TAZAMA MTOTO WA RAIS SAMIA ALIVYOZUNGUMZA NA KUMKOSHA MAMA YAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 573

  • @robinabomola8030
    @robinabomola8030 2 роки тому +56

    Mm nipo hapa sisikilizi kinachozungumzwa mana sielewi Ila nimekuja hapa sababu ya kichwa cha habar Tu 🤣🤣🤣, Ila comments zinamakasiliko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dusabearafatrwigema9248
    @dusabearafatrwigema9248 Рік тому +18

    Mashallah, 🇷🇼🇧🇮🇰🇪🇺🇬 wanyarwanda , warundi Kenya na Uganda twasema hongera sana kwenu🇹🇿🇹🇿 tzd Africa mashariki twajivunia kuwa nanyi ndugu wa tzd

    • @calfiolahblack1892
      @calfiolahblack1892 Рік тому

      Hello. You have a first name of my grandy and my actual sir name. This amused me

  • @khadijasemtumbi8312
    @khadijasemtumbi8312 2 роки тому +1

    Maashaallah hongera my dada Allah humpa ampendae namwenyekuwa nacho ndie mwenykuongezewa inshaAllah mwenyezimungu atakupa zaidi unaweza DADA

  • @sweetletmushi2801
    @sweetletmushi2801 2 роки тому +6

    Hongera sana Binti Mungu akulinde na kukubariki

  • @nusalim3389
    @nusalim3389 2 роки тому +51

    Kwani kamzaa ikulu? Si wamesota pamoja wote wameajiriwa miaka na miaka,wanu mkubwa kuliko umri wa mamake ndani ya siasa,mama tangu aanza siasa ngazi za mitaani wanu tayari kikubwa,tuache roho mbaya

    • @franklinassey6600
      @franklinassey6600 2 роки тому +2

      Asantee sana waambie wajinga

    • @allymngwaya2831
      @allymngwaya2831 2 роки тому

      Ni kweli

    • @KhalfanMwatime
      @KhalfanMwatime 2 роки тому +1

      Nu Salim umeongea point ya maana sana 🙏

    • @alisaleh2507
      @alisaleh2507 2 роки тому

      Nu salim, waelimishe, waache jelas

    • @piusmdoe8094
      @piusmdoe8094 2 роки тому +4

      Huu ndio ukweli,wa tz tuna roho za kwanini,mtu wakati anapambana ,anaonekana mshamba,akiwin,wwnapeana.!

  • @angelinamayombo5511
    @angelinamayombo5511 2 роки тому +35

    Like mama like daughter

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 2 роки тому +1

      She is beautiful but she has to fix her smile jamani (crooked teeth) ...she needs braces; it's not too late (it will be fast to fix if she'll remove some pre-molars to create space...definitely you have money girl; fix that, it will increase your beauty and confidence.
      Ambao hamtanielewa na kupiga kelele; sitawashangaa...exposure is important...but that first daughter (binti wa raisi) has exposure...kajisahau tu.
      Fanya hivyo mpenzi...you will be happier.

  • @cnm2976
    @cnm2976 2 роки тому +30

    "TuMsifu Yesu Kristo!" umesahau kuisema. Rais JPM alikuwa anasema zote bila ubaguzi

  • @olivajoseph1697
    @olivajoseph1697 2 роки тому +54

    Kizazi Cha Matajili hongereni kwa kusomeshana jamani.

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 2 роки тому +11

    Ukitoka familia ambayo kuijua njaa ni wakati tu wa mfungo ama kwarezima au Ramadhani, ni mtihani mkubwa kujua mwananchi akisema ana hali ngumu ya maisha ana maanisha nini?!!!!!!!

  • @sighankagimacy6500
    @sighankagimacy6500 2 роки тому +24

    Anatembea kama mama yake

  • @sassboy9360
    @sassboy9360 2 роки тому +3

    Icho kigoma cha wamakunduchi apo mwisho dj kanikosha na sijui km si cool para

  • @edithamushi430
    @edithamushi430 2 роки тому +21

    Du! Natamani sana watoto wa marehemu wakulima nao wakakumbukwa na elimu zao hawana pakutokea

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh6765 2 роки тому +10

    huy mwili kamzidi mamayake punguza tako wew

  • @rehemaally6623
    @rehemaally6623 2 роки тому +6

    CJAPENDA SALAMU YAKE ....CJACKIA AKITAJA SALAMU YETU YA BWANA YESU ASIFIWE .....

