NEEMA YATANGAZWA KWA WALIMU, MASLAHI KUBORESHWA, KAULI YA RAIS YAIBUA SHANGWE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 20

  • @stellajoachim1655
    @stellajoachim1655 6 годин тому +2

    Hongera sana mhemiwa raisi, ukweli ni kwamba elimu ni center ya naendeleo yote yunayoyaona, lakini kwa miaka zote imekuwa ikipuuzwa na kuacha nyuma. Ombi langu mfumo wa ufunzaji na mitaala ibadirishwe, walimu waajiliwe na mishahara iongezwe kwa walimu, mwisho na mm naomba mniajiri maisha magumu sana.

    • @abdalahngozi5455
      @abdalahngozi5455 4 години тому +1

      Wawoo, nakuombea kwa Mungu uwe ni miongoni watakaoajiriwa mwaka huu ee

    • @gavaodispensary9306
      @gavaodispensary9306 4 години тому

      Tafuta acount yake ya instagram andika huko humu Mheshimiwa Raisi hata pata fursa ya kuona ur comment

  • @salummsusa5007
    @salummsusa5007 5 годин тому +1

    Hongera rais wetu mpendwa tuko nawe daima❤❤❤

  • @rosemaryegnatus6933
    @rosemaryegnatus6933 3 години тому +1

    Ahsante ney wa mitego ujumbe umefika

  • @AkramJafarj
    @AkramJafarj 7 годин тому

    aloooh 🙌

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Годину тому

    Ni siasa za maji taka kampeni za uchaguzi wanataka kura za walimu , sera hadi ishirikiane Na watu binafsi ni maajabu 😅

  • @jonakajigili6991
    @jonakajigili6991 6 годин тому

    Uchaguzi oyeeee ..

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 44 хвилини тому

    Wepesi wakuongea wagumu wa kutekeleza uwongo mwingi

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 45 хвилин тому

    Porojo hizo anatafuta kura uchaguzi umewadia

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 43 хвилини тому

    Wapunga bendera wakiwa wameshiba kodi zetu

  • @ThomasMmary-r7w
    @ThomasMmary-r7w 5 годин тому

    Hapo nakupongeza mama na ongeza pesa kwa walimu basi

  • @ShafiiSoud-b3w
    @ShafiiSoud-b3w 6 годин тому

    nikapitie vyetu vyangu sasa

  • @jeremiaaugustino7187
    @jeremiaaugustino7187 6 годин тому

    Watumishi....limeni,fugeni...fanyeni biashara kwa hyo mikopo...mtakuja kunishukuru...maslahi hayatozid elf 50....😢

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 6 годин тому

      Yaani.kila majina yenu yakikristo baadhi yenu kwenye kila coment mnapinga anayoyafanya.Rais Samia ni dhahiri kwamba mnaleta udini mkubwa na hatari kabisa katika taifa letu baadhi yenu wakristo acheni chuki mbaya.hiyo mtapata maradhi yasioambukizika kwa chuki zenu za.kidini

    • @jeremiaaugustino7187
      @jeremiaaugustino7187 6 годин тому +1

      @abuumuhammad7133 nani kapinga acha ukilaza.....ushauri ni Bure...ingawa ni ngumu kuelewa haswa kwa mswahili

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 6 годин тому

      @jeremiaaugustino7187 kilaza wewe usiyejitambuwa huo ndio ukweli hamna jema na hii Tanzania soon tutakuja kufanywa na Allah kama wa Libya Neema ya Viongozi hatuioni mpaka tuje tuletewe migogoro ndio mtajuwa baadae kuwa CCM umuhimu wake

    • @jeremiaaugustino7187
      @jeremiaaugustino7187 5 годин тому

      @@abuumuhammad7133 haujajibu nimepinga nini

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 6 годин тому

    Walimu ndio watumishi wa umma peke yao?

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 6 годин тому

      Udini unawatesa aloo baadhi yenu maana.hakuna jema kwa Rais Samia kwa baadhi yenu maana kila coment yakupinga kauli za Rais Samia au Kauli na ahadi zake utaona majina mengi yakikristo ndio wanapinga ni ushahidi tosha kuwa ni udini na sio kutoa maoni wala kasoro mshindwe kabisa