MCH. NDACHA ATOA SIRI ZA UKRISTO KUCHEZEWA NA WACHUNGAJI FEKI NA MANABII FEKI TOFAUTI NA UISLAMU
Вставка
- Опубліковано 17 вер 2024
- TUMEONGEA NA MCHUNGAJI FRANSIS NDACHA GATEMA KUTOKA NAIROBI KUHUSU UKRISTO KUCHEZEWA NA WACHUNGAJI WA UONGO WANAOWADHURUMU WAUMINI WAO
Ndacha .... Namkubali sana huyu mwamba
Amen, barikiwa mtumishi wa Bwana!!
Huyu Ndacha sio wakawaida amechaguliwa na Mungu ana HUBIR injili ya kweli lakin bado watu tuna kimbilia Gizani heri yake Ndacha haubirie injili ya Bwana apate uzima wa milele amen❤🙏
❤❤
Injili ipi??
Injili iliyo nenwa
@@AmmarSadik-x5u
Wakristo hawana injili wana Bibilia.
Mungu akutunze, akubariki na aibariki kazi aliyo kukabidhi.
Amina barikiwa sana
Shida ya wakristo wengi wanategemea miujiza ndio waamini na hilo Yesu alishalisema " kizazi kibaya Cha Zina chatafuta ishara
@@nassorsharifu9837 kabisa br nisaidie hio Raini niisome
Kuna wakristo ambao hawaamin miujiza,ila hao wanao amini miujiza nni wale walio tabiriwa,kua wapo nasi lakin si wakundi letu
Mwalimu Ndacha Mwenyezi Mungu akubariki 🔥🔥🙏🏿👍🏿💯💯💯💯💯
God bless you mwalimu ndacha
Ukweli kabisa Akili tunazo lakini hatuzitumii wengi wangejua M .Mungu ni mmoja❤
Amen..amen..amen
Endelea kueneza injir mchungaj
Fisabi mwenzio kaenda pata kiti moto 😂😂
Mchungaji dacha amesema vizuri sana AKILI NA UAMUZI AU IRADA..NA ALLAH SIYO MWENYE KULAZIMISHA..KAMA ALIVYOSEMA MCHUNGAJI ,NJIA YENYE HUDAYA NA DHWALALA...UWAMUZI UKO MIKONONI MWETU...❤
Amén 🇲🇿🇲🇿
He gave us free will,to choose between life and death.
Atakaye nionea haya mbele za watu, nami nitamuonea haya mbele za Baba yangu.
💯💯💯👏👏👏
Hata huyo ndacha mwenyewe feki hana lake moja
Ndacha umenena ukweli, wale wanasema we ni mwongo ndo wanabi waongo waliyo tahabiriwa Kwa bibilia.. endelea kuendza injili ya Mungu
Kwakweli siku za mwisho zimekaribia YESU anarudi siku sinyingi wa sabato ndyo wana wa MUMNGU walio baki duniaani
Hiyo ndio maana uisilamu dini ya haki
Mutumishi Mii nakufata saana ubalikiwe na bwana Mii muzambia nayitwa Yona ng'ambi
Uyu jama ata na yeye aja mujuwa Yesu ni Nani. Ukiwa na roho mutakatifu njo Uta mujuwa Yesu ni Nani. Yesu ni Mungu ame vaaa mwili . Sasa mafundisho ya Yesu mwenyewe Ana sema wako na macho awaone na wako na masikio awa sikiye .