  • @nyeurakibura4791
    @nyeurakibura4791 2 роки тому +24

    Ww ndo wafaa kumwita mama aswaaa...maana wengine twajipendekeza tu,,,kuleni niwati wenu

  • @ahmedbashash3672
    @ahmedbashash3672 Рік тому +3

    mashallah toto la nguvu yan nko tayari kumuoa ❤ mashalllaah mwanamk umejaaliwa

  • @thebisadorychannel7574
    @thebisadorychannel7574 2 роки тому +3

    Jambo zuri sana kuwafikiria wanawake visiwani na wengine katika srhemu zote za nchi watajifunza kutoka kwenu💪💪💪 Nimeona huo upungufu na mwanamke kujisahau maisha yake ya kesho yatakuwaje. Kwa mfumo huu mzuri utawawezesha wanawake kwa pamoja kusimama na kuijenga jamii na sio kusubiria kitu kipelekea unyanyasaji Afrika.

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Рік тому +1

    Napenda wana siasa ambavyo kuwa wanawapa nafasi watoto wao na kuwainua.

  • @hillowadam6552
    @hillowadam6552 2 роки тому +2

    Mashallah anapendeza from 🇰🇪

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 роки тому +18

    Kuleni riba Tu huku wanyonge wanalala na njaa

  • @jubilatembise8431
    @jubilatembise8431 2 роки тому +5

    so salam cku hizi ziko mbili tu cyo haya bwn!

  • @ashasuleiman1464
    @ashasuleiman1464 2 роки тому +2

    Hongera sana mdogo wangu chapa kaziiiiiiiiiiiiii💯

  • @niyakhalid5650
    @niyakhalid5650 2 роки тому +11

    Naona mambo yakiendelea hivi Tanzania itakua kama Kenya ambapo viongozi huleta watu wao kwa serikali yaani kurithishana uongozi

    • @omarykayanda9138
      @omarykayanda9138 2 роки тому

      ni bora kenya wanarithishana madaraka lakini wanajali wananchi wao ndo maana kenya inaendelea

    • @sudaissaid8428
      @sudaissaid8428 2 роки тому +1

      ndo maana yake hata mm ukinipa urais kwanza nawaweka ndugu zangu wote nafasi za juu ili wasiniombe

    • @faustervalerian9318
      @faustervalerian9318 2 роки тому

      Uganda mfano mzur zaidi

    • @azizayahyah1597
      @azizayahyah1597 2 роки тому

      @@sudaissaid8428 😄 🤣 😂

    • @binsalum4698
      @binsalum4698 2 роки тому

      Na hii sio mfumo wa kiserekal ni wa binafsi raisi ni mualikwa tu

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 Рік тому +5

    Mashaallah!!!
    Mtoto wa Mama....

  • @dramkeni5609
    @dramkeni5609 2 роки тому

    ua-cam.com/video/V5ALW4tokzM/v-deo.html JOHO ANAKUBALI WALIUZA PORT..

  • @EdinaEdison-f3f
    @EdinaEdison-f3f Рік тому

    Hogera sana dada angu Kwa kazi njema

  • @florameza1028
    @florameza1028 2 роки тому +10

    Yameshaanza tena mashirika ya kuchota pesa za wananchi

  • @janesemngindo4878
    @janesemngindo4878 2 роки тому +7

    Mtu mzima kabisa hongera mama samia

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 2 роки тому +9

    Safi waachen wachache wapige hela tuliobaki tusubr tupewe vitenge na bombe tuipigie kura ccm tuendelee ss na vizazi vyetu kua masikini

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 роки тому

      Kwani yeye ndie Rais wa kwanza kufanya hiviiii???? Walopita wamefanya zaidi ya hayo. Basi subiri vitenge. RAIS SAMIA OYEEEEEE

    • @liliankapia451
      @liliankapia451 2 роки тому

      ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 роки тому

      KUMBE WEWE UNASUBIRI KAZI HUTAKI

  • @lucylucy3678
    @lucylucy3678 2 роки тому +16

    Hii inchi inakula yeye kw yenyew masikin khaa hatujulikan😂😂😂

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 роки тому

      SIYO sasa hivi tuu...nyiye miaka mingi hamjulikani mnaishi tuu . Usiseme sasa hivi tuu utakuwa unabagua hapo.. haya mambo yako ZAMAAANIIII sasa yanaendelea...

