Hapa nakubaliana 100% na Hans. Dube ni aina na mchezaji anayecheza nyuma ya striker. Ni assistant striker, ni kosa kubwa sana kumataka awe classic number 9.
Hans always talking shit. Mchezaji ni mchezaji hata chooni acha ushabiki mandazi. Hakuna mchezaji hapo that's it. Hans rudi kwa wazee uombe hekima na busara otherwise now days unazidi na stories za dada zako.
@@haidhabushiri9558 shida si shule au malezi ni heshima yako. Na kwann nimpangie lakini kma umezoea kusikiliza ushuzi basi ni sawa lakini nikicheki ni mwezako huyu kwa mtazamo wako
Natural finisher na clinical finisher vitu viwili tofauti
Hapa nakubaliana 100% na Hans. Dube ni aina na mchezaji anayecheza nyuma ya striker. Ni assistant striker, ni kosa kubwa sana kumataka awe classic number 9.
Inatakiwa dube atafute video za Michael Owen na Thierry Henry ataongeza ujuzi wa kufunga
Hata mayele alikuwa anakoss sana magoli sema kwa vile tumezoea kufunga matano 😂😂tu ila alikuwa anakosa sans Mayele
Raphael leo uko vibaya kwauchambunzi ao cling finisher hawakuwahi kukosa?
Inabidi abadilike kiukweli daaaa maana mashabiki tunaimani na yeye
Hans umebonga watu wako kimya mwezako wanabonga lazima uingilie maongezi. Sikiliza wezako sbbu u know nothing acha ufundishwe
Hans always talking shit. Mchezaji ni mchezaji hata chooni acha ushabiki mandazi. Hakuna mchezaji hapo that's it. Hans rudi kwa wazee uombe hekima na busara otherwise now days unazidi na stories za dada zako.
Mtu wa kwanza duniani kumpangia mtu cha kuongea 😂😂
@@haidhabushiri9558 shida si shule au malezi ni heshima yako. Na kwann nimpangie lakini kma umezoea kusikiliza ushuzi basi ni sawa lakini nikicheki ni mwezako huyu kwa mtazamo wako