Hatimae leo nimekuwa wakwanza baada ya kusubiri kwa muda mrefu kupata update mpya.. Nakuelewa sana bro ansbart ngurumo, mungu akuzidishie maarifa na afya njema tuzidi kunufaika na uwepo wako kwakupata maarifa sahihi na tafakuri za kina. Be blessed brother.
Kweli hata mimi sikujua kama kunawimbo huu .polisi wamenisaidia sana.halafu wanasema achaneni na habari za mitandao. Mama unadanganywa.!wanakuzunguka tu. Shauriyako
Mama anapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa. Mama anawaamini tu! Wakati wanatafuta ulaji.unakubali kupambwa. Kusifiwa. Naona wamekusoma uapenda kusifiwa. Ndio maana wote wanapozungumza wanakupamba saaana. Na wewe unasema safi. Pole sana.
Huyu Nape hajitambui ndio maana Magufuli alimtumbua angalia mama huyu jamaa Nape ni nguru mbili watanzania walipiga lkura lini zakumchagua Samia Nape aache propaganda zake watanzania wa leo sio wale subiri 2025 kitakacho wakuta CCM
>Kauli ya Waziri wa Habari hapa zinaashiria joto kali la Uchaguzi 2024/2025. >Bahati nzr kauli tata za kusifia zimetolewa hadharani...umma umesikia na utaamua wkt utakapowadia!
Nape ungejuwa maumivu yalivyo ndani ya mioyo ya hao watu waliokuwa hapo, usinge ongea hayo matope, ushukuru polisi waliopo hapo bila hivyo wangepita na wewe, maana unazidi kuwa pandisha hasira
Kwa kweli akiwa Waziri mwenye dhamana ya Wizara ya habari sikutegemea aongee hivi. Tukiachana hata na hizo nyimbo. Daah! Yaani! Wageni wanatuibia ina maana wameshasoma uwezo tulio nao!!
nawshukuru sana polisi bila nyie nisinge ujua huu wimbo wakuupata. souz afrca aliitwa salafina. adi leo kumukumbu zake zipo. nasisi apa tanzania tumempata mtoto sifa mtetezi wataifa letu . ahsanteni polisi apo mbeya
kweli hii nchi imeisha oza!!! Yaani Rais ana Chawa???wanamuongopea hatumpendi wala Hatumtaki wala Hatujamchagua!! ni dikteta na muuzaji halal wa Mali za Nchi hana uwezo wa Kuongoza hata Kijiji
Hujamchagua? Aliyechaguliwa Rais automatically na Makamo wake amechaguliwa na ndio sababu kwenye karatasi ya kura alikuwepo. Hivyo ukichagua chama au mtu umemchagua mgombea.
Nape ana chawa wa Samia. Anafanya serikali yake ituone kama nyani tu. Endelea kutuona kama nyani, Mungu anatuona kama sawa na kusudi alilotumba. Wewe na mama na serikali yela CCM mtuone kama nyani tu
UWONGO WA TAKWIMU ZA NAPE HUU HAPA: Rais Samia Suluhu unawezaje kukubali kudanganywa na ‘muhuni’ kama Nape Nnauye mbele yako? Taarifa ya utendaji wa Sekta ya Mawasiliano kwa robo ya kwanza ya mwaka 2022/2023 imefafanua (tazama kielelezo) Ripoti hii ya utendaji wa kisekta iliyotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inaonyesha mambo yafuatayo. Watumiaji wa intaneti wameongezeka kutoka 29,169,958 Juni 2022 hadi 31,122,163 Septemba 2022 sawa na ongezeko la 6.7% Mwelekeo wa ongezeko la watumiaji wa intaneti kuna ukuaji wa 17% kila mwaka, katika kipindi cha miaka mitano (5) Mwaka 2017 kulikuwa na watumiaji 16,106,636 na Desenba 2021 waliongezeka hadi kufika 29,103,482. Ongezeko la 12,996,846 Matumizi ya intaneti yameongezeka kutoka wastani wa MB 6,037 kwa mtumiaji Machi 2022 hadi MB 6,626 kwa mtumiajia Septemba 2022 Takwimu za Ripoti ya utendaji wa sekta ya mawasiliano zinabainisha Mitandao mitano (5) ya kijamii inayotumiwa zaidi nchini Tanzania Walipima kwa kiwango cha matumizi