    • @lucylucy3678
      @lucylucy3678 2 роки тому

      @@awatifalghanim1106 sas yamezid san khaa

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 роки тому

      Lucy sasa walokuwa wakiiba wanyama na dhahabu na almasi zote hizo mali za UMA tokea miaka hiyo hukuwaona??? Umekuja kumuona Rais Samia....Ahhhh mbona unazidisha mambo...

    • @hussenaaghe2760
      @hussenaaghe2760 2 роки тому

      So mana wewe pia

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 2 роки тому

      @@awatifalghanim1106 anakulipa sh ngapi mwenzetu naona povu linakutoka

  • @marycelestin6586
    @marycelestin6586 Рік тому

    Mh . Wanu hongera kpnz❤

  • @josephamos6636
    @josephamos6636 2 роки тому +10

    Sauti kubwa kama mama yake

    • @GMD820
      @GMD820 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 роки тому +4

    Wananchi ni maskini sana sema 80% kwasababu Serekali haina uwezo wa kuwapa Wananchi wake makazi ili kila mwezi MWANANCHI ajuwe nini anapata na anafanya kwenye maisha yake. Kuna watu washafika miaka 80 bado wanafanya kazi..na vijana wamekaa bila ya kazi...na wamesoma vizuri.

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 2 роки тому +3

      Of course kwasabu nafasi za kazi zikitoka wanapeana wenyewe mjomba, shangazi, Dada, kaka. Je? Wasio ndugu wapate wapi kazi? Tena mbaya zaidi wengine wanapewa kazi hawana hata ujuzi nazo kwasabu hawakusomea hiyo trauma.
      Ndo mana magufuli alikua anawatimua wengi tu humo maoficen.
      Just feel sorry for my people. Niliaza kutamani kurudi watakati wa magufuli but now hell No.

    • @salumsheikh5349
      @salumsheikh5349 2 роки тому +1

      Serikali ikupe nini wewe , tafuta hela wacha lawama

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 роки тому

      @@salumsheikh5349 Weee mimi sihitajii kitu kwenye SEREKALI wala lawama kwa Serekali unayo isema haa haa😂😂😂🤣 Wananchi wengi ni maskini UNGUJA NA PEMBA hao ndio Serekali IWAFIKIRIYE kwa makazi ili waendeshe maisha baada ya kuomba omba majiani...

    • @salumsheikh5349
      @salumsheikh5349 2 роки тому

      @@awatifalghanim1106 na kwani serikali inafanyaje! Hiyo taasisi ilofunguliwa imefunguliwa kwa lengo gani ?

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 роки тому

      @@ednaJF1028 Very sad....Mungu atakusaidia..Comment yako inaleta maana...siyo Comment ya kijinga..

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 2 роки тому +7

    Mtoto ana MATAKO BALAAA dah kafungasha

  • @salumsalim7564
    @salumsalim7564 2 роки тому +2

    Mamaa mama uyoo mamaa mama uyooo nani km mamaaaa🤣🤣

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 2 роки тому +2

    Foundation za kuchotea pesa zimeanza

  • @mizingayaudongo1097
    @mizingayaudongo1097 Рік тому

    ❤ Excellent !!

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 2 роки тому +21

    Bonge la mama😂😂

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 2 роки тому +2

    Lkn mnaokoment vibaya mtakuwa tu na wivu

  • @aishandwata845
    @aishandwata845 2 роки тому +2

    Mashallah mtoto wa mama ni mama.

    • @ummu2101
      @ummu2101 2 роки тому

      Mamaako peke yako

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 роки тому

      @@ummu2101 HUNA ADABU NA MAMA WA WENZAKO HUJAFUNDISHWA WEWE.

