Mwenyezi mungu mwingi Wa rehema mwenye kurehemu Nakuomba yarabi tusaidie sisi wana yanga siku ya juma mosi timu yetu ya Dar yanga Africa ishinde magoli 6 au 7 Kwa bila zidi ya Cbe, bariki wacheziji wetu wote viongozi na timu nzima kiujumla ewe mwenyezi mungu Nakuomba tupe ushindi mnono wana yanga amin
Mungu awalindie wachezaji wetu afya njema pamoja na viongozi wetu na benchi la ufundi Mungu awatangulie awapiganie tuweze kuvuka na kupata matokeo mazuri
Wachezaji wa yanga haturidhishwi na kosa kosa ya magori ktk mashindano makubwa kama haya naomba zinapopatikana nafasi za kufunga zitumieni jamani mnatuumiza sana
@@abdunnurahmedsilim7456 Mimi ni mwanachama wa young African miaka acha ujinga wewe huna lolote mmebakiza matusi tu sisi ndio tulioichangia yanga kwenye Hali ngumu ,na ukweli ndio mafanikio yetu leo
Mwenyezi mungu mwingi Wa rehema mwenye kurehemu Nakuomba yarabi tusaidie sisi wana yanga siku ya juma mosi timu yetu ya Dar yanga Africa ishinde magoli 6 au 7 Kwa bila zidi ya Cbe, bariki wacheziji wetu wote viongozi na timu nzima kiujumla ewe mwenyezi mungu Nakuomba tupe ushindi mnono wana yanga amin
Ameen
Allahuma amiiin yaarabilialamiin 🤲🏻
Aamiyn yaarabi
😄😄💚💛💚💛💚💛🏆🏆🏆🏆💚🏆🏆💚💚💚💚💛💛💛
Aamiin summa Aamiiin
Mungu awalindie wachezaji wetu afya njema pamoja na viongozi wetu na benchi la ufundi Mungu awatangulie awapiganie tuweze kuvuka na kupata matokeo mazuri
In sha Allah mwenyezimungu Ajalie tushinde Aameen💛💛💛🙏
Kila la kheri inshaallah tutashinda magoli mengi kwa uwezo wake Allah daima mbele nyuma mwiko 💚💚💚💛💛💛
Kila la heri wananchi daima mbele ilove yanga
Mungu wetu ni mwema sana tutapata matokeo mazuri nyumbani.
Tunaomba mungu atutangulie na awe msaada wetu kwa kila mech❤
Inshaallaah Mungu awalinde na kuwabariki na kupata ushindi kwetu Yanga YETU
Daima mbele
Wachezaji wa yanga haturidhishwi na kosa kosa ya magori ktk mashindano makubwa kama haya naomba zinapopatikana nafasi za kufunga zitumieni jamani mnatuumiza sana
Wewe unaumia kwa sababu wewe ni shabiki maandazi au inawezekana kabisa kwamba wewe ni kolokwinyo
@@abdunnurahmedsilim7456 Mimi ni mwanachama wa young African miaka acha ujinga wewe huna lolote mmebakiza matusi tu sisi ndio tulioichangia yanga kwenye Hali ngumu ,na ukweli ndio mafanikio yetu leo
Tupeni raha jumamosi inshaallah
Nice
Privaaa
Tutawapiga hapana shaka yoyote ila tuingie tukitamani ushindi tusiamini tunashinda.
insha'Allah tutashinda 💛💛🖤🖤💚
❤inshallah mungu yunasi
💛💚💛💚💛💚