Ila kaka zahir hii camption yako kidog ungerekebisha hilo neno omba omba halijakaa kiungwana kabisa yaan 😢😢😢😢😢 ungeandk alotok Kenya kuja tz kwaajil ya kuhitaj msaada aporwa pesa ingekaa vizur zaid 😢😢😢😢
Ujue sio kwamba sitaki uungwana ila ili tuende na ualisia na watu waguswe kumsaidia lazima uandike kitu cha ukweli Maana ni kweli ni omba omba Ni kweli anaomba na familia yake Ni kweli kutwa kuchwa wanazunguka kuomba mitaani kila mahali So tunaandika ukweli ili watu waguswe Tukiandika ki rahisi hatopata msaada Kichwa cha habari ndo pesa yao Ukiandika ki ungwana hatopata msaada kabisa ndomana naandika hvo
Ni mfanyazi wa warabu huyo kawaimbia siku hizi lazima uwe makini wakisikia mnatumiwa pesa basi matapeli wengi sasa zahiri mshitaki huyo mwanamke saa inginebyupi hapo jirani zahiri check number ya huyo mwizi utaipata jina lake amerejista jina gani utaona mtajua mtu wa wapi
We mama tapel najua wasoma comment na kuangalia maximum tv jua kbs hiyo pesa ulo dhulumu ni haki ya mtu haipotei bure utakufa mdomo waz kwa dhuluma allah atalipa
Huyo mwanamke ni muongo Tapeli anakaa dar siku za nyuma alisema anauza dawa zapoteshA maradhi kumbe ni muongo anataka pesa kabla…nikamwambia nenda kawatibu watu waliopo muhimbili utapata thawabu
Mimi naonelea wangempeleka huyo mtoto Madrasah kama shule ni gharama angalau akafaidika ikiwa mtu anaroho ya huruma atawasaidia hata bila kuona hio family nzima barbarani .....Zahir naomba ujaribu kumwambia mzee hayo maneno ya Madrasah please....my opion tuu.❤🇬🇧
Nisipotaja pesa itakuwa sio kazi maana hata ambao sijawah kutaja pesa wanapigiwa na matapeli na wanaibiwa so hata nisipotaja ni yale yale tu boss Kingine ili watu wahamasike kumsaidia mtu ni lazima nitaje pesa aliyopata Nataja kwa faida za wachangiaji boss
Kwan hakuna utaratibu wa kuripoti police? Halafu Zahir kampuni za simu huwa zina facilitate muamala hewa kwa lengo la kumkamata muhalifu, kawaone tigo au voda kuna hiyo huduma ambayo hushirikisha police too
@@user-qp6lx9ql1q nimemwambia anionyeshe kam pesa imefika hakunionyesha kwa hiyo ni seme.nini kam katumia yy hajatumia yy mie nitajuwaje na hajanihakikishia nitasem nin am unajuw kusem tuy et katumia yy nenda kamuulize
chat.whatsapp.com/KPZv8klxl0IFT0TM5SdWOe
JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA SAD MOMENT UJUONEE MATUKIO KWA UKARIBU ZAID
24:50
Namba za hiyo groop kaka zahir
Ila kaka zahir hii camption yako kidog ungerekebisha hilo neno omba omba halijakaa kiungwana kabisa yaan 😢😢😢😢😢 ungeandk alotok Kenya kuja tz kwaajil ya kuhitaj msaada aporwa pesa ingekaa vizur zaid 😢😢😢😢
Ujue sio kwamba sitaki uungwana ila ili tuende na ualisia na watu waguswe kumsaidia lazima uandike kitu cha ukweli
Maana ni kweli ni omba omba
Ni kweli anaomba na familia yake
Ni kweli kutwa kuchwa wanazunguka kuomba mitaani kila mahali
So tunaandika ukweli ili watu waguswe
Tukiandika ki rahisi hatopata msaada
Kichwa cha habari ndo pesa yao
Ukiandika ki ungwana hatopata msaada kabisa ndomana naandika hvo
@@maximumtvonlineNikweri kabisa maashaallah
hupo sawa
Yaani huyo mdada aliyemtapeli huyu Baba mungu anamuona na malipo hapahapa Duniani
