Rais Samia Azungumzia Tukio la Mauaji ya Ali Kibao, Awajibu Mabalozi, Atoa Onyo Kali

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лют 2025
  • Akizungumza leo Septemba 17,2024, katika maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi, Rais Samia Suluhu ameonya juu ya watu wanaotaka kuleta machafuko nchini.
    Leo Septemba 17Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

КОМЕНТАРІ • 252

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 4 місяці тому +15

    Tanzania yangu tunafikia hatua ya kutekana kwenye mabasi Tena mchana kweupe na mabunduki najiuliza taharuki iliyotokea Kwa abria siyo sawa

  • @fadhilimsafiri216
    @fadhilimsafiri216 4 місяці тому +14

    Kwa hotuba hii mbele naona giza, watekaji watapata nguvu kubwa sana.

  • @cleofasladislaus2177
    @cleofasladislaus2177 4 місяці тому +10

    Tutaona mengi Mwaka huu

  • @gaagwasaugustino2584
    @gaagwasaugustino2584 4 місяці тому +9

    Mmejimilikisha majukumu ya Mungu mnaamua nani aishi nani afe hata kwa kuteka na kuuwa!
    Mungu simama uokoe Taifa letu la Tanzania!

  • @ChainesBoufee
    @ChainesBoufee 4 місяці тому +13

    Ukiskiliza kw undani hii hutba kuna kimwanya flani wanapewa wale wasiojulikana..

    • @JesuinaBabili
      @JesuinaBabili 4 місяці тому

      Kabisaaa… 23/9 inawahusu sana Hakuna kurudi nyuma… atashangaa na vijembe vyake 😏

  • @nyucletkikonamaluhe2274
    @nyucletkikonamaluhe2274 4 місяці тому +15

    Mungu anaweza kufanya muujiza kwa nchi ya Tanzania.
    Tukumbke Kaini alipomuua Abeli, Mwenyezi Mungu alidhihirisha ukuu wake.
    Ole wao wanaomwaga damu za watanzania

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 4 місяці тому +1

      Hakika ole wao.
      Mungu wetu yu mkubwa kuliko wote na mipango yake ni mikibwa kuliko yote

  • @Jimson-gm5jv
    @Jimson-gm5jv 4 місяці тому

    Mmmmmmm Tanzania imeenda hiyo bcz of you madame

  • @henrykihwili8423
    @henrykihwili8423 4 місяці тому +2

    Tz kwanza, Mungu bariki viongozi wetu, amani na umoja ameen.

  • @FrankJuma-i8m
    @FrankJuma-i8m 3 місяці тому

    Wankuja kama polisi wanakuchukua kama polisi..... Huyo apo sasa..😂😂😂😂Mhuuu, kali P. Imekaa vibaya!!!

  • @dunstankihaa2383
    @dunstankihaa2383 4 місяці тому +1

    Duuuuuh mama anaongea Kwa mafumbo hahahha nch kapewa mwanamke inaendshwa kikike kike tupu

  • @yohanamdemu9232
    @yohanamdemu9232 4 місяці тому

    Hivi Mungu yuko wapi Mpaka tunafikia hapa? Ee Mungu wetu shuka ujidhihirishe kwetu

  • @frankminga9307
    @frankminga9307 4 місяці тому +21

    Fukuza chain yote ya viongozi wa vyombo vya usalama ndio tutakuelewa

    • @chandechande9642
      @chandechande9642 4 місяці тому +1

      acha kufundisha watu kazi

    • @chihoma-m4f
      @chihoma-m4f 4 місяці тому +1

      kwanza nicheke😂

    • @salehemustapha9969
      @salehemustapha9969 4 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂Tanzania yangu ​@@chandechande9642

    • @modestusndunguru7183
      @modestusndunguru7183 4 місяці тому +1

      Kafukuze wewe kwanza wazazi watoto wako nyumbani kwako ndio uje huku 😂😂

    • @modestusndunguru7183
      @modestusndunguru7183 4 місяці тому

      Kwani we ndio raisi....hapangiwi kazi ye anapanga kazi..mjomba

  • @jakoboamon9402
    @jakoboamon9402 4 місяці тому +12

    Waache wajifanyao wao wanauwezo. Wa kuutoa uhai Wa MTU mwingne Mungu atawalipa tu kisasi

  • @deokibona2835
    @deokibona2835 4 місяці тому +21

    Kulinganisha tukio la Trump na kibao, ni kutudanganya wananchi. Watu wanaongea kwenye basi wanajitambulisha kama polisi halafu wewe unalinganisha na kosa kosa za Trump.