Mch ndacha uko saa hii katika kz ya BWANA
Hamna mchungaji hapo ni Malaya tu huyo
Islam hawakumuua Yesu maana waliomuua Yesu ni watu walioishika sabato acha kupotosha moja ya Vitu vilimuua Yesu ni sabato
Kwanza yesu hakuuawa😊
Unatuletea hapa hadithi za msikiti kutokuwawa kwa yesu kunapatikana TU kwa Quran lakini vitabu vyao kale yesu alikufa msalabani
@@michaelamiani6755Aende na uko hata Quran watafsri wengi wa Hadithi wanakubali yesu aliuawa n vile hasomi, tena dini ya kishetani kama Islam hata si ya kuzungumzia mbele ya watu labda maiti
@@filexbenefits5612
Kabisa hawana lolote la kuamboa watu comedy ndio wanajua
Yesu kwani ni siku???mmepotea nyie Yesu sio siku,,sabato bado ipo Mungu aliibariki na kuitakasa,,Sunday law ikipitishwa ndo mtaja kuja kuelewa nawaombea mpate nuru mapema maana itakua kati ya Amri ya mwanadamu dhidi ya Amri ya Mungu
Ndacha umejaa ukweli wamungu
Waislamu muwe makini na Ndacha na wafuasi wake
Wow!!! Ndacha kumbe hta wwe hua una wadanganya waumini wa kikristo
Liseme so kuongeatu
So wa kristo wazi mwadanganywa na bado mnaendelea kuwafuata
Ndacha ni mwalimu wa kweli ingeliwezekana nipate number yake ya sim kwa kusumuliya naye kizaidi.
kweli ndaca unasema ukweli
Yeye ndacha mwenyewe ni ajibu tupu. Anawapa watu habari ya Mungu halafu anawageukia na kuwaoapa za Yesu kristo. Munazani anafundicha nini kama sio upagani? Musiwe na ujinga!
Kwa uelewa wa dini, naenda ukasomee kitabu Cha imani,, Wacha kutumia akili vibaya
@@jumahenriquesgeraldo9837 toa ushahidi
Alifundishwa Hawa ni wayahudi waliobaki zama zile za yesu
Yaani wewe nihatari sana unampanga mtu anapangika 😢😢😢😢 ukesha unajileta 😂😂😂
Wewe ndio machristo wa uongo mnafiki msabato unaabudu siku
Soma maandiko acha maneno,ukweli mkiambiwa mnachukia
Mwandishi ili upate maswali magumu soma biblia
@@elgringo8592 ahsante kwa ushauri mnzuri
Ili washawishike, tangazeni wale wanaobadilisha Uislam kwenda ukristo
Wawatangaze wako wapi?! maana kila siku wanazidi kusilimu kutokana na ubabaifu unaotokea makanisani, chunguza mwezi wa Ramadhani ukiingia wanasilimu wengi ajabu... na haya yote yanatokea kutokana na kuwepo kwa utitiri wa matapeli wanaoutumia ukristo vibaya kufanya mambo ya hovyo ili kutapeli waumini wao.
Uislamu unamtumia Ndacha kama ubao wa kufundishia, sio lazima yeye asilimu lakini wenye akili zao wengi wakishajuwa ukweli wanasilimu na wataendelea kusilimu kwa uwezo wake Allah Ndacha analijuwa hilo
Wewe hujui acha kutetea muhamadi aliyezaliwa kama wewe
@@michaelamiani6755 kwani yesu alizaliwa vipi si alizaliwa na Mariam, alikaa tumboni miezi tisa, akazaliwa kupitia uke wa Mwanamke kama Mimi na wewe.
@@samxx411
Kando na kuzaliwa na Mariam unajua jingine ama ni hayo TU ambayo Quran inafundisha kado kabisa na Bibilia
Badala ya kufanya namna ya kuondoa upuuzi na utapeli ktk ukristo, ndacha anaulink uislamu ktk utabiri wa Yesu.
Nenda kajarihu kuhubiri chochote msikitini ambacho hakina dalili kutokai ktk quran au hadithi uone utakavyotimuliwa msikitini
Unafki umeshika hatamu, msimamo na ukweli hauna nafasi kwa walio wengi.
Ndacha wasomali hawamkatai Yesu wanakataa ukristo Mana wao hawako chini ya sheria wanaishi wapendavyo sio vile Mungu anataka
Kwa hivo wamekataa naagizo ya Yesu
Mlmungu aliposema hakuna mtume wala nanbii bàada ya mtume Muhammad S.A.W mlibisha,nakushangaeni mnamkataa mtume wa ukweli mnawakubali mitume ya uongo,binaadamu abadan huwezi kupingana na aliekuumba na ukabaki salama
Mudi ni mtume wa uongo hakuna mahali biblia inamtaja mungu
Huyu nae , eti mhammad ,
Eti mtume wa kweli😂😂😂🤣🤣 na machafu yote yale.... kuchinja wayahudi, kuoa mtoto, kupigana mavita, kuchukua mateka wa kingono na mengine mengi..alafu umuite eti mtume. 😂😂 Oya! kweli ujinga mzigo.
