Bony Mwaitege ft Sifael Mwabuka - Ni Salama - '' (Official Music Audio)
Вставка
- Опубліковано 11 бер 2023
- Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
Bony Mwaitege ft Sifael Mwabuka Ni Salama
MUNGU AKUBARIKI SANA.
Wow this is amazing song....kama unawakubali hawa magwiji wa nyimbo za injili angusha like Yako
TENZI yenye pumzi ya MUNGU; Inaishi na itaishi kizazi na kizazi, barikiwa sana mtumishi Bony.
Hawa ni Magiwiji kweli
Amina mungu awabaliki
Amen
🔥🔥🔥 Amen 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪 Atakama mambo ni magumu vipi kwa mungu ni salama kama unakubali kua kwa mungu ni salama angusha like yako barikiwa sana nyote💞💞💞🙏🙏🙏
🔥🔥🔥 amen amen 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ameni baba,Leo ulisema ibadani
*wa kwanza mimi*
Barikiwa sana
Ubalikiwe sana na Mungu
Sawa
Hapa injili tu💞 like za upendo Bony na Sifa.
Kazi nzr MUNGU awabariki
Bony vs sifael. Ninyi ni Baraka sana
amina.amin …..yesu wetu.milele
Oooh how I love this,
Hapa ndipo penye raha
Tupate wapi tena raha kama hii isipokuwa hapa kwa Yesu?
Great work Bonnie mwaitege nyimbo zako zanijenga sana those days in this industry of gospel music mungu awainue kwa kiwango kingine na ndugu sifael love yu guys am from kenya
Huu wimbo nimeurudia zaidi ya mara 20 yaani dah naona kama waliniimbia mimi maana kuna muda nilikosa mwanga ila kwa wimbo huu nimeona mwanga yaani Mungi awainue zaidi na zaidi katika huduma yenu my brothers mwaitege na mwabuka na pia Mungu aguse familia zenu na msipungukiwe na nyimbo na msipungukiwe na kitu katika maisha yenu yote ya hapa duniani..........Nawashkuru sana kweli ni salama rohoni mwangu jamani🙏🙏🙏
Salama rohoni ni salama rohoni mwangu 🙏🙏
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️
Ni salama rohoni,,,,,aaah Mungu awabariki sana.Nimependa hii
Asante kwa ujumbe mtu wa Mungu. Barikiwa
Ni kweli ni salama moyoni mwangu.....mubarikiwe wapendwa.
Mbona sifaeli hajaimba sana jmn wimbo umeutawala mwaitege tu mwabuka kaimba mwanzon kakipande tu
Amazing mko xwa kabisa brother good song
Nionapo amani kama shwari Mungu mwema asante sana watumishi wa Mungu endeleeni kutuinua kwa neno .Kuhusu dhambi zangu zimewekwa msalabani.kazi nzuri sana hii
Goma kali sana mtumishi wa bwana 🎉🎉🎉from USA 🇺🇸
Mungu awabariki mumenikumbusha kujiandaa kwa unyakuzi
Hakika nimebarikiwa sana na hu wimbo Mungu awabariki sana watumishi, Mungu awalinde na mabaya yasiwapate kamwe,pia Mungu awatie nguvu sana mzidi kusonga mbele kwenye huduma zenu na kwa kila eneo ,
Aisee naisubiri video yake kwa hamu sana hongereni sana wimbo unabariki sana.
Hongela sana mtumishi kwa kazi nzuri mungu azidi kuku inua zaidi
Mbarikiwe kwa wimbo unatia nguvu mtu hasa aliyekata tamaa mahali fulani.Hakika Ni Salama ♥
Let’s gooo🔥
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Blessed
Amen
Huu Wimbo umenikumbusha Yale mapito niliyo pitia hapo nyuma,lakn nikavishinda vita...hakika ni Salama Rohini Mwangu🙏🙏🇰🇪God bless
Glory to God
Mungu awabariki kwa kazi nzur watumishi wa Baba
Wakubwa wakubwa tu hit song
Sifaeli na Bonn hapo mpo vizuri sana watumishi Mungu awabariki sana nyimbo safi sana
Hakika ni Salama kwa kazi ya Yesu msalabani tu huru kwa yote ametupendelea tuendelee kumtumikia Mbarikiwe sana🙏🙏
Nakupenda wimbo huu
Wimbo muzuri
Ni salama rohoni mwangu....Jehovah Shammah awabariki mno watumishi
Kutoka Burundi Bujumbura , tunabarikiwa sana kupitia nyimbo zako , Mungu akubariki
Ameeeeeeeeeeeeeeen, mbarikiwe watumishi wa MUNGU. BWANA YESU awainue viwango vya juu. Hakika UOKOVU NI RAHA SANA. Nimecheza sana.
Huo wimbo ni mzuri sana sana,
Sauti ndiyo tatizo, beat kali,
This is great news 👏
Hongeren sana watumishi wa mungu
Salama kabisa, watumishi Mungu awajaze na Roho wake. Huduma isonge mbele bila mipaka🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hongeren wimbo mzuri sana
Kwa yesu kuna Raha ndugu yangu msalilimie Bonny mwaitege🥰🥰🥰🥰🥰🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥
Kwa Yesu kuna Raha na Amani isioelezeka.
