Hongera sana mhemiwa raisi, ukweli ni kwamba elimu ni center ya naendeleo yote yunayoyaona, lakini kwa miaka zote imekuwa ikipuuzwa na kuacha nyuma. Ombi langu mfumo wa ufunzaji na mitaala ibadirishwe, walimu waajiliwe na mishahara iongezwe kwa walimu, mwisho na mm naomba mniajiri maisha magumu sana.
Yaani.kila majina yenu yakikristo baadhi yenu kwenye kila coment mnapinga anayoyafanya.Rais Samia ni dhahiri kwamba mnaleta udini mkubwa na hatari kabisa katika taifa letu baadhi yenu wakristo acheni chuki mbaya.hiyo mtapata maradhi yasioambukizika kwa chuki zenu za.kidini
@jeremiaaugustino7187 kilaza wewe usiyejitambuwa huo ndio ukweli hamna jema na hii Tanzania soon tutakuja kufanywa na Allah kama wa Libya Neema ya Viongozi hatuioni mpaka tuje tuletewe migogoro ndio mtajuwa baadae kuwa CCM umuhimu wake
Udini unawatesa aloo baadhi yenu maana.hakuna jema kwa Rais Samia kwa baadhi yenu maana kila coment yakupinga kauli za Rais Samia au Kauli na ahadi zake utaona majina mengi yakikristo ndio wanapinga ni ushahidi tosha kuwa ni udini na sio kutoa maoni wala kasoro mshindwe kabisa
Hongera sana mhemiwa raisi, ukweli ni kwamba elimu ni center ya naendeleo yote yunayoyaona, lakini kwa miaka zote imekuwa ikipuuzwa na kuacha nyuma. Ombi langu mfumo wa ufunzaji na mitaala ibadirishwe, walimu waajiliwe na mishahara iongezwe kwa walimu, mwisho na mm naomba mniajiri maisha magumu sana.
Wawoo, nakuombea kwa Mungu uwe ni miongoni watakaoajiriwa mwaka huu ee
Tafuta acount yake ya instagram andika huko humu Mheshimiwa Raisi hata pata fursa ya kuona ur comment
Hongera rais wetu mpendwa tuko nawe daima❤❤❤
Ahsante ney wa mitego ujumbe umefika
aloooh 🙌
Ni siasa za maji taka kampeni za uchaguzi wanataka kura za walimu , sera hadi ishirikiane Na watu binafsi ni maajabu 😅
Uchaguzi oyeeee ..
Wepesi wakuongea wagumu wa kutekeleza uwongo mwingi
Porojo hizo anatafuta kura uchaguzi umewadia
Wapunga bendera wakiwa wameshiba kodi zetu
Hapo nakupongeza mama na ongeza pesa kwa walimu basi
nikapitie vyetu vyangu sasa
Watumishi....limeni,fugeni...fanyeni biashara kwa hyo mikopo...mtakuja kunishukuru...maslahi hayatozid elf 50....😢
Yaani.kila majina yenu yakikristo baadhi yenu kwenye kila coment mnapinga anayoyafanya.Rais Samia ni dhahiri kwamba mnaleta udini mkubwa na hatari kabisa katika taifa letu baadhi yenu wakristo acheni chuki mbaya.hiyo mtapata maradhi yasioambukizika kwa chuki zenu za.kidini
@abuumuhammad7133 nani kapinga acha ukilaza.....ushauri ni Bure...ingawa ni ngumu kuelewa haswa kwa mswahili
@jeremiaaugustino7187 kilaza wewe usiyejitambuwa huo ndio ukweli hamna jema na hii Tanzania soon tutakuja kufanywa na Allah kama wa Libya Neema ya Viongozi hatuioni mpaka tuje tuletewe migogoro ndio mtajuwa baadae kuwa CCM umuhimu wake
@@abuumuhammad7133 haujajibu nimepinga nini
Walimu ndio watumishi wa umma peke yao?
Udini unawatesa aloo baadhi yenu maana.hakuna jema kwa Rais Samia kwa baadhi yenu maana kila coment yakupinga kauli za Rais Samia au Kauli na ahadi zake utaona majina mengi yakikristo ndio wanapinga ni ushahidi tosha kuwa ni udini na sio kutoa maoni wala kasoro mshindwe kabisa