    • @ummu2101
      @ummu2101 2 роки тому

      @@salimmalaka256 samahan sijakutusi na ww pia huna adabu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 роки тому

      @@ummu2101 NA NDIO MANA NIMEKUPA KAVU KAVU.

  • @silvertv8083
    @silvertv8083 2 роки тому +5

    Wale washua wa chato waliongeaga siku za msiba TU
    Mzee alikuwa kauzu SANA😁

  • @emmycharles8463
    @emmycharles8463 2 роки тому +2

    Daaa kwahyo amekaa hapo jiran na Raisi

  • @user-ks8oy9lt7z
    @user-ks8oy9lt7z 6 місяців тому

    Tz raha bwa akitoka baba hupewa mtoto akitoka mama hupewa mwana aaa! hii nchi tamu ajabu vizuri lakini mnyonge abakie mnyonge na royal family ibakie ivo ivo but kwa Allah hakutokua na iyo "inna akramakum inda LLAh atkakum"

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 2 роки тому +15

    Hatukuwahi hata kumwona wala kumfahamu japo mtoto wake mmoja kabla, kwa kweli alikuwa ni mtu wa tofauti sana.

    • @martinemaganga5253
      @martinemaganga5253 2 роки тому +4

      Je uliwahi kumfahamu mtoto wa mkapa na Magufuli?

    • @maireshsaid1628
      @maireshsaid1628 2 роки тому +1

      ​@@martinemaganga5253 anamaanisha Magufuli

    • @christianmwashala9760
      @christianmwashala9760 2 роки тому

      Yaaaaaan Marais woote ndivyo walivyo kuwafahamu watotowao ni mziki balaaaa,,,,kikwete mwenyew Ridhiwan alifahsmika kwajili ya bata zake mkapa ndo kabixa magu ndo kabisaaaaa mam ndo kaanza

    • @ashaashanalinga3635
      @ashaashanalinga3635 2 роки тому +1

      Watu wengi hawamjui lakini uyo mtoto wa mama samia ni mbunge uko zanzibar

    • @pazikilindi1302
      @pazikilindi1302 2 роки тому +1

      @@ashaashanalinga3635 Na siku zijazo anaweza akapewa uwaziri kiongozi hatimaye waziri katika jamhuri ya muungano wa Tanzania

  • @kalamueducationfoundation-KEF
    @kalamueducationfoundation-KEF 2 роки тому

    Alhamdulillah a step ahead

  • @PiliMamboleo-ij8es
    @PiliMamboleo-ij8es Рік тому

    Wooow mwanamke anawezaaa

  • @maskthegreet8400
    @maskthegreet8400 Рік тому +1

    Ccm kitanda awawatoto wamamasamia wakishaga patamtonyo✊😆🙏⛸️🙏ata ukiwaagiza kiberiti dukani wanataka wakukunjie ngumi🍥🧧👓

  • @hamischuga6320
    @hamischuga6320 Рік тому

    Anaandaliwa ajekuwa waziri huyo au raisi wa Zanzibar

  • @mkkitchenware4930
    @mkkitchenware4930 Рік тому

    Kumbe mama Ana mtoto mashallah hiv na hamsemi...

  • @paulanina1552
    @paulanina1552 2 роки тому +1

    Huyu ndio mtoto wa rais ama dadake😂😂😂😂

  • @rogermiller165
    @rogermiller165 2 роки тому +4

    Good job Wanu, wewe ni mfano, uliyofanya ni makubwa na mema.

  • @DavidMMKing
    @DavidMMKing 2 роки тому +6

    Hivi ni kwanini hakusema "tumusifu Yesu Kristu 🤔 Hakika uku zenji ni wabaguzi kweli adi wanachoma makanisa wakati, wakristu wanajenga misikiti yao. Mfano msikiti wa Dodoma wamejenga wakristu. Sasa sisi wakristu tunaoishi Zanzibar tujisikieje au ndio tuhamie Burundi uh Mama Samia mbona mtoto wako anafanya hivi na wewe unasema je, tuambie!!! Tumusifu Yesu Kristu 🙏 🙏 🙏

