Hongera SK media kwa udadavuzi wako makini kuhusu wasomi wa Tanzania , ni tatizo kubwa hasa ikiitwa Dr, Professor ndani ya chama wanapoteza maana kuwa wasomi, Mungu Tusaidie Tanzania.
Huna la maana ww umejaza mavi kichwani! Bashiru alisema ukweli mwenye dola hutumia dola kubaki madarakani Kwan uongo? Bashiru ni yule yule Ila ww ni mlevi wa kusaka vyeo kwa Sasa pombe ikikutoka utamjua Bashiru ni yule yule!
Dr Bashir na Dr JPM ndiyo walikirudisha hathi ya chama mfano Mali za Chama mlizo pora , karudisha ccm kwenye heshima yake , kwangu Mimi Dr Bashir is seriously man , sema mnajaribu kuangamiza team Magufuli kwa nguvu zote, kwa maisha haya muda si mrefu mijezi yenu mtaanza zomewa ..
Anauzalendo gani huyu mjinga haya aliwahi kuyasema miaaka ya nyuma lkn alipo pewa madalaka akawa buzi sasa katolewa leo ndio anakuja na yale yale akipewa tena analudi kule kule wasomi wa Afrika ninamashaka nao sana.
Dr Bashiru yupo sahihi sana, isipokuwa Ngurumo unapotosha kwa chuki zako tu Kazi ya kusema Mamá anaupiga mwingi tuwaachie wateule wake, ila sisi wananchi wa kawaida (wafanyabiashara, wakulima, wafugaji wafanyakazi, wanafunzi) jukumu letu ni kuwakumbusha na kuwahoji watendaji Serikalini kutimiza wajibu uliowaweka madarakani na hiki ndicho Dr Bashiru amemaanisha
Nakuelewa sana Mr.Ngurumo,huwa najiuliza yeye mwenyewe huwa hajisikilizi?na kama huwa anajisikiliza na hiyo Phd yake huwa anajifanyia "analysis"yoyote?...huyu mtu ni tatizo!
DR BASHIRU ALLY AMEONGEA UKWELI NA HAWA AKINA MSUKUMA NA KIBAJAJ WANATAKIWA WAJUE HII NCHI ILA WATU WENYE SHIDA WATU WANAHITAJI HAKI,,WATU WANAHITAJI MAISHA YAWE CHINI,,
@@AnsbertNgurumo kumbe huwa unakasirika....naamini hata wewe ungekuwa mbunge ungekuwa unaongea tofauti...umekuwa mtu wa kulaumu kila siku..na kila kitu...
@@AnsbertNgurumo Ansbert nilikuwa nakufuatilia sana makala zako...una akili sana ya kufanya analysis...lakini kwa sasa unaingia kwenye mtego wa kulaumu kila kitu bila kuleta solution...
alichokifanya Bashiru ni sawa. coz ni Mwanasiasa na mwanasiasa huzaliwa upya katika kila msimu. mwanasiasa anayebaki kuwa wa jana bado hajitambui. coz mambo yanabadilika.
Hicho Ngurumo unachoongelea ndio tabia ya mwafrika kama tunavyowpa nafasi wanaenda kutuuza kwa kisingizio cha kuvutia wawekezaji, hata wewe ukipewa nafasi utakuwa hivyo hivyo wafrika wengi NI wanafiki na vigeu vigeu maana mwenye njaa haaminiki.
Safi sana Mzee ngurumo huyo bashiru amekwama tu lakini halisi ni yule wa awamu ya Tano hana jipya. hakika ngurumo hatuwezi sahau awamu iliyopita sisi watumishi wa umma.
Hebu angalia maslai mapana ya taifa.We unaangalia kimshahara chako unachagia kama mlevi humu.Hebu nikuache unaonekana haujawahi kulima na kama ulilima basi maharage
REMY ONGALA"aliimba"waligewa madaraka wakayatumia vibaya"tembo wanateketea"alimaanisha ya kwamba ukipewa madaraka au dora utumie ayo madaraka vizuri,ili,uwendelee kuaminika.
Huyu Bashiru siyo mjinga,anajua anachokifanya,kwa ufupi ni mkakati. Niliwahi kusikia mahali wanaojiita wapinzani wanakutana usiku na watawala kesho unamsikia mahali anawatukana aliokuwa nao usiku. Dhambi hiyo itawatafuna siku moja.
