Allah humuongoza amtakae na humpotosha pia amtakae Allah hashindwi kumujalia rehema zake mjawake hujafa hujaumbika binadamu tuombeane ya kheri hakuna ajuae uongofu wake utaishia wapi Allah amuongoe amuongoze yy na ss ktk njia za kheri kwa rehema zake yy mwenyewe Allah
Ukitaka kutubu tubu kwa ajili ya ALLAH sio uonekane kwa watu,Mungu atakupa mitihani aonyeshe unafiki wako.Yaa Rabana usitupe mitihani tusioiweza tukadhalilika ....ameen thumma ameen
Swadata ww ndo umenena ukwl unapotubu tumbia siri yako ww na allah so kutangazia umma Allah anakupa mtihan ukikuxhd ndo kuumbuka uku km angetumbu kwa sir na haya yasingetokea
Dunno if you guys gives a damn but if you are bored like me atm you can watch all of the latest series on InstaFlixxer. I've been streaming with my gf for the last months :)
WALLAHY silali bila kumsikia ALHABIB MAZINGE WALLAHY NAAPA....namsikiliza saana kwasbb huyu hakuzaliwa ktk uislamu lkn leo yeye ndio mkombozi wa DINI YA KIISLAM ...ALLAH AKUPE UMRI MREFU MAZINGE tuseme INSHAALLAH 🙏
SubhannaAllah huyu mzee Yusuf amekuwa na nini lakini shida tunzo sote muhimu kuvumilia hatakiwi kukata Tamaa naomba M'mungu amzindue tena madhali bado anapumua
ALITAKIWA AMNUSURU MKEWE CHIKU MWENYEZI MUNGU AMRAHAM ENDE ZAKE PEPONI AAMIIN KISHA MWENYEWE ARUDI KWENYE MAASWI YAKE ! MWENYEZI MUNGU ATUPE MWISHO MWEMA AAMIIN
Nilimuhisi tu kipimo Cha mtu kinapimwa kwa mke,Kisha nasikia vifaa vilikuwa bado vinapigwa, Allah atupe thabati kwny dini na wao awape Toba ya ukweli yenye ikhlasi
Siku hizi watu hubadilisha dini tu kwa sababu ya HELA au wanawake kisha na maana kujifurahisha tu badala ya kujiokoa nafsi yake kutokana na moto wa jahanamu .Oh!ALLAH tuakuomba utuepushe tusiwe mmoja watakaopata khasara ,siku ya kiyama.
Haifai hata kidogo kwa muislam kumuhukumia mwislam mwenzake kuwa wa motoni au allah hatomsamehe kutokana na dhambi zake. عَنْ جُنْدَبٍ بن عَبْدِ الله (رضي الله عنه) قَال: قَال رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ: ((قَالَ رَجُلٌ: وَاللَّهِ لاَ يَغْفِرُ اللَّهُ لِفُلاَنٍ. فَقَالَ اللهُ عَزَّ وّجّلَّ: مَنْ ذَا الَّذِي يَتَأَلَّى عَلَيَّ أَنْ لاَ أَغْفِرَ لِفلاَنٍ؟ فَإِنِّي قَدْ غَفَرْتُ لِفلاَنٍ وَأَحْبَطْتُ عَمَلَكَ)) مسلم Imepokelewa kutoka kwa Jundab bin ‘Abdillaah (رضي الله عنه)ambaye amesema: “Mtume wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم ) amesema: ((Mtu mmoja alisema: Wa-Allaahi! Allaah Hatomghufuria fulani! Allaah Aliyeshinda na Kutukuka Akasema: Ni nani huyo anayeniapia kuwa Sitomghufuria fulani? Mimi Nimeshamghufuria fulani na Nimezibatilisha ‘amali zako)).
Yusuf moLa alimjaribu ili awe mfano kwa wengine. Lakini amefeli Imani, na jamanini watu wamesahau kuwa pesa ya riba haidumu na ikidumu huwangamiza. Sasa huu ni mfano wa riba.