    • @gaagwasaugustino2584
      @gaagwasaugustino2584 4 місяці тому

      Hata Mimi nashangaa Sana kauli hizi za mkuu wa Nchi! Mungu tu ndiyo msaada kwa Watanganyika/Watanzania! Mmmmhhh huyu ni zaidi ya waliyomtangulia!
      Wanasisitiza Amani lakini wao ndiyo wavunja Amani wa Kwanza!

    • @NuruJuma-zv3yz
      @NuruJuma-zv3yz 4 місяці тому

      Si uatagute wewe

    • @RamadhaniKitala-gx6wc
      @RamadhaniKitala-gx6wc 4 місяці тому

      ​@@NuruJuma-zv3yzumeelewa swali lakin au unajibu tu

    • @salehesalehe2967
      @salehesalehe2967 4 місяці тому

      Hama nchi kupembe wewe

    • @gaagwasaugustino2584
      @gaagwasaugustino2584 4 місяці тому

      @@salehesalehe2967 Ndugu, ahame aende wapi?

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 4 місяці тому +15

    Mambo ya kutekwa na kuuliwa upinzan tu??? Nchi ipi huyu raisi jaman khaaa😂😂😂

    • @nenolauzima5281
      @nenolauzima5281 4 місяці тому

      Siyo kila anayetekwa ni upinzani fuatilia Brother, Rais hapo kuna mambo ameyaweka sawa.

  • @goodlucklutabila7527
    @goodlucklutabila7527 4 місяці тому +20

    Kama kiongozi hawezi kuona tatizo basi tatizo linyewe ni kubwa zaidi ya tunavyofikiria, Aliyepo juu ya serikali zote ni Mungu, Tunamkabidhi Mungu afanye njia. Mtetezi wetu ni Mungu.

    • @benimlisa6056
      @benimlisa6056 4 місяці тому +2

      Wanao Fanya ayo maovu ni viongozi wa upinzani.

    • @goodlucklutabila7527
      @goodlucklutabila7527 4 місяці тому +2

      Hiyo Ngoma inatoka MAGOGONI, ndo maana kashindwa kufanya chochote. Magufuli alishawahi kusema, WATANZANIA SIO WAJINGA.

    • @getrudeshirima9524
      @getrudeshirima9524 4 місяці тому +1

      AMINA, MUNGU ATUSIMAMIE !

    • @abdallahally842
      @abdallahally842 4 місяці тому

      Kama trump kapigwa risaa ya kuawa mara mbili lkn nchi Iko kwenye uchunguzi marekani nako ni tatizo 😂😂😂

    • @abdallahally842
      @abdallahally842 4 місяці тому

      Trump kapigwa risasi ya skio. Na juzi kakoswa koswa na serekali imesema inachunguzaa jee hawajui tatizo? Ujumbe umetumwa na umefika jikaribishe ratibu uonee Alie tekwa na kuawa it's clear alikua mwanajeshi mstaafu na mkufunzi na mratibu wa vijana alifunza nn na kuratibu nn jibu unalo mwana kulitafuta mwana kulipata serekali Ina mkono mrefu na haiko tiari kuchafua amanni ya nchi anzisha watamalizaa

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 4 місяці тому +4

    Acha tuendelee kuishi kwa vitisho japo watu wanatekwa na kuuwawa 😢

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 4 місяці тому +9

    Tanzania kila siku uchunguzi??? Lin mlifanya uchunguz ukakubalika au mkaja na majibu mazur

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 4 місяці тому +8

    WEWE RAISI ULISEMA HADHARANI KUWA CHAWA WAKO WATASHUGHULIKA NA WATANZANIA WANAOKUKOSOA😢😢😢😢 DAMU IKO MIKONONI MWAKO WEWE NA TULIA MAANA MLIWAPA UHURU KUUA

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 4 місяці тому

      Kwenye hili mimi nishauri tuwe na kiasi katika matamshi yetu. Biblia inasema "...tumetegwa na maneno yetu.."!

  • @benny4345
    @benny4345 4 місяці тому +12

    Kwa bahati mbaya sana, watuhumiwa ndo wanachunguza!