Sasa wewe ngurumbe.mbona hauludi nyumbani.nyinyi ndio munaotuchongea ss watz wa kawaida.alafu munakimbilia ulaya Kwa wafadhiri wenu huku ss tunateseka.wasenge nyinyi
Waafrika na Afika bado tunasafari ndefu kufikia kujitawala. Yanapo kuwepo majitu miongoni mwetu yanakimbilia Ulaya, Marekani na Canada, yanajidhalisha kwa wazungu kuzisaliti nchi zao ili yagange njaa zao, hili ni janga kubwa linalo ikabili Afrika.
Nimekuelewa sana before nilikua upende wa Bashiru ila saiv nimemuelewa kua mnafiki na msaka madaraka Mungu atailinda amani ya nchi 🇹🇿yetu isifarakanishwe na hili genge la wanafiki.🙏
Mwanasiasa yeyote ni msaka tonge! Sio huyu tu, !!! Nini maana yake mvuta kamba upande wake!! Hata wale wanaosema chama kina wenyewe, ni umimi tu!! Mkulima mie ntagombea NEC ntapata? Connection tu sio kingine, !!! Wajumbe bwana!!! Wajua hii kauli? Siasa inakupa utajir bwana, NDIO MAANA YAKE MSAKA TONGE
Ndugu yngu nimekuelewa sana before nilikua upende wke ila umenikumbusha mengi kuhusu huyu jamaa huko nyuma anachofanya saiv ni unafiki tu ila Mungu atatujaalia aman ya milele ya nchi 🇹🇿yetu bila kufarakanishwa na hili genge la wanafik🙏
Tatizo nchi hi ukiwa na msimamo wahaki ccm wanatafuta namna ya kukutoa kwenye leli mungu yupo atadiri nao wanaosababisha ongezeko la mteso na umaskin na zuruma , wao had vizaz vyao haijalish wamesoma ili kuzurum au la,!!! Chama cha ccm kinalum na kufilis mawazo mema ya viongoz kwa shelia za chama na kutumia dola, Hali mbaya mtaan hata kibiashala ,
What call mature politician is bashiru on ccm use his education drive peaple saycology on sense of feel the res massage caming from educate pasonol not makonda far distance from makonda has capacity of research underground and trigger lmotion of tanzanian population sense
Sawa hafai kabisa kuwa kiongozi ndiyo maana tundu lisu alisema magufuli huwezi kunipatia kazi uwapege hawohawo unawo wakoteza majalalani mwanaume tundu lisu dume mungu ana makusudi na dume
Hongera SK media kwa udadavuzi wako makini kuhusu wasomi wa Tanzania , ni tatizo kubwa hasa ikiitwa Dr, Professor ndani ya chama wanapoteza maana kuwa wasomi, Mungu Tusaidie Tanzania.
Thank you brother, simple but clear message, you do not go around the bush - the problem with us Tanzanians is that we do FORGET quickly !
Very good analysis. Bashiru wa kweli ni yule wa Magu😭
Huna la maana ww umejaza mavi kichwani! Bashiru alisema ukweli mwenye dola hutumia dola kubaki madarakani Kwan uongo? Bashiru ni yule yule Ila ww ni mlevi wa kusaka vyeo kwa Sasa pombe ikikutoka utamjua Bashiru ni yule yule!
Dr bashiru nimemuelewa sana
Yupo sawa kabisa pia ni kiongozi mzuriii sana bashiru.
Sasa yuko sawa kwa lipi ?
Kweli kabisa
Dr Bashir na Dr JPM ndiyo walikirudisha hathi ya chama mfano Mali za Chama mlizo pora , karudisha ccm kwenye heshima yake , kwangu Mimi Dr Bashir is seriously man , sema mnajaribu kuangamiza team Magufuli kwa nguvu zote, kwa maisha haya muda si mrefu mijezi yenu mtaanza zomewa ..
Kweli kabisa
Ninashukuru nimekuelewa sana Mr. Ngurumo.
Oh well bro thanks for analysing God bless 🙌
A very informed,impartial analysis,Bashiru is a hypocrite!!
Mungu ndie muweza wa kila jambo.kila jambo na wakati wake
Dr.bashilu tunakukubali sanaa, kasema ukweli kabisa, humu ndani acheni utopolo.
Huo ndio ukweli.
Wewe umetumwa na wale wazee wa kupiga dili acha iyo habari kila anayeongea ukweli ni adui wacha hizo we mzee vua hiyo kofia kwanza ndiyo useme
Msaka tonge ni yule anayekaa kimya kulinda masrahi yake. Polepole na Bashiru ndio wazalendo wa kweli.
Amina
Anauzalendo gani huyu mjinga haya aliwahi kuyasema miaaka ya nyuma lkn alipo pewa madalaka akawa buzi sasa katolewa leo ndio anakuja na yale yale akipewa tena analudi kule kule wasomi wa Afrika ninamashaka nao sana.