ya data kwa kipimo cha Gigabyte (GB) - unit of data storage capacity that is roughly equivalent to 1 billion bytes. Facebook bilioni 2.59gb, UA-cam bilioni 1.91gb, WhatsApp bilioni 1.58gb, TikTok gb999 milioni. Hizi ni takwimu za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Leo katika mkutano wako Lindi na Mtwara, Nape Nnauye anasema watumiajia wa mitandao Tanzania ni 16% tu na kwamba 40% wapo nje ya nchi (diaspora) Takwimu za June 2023 Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inaeleza watumiaji wa intaneti wamefika 33,967,699. Hii ni zaidi ya 50% ya idadi yote ya watanzania. Idadi ya Watanzania wote ni 61,741,120. Hivyo ukitoa idadi ya watanzania wanaotumia intaneti (33,967,699) unapata ni watanzania 27,773,421 hawatumii intaneti. Asilimia 40 ya watu 33,967,699 ni watu 13,587,079. Lakini sishangai kabisa, Nape hakusoma hesabu, na hata somo la uraia (civics) aliokota mswaki wake mzuri tu. Rais Samia Suluhu taarifa ya utendaji wa Sekta ya Mawasiliano kwa robo ya kwanza ya mwaka 2022/2023 imeandaliwa na TCRA @Nnauye_Nape akiwa Waziri. Je, Waziri na Mamlaka ya Mawasiliano walitudanganya watanzania kwa takwimu zao au leo Waziri wa Mawasiliano ndiyo amekudanganya wewe na watanzania? Rais Samia Suluhu kama utashindwa kuonyesha hasira yako ya dhati kabisa kwa ‘muhuni’ huyu muongo wananchi tutakwazika sana. Akanywe kwa vitendo. Amekupotosha. Rais lazima ujiulize, Kwanini Waziri wako anakudanganya mbele ya umma? Lengo lake ni lipi? Kwanini amechagua hadhara ndiyo akupotoshe bosi wake? Waziri wako atakuwa anakudharau parefu. Muonyee! MMM, Martin Maranja Masese, Mtikila.
Unaongelea huyu kihiyo na mwana dynasty? Ama kweli chawa wako wengi tena wengine wana vyeo. Bila kusifia atakula mafi yake? Samia hoyee kwa kusifiwaaaaaa. Kwani hao watanzania anaoongelea wako nje si watanzania au ni kwa vile alisomea India ambako hakuna fursa? Nani alimchagua rais? Samia alichaguliwa na kifo ila si uchaguzi. Kama allichaguliwa akiwa na Magufuli, awamu yake ilishazikwa zamani. Nape is trying to fool both himself and Samia
Kiukweli huyo nijambazi aliye changanyikiwa hajui alitendao sasa sisi wanaichi tunamuahidi nape kuwa 2025 ccm watake wasitake watang'oka sisi wanaichi ndiyo tunaosema hivyo ama kweli huyo nape nimwenda wazimu mkumbwa.
Mnawie hajawahi kuwa na hekima.😢😢😢 Kuendelea kumzungumzia jitu jinga kama hilo ni kupoteza mda. Jitu limejaa Uroho, fisadi, Malaya. Debe tupu haliachi kutika. Mlamba matapishi.
Ohoo nape mama samia akuchaguliwa mbona unatupotosha hizi sifa zote ujuwe unajizalilisha nakuliza uchagizi wa kumchagua raisi samia ulifanyika linini na wapi wewe nape acha poropo ganda kumbe kweli nape unatuona sisi ninyani kweli nimeamini
Hii nchi jamani angalieni wachungaji wameanzakupewa au kununuliwa gari nawabunge eti anapongezwa kwakustafu kweli wakati wanatuzunguka kuhusu kauli yakupoteza msimamo wakusitisha mkataba wabandari hii nchi hiiiiii mungu wabariki watanganyika nauwatetee kwa wakati wako nakuwapoteza wanaoingia mikataba yahovyo nakutaka kuwasahaulisha watanganyika hawatosahau kamwe.
Wee ni mbwa kabisa kula kulala Samia amechaguliwa kwa kura ipi hujui hata kama kateuliwa mmekula nchi tangia utoto hata hushibi? Kuna siku utakula udongo Uza robo tatu ya ulivyo navyo ununue Hekima.
