Simulizi yangu ndio hii hapa kwa mapito ninayopitia hayajaachana na haya hapa naangaik mtoto anatakiwa aende chuo na ninaimani atafanikiwa tu kwa uwezo wa Mungu🙏🙏🙏
Yaan nafurahi kusikia maisha yenu Jose Alhamdulillah,,lkn nahasira kulisikua Ili jidume likatili upuuzi wake,,mjinga wakutupwa mpuuzi mno,,kamsikia mtoto yupo vizur leo mtoto wangu nyau uyu,,nahisi presha inapanda tu
Kujua ndugu baba yake ni muhimu kuna kijana alikutana na msichana wakapendana yule msichana alikuwa anatumia majina ya mjomba wake mama yake alimpa majina hayo baada ya mwanaume kumataa mimba basi wameanza kuishi pamoja msichna kaahika mimba sasa wakaeenda kwao yule mwanaume qlipojitambulisha mama wa yulw binti akaanza kuria saana ikabidi amwambie binti yake nipishe kidogo nina maongezi na mkwe wangu ndipo anamwambia yuke kijana kumbe ni dada yake wakamwambia.binti akatoe mimba akakataa siku ya kijifungua akafanyiwa oparesheni mtoto akafa bas mpaka leo mvulana na machana huyo ni ndugu wapo wawili tu na wazazi waliashakufa wakaenda kanisani Wanaishi kama ndugu sio wapenzi tenakila mtu na familia yake kina mama tuwe makini hasa kwenye majina ya ukoo
Da Vero vp? kuhusu singida Radio yenu haishiki, nimewasikilizisha familia yng kupitia hpa youtube sasa kma hna bundle ndio htuxkii na mimi naishi dodoma naondoka nawaacha na usongo wanatamani waendelee kusikiliza
Na hua wanamsemo wao eti damu yangu itanitafuta tu hawajali umehustle kiasi gani kulea pekeako mpk hapo ulipofika yeye anataka umlelee mwanae akikua alete pua lake kusema yeye ndo baba shenzi nin
@@gladnesskajela7263 ndugu yangu mimi uwa nachukizwa na familia zetu kwasasa ivi bado naangaika mwenyewe baadae watoto wakiwa wakubwa anakuja kuwadai halafu familia zetu wanakwambia msamehe tu kwani wewe ndo wa kwanza kukataliwa na watoto ata kama ukikataa itabaki kuwa damu yake tu yani uwaga nachukia
@@renatadaniel3789 Yaani sio unaachilia mrudiane aaaa hata ukikataa mtoto ulimsimulia tu yeye hajui anachojua wewe umemlea peke Yako hicho tu kumsamehe ila kijana sababu ni msomi atajua kipi Bora na mtoto wa kiume na mama asikwambie mtu
Simulizi yangu ndio hii hapa kwa mapito ninayopitia hayajaachana na haya hapa naangaik mtoto anatakiwa aende chuo na ninaimani atafanikiwa tu kwa uwezo wa Mungu🙏🙏🙏
Mungu atusaidie my wasome tuje tule matunda Mungu akusaidie mwanao aende chuo 🙏
Pole mpnz 😢😢
Aiseee pole sana
Pole sanaa😢ila Mungu atamsaidia naipo siku atakuja kutafutwa km anavyotafuta mtoto wa joseph,,,🙏
Usikate tamaa zidi sana kuomba Mungu na njia zitafunguka
Aah story nzuri sana,yaani niliitamani sana kusikia,habari za huyo baba mtoto,kweli Mungu wetu hawai wala hachelewi ❤
Yajana akuna mbona
Yaan nafurahi kusikia maisha yenu Jose Alhamdulillah,,lkn nahasira kulisikua Ili jidume likatili upuuzi wake,,mjinga wakutupwa mpuuzi mno,,kamsikia mtoto yupo vizur leo mtoto wangu nyau uyu,,nahisi presha inapanda tu
Dah story nzuri sana yakusikitisha sana wanaume tujikosoe kwa somo hili
Kabisa mbadirike
Dah story nzuri sana yakusikitisha sana wanaume tujikosoe kwa somo hili by jk wapwani
Da vero story ya jana bado hujatuwekea😢😢😢
Kiumbe anaitwa mwanaume bora afe tu ujue moja kuliko awe hai ok tupoe sote maana hata ukatae ni kazi bure bora ukubali yaishe mungu ni wetu sote
yan uyo mwanaume ni shetani anaeongea kingereza akiwa na amevaa suti.nimemchukia sana .