@@ramakazina170 wasomi gani wewe shuleni wanawaza tozo tuuu
Uzalendo wakiwa hapo kwenye system hawa ndio mbwa mwitu wanovaa ngozi ya kondooo
Umezaliwa lini? Haujuwi upuuzi wa Bashiru na Polepole wakati wa Magufuli?
Truth
Uchambuzi wako hauna maana kwa wenye akili na uwezo wa kufikiri,wewe si wa mlengo wa ujamaa sasa unapaka rangi hisia.
Hamna alipokosea dr.bashiru ktk kauli yake ,ila wee unatumika vibaya.
Wewe utakuwa umezaliwa leo! Karibu
Dr Bashiru yupo sahihi sana, isipokuwa Ngurumo unapotosha kwa chuki zako tu
Kazi ya kusema Mamá anaupiga mwingi tuwaachie wateule wake, ila sisi wananchi wa kawaida (wafanyabiashara, wakulima, wafugaji wafanyakazi, wanafunzi) jukumu letu ni kuwakumbusha na kuwahoji watendaji Serikalini kutimiza wajibu uliowaweka madarakani na hiki ndicho Dr Bashiru amemaanisha
Huna aibu na kichwa chako ni shida kìdogo
Hata wewe ni mjinga tu mbona unamchafua Bashiru
Bwege alisema mkiwamaliza wapinzani mtasodowana wenyewe kwa wenyewe
Yametimia
Ni mtu pekee anayeogopwa na ccm. Ukiona mwanaccm anaogopwa na ccm wenzake huyo ni shujaa.
Huo ndo ukweli wenyewe. PERIOD
Kukaa Kimya nayo ni moja ya njia Nzuri Sana ya Kuishi
Kabisaa umeongea point
Asante Sana
Narudia tena uchaguzi hautegemei maneno tu watu huangalia matendo ya kiongozi hii itabaki hivyo.
Kweli mzee
Nakuelewa sana Mr.Ngurumo,huwa najiuliza yeye mwenyewe huwa hajisikilizi?na kama huwa anajisikiliza na hiyo Phd yake huwa anajifanyia "analysis"yoyote?...huyu mtu ni tatizo!
Nadhani Dr ananifikirisha pia nawe unanifikirisha Kuna mtu unamsafisha
Mmh
Wewe nimchambuzi mzuri saana wa kisiasa..nimekuelewa saana..
Jmn bashiri kwann msiungane wazalendo tulikomboe taifa?
Nikweli kabisa Kaka yangu. Huyu ni msaka tonge mnafiki tu. Mlevi na mwenye uchu wa madaraka. Mwenyezi Mungu anawaona 😭😭😭😭😭😭😭😭
Kumwelewa mpaka
Uwe na ajili timamu
Tunamkubali tuu na tutamuunga mkono ✊🏼
Kwelikabisa mh kwauchambuzi wakina mungu akongezee busara nahekima zaidi na zaidi milele,
Acha kuptosha mlevi ni ww nchi kila mtu anahaki ya kusema km mambo haendi sawa acha uchawa ww kujipendekeza kwenye serikal
Nimekuelewa sana
DR BASHIRU ALLY AMEONGEA UKWELI NA HAWA AKINA MSUKUMA NA KIBAJAJ WANATAKIWA WAJUE HII NCHI ILA WATU WENYE SHIDA WATU WANAHITAJI HAKI,,WATU WANAHITAJI MAISHA YAWE CHINI,,
Bashuru mwache sio level uako Ngurumo
Ni kweli, si level yangu!
@@AnsbertNgurumo kumbe huwa unakasirika....naamini hata wewe ungekuwa mbunge ungekuwa unaongea tofauti...umekuwa mtu wa kulaumu kila siku..na kila kitu...
@@calabash4221 Hapo umeona lawama? Dk ya ngapi kuna "lawama?" Tusaidie.
@@AnsbertNgurumo Ansbert nilikuwa nakufuatilia sana makala zako...una akili sana ya kufanya analysis...lakini kwa sasa unaingia kwenye mtego wa kulaumu kila kitu bila kuleta solution...
Wanssiasa wote wako hivyo. Hata ngirumo akipata atafanya hayohayo
Umenena vizuri kaka huyu jamaa (Ngirumo) nae anainterest zake tuwenaye makini.
Exactly ✔️✔️✔️💯
alichokifanya Bashiru ni sawa. coz ni Mwanasiasa na mwanasiasa huzaliwa upya katika kila msimu. mwanasiasa anayebaki kuwa wa jana bado hajitambui. coz mambo yanabadilika.