Neno OMBA OMBA Zahir kwa kweli halija-sound vizur hata kdg na halijakaa kiungwana ni vyema ukalirekebisha
Tayari nimerekebisha
Kama hataandikq uhalisia ta tatizo atasaidiwa vp sasa jamani ndugu zangu
Mungu atampa shifaa ya haraka in sha allah
Huyo mwanamke alie tapeli ndio Wale wanapataga matatizo wana anza kutuomba tuwasaidie wanasahau wanavyo sumbua watu kutuma ela nawatu wanalia
Ni mfanyazi wa warabu huyo kawaimbia siku hizi lazima uwe makini wakisikia mnatumiwa pesa basi matapeli wengi sasa zahiri mshitaki huyo mwanamke saa inginebyupi hapo jirani zahiri check number ya huyo mwizi utaipata jina lake amerejista jina gani utaona mtajua mtu wa wapi
Sema tu hyo mzee hakuwa omba omba before alikuwa na kaz yake Sema Maradh t yalimfanya afanye hivo ili kupata msaada na Familia yake 😢😢😢😢
Kweli
We mama tapel najua wasoma comment na kuangalia maximum tv jua kbs hiyo pesa ulo dhulumu ni haki ya mtu haipotei bure utakufa mdomo waz kwa dhuluma allah atalipa
Amiin
Ameen Dah mama mshenzi kweli
@@SafiyaJ-yw2vt mshenz sana huyu mungu atamlaan mtume atamshindilia 😥😥
Ndugu yangu Allah andika kwa herugi kubwa Shukran
@@sheikhanasser4714 kiandika kwa herufi ndogo ni haramu? Afuan
Huyo mwanamke ni muongo
Tapeli anakaa dar siku za nyuma alisema anauza dawa zapoteshA maradhi kumbe ni muongo anataka pesa kabla…nikamwambia nenda kawatibu watu waliopo muhimbili utapata thawabu
Wamtaje jina lake huyo tapeli mwizi😂
Mimi naonelea wangempeleka huyo mtoto Madrasah kama shule ni gharama angalau akafaidika ikiwa mtu anaroho ya huruma atawasaidia hata bila kuona hio family nzima barbarani .....Zahir naomba ujaribu kumwambia mzee hayo maneno ya Madrasah please....my opion tuu.❤🇬🇧
Siku zote zahiri tunakwambia usitaje pesa wanapata hutaki kusikia sasa ni mtu wangapi mtangaza tu mnasikia wanatapeliwa acheni kutangaza
Nisipotaja pesa itakuwa sio kazi maana hata ambao sijawah kutaja pesa wanapigiwa na matapeli na wanaibiwa so hata nisipotaja ni yale yale tu boss
Kingine ili watu wahamasike kumsaidia mtu ni lazima nitaje pesa aliyopata
Nataja kwa faida za wachangiaji boss
Hupo sawa kaka @@maximumtvonline
Hahaha sinilisema Mimi asitaje kiyasi chapesa umeona kazi hiyo alafu huyu anajuza kabisa nimwanaumee duh
Mungu ampe shifaa
Ndugu mwandish tunahitaji hyo feedback ya huyo tapel
Sawa
Zahiri chukuwa number yake halafu polici wa mtrack ili akamatwe msizidi kumpigia anashituka a hatapokea tena
Sawa
Mungu wangu TANGA SII WANASEMEA NI WATUY WA DIN MUNGU WANGU MBON MAISHA NI MAGUM MPAKA WANAWAKE WANATAPEL SUBKHAN LLAH
Ila km katapel 60 pekee tushukuru angemtapel hela nying mtihan
Kwakweli
Mtii akili mtu kataka kuwatumia alfu 60 alfu halafu hapo hapo amesema mtapata milioni 17 halafu halafu anaomba alfu 60 huoni ni muongo
Caption sijapenda Kabisaa😥😥
Ndo uhalisia boss
Na ni kweli omba omba boss
Kingine hii ndo inafanya watu waguswe kumsaidia tajiri
Warabu wa oman wamehamia TANGA KUIBIA WATUY MUNGU WANGU SUBKHAN LLAH
Hao sio original wa oman. Yawezekana ni wafanyakazi wa majumbani waliotoka hukhuku kwetu wamekaa uarabuni na wamejua kiarabu
@@yasminjuma9146 haswaaaa na ndo wana jeur hizo kwa ajili ya ushamba wao
Ni kweli kabisa
M.mungu atamfanyia wepesi ndugu yetu.