Khs hilo deni analodaiwa mzee yususuf kwa mujibu walivyosema yeye na mkewe .. inawezekana ikawa ni kweli au sio kweli..Allahu yaallamu .. M/Mungu atujaalie mwisho mwema pia ajaalie baadhi yetu tuliojaaliwa kupata ndowa tuwe ni wanawake wa kuwaongoza waume zetu mambo yanayompendeza M/Mungu kwani bila yeye Allah sisi waja hatuwezi wallah..........
@@aminamikidadi7754 ni kwel ulichokisema Dada yang kuwa wanaume tuwashauli mambo mazur ili tupate radhi za Allah mwanamke ni siraha inamakali kote kote mwanamke akikushauli vzr utafaulu hp dunian na kexho akhera Ila mwanamke akikushaul vby utakula hasara hp dunian na kesho akhera
Niliona interview ya mkewe kua walitapeliwa pesa nyingi na walikopa Bank, na hiyo Ndio moja wapo ya sababu yeye kurudi kuimba maana huko Ndio kwenye pesa atakayoweza kulipa, maana biashara zote zimeanguka
Mzee Yusuf hakumteza shere Mungu wala hakutezashere waislamu bali aliiteza shere nafsi yake mwenyewe
Mwambie huyo
Allah amsahalishie mthihani huo
Shehe nimekuelewa sana Mimi ni mkristo nimependa maneno yako mungu akubariki
Allah humuongoza amtakae na humpotosha pia amtakae Allah hashindwi kumujalia rehema zake mjawake hujafa hujaumbika binadamu tuombeane ya kheri hakuna ajuae uongofu wake utaishia wapi Allah amuongoe amuongoze yy na ss ktk njia za kheri kwa rehema zake yy mwenyewe Allah
Allahuma amin shk mazige mola aitikiye duwa yako kwani ana mza wa kujisifu ajielewi mungu akupe umri mrefu habibi mazige
Allahumma ameen yaarab
Ukitaka kutubu tubu kwa ajili ya ALLAH sio uonekane kwa watu,Mungu atakupa mitihani aonyeshe unafiki wako.Yaa Rabana usitupe mitihani tusioiweza tukadhalilika ....ameen thumma ameen
AMEEN!!!
Swadata ww ndo umenena ukwl unapotubu tumbia siri yako ww na allah so kutangazia umma Allah anakupa mtihan ukikuxhd ndo kuumbuka uku km angetumbu kwa sir na haya yasingetokea
Allahumma ameen yaarab jamian
Dunno if you guys gives a damn but if you are bored like me atm you can watch all of the latest series on InstaFlixxer. I've been streaming with my gf for the last months :)
@Kingsley Jamal yea, been watching on InstaFlixxer for years myself =)
Subhna Allah 😢😢Mazinge msichoke kumwambia huyo mm imenigusa kweli
Itamgusa kila muumin Ila Allah anamjuazaidi mjawake tutafaje
Mungu akulipe heri shekhe mazinge atusamehe mazambi yetu nakuombea mungu akupe maisha marefu uzidi jitihada ya kutuelimisha akunusuru na mashetani
Mazinge una hikma mashaalah
Kiufupi, mzee Yusu ni mnafiki😏😏😏🇰🇪
Subhanallah subhanallah subhanallah. Allah atupe mwisho mwema,awaongoze wale waliopotea and atupe vizazi vyema. 🤲🏻
Amiin
Amiin
Amin
Nakupenda sanaaa ustadhi Mazinge!
Mze Yusuf Neema alioipata ataikumbuka huko twendako fursa kubwa yan ameenda mpk hijja bado hakubadilika subhanallah
Mungu amuongoze njia swahihi huu ni mtihan mkubwa
Mpe mpeeee dozi imuingie kwakweli aliposema eti Mashekhe wakimsema atawaumbua nilifadhaika sana! Niliona wazi Mzee Yusuphu ataka alete fitna kwenye Dini!
Astaghfirullah Allah amuongoze amrejelee in Shaa Allah....inauma sana na pia inaudhi zaidi!