Comment nyingi lakini binafsi hata Ngurumo mwenyewe simwamini pia so hana tofauti na anayemsema kuwa haaminiki. Nyani huwa haoni............Lake.
SASA WEWE NI NANI UNAYETULAZIMISHA KUWA BASHIRU HALISI NI HUYU AU YULE. UNA CHUKI DHIDI YA MAGUFULI CHANGE UR ATTITUDE.
Nimekuelewa sn kamanda that is naked truth.
Kunakitu sio bure hawa wanao hanza kujilipuwa...
Reference zako hazihusiani na content iliyopo mezani usitupotoshe Ngurumo
Hicho Ngurumo unachoongelea ndio tabia ya mwafrika kama tunavyowpa nafasi wanaenda kutuuza kwa kisingizio cha kuvutia wawekezaji, hata wewe ukipewa nafasi utakuwa hivyo hivyo wafrika wengi NI wanafiki na vigeu vigeu maana mwenye njaa haaminiki.
Hata hueleweki, fafanua maneno aliyoyaongea tuone uongo au ubaya wake tukuelewe.
Safi sana Mzee ngurumo huyo bashiru amekwama tu lakini halisi ni yule wa awamu ya Tano hana jipya. hakika ngurumo hatuwezi sahau awamu iliyopita sisi watumishi wa umma.
Hebu angalia maslai mapana ya taifa.We unaangalia kimshahara chako unachagia kama mlevi humu.Hebu nikuache unaonekana haujawahi kulima na kama ulilima basi maharage
Sema mimi mtumishi wa uma
We nmwabdishi ni fara tu rohi mbaya imekujaaaa
Anaposema utumie dora kubaki madarakani,anamaanisha tumia dora vizuri ili uweze kuaminika na waliokupa dora,na waendelee kukuamini kukupa dora.
Kwahio we ngurumo unaona mambo yanaendaje?
Dr hajakosea wala hajamkosea mh rais
Mhuuuu makubwa haya mungu ibariki Tanzania tunaomba amani tu
Ili amani iendelee kudumu lazima tuendelee kunyonywa na tusidai haki
Bashiru ni msema kweli anaetumia nyakati na mazingira
Tunapoteza muda kujadili mtu badala ya hoja.
Mbuzi huyo
Wewe mjinga mmoja sana
Huenda anataka apokelewe vyama pinzani ili apeperushe bendera kama mgombea urais
Bashiru kasema Jambo la Msingi
Msituchanganye Dr bashiru yupo sahihi mama samia na viongozi wake wa ccm wanyonyaji
Mnasahau haraka wabongo, na mnadanganywa kirahisi kwa sababu hamkulelewa katika kutafakari. Mnapenda kukariri.
Kuwa mpuuzi Kuna sifa zake.
REMY ONGALA"aliimba"waligewa madaraka wakayatumia vibaya"tembo wanateketea"alimaanisha ya kwamba ukipewa madaraka au dora utumie ayo madaraka vizuri,ili,uwendelee kuaminika.
Halafu yeye, Magufuli na Polepole waliyatumiaje? Jiongeze. Facts zipo wazi.
Mimi namini anasubuliwa na pepo mleteni kwangu nimuombee
Nimekuelewa brother hongera kwa kunitoa gizani
Ahsante Ngurumo wewe ni senior analyst. Ccm ni walevi na waongo bashiru alikuwepo wakati makonda anavuruga mji
Anawatoa tongongo
Lakini hamuelewi
Huyu Bashiru siyo mjinga,anajua anachokifanya,kwa ufupi ni mkakati.
Niliwahi kusikia mahali wanaojiita wapinzani wanakutana usiku na watawala kesho unamsikia mahali anawatukana aliokuwa nao usiku.
Dhambi hiyo itawatafuna siku moja.
Haya yote yametengenezwa na makada sioni kosa kwa Dr
Kama amesema unwell shida Nini
C ndo hapo
Bashiru anakuzidi kila kitu....maana anazungunza vitu kulingana na eneo husika.......ngurumo hujui chochote.........
Huyu ni msaka tonge kama wasaka tonge wengine tu.
Sasa wewe ngurumbe.mbona hauludi nyumbani.nyinyi ndio munaotuchongea ss watz wa kawaida.alafu munakimbilia ulaya Kwa wafadhiri wenu huku ss tunateseka.wasenge nyinyi
Waafrika na Afika bado tunasafari ndefu kufikia kujitawala. Yanapo kuwepo majitu miongoni mwetu yanakimbilia Ulaya, Marekani na Canada, yanajidhalisha kwa wazungu kuzisaliti nchi zao ili yagange njaa zao, hili ni janga kubwa linalo ikabili Afrika.