Ni Salama Rohoni Mwangu
Hakika ni salama rohoni , ni wimbo mzuri Mungu azidi kuwainua
Na aachilie ulinzi mkubwa kwenye maisha yenu.
Amen nyimbo inabariki
Bonny Mwaitege Nyimbo zako huwa zina nibariki sana mtumishi wa mungu barikiwa sana ndungu yangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🥰🥰🥰
Ni naitaji Number ya Bonny Mwaitege amenibaliki mwaka mingi inapita mimi si mu TZ lakini napenda gospel music 🎶 za Tz Sana
Wimbo mzuri sana🌹🌹❤️❤️
Jamani Mungu amewapea ufunuo katika huu wimbo na wimbo wa baraka sana.Mungu awabariki sana
Hii tenzi huwa naipenda sana my bros being blessed 🙌
God bless you all my bro
Hakika ni salama rohoni mwangu
The buddest duo.. Hapa ni salama tu
Kenya Mombasa
🇱🇷🇱🇷
Nahisi upendo moyoni mwangu, nyimbo nzuri saaaana
Amina watumishi Mwenyezi Mungu awasimamie katika uimbaji wenu
jamani sina neno zaidi ya kushukuru kaka sifaeli and bony.....mimi nabarikiwa tu
💓💓
I just knew whenever Sifaeli Mwabuka voice is featured,,,, definitely the song must be a hit... Kenya mm nimeikubali,,,hakika ni salama rohoni mwangu.
Ni Salama rohoni Mwangu
Amen 🔥🔥🔥🔥🔥
Wimbo mtamu, Mungu akuzidishie neema
Mubarikiwe sana wapenda na huu wimbo umenigusa sana na nimeuelewa sana
Ooh yes, glory to God, nkosalama mbele za maadui zangu
Ni salama rohoni Mwangu, Asante Sana YESU WANGU💓🙏.
Shukurani sana bro mungu wetu wabinguni awabariki tatizo mingi tunapitia kwa ulimwengu huu.pokeeni salamu ktka Kenya tunawapenda sana ndugu
Hongera sana mtumishi wa mungu kwa kutufariji wale tuliopondeka mioyo🔥🔥
Obviously I nomaly love 💘 your music 🎶 my gyz both Bonny end sifaeli I will never ever left you gyz until our highly most father who is in heaven 🌎🗺🌏 noticed ❤ more blessings 🙌
My two mentors together 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 vocals
Good work 🔥🔥🔥
Powerful combination Glory to God
@@abjblessed6958 iok😊😊
Mungu akubaliki sana tunafurahi sana uku Burundi Bujumbura tuna kupenda
Hongera Saana Watumishi Mumeupiga Mwingi Saana Kupitia hii Nyimbo
Mubalikiwe saxa kwaujumbe mzuli,kweli nixalama,lohoni mwetu tunaomwamini mung
Kweli kabisa ni salama rohoni mwangu asante sana
🔥🔥🔥
Ujumbe ni meuelewa vzuli sana Mungu akubaliki sana karibu chato Tehe 29/3/2023
Ikovizuri sana metisha mungu anawatumia nimeikubali safi mungu awabaliki
Ni salama rohoni mwangu for eternity 🙏🙏🙏
Some people are just God sent to keep us alive in christ 🥰
Am blessed ni Salama rohoni
Mwabuka na Mwaitege wako vizuri sana,Mungu awainue jamani hii nyimbo imenigusa sana kwa kweli......Hawa waimbaji wako smart sana kwa kweli,God reward you people in so many ways my Brothres,let the will of the Lord be upon you and ur families.....Amen
Tunangojea video
HAKIKA BABA MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU ❤❤❤❤❤❤❤❤
Good work my brother🙏🙏, tuliona Rose Muhando na Christina, Bahati Bukuku na Martha Mwaipaja, sasa tena ni hawa magwinji, Kenyans gospel artist mko vipi nanyi, Utukufu kwa Mungu ma kaka zangu, we Kenyans we love you❤❤❤🙏🙏🙏
Hakika Mungu awabaliki sana ujumbe mzuri sana
Sweet song my heroes.much love watumishi💞💞💞🙏🙏🙏🙏🙏
Simba wananguruma nawapenda sana my brother's, kweli ni salama keep it up congratulations Boniface and my best gospel musician 🇰🇪🇰🇪
Nisalama rohoni mwangu, barikweni sana dady b.m
Very interesting song be blessed guys.
Salama rohoni ,mola awabariki sana wachungaji
Mbarikiwe watumishi wa Mungu Mungu azidi kuwapaandisha viwango vya juu zaidi🙏🙏🙏
I like this guys alot.nyimbo zao uponyaji tele.
Safi
Amen 🙏🙏 salama rohoni mwangu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Asante my bro nakuja na mim kaka zangu nafisi inaniambia nifanye kolabo na bony official Andrea Makoye naimani iyo amina
karibu sana
Wimbo upo ndio natarajia kurecord nitakutumia sauti usikilize kaka
Woow 😍 😍 😍 😍
Kazi nzuri watumishi wa mungu mubarikiwe
Cool music 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤️❤️❤️❤️
Mungu awaongezee neema mbarikiwa sana
Salute guys, waiting for video
Nikweli niko salama