Mchungaji niombeeee nipate mchumba wangu mzuri wa imani yangu Kwa umri wangu nimepitia changamoto nyingi kwenye uhusiano nahitaji kuwa na mchumba mwenye hofu ya mungu na pia tutoke Geita na turudi Sengerema kule mungu aliko tubariki sisi na kutuneemesha baraka zake
Ubarikiwe paster nimekuelewa sana mahubr yako nina kijana wangu mhanga wa madawa ya kulevya toka ameacha kutumia kuna mambo mengi yametokea kwake tunahitaji kuonana nawewe tunaomba no ya cm
Mchungaji niombeeee nipate mchumba wangu mzuri wa imani yangu Kwa umri wangu nimepitia changamoto nyingi kwenye uhusiano nahitaji kuwa na mchumba mwenye hofu ya mungu na pia tutoke Geita na turudi Sengerema kule mungu aliko tubariki sisi na kutuneemesha baraka zake
Amen Mungu akatende
Niombee mchungaji mm ninamatatizo kunamaagano nimefanyiwa niombee pastor
Ubarikiwe sana mkuu
Ubarikiwe paster nimekuelewa sana mahubr yako nina kijana wangu mhanga wa madawa ya kulevya toka ameacha kutumia kuna mambo mengi yametokea kwake tunahitaji kuonana nawewe tunaomba no ya cm
Amina Amina
Mchungaji mungu akubariki sana na hio Neema na hekima mungu wa mbinguni akuzidishie
Amen and amen be blessed pastor
Amen 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Amen
Amina! Mungu mwenyezi atusaidie sana na huu dunia jamani
Amen 🙏🙏 pastor
Na barikiwa sana mtunish wa MUNGU
Nafurahia mafundisho yako mtumishi
Barikiwa pastor
Hata Sasa hatujaomba😢
Aminaa
Mahubiri yakoyanagusamyioyo
Asante sana mtumishi wa Mungu.