    • @mussamanyehe3918
      @mussamanyehe3918 2 роки тому

      Chizi tu na wewe huna jipya wakrist ndo mdudu gani

    • @DavidMMKing
      @DavidMMKing 2 роки тому +1

      @@mussamanyehe3918 mtume Mohamed SAW aliwatambua wakristu lakini bwege kama wewe unafikri unajua kuliko ata mitume na manabii. Jifunze maana ya Islam maana ni mabwege kama nyie mnaochafua uislamu uh 😡

    • @binsalum4698
      @binsalum4698 2 роки тому

      Zanzibar wengi ni waisilam kwa iyo wanaenda kiislam na wala sio ubaguz ni mfumo

    • @omarhusna1766
      @omarhusna1766 2 роки тому

      Kwanza ismu ya kujengwa makanisa kwenye ardh tukufu ya Zanzibar hatutahii Zanzibar ni ardh tukufu Ila watanganyika Wana husda nayo kwakujenga vilabu via pombe na magest house yasokua na maadili kwaukweli hatutaki mtujengee makanisa zanzibar.

    • @mussahussein3583
      @mussahussein3583 Рік тому

      hhhhhhh Sasa utamlazimishaje mtu aseme asichokitambua wala kukijua.. na hata asichokiamini! Maajabu haya jamani... Sema tu wewe inatosha kwa niaba. Na huo msikiti unodai kwamba wamejenga wakristo kama lengo nikua waislam nao eti wamsifu Yesu Kristu basi nibora tu mkae mushauriane mkauvunje manake hiyo haitokaa ije itokezee

  • @tinershayo6191
    @tinershayo6191 Рік тому +1

    Watu hamkosi la kuongea binadamu tunamambo

  • @saidkhalifa34
    @saidkhalifa34 2 роки тому +2

    Mashallah wowo lipo wanuu

  • @hafazstanzania5577
    @hafazstanzania5577 2 роки тому +3

    Wanakula na familiya zao maisha wanaona rahisi sana kuna wanohangalika chakula yani sijuwi niseme nini

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 роки тому

      Usiseme kitu......na walopita kabda ya Rais Samia jeee???? Umesahau... Wamefanya nini????

    • @alisaleh2507
      @alisaleh2507 2 роки тому

      HAFAZS, TULIA ROHO YAKO WW, HAWA HAWATOKULA ZAIDI YA WALICHOKADIRIWA NA MUNGU, NA WW PIA UTAKULA ULICHOKADIRIWA MUNGU,

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 роки тому

      NA WEWE KULA NA FAMILIA YAKO NANI KAKUKATAZA.

    • @sw832
      @sw832 Рік тому

      Mumemsaa Makuful!? Mpaka kajenga uwanja wa ndege chato!😂😂😂

  • @jacksonmars7894
    @jacksonmars7894 2 роки тому +4

    Mbona mtoto mzuri kuliko mama

  • @salumabdallah6680
    @salumabdallah6680 2 роки тому +13

    Yaani kufa usifiwe maana hata ukitizama clip za Jpm kabla hajafa watu walikua wanamponda tu ila alivokufa tu kawa mzuri kwahio mashambulizi tumemgeuzia mama sasa 😁 wtz raha sana

    • @salumabdallah6680
      @salumabdallah6680 2 роки тому +2

      @@onesmojustice2348 maana yangu ukitizama clip zake za nyuma utakuta comments chache sana za kipindi hicho ila baada ya kufa kwenye hizo hizo clip unakuta comments mpya kibao za kumfagilia kiufupi hata wewe ukifa utafagiliwa tu 😃

    • @mamiyfeiy
      @mamiyfeiy 2 роки тому

      ishiii ulaaniwe kufa usifiwe

    • @mamiyfeiy
      @mamiyfeiy 2 роки тому

      ​@@salumabdallah6680 watu wengi koment wamezifuta kwa aibuuu hiii dunia ukifanya jema halionekani hadi upigwe Dongo la mata.... ndio watajua umuhimu wako

    • @omarabeid7490
      @omarabeid7490 2 роки тому

      Right

    • @humayraakhamisi9952
      @humayraakhamisi9952 2 роки тому +1

      Watu roho mby tu zinawasumbua ovyooo kuwen nanyie marais bc

  • @amrkellykelly1382
    @amrkellykelly1382 2 роки тому +6

    Masikini wale wale matajiri wale wale
    Masikin Tupoooooooo matajirii mupoooo

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 роки тому

      Hatari sana!!