@@ZayyanaBamuni mm nachojua aje hata mohamed na mashetan wote alio wasilimisha siwez kumkubali
@@Anonymous-w9v-i1p mmejua kulishwa matango pori,poleni
Huyu ndacha ni mgoni sana anapenda sana mademu
Kwani wee ni demu
@@Juniorjacob-le1rr wew itakuwa shoga kama ndacha
Umekuta na maman yako
Dah! Huyu mchungaji anapinga utatu, lakini jambo la kushangaza amekubali kubatizwa kwa jina la Baba na Mwana na Roho mtakatifu!!
Sasa jina la baba, mwana na roho mtakatifu ni utatu shida elimu. Utatu ni mungu baba mungu mwana na mungu roho bali kuna mungu baba, mwana wa mungu na roho wa mungu. Umeona ni mwana wa mungu bali si mungu mwana
Kwa ivyo roho mtakatifu wako ajui miujiza
Ww ndacha ni uwongo wachana na kupoteza kondo ya MUNGU
Hata akisema majini ni waislamu mtakataa lkn kasoma
Wailam hawankatai yesu wanakataa ya kumuita mwana wa mungu au mungu ss tunankubali kwasababu hadi kwenye kuran yupo anaelezwa matendo yake sasa nyinyi mnanyanganya cheo cha mungu munampa yesu hamuoni kua ni batili mungu mwenyewe amekasirika kama hamjui
Kumbuka wanaokataa yesu kama mwana wa mungu pia ni majini
Ila Majini ndani ya Qurani Yana kizazi hicho kizazi chatoka wapi
Kristo siyo Dini ya mungu ndio maana wana ichezeya lakini hujaskiya Dini yaki islam inachezewa
Hivo ndio Muhamadi alikudanganya
Amedaganywa na Mohammed hivyo
Waislam ukuwagusa wanakuua na wanajaziba, sio hauchezewi
Dini ya aki ip ni wislam ?. Wislam ni Dini ya wauwaji Ali shababe Wana uwa watu msombij
Ilikuaje bwana yesu asema kutatokea makristo wa uongo na yeye akua mgiriki?
Lazima ichezewe kwa sabb sio dini ya kweli ni mpango wa wanaadam na kama ingekuwa ya Mungu basi tangia walipoanza kuuchezea hadi sasa ingekuwa tayar washaadhubiwa na mwenye dini ila hakuna kitu kama hicho ukristo ni upagani tu wala sio dini ya Mungu.
Dini ya kweli niipi sasa,au ni hii ya kuabudu jiwe
mohammed mpenda ngono aliyebaka mtoto wa miaka huu ndio ukweli kweli😂😂😂😂😂😂😂😂 poleni nyie mnayemfuata aliye kaburini yaani marehem MOHAMMED 😂😂
@@AmmarSadik-x5u
Dini ya kweli ni hapa 3:19 QURAN.
nenda katafute dini inayoabudu mawe na jua na kumfanya kiumbe Yesu kuwa Mungu kama sio dini zenu mulizotengenezewa na WAZUNGU
@@Juniorjacob-le1rr
Alikuwa mwanao hadi ambake???
Nyie tunawajua wazee wakupotezwa na wachungaji kusoma hamutaki kazi kucheza ndombolo tu.
@@Juniorjacob-le1rr
Hivi nikuulize swali kwa mujib wa Bibilia yenu kuna pahala panasema binti huolewa akifikia umri fulani???
kama hakuna jiulize kwa nini kitabu chenu hakijataja na kwa nini useme alibaka hali wewe sio mzazi??
acha chuki soma maandiko na uyaelewe.