Nape huna lolote, unajipendekeza tu, unashinda kwenye ofisi ya kiyoyozi tu, hebu pita mitaani uone jinsi watu walivyomchoka mama na Hilo li sisiem lake
Hongera sana kaka. Uchambuzi huu umepanda viwango vikubwa sana
Hatimae leo nimekuwa wakwanza baada ya kusubiri kwa muda mrefu kupata update mpya.. Nakuelewa sana bro ansbart ngurumo, mungu akuzidishie maarifa na afya njema tuzidi kunufaika na uwepo wako kwakupata maarifa sahihi na tafakuri za kina. Be blessed brother.
Kweli hata mimi sikujua kama kunawimbo huu .polisi wamenisaidia sana.halafu wanasema achaneni na habari za mitandao. Mama unadanganywa.!wanakuzunguka tu. Shauriyako
Nape acha uongo, hao watu mnawasomba na ma fuso toka sehemu mbali mbali, nani ambaye hajui hilo
Sijasikua huo wimbo ngoja nitafute😊
Wewe kiongozi gani mjinga sana umejaa ujinga sana akupaswa kuwa kiongozi uyo mama ajitafakari sana na wateuzi wake wanamwabisha sana
Nimeupata ni mzuri sana
Dahhh umenifanya ni comment Leo mimi mwenyewe ndo nmesikia akiongelewa huyo bint Leo ngoja nikatafute nijue kaimba nini zaidi na nimfahamu vizuri.
Rafiki wa kichaa naye ni ......
Asante mchambuzi wetu. Uko sahihi kabisa.
Anajitambua Sana. Anatengeneza ulaji. Hana lolote. Ndio maana magu alimtema.mapema sana. Mama akawarudisha saafu nzima. Waliotemwa.
Uko vizuri kiongoz Kwa ufuatiliaji MUNGU aendelelee kukupa afya njema mtumishi.
Big up sana mzee
Ulikuwa hujulikani Sasa umejulikana na wazarendo watanzania .
Wewe nape wananchi wa Jimbo lako mwenyewe hawakupendi
Kweli Nape una akili kweli cc tuko nje mwongope mungu
Mama anapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa. Mama anawaamini tu! Wakati wanatafuta ulaji.unakubali kupambwa. Kusifiwa. Naona wamekusoma uapenda kusifiwa. Ndio maana wote wanapozungumza wanakupamba saaana. Na wewe unasema safi. Pole sana.
Binti kasema ukweli tunaonekana nyani Serikali imejaa ukatili kuwaweka ndani wakweli 🙏🙏🙏💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻🙏💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻
Hee nyii watu hivi kweli huyu ni waziri anayetamka maneno hayo atupuzee watanzaniia here yupo mungu anyaona machozi tutafutwa kwa muda wake
Kweli kabisa wanatuona kama Nyani🙉🙉🙉🙊🙊🙊🙈🙈 kweli ndiyo hiyo kama Nyani
Ngurumo huyo hajashuka huku chini angeyasikia hawa wananchi maskini Nape hana lolote Samia hajachsguliwa yeye alikuwa Makamu tu mjinga huyo
Nimeshajuwa ni kwa nini ulitolewa bastola
Nikwel tunautafuta tumeusikia ni mzuri sana
Mie sijaupata
@@estambuya3901tafuta "wanatuona nyani" utaupata
Asante brother kwa akili Mungu amekuzawadia ukaiwakilisha vyama
Inauma sama chama changu hakiendi na wakati.Hali ni mbaya nape usidhani hawa watu ni wajinga .Do not take business ych
Huyu Nape hajitambui ndio maana Magufuli alimtumbua angalia mama huyu jamaa Nape ni nguru mbili watanzania walipiga lkura lini zakumchagua Samia Nape aache propaganda zake watanzania wa leo sio wale subiri 2025 kitakacho wakuta CCM
Sk Media Mungu akutunze una madini mengi sana
Mwenyezi Mungu ni mwema
Yaliyosirini ni ya Mungu ya Wanadamu yamefichuliwa wao na Vizazi vyao hata milele
Kumbukumbu la Torati 29:29
Darasa lenye wanafunzi 100,wakipiga kelele 16 hakutakalika
❕❕
POLICE WANAHANGAIKA NA BINTI KUMBE WANAMTENGENEZEA USHUJAA
Nimekupenda bule
>Kauli ya Waziri wa Habari hapa zinaashiria joto kali la Uchaguzi 2024/2025.