Mungu nisaidie na unifungulie riziki nisichoke kumlea mwanangu pekeangu amina
Mababa jamani walio wangi sana kwenye anga za watt muna matatizo kwenye sapoti huu ni mfano
Vero unachelewa sana kuweka mtandaoni mwendelezo.
Simulizi nzuri hongera da vero
Mbona sehemu ya 8 hamjaweka Hadi saa hizi?
Na ukute hata huko aliko hajafanikiwa kupata mtoto, watu kama hawa hulaaniwa hivyo.
HASANTEE
Yajayo yanafurshisha
Shukran sana aunty vero
Kujua ndugu baba yake ni muhimu kuna kijana alikutana na msichana wakapendana yule msichana alikuwa anatumia majina ya mjomba wake mama yake alimpa majina hayo baada ya mwanaume kumataa mimba basi wameanza kuishi pamoja msichna kaahika mimba sasa wakaeenda kwao yule mwanaume qlipojitambulisha mama wa yulw binti akaanza kuria saana ikabidi amwambie binti yake nipishe kidogo nina maongezi na mkwe wangu ndipo anamwambia yuke kijana kumbe ni dada yake wakamwambia.binti akatoe mimba akakataa siku ya kijifungua akafanyiwa oparesheni mtoto akafa bas mpaka leo mvulana na machana huyo ni ndugu wapo wawili tu na wazazi waliashakufa wakaenda kanisani Wanaishi kama ndugu sio wapenzi tenakila mtu na familia yake kina mama tuwe makini hasa kwenye majina ya ukoo
Veronica unasimulia utadhani mhusika halisi, huwa naona saa 1 jioni haifiki kusubiri ripoti ya leo. Dada una kipaji.
Ila Josephina sijapenda majibu uliyomjibu uyo uyo kaka kwamba ajuwi uchungu nawakati uyo ndoalikuwa anaumia namapito unayopitia mpaka uyo kaka alikusafirisha naakategwa narafiki yake😢japo kaja kumuombea msamaha wewe mjibu tu vizuriii plz✍️
Weee me ndo wa kwanzaaa leo..😂😂
Da vero sehem ya name mbona hujaweka
Dah hii ndo ile ya chibu kumkataa mshua😁
Huyu dingi alie tu, hana akili kabisa.
Usichokijua ni kama usiku wa giza , yaani saiv anamtafuta mtoto .
Huku UA-cam dada Veronica unatucheleweshea sana jamani
Mimi namsubili baba mtoto alete miguu yake mwanangu akikuwaa ntantimua 😅😅 kama josephina
Lo! Leo ndio anakuja kudai mtoto wakati alimwambia atoe uja uzito, kweli some men are shameless 🇰🇪 🇰🇪
Ivi kwani huyo mwanaume hana aibu? Aendelee na maisha yake amwache Jose na maisha yake, kwan si aliwakataa walivyomfata Mwanza, tena akome😢😢😢
Tunaendlea kujifunza kipenz mung akubariki
😮😮 hakuna kumpatia Mt mtot
Wanaume mnao kataa watoto mungu anawaona duh maangaiko yote hayo saivi ndo anajua kuna mtoto sehemu,acha tuu ninyamaze maana mmmh
Men wengi wanakimbia majukumu wanasubiri mtoto apate chochote kitu ndo wanajileta😢😢😢😢can never be me
Iyo ni fimbo ya MUNGU aina makosa,,bado atachapwa sana,na pengine uko hata ajapata mtoto,,Muacheni MUNGU aitwe MUNGU,,,,
Jaman mbona ya leo siion😢 ipo hii ya jana tu
Nasikia hasira sana😭😭😭😭😭😭
😂😂 acha gubu wewe😂
Unishindi mimi dada nalitamani ilo libaba yani silipendi
Pole dear
Na ya Tisa?