WALLAHY silali bila kumsikia ALHABIB MAZINGE
WALLAHY NAAPA....namsikiliza saana kwasbb huyu hakuzaliwa ktk uislamu lkn leo yeye ndio mkombozi wa DINI YA KIISLAM ...ALLAH AKUPE UMRI MREFU MAZINGE tuseme INSHAALLAH 🙏
Mzee yusufuuu njaa imekueza,utaukalia noma Kuna jela
Subuhana Allah basi Allah atupe mwisho mwema yaraaaaaabi
SubhannaAllah huyu mzee Yusuf amekuwa na nini lakini shida tunzo sote muhimu kuvumilia hatakiwi kukata Tamaa naomba M'mungu amzindue tena madhali bado anapumua
Mazinge nakukubal Sna 💪💪💪
Innalillah wainna ilayhi rajiun yaa Rabbi tujalie mwisho mwema
Inna Lillahi WA inna ilayhi raji'un! SubhanaLLAH Walhamdulillah Walaa ilaha illaLLAH Wallahu Akbar LAA hawla wala quwata illah billahil Aliyyul Adhwiim😢
Mazinge nimekumis lakini sikuhiz sioni mihadhara shida nini tena mbona Kenya kama kawaida
Ana laana ya Allah mzee yusufu oamakweli karudi
Naaam shekh MAZINGE tumekumis sana kaka mchane kabisa huyo ibilisi mkubwa,
Innalillah wainna ilaih rajiun
Heeeh nimsiba Allah amuongoze
ALITAKIWA AMNUSURU MKEWE CHIKU MWENYEZI MUNGU AMRAHAM ENDE ZAKE PEPONI AAMIIN KISHA MWENYEWE ARUDI KWENYE MAASWI YAKE !
MWENYEZI MUNGU ATUPE MWISHO MWEMA AAMIIN
Innalillahi wainna illahi rajiun Allah atujalie mwisho mwema ln shaa allah
Amiin
Ameen
Mee Yusuf Jamani baada ya hidaya kisha tena urudi kwa uhuni? Inna lillahi wa inna ilaihi raajiun
Inasikitisha sana Allah atupe mwisho mwema
@@kenyadawahtv90 Amin
Subhanalha😭😭😭
@@kenyadawahtv90 Amina lnshaAllah
Subbanaallh kwa mzee YUSUF. Allah atupe mwisho mwema Amin Inshallah.
Nilimuhisi tu kipimo Cha mtu kinapimwa kwa mke,Kisha nasikia vifaa vilikuwa bado vinapigwa, Allah atupe thabati kwny dini na wao awape Toba ya ukweli yenye ikhlasi
Amiin
Shekh usimtusi mamba kabla hujavuka mto wewe mwenyewe hu,ujuwi mwisho wako ila mimi nakuombea mwisho mwema
WEWE MZEE YUSUFU, MUNGU ANASEMA HASAMEHE TOBA YAMTU AMBAE UMEMFIKIA UMATI HALAFU AKATAKA KUTUBU TOBAHIYO HAKUNA, MZEE YUSUFU TUBU KABLA KIFO HAKIJA KUFIKA
Sub-hana Allah, ajue Allah apendi dhihaka
Hajatubia bado
Allah awaogoze wote walio potea awaoneshe njia ya hakki
Siku hizi watu hubadilisha dini tu kwa sababu ya HELA au wanawake kisha na maana kujifurahisha tu badala ya kujiokoa nafsi yake kutokana na moto wa jahanamu .Oh!ALLAH tuakuomba utuepushe tusiwe mmoja watakaopata khasara ,siku ya kiyama.
Haifai hata kidogo kwa muislam kumuhukumia mwislam mwenzake kuwa wa motoni au allah hatomsamehe kutokana na dhambi zake.
