambiwa yeye na mungu 😊😊
Jitoen balazan mwa watu wenye mzaa na neno la mungu na mimi najitoa
feyzal Yusuph unaongea sana ww unann
Nabii suguye wewe hutoi misaada kama geodavie kwa maskini na wenye uhitaji unabii wako ni bure una ubinafsi
next week naenda matembele
manka mushi 😀😀😀😀😀😀😀😀😀
manka mushi nenda bwana
watu wanashangaa malaika,mbna kwa mkristo aliyeokoka ni kawaida,ila tofaut anakuja kufanya nini
nsaidie jaman Niko mbali
nsaidie jaman Niko mbali