Huyu kweli ametumwa. Mpumbavu mkubwa kabisa huyu Baba.
Yan najikuta nahasira kuliko Josephine 🤣
😂😂
Nilivyomtukana huyo baba utadhan me ndo Josephine 😂😂 yani stakiii stakiii kabisa mwanangu amkomeee shenziii
Huuuuuu tulio mtukana uyu baba ni wengi 😂😂😂
Endelea na msimamo wako
Number 1 🎉🎉🎉
Ukishangaa ya Mussa
Utastaajabu ya Firauni wallah
Da Vero vp? kuhusu singida Radio yenu haishiki, nimewasikilizisha familia yng kupitia hpa youtube sasa kma hna bundle ndio htuxkii na mimi naishi dodoma naondoka nawaacha na usongo wanatamani waendelee kusikiliza
Kama diamond na mamake😂..acheni Josephine ajinafac na mafanikio ya mwanae..wamama tuna viti vyetu mbinguni
Huyu dada ni mimi kabisa
Nahisi ata mimi yatanikuta haya ya kuja kudai watoto wangu ile hali bado naangaika na wanangu mwenyewe mungu wangu nisaidie mimi 😢
Yaani lazima watoto watakuja kudai ndugu
@@tinnahagustinolyelu4247 yani nikifikiria ivyo roho yaniuma sana, yani wanaume hawa niwamoja tu 😭
@@tinnahagustinolyelu4247 mimi namshukuru mungu kwasababu nipo 🇺🇸 wala sina shida na baba watoto wangu napambana mwenyewe
Na hua wanamsemo wao eti damu yangu itanitafuta tu hawajali umehustle kiasi gani kulea pekeako mpk hapo ulipofika yeye anataka umlelee mwanae akikua alete pua lake kusema yeye ndo baba shenzi nin
@@gladnesskajela7263 ndugu yangu mimi uwa nachukizwa na familia zetu kwasasa ivi bado naangaika mwenyewe baadae watoto wakiwa wakubwa anakuja kuwadai halafu familia zetu wanakwambia msamehe tu kwani wewe ndo wa kwanza kukataliwa na watoto ata kama ukikataa itabaki kuwa damu yake tu yani uwaga nachukia
Sehemu ya nane ujaweka
Uyo mwanaume ni waajabu saa anakuja kudai mtoto wa nn jmn
Kwakweli kama ni baba afage tu
Mbona sehemu ya nane haujaweka
dada vero story ya jana naomba uweke
Kama Josephine unasoma comment, naomba soma comment yangu hiiii,,usikubari usikubarii usikubariiii haiwezekani 😬
Asikubari vipi na wakati ni mambo ambayo yalisha pita Yaani Mungu Huwa qnaruhusu majaribu lakini anaweka na mlango wa kutokeq hivyo
😀😀
Endelea namsimamo wako dada
Huyo mwanaume anyongwe
Josephine usirudishe moyo nyuma.
Wa kwanza leo ongera dada Vero ❤
Au dada yupo kumchuna kijana wako?
Watu mpo fasta nikajua wa kwanza kumbe wa 3
Jamani😆😆 watu mpo fasta
Nimajalibu hayo
Wakwanza
Wa 4
Guys namba nane hiko wapi ???
Nane ndio leo alhmisi
@@annepatric1257 sijaiona mwenzio . Uwezi Amin Sina Raha mpaka nihipate 😂
Hata Mimi nimewah jamani
Jamaniiiii inasikitisha sana
Nitachukua kisuu nimwambie mwanangu achague kubak na baba au mama 😂😂😂
Ukitaka Mungu azidi kukuinua achiria samahe Mungu atatimiza kusudi aliriliwwka ndani Yako hivo Kila kitu kinakuja Kwa kusudi mpendwa
We tinna kuna vitu vyakuachilia sio ili
@@renatadaniel3789 Yaani sio unaachilia mrudiane aaaa hata ukikataa mtoto ulimsimulia tu yeye hajui anachojua wewe umemlea peke Yako hicho tu kumsamehe ila kijana sababu ni msomi atajua kipi Bora na mtoto wa kiume na mama asikwambie mtu
But why Age go😅😅