  • @FestoAlex-b6w
    @FestoAlex-b6w 4 місяці тому

    Mbona lakini kimya wamekaat😂😂

  • @PauloMhagama-ld8xq
    @PauloMhagama-ld8xq 4 місяці тому

    Mama Samia piga kazi

  • @petroalfred5108
    @petroalfred5108 4 місяці тому +22

    Intelijensia ambayo inajua mambo ya kwenye mikutano ya wapinzani ila haiwezi kuwabaini watekaji na wauwaji...Useless

    • @komangohill5957
      @komangohill5957 4 місяці тому

      Useless , umbeya wa siasa anajua. Lakini watekaji hajui mpaka kamati.

  • @GoodTeck90
    @GoodTeck90 4 місяці тому +10

    Mwanzo ulisema ni drama ....na leo unasema ati "unashangaa kwa nini Kifo cha Kibao peke yake ndiyo watu watoe hisia zao wakati kuna wengi wamekufa !!??" .......na sisi tunakushangaa ww uliyesema hizo zote ni drama sasa wapi hao waliokufa, wakati mwanzo ulisema ni drama !!??

    • @LeftLaneking
      @LeftLaneking 4 місяці тому

      MALAYA TU HUYU SAMIA NAHISI BADO HAAMINI KAMA NCHI INAENDA KUFANYA MABADILIKO

    • @SeifSalim-d8b
      @SeifSalim-d8b 4 місяці тому

      Si aibu aibu ni kwako usiejielewa

  • @simonmwashambela3233
    @simonmwashambela3233 4 місяці тому +1

    Mama nimkuelwa sna sasa mwenye masikio kasikia me nipo pale nimekaa nasbr nione wajichanganye kama awajaita muma. Hamani ya nchi uwa hailibiwi kilaisi hvo hii ni nchi cyo kijiji

  • @MikidadiSalim-xk9dc
    @MikidadiSalim-xk9dc 4 місяці тому

    Mambo ya huyu mzee aliyetekwa kwenye basi yanatukumbusha mambo ya ditopile na dereva wa daladala...alisema mwanaharakati mmoja pale mahakama kuu ..ditopile alipoachiwa huru ..mwanaharakati alipoona mambo hayatendewi haki alihojiwa na mwandishi wa hbr akasema mwenye haki ya kweli isiyochangamana na chochote ni ..M/Mungu peke ..
    ilitugusa watz tulio wengi ..kweli Mungu alitowa judgment ya haki zidi ya ditopile watu wote tuliishuhudia..Mungu hana sifa ya kumdhulumu mtu... na tumuombe sn Mungu atujaalie mwisho mwema binadamu ukiwa na roho mbaya mwisho wako unakuwa mbaya mno ...

  • @mkdechampion2097
    @mkdechampion2097 4 місяці тому +1

  • @Uwezomaleunda
    @Uwezomaleunda 4 місяці тому

    Kwani kifo cha mtu mmoja hakiwezi kuwa na nguvu ya kuhibua hisia za watu!!! Huyu raisi hatari sana!!

  • @clauschaula2050
    @clauschaula2050 4 місяці тому +1

    Tukimtanguliza Mungu,ushetani wa kuuwana hautakuwepo.

  • @Revlinembugi
    @Revlinembugi 4 місяці тому +9

    Kama rais kiongozi wajuu anasimama na kutoa hotuba hii🥺🥺we are not safe

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono 4 місяці тому

    Dah mwanamke ni mwanamke tu 😢😢 watekajii oyeeeeee, tanganyika nchi yangu eeee

  • @brendasamson2086
    @brendasamson2086 4 місяці тому

    Tujenge nchi yetu kwa umoja nchi yetu Ina uhuru hatuhitaji uhuru mwingine zaidi ya huu tulionao.Hatuandamni na hatuko tayari kupoteza Amani ya nchi yetu

  • @RajabuMussa-h5n
    @RajabuMussa-h5n 4 місяці тому +7

    Toa tamuko kali kama amiri mkuu wa jeshi lataifa ili kama kuna kikos kinakuharibia ukisambaratishe mapema

  • @transitlodges5408
    @transitlodges5408 4 місяці тому +5

    Huna ishu ww mama mbona wabakaji had leo hawajafungwa?

