FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA JIJI LA TANGA
Вставка
- Опубліковано 20 вер 2024
- Halmashauri ya jiji la Tanga imesema imedhamiria kuleta mabadiliko ya kiuchumi na kuinua uchumi wa wananchi wa jiji Hilo kupitia uwekezaji wa Aina mbalimbali ikiwemo viwanda,kilimo,uchumi wa bluu,uwanja wa ndege,Bomba la mafuta ghafi,eneo linalofaa Kwa ufugaji pamoja na bandari
Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa jiji la Tanga dkt Sipora Liana wakati Akizungumza na waandishi WA habari ofisini kwake juu ya dhamira ya kutangaza fursa ZA uwekezaji zilizopo
Zindueni kwanza jengo la kitega uchumi pale kange stendi.
Fufueni viwanda Gofu kwanza ili mzumguko wa pesa uwe mkubwa au uerudi kama zamani.