Akuna mtu anaekimbia bila sababu wenda ww ni miongoni mwa wale wanaojigeuza Mungu mtu kwa kujiona wapo sahihi awataki kuambiwa ukweli
Nakubaliana nawe Mr ngurumo👍
Sijaona alipokosea BASHIRU anachofanya ni kuelimisha anatoa elimu ya URAIA.
Dkt. Bashiru ni kiongozi mzurii Sanaa , hayoo mengine na wewe pia unatafuta popularity kwa vituu ambavyo havihusianii
Poor analysis of issues kabisa
Bashiru ni mganga njaa kama wanganga wengine tu!
Nimekuelewa sana before nilikua upende wa Bashiru ila saiv nimemuelewa kua mnafiki na msaka madaraka Mungu atailinda amani ya nchi 🇹🇿yetu isifarakanishwe na hili genge la wanafiki.🙏
Mim nilikuwa nimekuelewa bashiru Ila kwakukusikiliza wewe nimechanganyikiwa hata sielewi tena bola nikae kimya tu
Ni Bashiru amepigwa njaa
Wewe nifalla unayesema bashiru ni mlevi
AKILI hazijarudi sisi tunamuita mchumia mavi
Mwanasiasa yeyote ni msaka tonge! Sio huyu tu, !!! Nini maana yake mvuta kamba upande wake!! Hata wale wanaosema chama kina wenyewe, ni umimi tu!! Mkulima mie ntagombea NEC ntapata? Connection tu sio kingine, !!! Wajumbe bwana!!! Wajua hii kauli? Siasa inakupa utajir bwana, NDIO MAANA YAKE MSAKA TONGE
Wewe na bashiru Ni ndege wale wale tu
Tukubaliane tu kua wanachofanya ni unafiki na yte sabab ya madaraka MSAKA TONGE wakat wake umekwisha wenye wakat wamekua wabaya🤣😃😄
Ndugu yngu nimekuelewa sana before nilikua upende wke ila umenikumbusha mengi kuhusu huyu jamaa huko nyuma anachofanya saiv ni unafiki tu ila Mungu atatujaalia aman ya milele ya nchi 🇹🇿yetu bila kufarakanishwa na hili genge la wanafik🙏
BASHIRU YUPO SAHIHI ILAWEWE NDO UNALENGO LA KUPOTOSHA
We mavi nipishie kaongea point bashiru
We hujaelewa chochote
msomi mwanasiasa ambaye ni kinyonga! Ni ukweli lakini anaaminika?
Tatizo nchi hi ukiwa na msimamo wahaki ccm wanatafuta namna ya kukutoa kwenye leli mungu yupo atadiri nao wanaosababisha ongezeko la mteso na umaskin na zuruma , wao had vizaz vyao haijalish wamesoma ili kuzurum au la,!!! Chama cha ccm kinalum na kufilis mawazo mema ya viongoz kwa shelia za chama na kutumia dola, Hali mbaya mtaan hata kibiashala ,
Huyu jamaa ni nani?
What call mature politician is bashiru on ccm use his education drive peaple saycology on sense of feel the res massage caming from educate pasonol not makonda far distance from makonda has capacity of research underground and trigger lmotion of tanzanian population sense
Bashiru ni Mtu wa ovyo, mchumia tumbo
HAKUNA MTU MNAFIKI KAMA HUYU!!
Muelewe ngurumo anachomaanisha
mjinga tuu wewe dk Bashiru yupo sawa kwa mazingira stahiki na wakati sahihi
Yupo sahihi mbona
Sawa hafai kabisa kuwa kiongozi ndiyo maana tundu lisu alisema magufuli huwezi kunipatia kazi uwapege hawohawo unawo wakoteza majalalani mwanaume tundu lisu dume mungu ana makusudi na dume
Hivi hawoni aibu katibu mkuu wa wa ccm.ama kweli endelea kuwanika. Nawengine waliyo baki
Haujitambui
Msitudanganye maana ya kutumia Dola aliomaanisha Ni kutenda mazuri kwa wananchi kupitia Dola
Una akili kubwa Sana...nilifikiri akili kama hizi hazipo tena
Nikimuona mwanasiasa nikama ni memuona simba muonevu mulawenzake na kuonea wanyama wadogowadogo
Sio suala la kuaminika ujumbe je
Anae mkubalibashiru kuakiongozi mzalendo weka laiki hapa
Tatizo unafiki na ukabila, hivi sio yy aliekuwa akimsifu magu? Leo hatak mwingine asifiwe mmh Acha tuona.