Kilimo Shadidi cha mpunga Morogoro
Вставка
- Опубліковано 19 вер 2024
- Wakulima katika wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro Tanzania wamenufaika na mradi wa Kilimo cha kisasa cha mpunga au shadidi unaotumia maji kigodo na miche ya siku 8 hadi 12 baada ya kuchipua. Veronica Natalis alitembelea kijiji cha Njage na kuandaa vidio ifuatayo. #kurunzi 12.03.2021
napenda sana kula wali,
Mbegu hz zinapatkana je
Mimi nimkulima nikobunda naomba mnisaidie nitumie mbegugani zampunga na kwahekal moja inatoa kiasi gano
Mimi naomba mnisaidie namna yakuipata hiyo mbegu