Makonda Mungu akupiganie akulinde,akutie nguvu na kukupa Afya, Bila kumsahau Mama yangu Mh Rais wangu mama SAMIA SULUHU ,Uliepata maono ya kumrudisha makonda na kumpeleka Arusha Bg up mama ninakuombea Mungu aendelee kukulinda.
Asante laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani Alha akulinde na maasidi kwa kutoa Pesa kwa matibabu ya muimbili Pia mueshimiwa makonda Alha akuongoze kwenye uongoziwako Uwe mfano
Makonda Mungu akupiganie akulinde,akutie nguvu na kukupa Afya, Bila kumsahau Mama yangu Mh Rais wangu mama SAMIA SULUHU ,Uliepata maono ya kumrudisha makonda na kumpeleka Arusha Bg up mama ninakuombea Mungu aendelee kukulinda.
dah makonda huyu JANABI usiwe Nae kalibu sana wenye dii washaelewa
Kiongoz lazma uwe unawatumikia wananchi ndokaz lakn sio porojo makonda unafaa kuiongoza tz
Dah makonda Kwa hili umefanya kazi kubwa sana.
Makonda anapigwa sana mawe ila huyu jamaa ni hazina
Asante laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani Alha akulinde na maasidi kwa kutoa Pesa kwa matibabu ya muimbili
Pia mueshimiwa makonda Alha akuongoze kwenye uongoziwako
Uwe mfano
Mungu azidi ukuwafuguwa mioyo viongezi weti wote wawe na moyo wa huruma kama makonda 🎉
Mungu akubariki sana Mh Makonda
👍👍👍👍👍🙏🙏🇹🇿🇹🇿