“BANDARI YA DSM GATI 12 ZOTE ZINAFANYA KAZI USIKU NA MCHANA” MKURUGENZI AFUNGUKA MAPYA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 24

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Рік тому

    NAONA KILA COMENT INAWAPONDA WABONGO KAMA KAWAIDA YETU N KUPONDA TU ILA M NAOMBA NIWAPONGEZE MNAJITAHID KWAKWEL JAPO MAPUNGUF HAYAKOS ILA BIG UP TUTAFIKA

  • @maishasafari9724
    @maishasafari9724 Рік тому +3

    Safi sana

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 Рік тому +1

      Mama Samia anamipango mizuri sana ya Kazi tuachane wa wapotoshaji na wengine udini unawasumbuwa

  • @Stan-103
    @Stan-103 Рік тому +1

    Kuhusu huduma za bandari msiishie kuwauliza hao wasimamizi wa hapo, maana lazima wajitetee, tuulize sisi wanufaika na wasafirishaji, kiukweli huduma HAZIRIDHISHI, mimi kama mfanyabiasha nina mizigo yangu imefika hapo bandarini tangu Mid-december ila mpka leo ni visingizio vya foleni za meli, kwakweli uongozi unatuumiza sana hawajui ni maumivu gani tunapata

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Рік тому +2

    Watanzania tunapenda sana uzushi na uongo, hatuna uzalendo na uchungu wa nchi yetu. Inasikitisha sana, hasa sasa hivi kunapokuwepo makundi ya watu wenye nia mbaya ya kutaka kuona nchi yetu inadidimia.

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 Рік тому

      Chuki inapandikizwa kwa Uongozi ww sasa wanachukia sana kuona Mh.Rais anafanya kazi inayoyo tukuka na ni baadhi ya mafisadi na baadhi ya udini.

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 Рік тому

    Kwani walikuwa hawafanyinusiku😮?

  • @modenasayi
    @modenasayi Рік тому +1

    Maneno mengi but Mombasa port has 35 million metric tons while Mozambique port has 31 million metric tons Dar port has 21 million metric tons what rubbish is that if your in a strategic location you need to out perform both Mombasa and Mozambique

  • @Soon815
    @Soon815 Рік тому +1

    Geti 12 sio za kupigia kelele bado sana shida siasa! Durban port inamore than 51 gates na zote zinafanya kazi 24/7

    • @wozanawewoz979
      @wozanawewoz979 Рік тому

      Tupeane moyo tutafikaa at least tunajitaidii we umeona nchi nyingine zilivyochokaa

  • @emmanueltillya2017
    @emmanueltillya2017 Рік тому

    Kwa hiyo haya ni matunda ya uwekezaji wa bandari kwa DP World .pongezi kwa watendaji wa serikali.mmeupiga mwingi.

  • @fredyaled
    @fredyaled Рік тому

    Jaman ... Naomba tusupende show kuzindi usanisi...... Waulizeni wale wasafirishaji ndo wanajua

  • @SalimAbdallah-tg1yo
    @SalimAbdallah-tg1yo Рік тому

    Kusikia dp world waja ndo mwaamka hii nchi ngumu sana

  • @modenasayi
    @modenasayi Рік тому

    Kenya wana gati 21 sisi 12 jomoni ni upuuzi gani huo

    • @ContentSmartphone-rq6po
      @ContentSmartphone-rq6po Рік тому

      Kenya kuma tu angalia ukubwa wa shehena we mkenyanini

    • @mresoterick3928
      @mresoterick3928 Рік тому

      22

    • @modenasayi
      @modenasayi Рік тому

      @@ContentSmartphone-rq6po I wrote about that already.
      Maneno mengi but Mombasa port has 35 million metric tons while Mozambique port has 31 million metric tons Dar port has 21 million metric tons what rubbish is that if your in a strategic location you need to out perform both Mombasa and Mozambique.
      Siyo mkenya mimi ni mtanzania pure kukuliko wewe mwajuma kandambili acha ukweli usemwe

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 Рік тому

    Dp world wanazo ngapi?

  • @stephensandiko6049
    @stephensandiko6049 Рік тому

    Tatueni changamoto folen kubwa

  • @bloodofjesus7542
    @bloodofjesus7542 Рік тому

    Millard ayo anasemaga ukwel lkn hii ya Leo mhhhh ukizingatia sura ya huyo jamaa inaonesh kamaaa Maelezo yanatok mdomn sio moyoni

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 Рік тому

      Udini unakutesa wewe kwa sababu Kiongozi wa Nchi sio dini yako na anafanya kazi kubwa sana haijawahi kutokea

    • @alextanzania
      @alextanzania Рік тому

      Jamaa ni kama ashajiongeza na alcohol

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 Рік тому

      @@alextanzania udini unawatesa kwakweli mbona wenze u hawako hivyo baadhi yenu hawana udini wakijinga hivyo?

  • @zikramussa2366
    @zikramussa2366 Рік тому

    Safi sana