  • @djunction4127
    @djunction4127 4 місяці тому

    Siasa kwenye Uhai wa mtu huo ni Uhalifu kama uhalifu mwingine
    Viongezi kufanya kazi kwa kuangalia matumbo yao, nimatokeo ya udharimu, ukandamizaji na uvunjifu wa amani🙏

  • @BashiriMzimbili
    @BashiriMzimbili 4 місяці тому

    saf sana mama allah akulipe

  • @PhilipoLeonard-q5w
    @PhilipoLeonard-q5w 4 місяці тому +8

    Huna Baraka za kuongoza nchi

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 4 місяці тому +5

    Asante Mama kwa hotuba hii kwa Watanzania wote. “Inagusa. “ Tunaomba Mwenyezi Mungu nchi yetu iendelee kuwa na amani na utulivu”. Kazi iendelee🙏🏾🙏🏾🙏🏾

    • @gellangi9694
      @gellangi9694 4 місяці тому

      Amani ni tunda la Haki.Je,Wananchi wanapata Haki zao?

  • @KhadijaMaiko
    @KhadijaMaiko 4 місяці тому +6

    Usitudanganye

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 4 місяці тому

    Sio kila watuhumiwa kuwa wana Hatia, pia hata wao wana haki ya kujua tatizo lilianza vipi, ili kulinganisha na kujua ukweli

  • @KhadijaMaiko
    @KhadijaMaiko 4 місяці тому +4

    Usitutishe

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 4 місяці тому

    The President is here.

  • @saleemadhiyabalkhatri7800
    @saleemadhiyabalkhatri7800 4 місяці тому +1

    Nyie mmemuona Ali kibao tu limewauma sana je na walewengine walotekwa mbona hamlizungumzii kwakuwa wanyonge huuni ubaguzi lakini mungu yupo kama tudin tudan tutaona mwisho wenu mtafika wapi muogopeni mungu

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 4 місяці тому

    WAGALATIA MMEJULIKANA NYIE MNA UDINI SANA SI BURE WACHUNGAJI WENU WANAMIBURUZA 😢😢😢😢😢

  • @paulombay6884
    @paulombay6884 4 місяці тому

    Kamata watu unalaani nini kwani huna nini.

  • @loningoletayo8453
    @loningoletayo8453 4 місяці тому

    Tatizo viongozi wa nchi hii wanaona wao ndo wana haki na kujua kusema wengine wao hawataki kusemwa

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me 4 місяці тому

    🙏🙏

  • @MikidadiSalim-xk9dc
    @MikidadiSalim-xk9dc 4 місяці тому

    Mliofiwa na ndungu yetu aliyetekwa ndani ya basi akaenda kuuwawa na watu waliojifanya police...hapa hakuna lolote linaloendelea hapo ...Mwenyewe judgment ya haki ni M/Mungu pekee ... mikiona subra imewashinda ...someni kurujuwani tu ....

  • @RynoFire-w8k
    @RynoFire-w8k 4 місяці тому +3

    Hamna Rais Hapo, kwahy mwisho wa haya mambo ni lini ? make raia usalama Haupo, huyu mama Yao anaweza asiwe mzuri pia, hao watu wasio julikana ni kina Nan? Na kwanini watekwe zaidi watu wa mlengo wa kushoto mbona hatusikii utekaj wa Wana ccm, very weak speech madam president 😢😢😢😢

  • @brendasamson2086
    @brendasamson2086 4 місяці тому

    Mama Tanzania inakupenda sana na sisi wa Tanzania tunakuamini

  • @EmmanuelSimon-c4x
    @EmmanuelSimon-c4x 4 місяці тому

    NIMESIKIA NCHI imetulia? 😮😢

  • @josephmallya5525
    @josephmallya5525 4 місяці тому +4

    Kwendraaaaa

  • @chidampiri1012
    @chidampiri1012 4 місяці тому +5

    Polisi anamchunguza polisi

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 4 місяці тому +1

    Kauli ya uchunguzi inafanyika sio ngeni masikioni mwa watanzania tundu lisu tangu apigwe risasi Dodoma mpaka leo uchunguzi bado unaendelea ,pia hiyo interejensia ni kwa vyama vinapofanya vikao ila watu wanatekwa interejensia haipo pia kuna kauli ya viongozi baadhi ya ccm . kwahiyo kama kuna nchi zinaua nasisi tuwaige wao

  • @jonnygabriel9648
    @jonnygabriel9648 4 місяці тому

    Sisi watz niwapole sanaa ila Mungu atatupigania

  • @ZahiruHamisi
    @ZahiruHamisi 4 місяці тому

    😂😂😂Kwa hali hii kuna kuna kazi sana inchi hii kuwa na uhuru wa kwel na demokrasia

  • @pastorybahinyuye4876
    @pastorybahinyuye4876 4 місяці тому

    Viongozi muokopeni Mungu unakili Kuna Sheria za Nchi hivi kuiba kura kwenyewe Sheria inaruhusu ila anaye dai haki ni mvunjifu wa Amani ila serikali yenyewe ikivunja Sheria ni okey Yupo hakimu wa Haki ambaye siku Moja Kila Mmoja atajibu ima Kwa mema au Kwa mabaya. Wote tujitafakali.