    • @nusalim3389
      @nusalim3389 2 роки тому

      Yeth tupo wathemaje ?!

    • @Patomrwanja
      @Patomrwanja 2 роки тому

      ni kweli kabisa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 роки тому

      KAZI HUTAKI UTAKUFA MASKINI UMBEYA MARADHI.

    • @mamyomar1241
      @mamyomar1241 2 роки тому

      Ndio nyie jirani kaweka bati nyumba yake wewe unapanda pressure. Mama kahangaika upande wake na mtoto anahangaika upande wake , dini yetu inakataza kumtegemea mtu, kwa sababu sote ni WA Allah na kwake tutarejea.

  • @simulizizamwanaupwa2644
    @simulizizamwanaupwa2644 2 роки тому +1

    Sijui jimbo lina mwenyewe au washawahi wengine?

  • @meshackmwakunja
    @meshackmwakunja Рік тому

    Daaaaa sisi watoto wachini tulio sota kusoma ukipata nafasi kama hiiii niiite mmbwa apo kila mtu anakula alicho panda

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 2 роки тому +5

    Wamefanana kweli kweli

  • @ronaldmwiriigi1235
    @ronaldmwiriigi1235 2 роки тому +2

    Congratulations rais

  • @fredymwanzi4448
    @fredymwanzi4448 Рік тому

    Wake,watoto wa Marais ndio miradi yao hiyo badaye hela za Serikali zinakuwa zinahamishwa kupeleka huko.
    Salama Kikwete,Anna Mkapa,Mke wa Mwinyi wote hao walitengeneza foundation lengo kuu ni kuchota fedha za Serikali-sasa ni zamu ya Mtoto wa SAMIA

  • @zakariamufuruki1725
    @zakariamufuruki1725 2 роки тому

    Mabruq mabruq (mama anaupiga mwingi )

  • @florahmushi748
    @florahmushi748 Рік тому

    Hadi sauti ni ya mama anafanana nae sana

  • @comoyoorganisation6426
    @comoyoorganisation6426 5 місяців тому

    Hata sisi ni wadau wa elimu mje kuchukua counter book 50

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 2 роки тому +11

    Tutaona mengi mwaka huu

  • @virginiamutisya6216
    @virginiamutisya6216 2 роки тому +5

    Good speech maintain Swahili don't mix unakoroga watu wasiojua kizungu ukifahamu English is not Tanzanian thing. We respect Tanzania with Swahili language

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Рік тому

    Pigeni izosafiii zenu lakin wanaume tunapotea ktk sekta mbalimbali sauti za wanaume zipo gizani sasa

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 Рік тому

    Mlimuuwa Magufuli Ili mtuibie mchanga wa madini moereke kwenu zbr

  • @malecellacaezaryj2414
    @malecellacaezaryj2414 2 роки тому +2

    💪💪💪Speech.

  • @christercheru8328
    @christercheru8328 2 роки тому +5

    Powerful

  • @rehemakomba6376
    @rehemakomba6376 Рік тому

    Kuna wagonjwa huku wanakufa mahospitalini kwa kukosa fedha za matibabu tembekea mahospitalini kaone uhitaji wa wagonjwa na kutembelea basi wodi za wazazi mahospitalini ni jambo la muhimu sana

  • @user-wh7gj9ug9s
    @user-wh7gj9ug9s 7 місяців тому

    Scheme maneno mlitakaje na yy anaishi jinsi alivyo na anatenda kama apendavyo

  • @piuspatrick28
    @piuspatrick28 2 роки тому +1

    Nimesikia salaam ya kihisilam ila Ile ya kina gwajima. Hakuna watajijua

    • @yusufuheri6524
      @yusufuheri6524 2 роки тому

      We nae kwakukaririshwa hujambo

    • @shufaamnyoty5626
      @shufaamnyoty5626 Рік тому

      Hiyo sio salamu ya kiislam. Maana yake kasema amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yenu. Ni lugha tu ya kiarabu katumia acha makasirilko ndugu yangu hiyo ni lugha tu hata wewe unaweza kuitumia. Generally ulimwengu anaitumia kila akizungumza na watu. In short hiyo ni lugha tu usiichanganye na dini ya kiislam