>Bahati nzr kauli tata za kusifia zimetolewa hadharani...umma umesikia na utaamua wkt utakapowadia!
Ngoja ni share kila mahali kabisa my brother
Nape ungejuwa maumivu yalivyo ndani ya mioyo ya hao watu waliokuwa hapo, usinge ongea hayo matope, ushukuru polisi waliopo hapo bila hivyo wangepita na wewe, maana unazidi kuwa pandisha hasira
Mama nape anakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa
Ansbert Mungu akutie nguvu🙏🙏
Kwa kweli akiwa Waziri mwenye dhamana ya Wizara ya habari sikutegemea aongee hivi. Tukiachana hata na hizo nyimbo. Daah! Yaani! Wageni wanatuibia ina maana wameshasoma uwezo tulio nao!!
Vizur san baba daaa unatufundisha sas
Wautu wekee uo wimbo wengine stujausikia tukaucheze vizuri
Mama kama hujui magufuli alimtema nape kwa sababu hizi hizi, Moja wapo ni hizo sifa za kijinga
Kweli
Binti amekua hero💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻
Weee nape wewe nihatari sana mnafiki sana
nawshukuru sana polisi bila nyie nisinge ujua huu wimbo wakuupata. souz afrca aliitwa salafina. adi leo kumukumbu zake zipo. nasisi apa tanzania tumempata mtoto sifa mtetezi wataifa letu . ahsanteni polisi apo mbeya
Police wAmekuwa basata
ua-cam.com/video/nKrdDxIZ_hw/v-deo.htmlsi=fR4mWG9WoJWb46cR
Tumwombe mungu tuseme ukweli mbele za watu nape.watu ni sauti ya mungu
kweli hii nchi imeisha oza!!! Yaani Rais ana Chawa???wanamuongopea hatumpendi wala Hatumtaki wala Hatujamchagua!! ni dikteta na muuzaji halal wa Mali za Nchi hana uwezo wa Kuongoza hata Kijiji
Hujamchagua? Aliyechaguliwa Rais automatically na Makamo wake amechaguliwa na ndio sababu kwenye karatasi ya kura alikuwepo. Hivyo ukichagua chama au mtu umemchagua mgombea.
Nape ana chawa wa Samia. Anafanya serikali yake ituone kama nyani tu. Endelea kutuona kama nyani, Mungu anatuona kama sawa na kusudi alilotumba. Wewe na mama na serikali yela CCM mtuone kama nyani tu
Wanatikisika sanaaaa viongozi wote wa juu wa ccm
Kama nape, Mimi namuona kama nyani tu
Kweli kabisa kama Rais anaungwa mkono sana na watu ambao hawako mitandaoni Kwa nini mnawapelleka mahakama watu wa mitandao
Asilimia 16% ya Watanzania ni 9.6m!.Sasa ukiwapata hawa wote sio mtaji wa kutosha?!.JPM alishinda kwa kura ngapi?!
Samia muangalie sana huyo nape, anakudanganya, watanzania walio wengine Hawa kuungi mkono
Uliona wapi nyani akamhukumu Ngedere?!
Kazi ipo du
UWONGO WA TAKWIMU ZA NAPE HUU HAPA:
Rais Samia Suluhu unawezaje kukubali kudanganywa na ‘muhuni’ kama Nape Nnauye mbele yako?
Taarifa ya utendaji wa Sekta ya Mawasiliano kwa robo ya kwanza ya mwaka 2022/2023 imefafanua (tazama kielelezo)
Ripoti hii ya utendaji wa kisekta iliyotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inaonyesha mambo yafuatayo.
Watumiaji wa intaneti wameongezeka kutoka 29,169,958 Juni 2022 hadi 31,122,163 Septemba 2022 sawa na ongezeko la 6.7%
Mwelekeo wa ongezeko la watumiaji wa intaneti kuna ukuaji wa 17% kila mwaka, katika kipindi cha miaka mitano (5)
Mwaka 2017 kulikuwa na watumiaji 16,106,636 na Desenba 2021 waliongezeka hadi kufika 29,103,482. Ongezeko la 12,996,846
Matumizi ya intaneti yameongezeka kutoka wastani wa MB 6,037 kwa mtumiaji Machi 2022 hadi MB 6,626 kwa mtumiajia Septemba 2022
Takwimu za Ripoti ya utendaji wa sekta ya mawasiliano zinabainisha Mitandao mitano (5) ya kijamii inayotumiwa zaidi nchini Tanzania
Walipima kwa kiwango cha matumizi ya data kwa kipimo cha Gigabyte (GB) - unit of data storage capacity that is roughly equivalent to 1 billion bytes.