عَنْ جُنْدَبٍ بن عَبْدِ الله (رضي الله عنه) قَال: قَال رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ: ((قَالَ رَجُلٌ: وَاللَّهِ لاَ يَغْفِرُ اللَّهُ لِفُلاَنٍ. فَقَالَ اللهُ عَزَّ وّجّلَّ: مَنْ ذَا الَّذِي يَتَأَلَّى عَلَيَّ أَنْ لاَ أَغْفِرَ لِفلاَنٍ؟ فَإِنِّي قَدْ غَفَرْتُ لِفلاَنٍ وَأَحْبَطْتُ عَمَلَكَ)) مسلم
Imepokelewa kutoka kwa Jundab bin ‘Abdillaah (رضي الله عنه)ambaye amesema: “Mtume wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم ) amesema: ((Mtu mmoja alisema: Wa-Allaahi! Allaah Hatomghufuria fulani! Allaah Aliyeshinda na Kutukuka Akasema: Ni nani huyo anayeniapia kuwa Sitomghufuria fulani? Mimi Nimeshamghufuria fulani na Nimezibatilisha ‘amali zako)).
Atasijui nani kamshawishi subhanallah
Shukran mazinge
Mwenyezi mungu amuongoze
Yusuf moLa alimjaribu ili awe mfano kwa wengine. Lakini amefeli Imani, na jamanini watu wamesahau kuwa pesa ya riba haidumu na ikidumu huwangamiza. Sasa huu ni mfano wa riba.
Riba mm naiyogopa Sana nikiwa na shida siezi Kopa Benki aw besa inao rudishwa na riba.
Ni kwel
Khs hilo deni analodaiwa mzee yususuf kwa mujibu walivyosema yeye na mkewe .. inawezekana ikawa ni kweli au sio kweli..Allahu yaallamu .. M/Mungu atujaalie mwisho mwema pia ajaalie baadhi yetu tuliojaaliwa kupata ndowa tuwe ni wanawake wa kuwaongoza waume zetu mambo yanayompendeza M/Mungu kwani bila yeye Allah sisi waja hatuwezi wallah..........
@@aminamikidadi7754 ni kwel ulichokisema Dada yang kuwa wanaume tuwashauli mambo mazur ili tupate radhi za Allah mwanamke ni siraha inamakali kote kote mwanamke akikushauli vzr utafaulu hp dunian na kexho akhera Ila mwanamke akikushaul vby utakula hasara hp dunian na kesho akhera
Asanteeee
Inalillah waina ilaihi rajiun
SubhanaAllah
Hakutubu kitu yule mnafiki
Kipozeo alisema kua hakuna ubaya kuimba. Subhanallah
ua-cam.com/video/qF6cZq-FlkU/v-deo.html
Kamfanyia uhuni kipozeo mambo ya kimtandao tu ona video hio
Ndo mazinge eti haachi ktu
Lahaula walakuwata illah billah
Shehe kipozeo alimuambia Mzee Yusuf arudi mjini
Lkni sheikh kipozeo pia alisema yothe yaliyojiri mpaka aka mwambia Yale,,, kama unafwatilia video zake
Niliona interview ya mkewe kua walitapeliwa pesa nyingi na walikopa Bank, na hiyo Ndio moja wapo ya sababu yeye kurudi kuimba maana huko Ndio kwenye pesa atakayoweza kulipa, maana biashara zote zimeanguka
Shida wanawake cc ndio washawishi wabaya mke wa mzee Yusuf akua na subra aki
subuhana llah
Subhanallah
Yuko.sawa soma Qruan .2:102 hiyo hainatatizo
ATALAANIWA NA ATAFIRISIKA ZAIDI NA ATAKUA DHALILI KWA KUMDHIHAKI MUNGU WAKE.
Subbanaallh
Inna lillahi wainna ilayhi rajiun
Allah Akbar
Eeeee Mola iblis awakando na sisi
Hasara kwa kaka Yusuff
UKIONAMTU KAENDA MAKKA KUTUBU AKARUDI KATIKA MAASI UJUWE HIJAYAKO HAIJAKUBALAWA, WEWE MZEE YUSUFU IMANIYAKO NI DHAIFU
Subhanallah Astakfirullah
Inamaana sisi wote tunaishi kwa kuimba taarabu?simnafiki tu huyo,hapo mwanzo aliishi kwa taarabu?unafiki tu,
Ukimona mtu awcha kitu kwa haraka ujue atarudi
Asalam aleykum
Walayhikum Salaam Warahmatullaahi Ta'Ala Wabarakatuh
Lana kum