  • @AbrahamHuyya
    @AbrahamHuyya 4 місяці тому +6

    Watanzania kinachoongelewa na samia hakitasaidia chochote. Samia hanaoongea hapo ili kujitetea tu kwa mabaya yanayofanywa na serikari yake anayo iongoza

  • @alfredbee7967
    @alfredbee7967 4 місяці тому +3

    Mama watu ulowapa dhamana waachie ngazi kuonyesha uwajibikaji hii cyo sawa wanakuchinganisha ww na wananchi

  • @PhillipMwakibolwa-kp2fd
    @PhillipMwakibolwa-kp2fd 4 місяці тому

    Duuuu jamani unasema kufa kupo tu kwahio tuendele kutekwa na kuwawa

  • @simonetz7036
    @simonetz7036 4 місяці тому

    Usanii wa rais wenu

  • @nitisilemwabenga2864
    @nitisilemwabenga2864 4 місяці тому

    madaraka nomaaaa

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 4 місяці тому

    Kweli

  • @RemigiusKateisaki-v5t
    @RemigiusKateisaki-v5t 4 місяці тому

    You are all okay. Tanzania is under protection of God and only God!

  • @UmmiMohamed-r4u
    @UmmiMohamed-r4u 4 місяці тому +1

    Pole mama Allah atajaalia salama na amani na Allah ajaalie yasitokee Tena mambo hayo.

  • @JonasMathias-s6m
    @JonasMathias-s6m 4 місяці тому

    SASA HAO CHADEMA,NDO WANASILAHA NZITONZITO,ZA KIVITA WANAZO TUMIA KUTEKEA WATU,HAPA BADO KICHWA KINANIUMA KILA NIKIWAZA

  • @VailetPiter
    @VailetPiter 4 місяці тому

    Kama maraisi mnawasiliana mimi sioni haja ya kuwa na mabolozi

  • @loningoletayo8453
    @loningoletayo8453 4 місяці тому

    Maana yake unawaambia watekaji waendeleee kuwateka watu na kuwaua

  • @AbdulIddy-qx5ny
    @AbdulIddy-qx5ny 4 місяці тому

    Tumuogopeni aliye tuumba jamani,mbona yanayo fanyika si yakiubinadam

  • @georgewambura7695
    @georgewambura7695 4 місяці тому

    Kweli siasa mpaka kwenye maisha ya watu duuu

  • @MidredJonas
    @MidredJonas 4 місяці тому +5

    Hana kitu

  • @lucasmdoya4390
    @lucasmdoya4390 4 місяці тому

    makofi hata cjui ni yanin??😢

  • @ZawdMwalutizo
    @ZawdMwalutizo 4 місяці тому

    Hauko sahihi we mkuu wa nchi

  • @mohdnasser3620
    @mohdnasser3620 4 місяці тому +1

    Ajabu kesi ya nyani kupelekwa kwa jaji tumbili

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 4 місяці тому

    Msg send and delivery wale wanao dhani huyu ni mama wajue ni amiri jeshi mkuu maanake ni Commander in chief fanya fujo uonee

  • @JohnGidamarang
    @JohnGidamarang 4 місяці тому

    Hapa hata sielewi , ila mhe, Rais Hana makosa tatizo ni watendaji wake

  • @Frank-b2d6u
    @Frank-b2d6u 4 місяці тому

    Usikosolewe

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 4 місяці тому +1

    Hii hotuba au mipasho nani alifanya watu waende wakaishi nje ya nchi kama kweli mama unayoyasema unauchungu nayo chukua hatua kwa viongozi wa vyombo vya dola

  • @hassansaid1575
    @hassansaid1575 4 місяці тому +1

    We mama usitufanye hatuna akili mauaji mengine ni tofauti na mauaji yanayofanywa na watuwako wa usalama wa raia na mali zao

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585 4 місяці тому +3

    Mbina hamkamati watu hao

  • @RevocatusSebastian-c8o
    @RevocatusSebastian-c8o 4 місяці тому

    Mpaka leo hawajapatikana hao wauaji? mbona mengine mnachunguza haraka

  • @benimlisa6056
    @benimlisa6056 4 місяці тому

    It is a big statement of a state woman.