  • @user-xh6tb2oh1q
    @user-xh6tb2oh1q 8 місяців тому

    Mashaallah tabarakallah

  • @ahmadmohd3771
    @ahmadmohd3771 2 роки тому

    Mama anaupiga mwingi mitano Tena😂😂😂

  • @georgenyoni9879
    @georgenyoni9879 Рік тому

    Powerful lady

  • @qaboosabdulrrahmaan1314
    @qaboosabdulrrahmaan1314 Рік тому

    mi naona kilichobakia ni mama tu amwachie mtoto majukumu ya uraisi amalizie.vijana ndo bomba

  • @bakarpaul5046
    @bakarpaul5046 2 роки тому +5

    Angalau yeye ana tako kidogo

    • @mariammkwabi7101
      @mariammkwabi7101 2 роки тому

      😂😂😂

    • @samsgilman01
      @samsgilman01 2 роки тому

      😂😂😂

    • @lucyjeremia1381
      @lucyjeremia1381 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣

    • @joshuamchiwa861
      @joshuamchiwa861 2 роки тому

      Chunga kauli zako mkuu, hasa kwa viongozi wa kitaifa. Nakushauri futa post yako. Kama watoto wako wanapata rizki Mshukuru tuu Mungu.

  • @nassoralinassor1698
    @nassoralinassor1698 2 роки тому +1

    Dada jiamini kama mama samia akisimama hatetereki Mashallah

  • @marianajohn5415
    @marianajohn5415 2 роки тому +1

    Super woman 🥰🥰🥰

  • @mariajoseph3743
    @mariajoseph3743 2 роки тому

    Sawa mungu akubariki Sana

  • @djfiremoto3429
    @djfiremoto3429 Рік тому

    Daah Mtoto wa Mama♥️

  • @neemamanga9179
    @neemamanga9179 Рік тому

    Mama ni Rais alale aaah wapi ni zamu yenu.

  • @hammymohamed9233
    @hammymohamed9233 Рік тому

    Maasha_Allah

  • @jeninmaleko1989
    @jeninmaleko1989 Рік тому

    Sisi ambao wazazi wetu hawakusoma na watoto hatuja soma wazazi wetu wataangalia kama tunajua kulima vizuri kama wao

  • @judithsodunga6231
    @judithsodunga6231 2 роки тому +1

    Super

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Рік тому

    Umeolewa Dada daaaaaa MTU kweli

  • @fredymwanzi4448
    @fredymwanzi4448 Рік тому

    Ndio mke wa Mchengerwa ama?

  • @adammtinga8738
    @adammtinga8738 Рік тому +1

    Nchi ya Tanzania inafahamika Kwa watu wa dini zote
    Hivyo basi kumbukeni kusalimia dini zote ikiwa pamoja na wasiokuwa na dini
    Itapendeza sana

  • @meshackmwakunja
    @meshackmwakunja Рік тому

    Apo kupigiana debe tu anataka kupewa cheo muwe make mno na wapigaji hawa

  • @RamaRama-wc1oc
    @RamaRama-wc1oc 2 роки тому

    Hongera ni nzuri sana

  • @aminaswai4825
    @aminaswai4825 2 роки тому

    Supper girl Bravo Bravo. Big up and Kongole mwanetu.

  • @BakooElectronics-uy8eh
    @BakooElectronics-uy8eh Рік тому

    Safi Sana wengi limetugusa

  • @fatmahamidabdul2818
    @fatmahamidabdul2818 2 роки тому

    Hongera Sana my

  • @kaizamulinda633
    @kaizamulinda633 Рік тому

    Kuleni tu. Sisi ngoja tuendelee na betpawa

  • @maryaika9645
    @maryaika9645 2 роки тому

    It’s jokes in tanganyika today

  • @fredrickpearson
    @fredrickpearson Рік тому

    Nimeipendasana iyo

  • @abdulhalimahmed1576
    @abdulhalimahmed1576 Рік тому

    Inshallah kher