Facebook bilioni 2.59gb, UA-cam bilioni 1.91gb, WhatsApp bilioni 1.58gb, TikTok gb999 milioni. Hizi ni takwimu za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)
Leo katika mkutano wako Lindi na Mtwara, Nape Nnauye anasema watumiajia wa mitandao Tanzania ni 16% tu na kwamba 40% wapo nje ya nchi (diaspora)
Takwimu za June 2023 Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inaeleza watumiaji wa intaneti wamefika 33,967,699. Hii ni zaidi ya 50% ya idadi yote ya watanzania.
Idadi ya Watanzania wote ni 61,741,120. Hivyo ukitoa idadi ya watanzania wanaotumia intaneti (33,967,699) unapata ni watanzania 27,773,421 hawatumii intaneti.
Asilimia 40 ya watu 33,967,699 ni watu 13,587,079. Lakini sishangai kabisa, Nape hakusoma hesabu, na hata somo la uraia (civics) aliokota mswaki wake mzuri tu.
Rais Samia Suluhu taarifa ya utendaji wa Sekta ya Mawasiliano kwa robo ya kwanza ya mwaka 2022/2023 imeandaliwa na TCRA @Nnauye_Nape akiwa Waziri.
Je, Waziri na Mamlaka ya Mawasiliano walitudanganya watanzania kwa takwimu zao au leo Waziri wa Mawasiliano ndiyo amekudanganya wewe na watanzania?
Rais Samia Suluhu kama utashindwa kuonyesha hasira yako ya dhati kabisa kwa ‘muhuni’ huyu muongo wananchi tutakwazika sana. Akanywe kwa vitendo. Amekupotosha.
Rais lazima ujiulize, Kwanini Waziri wako anakudanganya mbele ya umma? Lengo lake ni lipi? Kwanini amechagua hadhara ndiyo akupotoshe bosi wake? Waziri wako atakuwa anakudharau parefu. Muonyee!
MMM, Martin Maranja Masese, Mtikila.
Uko vizuri ubarikiwe
Juu, juu juu tena. Thumbs up
Nakuelewa vizuri sanaj
Pamoja watalam wetu
Pamoja xn
Unaongelea huyu kihiyo na mwana dynasty? Ama kweli chawa wako wengi tena wengine wana vyeo. Bila kusifia atakula mafi yake? Samia hoyee kwa kusifiwaaaaaa. Kwani hao watanzania anaoongelea wako nje si watanzania au ni kwa vile alisomea India ambako hakuna fursa? Nani alimchagua rais? Samia alichaguliwa na kifo ila si uchaguzi. Kama allichaguliwa akiwa na Magufuli, awamu yake ilishazikwa zamani. Nape is trying to fool both himself and Samia
Nami nasema ni kweli kabisaa "WANATUONA NYANI TUU"
Asilimia 16 ndio nyani haswa. Lakini hao ndio waliokwenda shule. Aslimia 84 wasiosoma pengine hao watakuwa nyani mikia miwili.
16% tu ndio wapo kwenye mitandao, na katika hao 16 %, 40% wako nje ya nchi.....
Hesabu sijaielewa kabisaa
Mimi nimemdharau nape, hajielewi, mmi nipo hapa Tanzania lakini katu siwezi kuipa ccm kura,
Kweli mzee ongea ukweli mtandaoni tupo aslimia 95 leo wanasema hatupo mitandaoni tumesikia wazili huyu,,,,,
nashindwa kuelewa nini maana ya Haki jinai na lengo lake nchin
Huyu mwamba natamanisana kuonana nae
SAMIA HOOOOI NAPE ANABEMBEKA KAZI NANI KAMCHAGUA SAMIA.
Kiukweli huyo nijambazi aliye changanyikiwa hajui alitendao sasa sisi wanaichi tunamuahidi nape kuwa 2025 ccm watake wasitake watang'oka sisi wanaichi ndiyo tunaosema hivyo ama kweli huyo nape nimwenda wazimu mkumbwa.