  • @Jamalkishangu
    @Jamalkishangu 4 місяці тому +1

    R4 sio sababu ya utovu wa nidhamu. Kurukutabu wakumbuke sheria zipo amani na utulivu tutalinda kwa gharama zozote. Anaye nyamaza kimya sio ujinga.

  • @AdamCheze
    @AdamCheze 4 місяці тому

    Taarfa za wanaofnya vikao mnajua lkn wanaotua hamjui wanafanya nn

  • @thefinalstand2022
    @thefinalstand2022 4 місяці тому

    kinacholalamikiwa mama, siyo kifo cha mtu fulani, bali serekali yako kuuwa wananchi wasio na hatia!

  • @Frank-b2d6u
    @Frank-b2d6u 4 місяці тому

    Hamna kitu hapo

  • @IbrahimSamson-zc3cm
    @IbrahimSamson-zc3cm 4 місяці тому +3

    Kumbe mama mweupe

  • @Johansenjoshua1271
    @Johansenjoshua1271 4 місяці тому

    Wewe ndiye muhusika wa mauaji mama gani huna huruma acha shobo ujumbe wako hauna mashiko

  • @agastokissatu2667
    @agastokissatu2667 4 місяці тому

    ......... mmmmhuuuu.....!!!

  • @jeremiahblazio4781
    @jeremiahblazio4781 4 місяці тому +1

    Mkitaka hayo na mengine mengi mabaya yapungue au kama Si kuisha kasa viongozi nchi Haina Dini hivyo msiape kwa kushika vitabu vya Dini ila apeni kwa damu zenu wenyewe waitwe wazee wachanganye mambo weka na damu Yako then kula kiapo, hakika nawaambia hutosikia ufisadi,wizi Wala watu kutekwa

  • @philemonnestory4239
    @philemonnestory4239 4 місяці тому

    Yaaani Samia hotuba yake haijawagusa watekaji bali wanao tekwa ndo wameshambuliwa

  • @paulowilly7864
    @paulowilly7864 4 місяці тому

    Kama kuna itelejensia mbona watu wanauwawa ovyo au ni itelejensia kwa chadema

  • @HamisLeo
    @HamisLeo 4 місяці тому

    Hapana rais unachosema mm nakataa. Mauaji syo hayo tu ya all kibao kila kona nchii hii pana mauaji. Angalia jana dodoma

  • @asiliyetuonlinetv5063
    @asiliyetuonlinetv5063 4 місяці тому

    Hakuna Rais hapa hiyo interagency mbona Haijakuambia hao wanaoteka watoto,albino na watu kutekwa na kuuwawa wahusika ni kina nani sasa? Kipi interagency walitakiwa kuanza nacho kati ya kudhibiti hilo genge la la waharifu na hao unaosema wanapanga kuandamana ikiwa nia yao walishaiweka wazi ni kuionyesha gavoo kuwa watu hawakubaliani na uharifu unaoendelea; eti uchunguzi unaendelea haya twambieni walompiga risasi Lisu wamefungwa gereza gani?? Nonsense.

  • @IbrahimElly-p5c
    @IbrahimElly-p5c 4 місяці тому

    🙄🙄🙄

  • @henrykihwili8423
    @henrykihwili8423 4 місяці тому +2

    Swala la mauaji na utekaji ni janga la kitaifa lisiwekwe katika taswira za kisiasa!!

  • @ZawdMwalutizo
    @ZawdMwalutizo 4 місяці тому

    Swala la kuzungumzia hizo taarifa za kuwatoa jera na kuwarudisha nchini, ko lengo lenu wanyamaze kukemea upuuzi wenu huo?

  • @agastokissatu2667
    @agastokissatu2667 4 місяці тому

    .....
    Kwenu wapi mama??

  • @henrykihwili8423
    @henrykihwili8423 4 місяці тому

    😮😮😮😮

  • @AlfaniMohammed-zk1hn
    @AlfaniMohammed-zk1hn 4 місяці тому

    Mama nchi imekulemea na ccm yako, hata skuelew hata kidogo ccm yako ndo mauaji makubwa