Atamponya kwa haraka ishaallah
Allahuma Aameen Yaarb Alaameen 🤲
Kwan hakuna utaratibu wa kuripoti police? Halafu Zahir kampuni za simu huwa zina facilitate muamala hewa kwa lengo la kumkamata muhalifu, kawaone tigo au voda kuna hiyo huduma ambayo hushirikisha police too
Ooh sawa
Matapeli hawanahuruma jamani. Subuhanallah. Kunadada alitoka tanga alisilim kuwa muislam baadae akatapeliwa. Nahuyo mdada. Tapeli sana anajifanyaanadini sana ajifanya yeye mtuwa ughaibuni
Pole sana kwa mitihani. Na hio lugha ya kiarabu pia waliowahi kufanya kazi za majumbani nchi za kiarabu wanaongea vizuri tu..
Nilisema hawa watajitokezatu, hawanaga huruma.
Ujuwe watuy wawe wanafikiria mtuy ana pesa milion 17 bado anataka elfu 60 mungu wangu akili hazifanyi kaz
Kwanza zahir ww unatabia mbaya san mtuy anakpa pesa umpelekee anae hitaj unazitumia ww
Anatumia Zahir au
@@user-qp6lx9ql1q nimemwambia anionyeshe kam pesa imefika hakunionyesha kwa hiyo ni seme.nini kam katumia yy hajatumia yy mie nitajuwaje na hajanihakikishia nitasem nin am unajuw kusem tuy et katumia yy nenda kamuulize
😢
Ila waislamu et salamaleko, harafu baada ya hapo anatapeli😂
Kwani utapele unadini
@@MonaJuma-cp3jgsindoapo
Unafikir hiyo salam wameikariri wakristo zaid ili waibe usiseme waislam
Tena ufunge mdomo wako yule aliyejiita dokta rama na kutapeli watu muhimbili hospital nakuja kubainika kumbe mkristo Acha kuropoka mwenyewe umeona umetoa pwent apo ushubwada tu
@@Zuu673 ulitaka ataje mkundu wako then atapeli🤣
Watu hawana huluma
Zahir
Kweli kabisa hilo neno ombaomba hiyo kauli sio sahihi sio uungwana kabisa hebu rekebisha kwanza hiyo kauli yako
Tukiweka rahisi inakuwa ngumu watu kuguswa bora hii omba omba kwasababu ni kweli omba omba na anahitaji msaada why tuongope boss
Angekua hapo Dar mngemtrank
Peleka namba polisi watajua yupo wapi na atajunguliwa kesi ya wizi wa mtandao huenda yupo hapahapa na kama kuna mtu alimpa lain imekula kwake
Kaka zahiri uko makini 😂😂🇰🇪
Yes makini sana
Wambie pia wasitaje namba ya siri au ukielekezaw fanya hivi fanya hivi wasikubali
Zahir ukipata mgojwa mpya lazima umpe tahadhari kutokana na matepeli
HASBIYA LLAHU WA NEEMA LWAKIL
😂😂😂matapeli hatari
Waizi wanageuza hata sauti unajua ni mtu unamjua kumbe sio,computer zinamambo
Hiyo namba ifuatiliwe akamatwe
Watu hawana ubinaadamu . Unamuibia mtu ktk hali hii kwei ?