Binti yuko vizuri
Wape vidonge vyao baba
Naona nape jinsi anavyo tengeneza mazingira ya wizi wa kura
Nape ayeee
Mnawie hajawahi kuwa na hekima.😢😢😢 Kuendelea kumzungumzia jitu jinga kama hilo ni kupoteza mda. Jitu limejaa Uroho, fisadi, Malaya. Debe tupu haliachi kutika. Mlamba matapishi.
nape ni chawa kama chawa wengine tyuu hana jipya ni mnafiki sana
Na anaowachawa nao ni...
Chawa
Ohoo nape mama samia akuchaguliwa mbona unatupotosha hizi sifa zote ujuwe unajizalilisha nakuliza uchagizi wa kumchagua raisi samia ulifanyika linini na wapi wewe nape acha poropo ganda kumbe kweli nape unatuona sisi ninyani kweli nimeamini
VIONGOZI WENGINE BANA ZERO KABISA
CCM tunawaona kama manyani tu
Mpaka wamevunja sheria na katiba kisa mnatuona nyani.mama fukuza mijitu mijinga hii
Kwamba watZ wamemchagua yy chf H?, Lini walimchagua?
Mimi natamani hata kumuoa binti huyu😅
😆 😂 😆
akili ndogo nguvu nyingi hawa tusha wadharau na wamempaisha bila kujuwa
Ni kichaa peke yake ndiyo atakae ichagua sisiem
Umeona eee
Kabisa au wale waliojigaraza kwenye mavumbi
Samia lini kachaguliwa kuwa rais wa TANZANIA Nape Acha za kuleta.Usimdanye eti 16% ok.
Hii nchi jamani angalieni wachungaji wameanzakupewa au kununuliwa gari nawabunge eti anapongezwa kwakustafu kweli wakati wanatuzunguka kuhusu kauli yakupoteza msimamo wakusitisha mkataba wabandari hii nchi hiiiiii mungu wabariki watanganyika nauwatetee kwa wakati wako nakuwapoteza wanaoingia mikataba yahovyo nakutaka kuwasahaulisha watanganyika hawatosahau kamwe.
Ni kweli kabisa
Boasting ya kijana huyu imepitiliza.
Alisema kabla hajapewa nafasi hii kwamba ccm ina wenyewe.
Wanatuvarisha nguo za bruu kwa kitukido Kisha wanamdanganya mama,ira naisi mama ameisha wajuwa
Wee ni mbwa kabisa kula kulala Samia amechaguliwa kwa kura ipi hujui hata kama kateuliwa mmekula nchi tangia utoto hata hushibi? Kuna siku utakula udongo Uza robo tatu ya ulivyo navyo ununue Hekima.
Nape huna lolote, unajipendekeza tu, unashinda kwenye ofisi ya kiyoyozi tu, hebu pita mitaani uone jinsi watu walivyomchoka mama na Hilo li sisiem lake
the first one
Acha kumdanganya Samia wewe
Acha upumbavu nape Samia nani kamchagua huna akili
LISINGEĶUSUMBUA HIZO ASIMILIA16 🤔🤔🤔
Sasa huu ndio upumbavu wa hali ya juu kweli.Nape Nawie?Ni yeye Kweli?
Ni nyani tu huyo nape
Asilimia 16 wapo mitandaoni, hujatuambia ni asilimia ngapi hawapo kwenye mitandao na wasiounga mkono hii serikali?
Kwann uyo jamaa anatudharau kiasi hiki
Unajua jinsi Nape Mnauye anavyoongea anadhani anaongea na hadhira ya wapumbavu.Mungu amrehemu
Na mimi Ngoja nikautafute kwenye you tube niusikulize .
Hongela wewe Binti,wa Mby,
Nape kweli hamna kitu
Tutawaonyedha keshokutwa ,watajua hawajui chochote
Wewe ni njaa ndio inakusumbua
Rais nakupenda ila wazir anakudanganya
Nape kumbuka MLI msisifu maguli Mara mka muuwa
Rais tunampenda lakini maisha yamekuwa magumu atunusuru!
Alichaguliwa samia lini?
mzee wewe hakika wewe ni msomi wa siasa
He is Pregnant, his deliverly date is few days to come.