Azam ina wachezaji wazur kuliko Simba 😂😂😂😂, wenge hili aiseee 😂😂😂😂😂, dah nacheka tu aiseee 😂😂😂😂😂, sijui wakina nani hao aisee ambao yy anawazungumzia 😂😂😂😂😂
Mimi sioni mnachosifia simba. Kuingia makundi kwa simba ndio iwe issue ya mjini mpaka mnataka kutoa roho? Kwani misimu mingine hakufika hizo hatua?? Acheni ushamba.
Maana kolo ana kocha mda gani ? karne 3? Au maana nae hana hata miezi hebu kaa kwa kutulia labda wapeane Kama mtt wa shangazi na mjomba tofauti na hapo watarudi na boti la usiku wa kati
Mm n mwananchi ila kw watani saizi walivyojipata na Azam saizi kw anavyotia huruma yan atapigwa hadi Bahresa atahama nchi😂
😂😂😂
Amiin 🤲
Waandishi bado tu hamuitaki simba.....
Simbaaaaa nguvu moja 🔥🔥🔥🔥
Kwa Simba hi iliyo jitafuta atashinda vizur tu azamu kapigwa na kitu kizito
Time will tell❤
Hicho kama kidada hicho
Huyu jamaa anatabia zakikekike
Umeona e😅
Azam ina wachezaji wazur kuliko Simba 😂😂😂😂, wenge hili aiseee 😂😂😂😂😂, dah nacheka tu aiseee 😂😂😂😂😂, sijui wakina nani hao aisee ambao yy anawazungumzia 😂😂😂😂😂
Visingizio vimeanza
Mimi YANGA ila kwa SIMBA hii ,,, azam ikishinda bahati
Simbaaaaaaaaa baba lao Bado amjasema Ubaya Ubwela
Sasa huo ni uchambuzi au uchoko?
Mtasema yote
Wasafi ni yanga tunajua hilo
Mdogo wke diamond anajikuta amjuw mpanzu dar hii dunia hii
Hichi kijamaa ni kama panya road...kinatia kichefu chefu..kina sura ya kimbea na uchonganishi
😂😂😂😂😂😂
🔛
Bado simba mna ikataa
Mimi sioni mnachosifia simba. Kuingia makundi kwa simba ndio iwe issue ya mjini mpaka mnataka kutoa roho? Kwani misimu mingine hakufika hizo hatua?? Acheni ushamba.
Hakuna kitu hapo. Azam akicheza na simba ni kama anatimiza ratiba. Ila akicheza na yanga ni kama kifo.
Jaman nataka kuangalia mpira me siko tz natakakwenye cm nafanyaje
Munatumika kuwapa bichwa simba wapweteke wakati azam akicheza na simba ni kama fainali
Maana kolo ana kocha mda gani ? karne 3? Au maana nae hana hata miezi hebu kaa kwa kutulia labda wapeane Kama mtt wa shangazi na mjomba tofauti na hapo watarudi na boti la usiku wa kati
Kwamba wakifungwa sawa wakitoa sare/suluhu baridi tu
acheni mtu aongee mna dakia dakia mambo
Bado Simba inajitafuta acheni inasafari ndefu kufanya timu
Ubaya ubwela
Azam inashinda mechi asubuhi kweupe
Azam hua wanafurahia kufungwa na Simba kuliko wao kuwafunga Simba.